VYOTE NDANI GONGA94
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 17 - 18 Nikamuuliza jamn kulikoni mbona mmenizingira iv ,shida
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nini yule dokta akaniambia .
Hongera Mrs Alberto unatarajia kuleta new Mafia boss
on our de casa ,mie nikawa simuelew ,najionea mauzauza tuu ,
Cjakaa sawa simu yangu ikaita namba ngeni nikapokea
,sauti iliosikika upande wa pili ilikuw ni ya mume wangu ambe cjaongea nae wiki ya pili sasa.
Kuanza na kuanza akaniambia mke wangu hongera
na Kwa kazi yako ulioifanya nimekupa zawadi ipo apo nje .
iv jamn mnamuelewa uyu yan hii nilivofanya ni kazi wakat ni mtoto nimembeba Aya nikainuka iliniichungulie iyo zawad ya kaz yangu.
Nikakuta gari aina ya Ferrari,siku furahishwa sana ,
nikamjibu tu asante na wewe Kwa kazi ,ulioifanya Kisha nikamkatia simu .
Watu wote wakawa wananishangaa ,nikajua labda atapiga simu kuomba msamaha ,khaaa huyu mwanaume Hana haya maaan hakunitafuta kabisa Yani ata sms hajatuma nyingine .
Nilivyoona ivo nikaanza kulia Kwa uchungu sana ,Kwa hasira nikawafukuza watu wote waliomo chumbani kwangu ,nikajifingua na mlango .Sikula siku nzima .
Usiku mida ya saa 5 ,nikaskia milio ya lisali njee ,
vioo vya chumbani kwangu ni bulletproof,ivo nikawa naaangalia tu chakushangaza adi ma house girl wapo nje na silaha zao ,wanapigana .
Hapohapo simu yangu ikaita nilivopokea mume wangu akasema chukua silaha nend ofisini kwangu Kuna chemba ya sili Kajifiche .
sasa nikawa nimechanganyikiwa sijui la kufanya ,na nimesahau ghafla silaha zilipo ,nikainuka ivoivo nikaanza kukimbia kuelekea ofisini Kwa Alberto,nimefika mlango nanyonga kitasa ili niingie ,
Mtu akaja nyuma yangu akaweka bastola kichwan Kisha akaniambia ukigusa chochote nakutoa ubongo .
Ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu .
Nilivogeuka sikuamini macho yangu maana aliekuwa anasema ivo alikuw ni baba angu mzazi .
Akanichukua nakunipeleka kwenye gari nje apo nimeshikwa na butwa sijui niseme nini nimeshikilia tu tumbo langu ,Kabal ya kuingia kweny gar pale nje
nikakuta maiti za watu wamezaagaa zagaa na wengine
wametekwa .
Tulivoingia tu kwenye gari baba akaniwekea kitambaa puani na apoapao nikazimia ,nimekuja kushtuka nipo sehemu yenye kiza kinene na ni ya kutisha mnoo
nikaanza kulia uku nimeshika tumbo langu .
Nikaskia kicheko kikali cha mwanaume akucheka kama kaona kitu kinachomfurahisha ,kugeuka iv alikuw ni baba angu
Itaendelea ....
Hongera Mrs Alberto unatarajia kuleta new Mafia boss
on our de casa ,mie nikawa simuelew ,najionea mauzauza tuu ,
Cjakaa sawa simu yangu ikaita namba ngeni nikapokea
,sauti iliosikika upande wa pili ilikuw ni ya mume wangu ambe cjaongea nae wiki ya pili sasa.
Kuanza na kuanza akaniambia mke wangu hongera
na Kwa kazi yako ulioifanya nimekupa zawadi ipo apo nje .
iv jamn mnamuelewa uyu yan hii nilivofanya ni kazi wakat ni mtoto nimembeba Aya nikainuka iliniichungulie iyo zawad ya kaz yangu.
Nikakuta gari aina ya Ferrari,siku furahishwa sana ,
nikamjibu tu asante na wewe Kwa kazi ,ulioifanya Kisha nikamkatia simu .
Watu wote wakawa wananishangaa ,nikajua labda atapiga simu kuomba msamaha ,khaaa huyu mwanaume Hana haya maaan hakunitafuta kabisa Yani ata sms hajatuma nyingine .
Nilivyoona ivo nikaanza kulia Kwa uchungu sana ,Kwa hasira nikawafukuza watu wote waliomo chumbani kwangu ,nikajifingua na mlango .Sikula siku nzima .
Usiku mida ya saa 5 ,nikaskia milio ya lisali njee ,
vioo vya chumbani kwangu ni bulletproof,ivo nikawa naaangalia tu chakushangaza adi ma house girl wapo nje na silaha zao ,wanapigana .
Hapohapo simu yangu ikaita nilivopokea mume wangu akasema chukua silaha nend ofisini kwangu Kuna chemba ya sili Kajifiche .
sasa nikawa nimechanganyikiwa sijui la kufanya ,na nimesahau ghafla silaha zilipo ,nikainuka ivoivo nikaanza kukimbia kuelekea ofisini Kwa Alberto,nimefika mlango nanyonga kitasa ili niingie ,
Mtu akaja nyuma yangu akaweka bastola kichwan Kisha akaniambia ukigusa chochote nakutoa ubongo .
Ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu .
Nilivogeuka sikuamini macho yangu maana aliekuwa anasema ivo alikuw ni baba angu mzazi .
Akanichukua nakunipeleka kwenye gari nje apo nimeshikwa na butwa sijui niseme nini nimeshikilia tu tumbo langu ,Kabal ya kuingia kweny gar pale nje
nikakuta maiti za watu wamezaagaa zagaa na wengine
wametekwa .
Tulivoingia tu kwenye gari baba akaniwekea kitambaa puani na apoapao nikazimia ,nimekuja kushtuka nipo sehemu yenye kiza kinene na ni ya kutisha mnoo
nikaanza kulia uku nimeshika tumbo langu .
Nikaskia kicheko kikali cha mwanaume akucheka kama kaona kitu kinachomfurahisha ,kugeuka iv alikuw ni baba angu
Itaendelea ....
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 19 - 20 Bila kusita nikaanza kumuuliza baba kwanini ananifanyia iv
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 16 Asubuhi na mapema Alberto akaamka
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 14 Siku ikaisha basi mie nikajua ndo nikishafanya vile ndo
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 10 Nikabaki natabasamu tu kama kachizi
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 12 Wakat nalia nikasikia sauti
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 11 Tukakaa pale Mimi na dada angu tukapiga kilaa aina ya story
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 9 Alberto akaniachia nikaangua mpaka chini Kisha akaondoka zake
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 13 Kiss lile liliamsha mengi sana mwilini mwangu
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 7 Nikaondoka bila kujua nimemuchaje mkaka wawatu .