Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
10 Dec 2025
568 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kututukana anatamani ila ndo hawezi ππ.Kabaki anatuangalia tuu.
Na kwel Robert na ndugu zake wakafanikiwa kufika nyumbani kwetu morogoro ,Ila Kuna kitu cha kushangaza kilitokea maaan baba angu alikataa kupokea mahari akidai kuwa mie sio mwanae ,Han mtoto wa dizani yangu
mtoto nisie sikia la mkuu .
Wageni wakawa wanashangaa ,nilivyopigiwa kuambiwa ivo moja Kwa moja nikajua nikazi ya dada angu iyo ,kasema upuuz wake Kwa baba .
Ila baadae mama akambembeleza baba na kumwambia kuwa hii ni familia yangu ijayo wanayoiongelea na baba anatakiwa arudishe moyo wake nyuma kwaajili yangu na ya familia yangu ijayo .Mam alikuwa akikwambia baba maneno hayoo baada ya kumuita chumbani sio mbele ya wageni .
Muda uo Robert anatetemekaπ mahari imeshakataliwa hajui atafanya Nini ili baba angu amuelewe ,anatamani ata aanze kulia .Akainuka ili akagonge mlango wa Kwa baba angu eti ππππivi huyu mzim kwel .Eti anataka akagonge chumban walipoingia mama na baba kuongea ili awaombe msamaha.
Kabla hajafika ata mlangoni mlango ukafunguliwa ,wazee wangu wakawa wanamshanga uyu nae vipi πππ akajitetea alikuwa anaenda msalani ,ndo wakamuelewa ila wangejuaπ muda wote uo wazazi wa upande wakina Robert hamna ata alietia neno wananiangalia tu mtoto wao alivo na chachawa π.
Ila baadae baba angu akapokea mahari yangu ila kabla walinipigia simu nikaulizwa Kam nimekubali nikajibu ndio nimekubali .Bas baba Shaima akapokea mahari ,na akamtonza fainin Robert Kwa kuishi na Mimi bila ya kunioa .Robert hakuwa mbishi alitoa Kila kitu ,Maaana alikuwa anaogopa kunyimwa mke πππ.
Wakati wote uo mambo ya mahari yanaendelea dada angu alikuwa hajui chochote ,ila mwishoni baada ya kupokeleqa tayar ndo baba akamtaarifu .Chaaajabu dada hata hakujisumbua kunitafuta ata kwenye simu kunipa hongera .
Ndoa ilipita Vizuri bila shida yoyote na rasmi nikawa mama mjengo .waliosema sitoolewa sasa wapo wapππππ.Ila dada angu ni mtu waajabu sana maaana ta kwenye ndoa yangu hakuja kabisa Yani .
Rasmi nikawa mama Bright .Kama mnavyoujua usiku wa ndoa ni siku ya kuvunjana viuno na hakuna atakae kuja kukutetea ni wewe na mumeoπππ sio Kam zamani unalialia mama mkwe anakuja sababu sikuhalalishwa sasaiv nishaolewa no kulia ππππ.
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
kututukana anatamani ila ndo hawezi ππ.Kabaki anatuangalia tuu.
Na kwel Robert na ndugu zake wakafanikiwa kufika nyumbani kwetu morogoro ,Ila Kuna kitu cha kushangaza kilitokea maaan baba angu alikataa kupokea mahari akidai kuwa mie sio mwanae ,Han mtoto wa dizani yangu
mtoto nisie sikia la mkuu .
Wageni wakawa wanashangaa ,nilivyopigiwa kuambiwa ivo moja Kwa moja nikajua nikazi ya dada angu iyo ,kasema upuuz wake Kwa baba .
Ila baadae mama akambembeleza baba na kumwambia kuwa hii ni familia yangu ijayo wanayoiongelea na baba anatakiwa arudishe moyo wake nyuma kwaajili yangu na ya familia yangu ijayo .Mam alikuwa akikwambia baba maneno hayoo baada...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-16-mama-akawa-anatuse
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert