Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nini yule dokta akaniambia .
Hongera Mrs Alberto unatarajia kuleta new Mafia boss
on our de casa ,mie nikawa simuelew ,najionea mauzauza tuu ,
Cjakaa sawa simu yangu ikaita namba ngeni nikapokea
,sauti iliosikika upande wa pili ilikuw ni ya mume wangu ambe cjaongea nae wiki ya pili sasa.
Kuanza na kuanza akaniambia mke wangu hongera
na Kwa kazi yako ulioifanya nimekupa zawadi ipo apo nje .
iv jamn mnamuelewa uyu yan hii nilivofanya ni kazi wakat ni mtoto nimembeba Aya nikainuka iliniichungulie iyo zawad ya kaz yangu.
Nikakuta gari aina ya Ferrari,siku furahishwa sana ,
nikamjibu tu asante na wewe Kwa kazi ,ulioifanya Kisha nikamkatia simu .
Watu wote wakawa wananishangaa ,nikajua labda atapiga simu kuomba msamaha ,khaaa huyu mwanaume Hana haya maaan hakunitafuta kabisa Yani ata sms hajatuma nyingine .
Nilivyoona ivo nikaanza kulia Kwa uchungu sana ,Kwa hasira nikawafukuza watu wote waliomo chumbani kwangu ,nikajifingua na mlango .Sikula siku nzima .
Usiku mida ya saa 5 ,nikaskia milio ya lisali njee ,
vioo vya chumbani kwangu ni bulletproof,ivo nikawa naaangalia tu chakushangaza adi ma house girl wapo nje na silaha zao ,wanapigana .
Hapohapo simu yangu ikaita nilivopokea mume wangu akasema chukua silaha nend ofisini kwangu Kuna chemba ya sili Kajifiche .
sasa nikawa nimechanganyikiwa sijui la kufanya ,na nimesahau ghafla silaha zilipo ,nikainuka ivoivo nikaanza kukimbia kuelekea ofisini Kwa Alberto,nimefika mlango nanyonga kitasa ili niingie ,
Ile sauti haikuwa ngeni masikioni mwangu .
Nilivogeuka sikuamini macho yangu maana aliekuwa anasema ivo alikuw ni baba angu mzazi .
Akanichukua nakunipeleka kwenye gari nje apo nimeshikwa na butwa sijui niseme nini nimeshikilia tu tumbo langu ,Kabal ya kuingia kweny gar pale nje
nikakuta maiti za watu wamezaagaa zagaa na wengine
wametekwa .
Tulivoingia tu kwenye gari baba akaniwekea kitambaa puani na apoapao nikazimia ,nimekuja kushtuka nipo sehemu yenye kiza kinene na ni ya kutisha mnoo
nikaanza kulia uku nimeshika tumbo langu .
Nikaskia kicheko kikali cha mwanaume akucheka kama kaona kitu kinachomfurahisha ,kugeuka iv alikuw ni baba angu
Itaendelea ....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Nini yule dokta akaniambia .
Hongera Mrs Alberto unatarajia kuleta new Mafia boss
on our de casa ,mie nikawa simuelew ,najionea mauzauza tuu ,
Cjakaa sawa simu yangu ikaita namba ngeni nikapokea
,sauti iliosikika upande wa pili ilikuw ni ya mume wangu ambe cjaongea nae wiki ya pili sasa.
Kuanza na kuanza akaniambia mke wangu hongera
na Kwa kazi yako ulioifanya nimekupa zawadi ipo apo nje .
iv jamn mnamuelewa uyu yan hii nilivofanya ni kazi wakat ni mtoto nimembeba Aya nikainuka iliniichungulie iyo zawad ya kaz yangu.
Nikakuta gari aina ya Ferrari,siku furahishwa sana ,
nikamjibu tu asante na wewe Kwa kazi ,ulioifanya Kisha nikamkatia simu .
Watu...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya-17-18-nikamuuliza-jamn-kulikoni-mbona-mmenizingira-iv-sh