Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
06 Dec 2025
602 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nyumbani nikamkuta dada angu akaniwekea vitu vyote njee ,naingia ndan akaanza kunisema vibaya .eti nimemuibia Pendo mwanaume wake ambe ni wewe ,kibaya zaidi dada angu akanifukuza .π
Robert akaniuliza kwaiyo kisa dada kakufukuza ndo unataka kuolewa nikamjibu hapan ila kaniambia maneno mabaya kwanz sitokuja kuolewa na hamna mwanaume ataetaka kunioa ,nikaamuliza Kwan wewe siunanipend .
Robert akajibu ndio harakaharaka .Nikamwambia basi naomba unioe ,sasa nipo tayar Robert .
Naomba unitoe kwenye hili vazi la aibu na kusimangwa na dada angu ,Naomba unioe tuu mengine yatafata baadae .Robert akaniuliza ila unanipenda nikamjibu tutapendana ndani ya ndoa .Basi Robert aka furah sana na Furaha yake ilikuwa inaonekana waziwazi ,adi akaniinua akawa ananirusharusha ππππ .Ila wanajeshi wananguvu .
Nikamwambia Robert naomba nikapumzike akakubali .
Ila nilivomuacha tu akampigia mama ake simu ,akamwambia mama Shaima amekubali nimuone .
Mama ake nae akawa anashangilia ,ilikuwa ful shangwe π.
Nikiwa nimelala akaja mtoto yule Bright akawa ananiita mommy .....mommy ........mommy ,apo Bado nimelala Kwa nilivyochoka nikawa hata simsikii ,akaanza kunivuta mashavu uku ananiita mommy amka .
Nikaamka nikamwambia we Bright udashida gan ,akaniambia daddy kaniambia wewe ndo mommy wangu Nikashangaa Kisha nikatak kumwambia hapana ,kabla sijakwambia Robert akanizuia maaan alikuwa pale mlangoni .Kisha akatoka Bright alafu yeye akarudi akawa anaanielekeza ,kuwa uyo Bright hamjui mama ake maaan mama ake alifariki yeye Bright akiwa mdogo sana Hivyo hamjui mama ake .
Leo nimemwambia we ndo mama ake ili apate Faraja atakidogo ,napia naomba unisaidie kuituzna kuraha ya mwanangu tafadhr Shaima .Nikamwambia usijali .
Itaendelea....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
nyumbani nikamkuta dada angu akaniwekea vitu vyote njee ,naingia ndan akaanza kunisema vibaya .eti nimemuibia Pendo mwanaume wake ambe ni wewe ,kibaya zaidi dada angu akanifukuza .π
Robert akaniuliza kwaiyo kisa dada kakufukuza ndo unataka kuolewa nikamjibu hapan ila kaniambia maneno mabaya kwanz sitokuja kuolewa na hamna mwanaume ataetaka kunioa ,nikaamuliza Kwan wewe siunanipend .
Robert akajibu ndio harakaharaka .Nikamwambia basi naomba unioe ,sasa nipo tayar Robert .
Naomba unitoe kwenye hili vazi la aibu na kusimangwa na dada angu ,Naomba unioe tuu mengine yatafata baadae .Robert akaniuliza ila unanipenda nikamjibu tutapendana ndani ya ndoa .Basi Robert aka furah sana na Furaha...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-13-nikamwambia-muda-u
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert