Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Dec 2025
278 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
angu jamn ucnijibu ivo najiskia vibaya ,hujui ata kilichonikuta uko nilipotoka dada angu .
Yan natetegemea wewe ndo uwe mfariji wangu wakwanz ila wewe ndo mpondaji wangu wakwanz kwel dada .
Dada akaniambia Yan Mimi nikufariji wewe Kwa ufusca unao ufanya vipi ulio lala nae hajakupa ela au maaan ayo ndo majanga mnayoyapia watu wenye kazi kama zako .
Mmmh nikaguna ,nikawa najisemea eeeh kwaiyo uyu dada anajua najiuza au π.
Weee sindo akanisika nimeguna ,akaanza kunichamba upya ,akawa ananiambia Aya unagunaguna Nini Shetani Mweusi wewe .Yan nimekuombea kazi ofisini Kwa rafiki angu ukaona haitoshi ukamchukulia na bwan wake .
Apo hukuridhika ukaamua ukaamua uondoke nae ukalale nae kuwa wewe ndo fundi San wa kulala na wanaume wawatu eeeeh .
Nikamwambia dada sio kwel nasingiziwa .
Yan kabla cjamalizia sentesi yangu dada akaniambia we mbwa usinikatishe nikiwa naongea mjinga mmoja wewe .
Sasa nakwambia iv kwangu mimi utaaama Yan ukaii kabisaa siwezi kuishi na watu wenye tabia ya dizaini yako Yan sampuli hii ya watu nooo. kwaiyo beba Kila ulichonacho ,na sio beba chukua viyu vyako maaan nshakusaidia kuvitoa apo njee .
Sasa sijui utarudi morogoro Kwa baba na mama au unaend Kwa uyo bwanawako mpya utajijua we mwenyew na akili zako .
Ila mie nakushauri Bora urud tuu Kwa bwana wako maaana uko nyumban kumesha Waka moto baba hatak atakukusikia Kwa hii tabia yako chafu .
Nikampiga dada angu magoti ili anisamehe ila dada hakuniskia mbadala wake alinifukuza kama mbwa Tena uku ananiambia maneno makali sana eti ananiambia Kama nimeona wanaume Dili niende walipo wakantafune weee wakishanichoka na kumaliza haja zao waniache apao na mimba juu .
Dada angu alivyoongea ivo alinikera sana ,nikaona ananitesea Nini kwanz Kwa Iko kinyumba chake au ambacho hakina ata rangi .Nikabeba nguo zangu nikaondoka .
Nikiwa natembea njian nikawa nalia Kwa nguvu πππππ Kam nimefiwa na uko njiani watu walijua nimefiwa kwel ,baadh walikuwa wanapita wananiambia dada pole na msiba .Mie nawaangalia tuu π Tena ndo walikuwa wananizidishia kilio .
Itaendelea ...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
angu jamn ucnijibu ivo najiskia vibaya ,hujui ata kilichonikuta uko nilipotoka dada angu .
Yan natetegemea wewe ndo uwe mfariji wangu wakwanz ila wewe ndo mpondaji wangu wakwanz kwel dada .
Dada akaniambia Yan Mimi nikufariji wewe Kwa ufusca unao ufanya vipi ulio lala nae hajakupa ela au maaan ayo ndo majanga mnayoyapia watu wenye kazi kama zako .
Mmmh nikaguna ,nikawa najisemea eeeh kwaiyo uyu dada anajua najiuza au π.
Weee sindo akanisika nimeguna ,akaanza kunichamba upya ,akawa ananiambia Aya unagunaguna Nini Shetani Mweusi wewe .Yan nimekuombea kazi ofisini Kwa rafiki angu ukaona haitoshi ukamchukulia na bwan wake .
Apo hukuridhika ukaamua ukaamua...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-11-hiiii-dada-jamna-m
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert