Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
05 Nov 2025
465 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kumuowa Antara ikiwa Naima yupo na kiumbe changu tumboni"
Antara alikuja na kumnasa kibao cha shavu Mohan.
"Mohan unasemaj?! yaani kumbe mlikuwa mnafanya uzinzi kwenye nyumba hii? ulininyima muda kwaajili yake kwann lakiniπ"Antara alikimbia na kujifungia ndani. Kila mtu alishangaa na maneno yale ya Mohan.Ispokuwa Dadimaa. Ikabidi sote tumkimbilie sasa Antara aliyejifungia ndani. Simon alimuita lakini hakuitika. Walimbembeleza hadi wakachoka. Wakapata shauri la kuvunja mlango huo.
Sasa kabla hawajavunja mlango, walisikia sauti ya mlinzi.
"hapana mama usifanye hivo tafadhali, Mohan, Raj ,jamani msaada huku"
familia yoote tukaamia nje . Yaani utadhani tulikuwa tunacheza nyimbo :kushoto kuliaπ."Mama tafadhali usifanye hivo emu shuka tuongee"
Mohan alijitahidi kumtaka mama ashuke lakini jibu lilikuwa hili.
"ukitaka nishuke, kubali kuwa utamuowa Antara" Mohan hakutoa jibu zaidi ya kuzidi kumuomba ashuke waongee. Amla alinigeukia nakusema huku akiyatafuna meno yake.
"Ney haya yote yanatokea kwasababu yako. Sasa omba sana wifi yangu asidhurike wala aunty yangu asipate shida sitakusamehe nitakukata kata na hilo litoto lako"
sasa lakini ndugu msomaji, mimi kosa langu nini hapo eti. Alipo maliza Kusema tu hivo,tukasikia kelele zingine ndani sasa:"Dadimaa amka!Dadimaa!"sote tukarudi ndani akiwemo na mama Mohan alishuka baada ya kusikia hivo.
Dadimaa alikuwa amekata moto. Tulimpeleka hadi hospitali. Akaanza kupata matibabu. Msomaji kumbuka kipindi chote hicho Raj haonekani nyumbani wala kazini.
Daktari aliwataka ndugu waanze kuingia mmoja mmoja kumuoa mgonjwa.
"hakikisheni haingii mtu baki!" mama Mohan aliingia baada yakuongea hivo. Nilijua tu kama anamaanisha mimi. Zuri alipiga simu nikatoka pembeni nikamuadithia kila kitu.
"we Ney kumbe we malaya eti! umeaumua kunisaliti kwa boss wangu?"
"Simon tuko hospital naomba uniache"sikutaka marumbano nilitoka hapo.
Basi alikuja nurse nakusema naitwa. Nilikatwa majicho mabaya nikiwa naingia kwenye wodi ya Dadimaa.
"Naima!"aliniita bibi huyo kisha akadondosha choz.
"Dadimaa unajua ukilia unanizidishia uchungu hata mimi nyamaza"
Nikampa uji kisha muda wa kuondok tukaondoka. Niliishi hapo japo kwa mateso ila nilionyesha upendo sana. Vurugu zangu niliacha kipindi mama Ney anakufa.
Dadimaa aliruhusiwa akatoka .Ndipo kukawekwa kikao cha familia kuhusu harusi ya Mohan na Antara na Mimba yangu. Mama Mohan ndio akaanza kusema
"Mohan,kumbuka tuliahidi kuwa utamuowa binti huyu,sasa jiandae kesho ni ndoa!"
"Rashmi,acha kumkumbusha mtoto mambo ya ajabu! ataenda roho yake inapotaka"
"Mohan, uliahidi kuniowa baada ya masomo, tafadhali ongea kitu bas "
Hapo mimi nimetulia na tumbo langu kama mfuko wa bangi mbichi nasubiri neno kutoka kwa Mohan.
"mama yupo sahihi"hilo ndilo lilikuwa jibu la Mohan.
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 11 Kwanza nilijitoa mikononi mwa Mohan. Kisha familia ikatusogelea. Mama Mohan aliuliza kwa mshangao sana. "nini hiki Mohan?" "mama mimi siwezi
kumuowa Antara ikiwa Naima yupo na kiumbe changu tumboni"
Antara alikuja na kumnasa kibao cha shavu Mohan.
"Mohan unasemaj?! yaani kumbe mlikuwa mnafanya uzinzi kwenye nyumba hii? ulininyima muda kwaajili yake kwann lakiniπ"Antara alikimbia na kujifungia ndani. Kila mtu alishangaa na maneno yale ya Mohan.Ispokuwa Dadimaa. Ikabidi sote tumkimbilie sasa Antara aliyejifungia ndani. Simon alimuita lakini hakuitika. Walimbembeleza hadi wakachoka. Wakapata shauri la kuvunja mlango huo.
Sasa kabla hawajavunja mlango, walisikia sauti ya mlinzi.
"hapana mama usifanye hivo tafadhali, Mohan, Raj ,jamani msaada huku"
familia yoote tukaamia nje . Yaani utadhani tulikuwa tunacheza nyimbo :kushoto kuliaπ."Mama tafadhali usifanye hivo emu shuka tuongee"
Mohan alijitahidi kumtaka...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya-11-kwanza-nilijitoa-mikononi-mwa-mohan-kisha-familia-ikatusogel
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-sehemu-ya
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 15 Alinisogelea kabisa na kunishika mikono huku akiliita jina langu na machozi ya furaha yakamtoka
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 10 Kwa kweli hali niliyo kuwa nayo sikutaka hata kumjibu,alimaliza akaondoka.
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 12 Hapo sikusubiri masimango na kudhalilika kwa zaidi, maana jibu alilotoa
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 17 - 18 Mohan alitoka nje ili mkuu wa shule asijue chochote
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 16 Niliwabembeleza watoto wakakubali kula japo kwa mbinde sana
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 19 - 20 Baada ya cake kuletwa watoto wangu wote walisogea, birthday boy
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 13 Niligeuka kwa uoga pole pole nilishangaa kumuona Swaumu
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 8 Nilikimbia ndani kwa Zuri na kujifungia. Aliyekuja
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 7 Niligandaa baada ya kumuona Zuri akiwa mbele na Simon akiwa nyuma yake
π£ππ‘ππ ππ πππππ‘π πͺπ πππππ‘ππ SEHEMU YA 9 Mwenzenu picha zilikuwa zile ambazo tulipigwa na Mohan