Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
11 Dec 2025
591 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,Kuna kipindi kilifika nikawa nimechoka Robert na nikawa simpendi ata harufu yake kusikia sitaki .Nikaend mbali zaid ata kumuona sitaki nataman ata asirud kutoka kazini .
Napia nilikuwa nachoka sanaaa ,Yan nachoka kupita kiasi na maelezo .
Yan ilikuwa nikuchoka kupitiliza ,adi unakuta siku Robert akitoka kazini hakuti chakula maaan mie ndo huwa nampikia yeye dada wakazi anampikia mtoto tu ,mume wangu nampikia mwenyew ila sasa nikawa sipiki sababu ya uchovu .
Alafu nikawa Kila siku asubuhi naumwa ,nasijui kwanini
Na siku Robert asipo Kuta chakula ananisema Sanaa adi nikawa sipend Kuna siku alirud Kwa kuchelewa akakuta hamn chakula akawa ananisema na Mimi nikamjibu akatishia kunipiga nikazimia Hapohapo Ghafla .
Robert akawa anampigia doctor Julius aje ,ila akawa hapokei ,Robert alivyoona ivo akaamua kunipeleka hospitali yeye mwenyew .Alikuwa na wasiwasi sana Yani nipo nahudumiwa ila yeye alikuwa anazungukazunguka nje ya wodi kama mtu alievurugwa .
Doctor akatoka chumba nilichokuwepo .Robert alivyomuona doctor akamkimbilia ,ila doctor akamtoa hofu Kwa kumwambia asiwe na shaka sipo Tena kweny hatari ila akamwambia Robert njoo kwenye chumba cha dakatri .Robert kufika kule doctor akamwambia usiwe na wasiwasi mgonjwa wako yupo swa na pia Kuna taarifa mpya .
Robert akakaa vizur iliaskie ,Doctor akamwambia unategemea kuwa baba .
Robert alifurahi mno adi alishindwa kuificha furaha yake maaan ilikuwa waziwazi.
Nikiwa wodini Robert alikuja akawa ananishukuru mara kumi kumi nikawa namuuliza kwani Kuna Nini maaan mie nilikuwa Bado sijajua ,akaniambia Nina mtoto tumboni ,nilifurahi Sanaa,ila furaha yetu haikuchukua muda mrefu tangu ipotee.
Itaendelea.....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
,Kuna kipindi kilifika nikawa nimechoka Robert na nikawa simpendi ata harufu yake kusikia sitaki .Nikaend mbali zaid ata kumuona sitaki nataman ata asirud kutoka kazini .
Napia nilikuwa nachoka sanaaa ,Yan nachoka kupita kiasi na maelezo .
Yan ilikuwa nikuchoka kupitiliza ,adi unakuta siku Robert akitoka kazini hakuti chakula maaan mie ndo huwa nampikia yeye dada wakazi anampikia mtoto tu ,mume wangu nampikia mwenyew ila sasa nikawa sipiki sababu ya uchovu .
Alafu nikawa Kila siku asubuhi naumwa ,nasijui kwanini
Na siku Robert asipo Kuta chakula ananisema Sanaa adi nikawa sipend Kuna siku alirud Kwa kuchelewa akakuta hamn chakula akawa ananisema na Mimi...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-17-18-siku-zikaanza-k
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert