*NI WANGU PEKEANGU* *________________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Erica ni binti wa mwisho katika familia yenye watoto wanne kaka watatu na yeye ndio dada pekee
Vanessa akamjibu umeniandalia nini mpaka unipeleke kwenu
Erica akajibu nina makaka ma handsome hatari twende ukachangue
Vanessa akacheka na kumwambia kuwa nitaenda nijionee, Erica akamwambia tulia
Walianza safari yakwenda nyumbani kwa kina Erica walifika mama wa Erica aliwapokea na kumkaribisha Vanessa vizuri kisha walielekea chumbani kwa Erica
Baada ya muda ilikuwa mida ya usiku saa2 mama aliwagongea mlango na kumwambia Erica mjiandae kuja kupata chakula cha jioni pamoja mezani
Erica na rafikiyake Vanessa walitoka na kuwakuta kakazake Erica wamesha kaa mezani tayari kwakula pamoja na mama na babaao, walipofika nao walijumuika nao ila kakazake Erica walimshangaa sana Vanessa kwani alikuwa kazuri karembo mnoo walipomaliza kula Erica na Vanessa walielekea chumbani kwao na kuendelea na mambo yao baada ya muda mchache wakiwa chumbani Erica alimwambia Vanessa naenda kwamama malamoja kunajambo naenda kiongea naye alimwambia kuwa na amani yumba yoote kama kwenu ukihitaji maji juice au chochote jikoni kileee chini wao walikuwa gorofani,Vanessa akamwambia sawa usijali kisha Erica alielekea chumbani kwa mamaake.
Vanessa aliamua kushuka na kuelekea jikoni kuchukua juice hivyo alifika jikoni na kumkuta Fred akiwa nayeye anamimina juice akamwambia naomba nikumiminie juice mrembo kama hutojali
Vanessa alikubali kisha akamiminiwa juice na kumwambia asante
Fred alianza naitwa Fred nidoctal wewe unaitwa nani Vanessa akamwambi naitwa Vanessa ni mwanamitindo
Kisha Fred akamwambia wewe nimrembo
Vanessa akajibu asante
Kisha akaondoka kuelekea chumbani wakati anawahi chumbani alikutana franco kwenye coldo na kumwambia mrembo jinalangu naitwa Franco ni muhasibu wewe je
Vanessa akajibu naitwa Vanessa nimwana mitindo
Franco akamwambia wewe nimrembo sana
Vanessa akajibu nashukulu kisha alienda moja kwa moja chimbani
Erica alipofika akamwambia vipi umeboreka kuwa pekeako
Vanessa akamwambia hapana nimekutana na Franco na Fred wamenichangamsha aikuboreka
Erica akacheka na kumwambia hao ndio kakazangubwana hahahaaa
Vanessa akamwambia na nimahandsome kweli
Erica sasa umemuelewa yupi hapo na bado hujaonana na France yeye pia nimfanyabiashara yuko bize
Vanessa kwakweli nihatali hongera kaka zako niwakarim mnoo.......je nini kitaendelea fuatilia bila kukosa
NI WANGU PEKEANGU epsd 2.
Erica akafurana nakuitikia asante Vanessa, walifurahi kwa pamoja kisha walilala pamoja Vanessa na Erica, asubuhi ilipofika waliamka na kujiandaa kisha walishuka kwenda kupata chai na kisha waende kwenye kazi zao walipomaliza chai walianza kutoka pamoja kakazake Erica wakaanza kumwambia Erica nawapa lift twende Franco akamwambia Erica njoo na rafikiako nitawapeleka mnapo taka huku nae Fred nae anadai hivyo hivyo hata France ila Erica akawaambia nivile nipo na Vanessa ningekuwa mwenyewe haya tutaondoka na ubar akatrack mtandaoni ubar nakuachana na kakazake walicheka walipowaacha baadae walipotoka kwenye miangaikoyao waliludi nyumbani pia Vanessa na Erica walikuwa nyumbani hapo alitoka Erica chumbani kwake na kwenda kwa mamaake sahiyo hiyo alikuja doctor Fred chapu akagonga mlango na Vanessa alifungua kisha Fred akaingia nakumwambia naomba namba yako yasim kisha tutachat tafadhari kabra Erica hajafika Vanessa alimwandikia nakisha akaondoka chumbani kwake baada yamuda walipotulia walianza kuchat
Fred akaanza mambo mtoto mzuri
Vanessa akajibu safi
Fred akamwambia hakika wewenimrembo sana hata aje mwanaume wa ainagani lazima akilihili kwako
Vanessa akamwambia nashukulu
Basi walichati muda mrefu hadi Erica alikuwa tatari kaludi na kumuuliza mbona bize unachat nanani
Vanessa akamwambia Fred
Erica akacheka doctor amepata wapi nambayako
Vanessa ulipotokatuu akaja nakuichukua
Erica akacheka tena haya bwana akasema hayaniusu niwaache wenyewe
Basi Vanessa na Fred walichati muda mrefu na mwisho Fred alimwambia anampenda wawewote kwenye mausiano
Mwisho Vanessa aliona amkubalietuu kwani pia yeye Fred alikuwa mzuri alimpenda
Walikuwa kwenyeuhusiano wa sili ikiwa na wenzie wote wanamtolea macho wakitaka kuwa na Vanessa
Fred alipoona hilo linazidi akaona amvishe pete yauchumba Vanessa ili kuwavunja nguvu nduguzake na kumtambulisha hadi mbele ya baba na mama
Wakawa muda mwenginge Vanessa anakuja anaingia chumbani kwa doctor na kulala hapo ila bado haikusaidia kwani Franco alikuwa anampenda sana Vanessa
Mpaka inampelekea kutoelewana na Fred kwajicho analomtizama Vanessa nilamatamanio hadi anachukia
Kunasiku Fred alisafili Vanessa alikuja pale kisha muda wakulala ulipofika aliingia ndani kulala alikuja Franco akagonga mlango na Vanessa alienda kufungua alipofunguatuu Franco akaingia, Vanessa akamwambia nini shida Franco nikusaidie
Franco akamwambia niwewe
Vanessa nimefanyanini mimi alimjibu
Franco akamwambia wewe niwangu sio Fred ameniibia
Vanessa akamwambia sitaki nampenda yeye sio wewe
Franco akamwambia sio kweli niviletuu uponae
Vanessa akamwambia nawezaje kuwa na mtusimpendi
Franco alimsogelea nakisha alimdodosha Vanessa kitandani.......je nini kilitokea endelea kufatilia similizi yetu
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi