Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
02 Dec 2025
252 views
VYOTE NDANI GONGA94
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
aka furah mwenyew Kisha ,akamwambia mwanae Aya ngoja nikalale chumbani Kwa mjukuuu wangu .
Alafu safari hii ume ndan hatutaki makelele kufanya mnafanya nyie karaahaa muwape wengine inahusu .
Yan hatutaki makelele kabisa ,maaan sipati picha kelele mlizopiga mara ya kwanz kama hamjui umu ndan Kuna mtoto vile .
Robert akamwambia mama hatukupiga kelele na najua kama Kuna mtoto ndo maaan tukaenda chumba kile cha mbali ilo tusiskike.Alafu mama sasa apo unalala Nini Yan sasa iv ni saa kumi na mbili kasoro asubuhi tayr .
Mama akamjibu ,haya yote umeyataka wewe Yan sasaiv ningekuwa zangu kwangu nimepumzika zangu .
Ila ucjisahaurishe Mimi ni Mzee natakiwa kulala ata dakika kumi tuu .
Nyie vijana ndo mnang'ang'ana kulala muda mrefu kama vile hamjui usingizi ni umaskini .
Wakati mama na mwana wanateta ,mie Niko chumbani nikamkumbuka sijaweka simu chaji ,sasa shida inakuja kuinuka siwez .Nikajaribu Tena mara ya pili nikashindwa Bado mara ya tatu nikaanguka puuuh ! chini kama limzigo π.
Nikaona apa nikikazana ntakufa Bure ,nikamuita Robert nae haitiki ,nikaita mara ya pili ndo anajifanya anakuja wakat mda wote uo namuita haitiki nikaaamuangalia ,Kwa hasira .
Adi akaanza kujitetea kabla cjamuulizaπππ ananiambia mammy nilikuwa uko nje namuonesha mama Kwa kulala cjakuskia kama umeniita marambili .
Nikaaanza Kwa hasira maaan kaniskia vizur amejuaje nimemuita mara mbili ,nikamuuliza Kam hujaniskia umejuaje nimeita mara mbili .
Robert alivyoipokea tuu Ile simu akaanza kucheka πππ .Nikamuuliza aya kinachokuchekesha apo Kwan Kuna katuni apo eeh .
Bado akazidi kucheka .Baada ya mda alivyomaliza akasema Yan mwanamke mrembo mzur unatumia kasimu kamevilingishwa na rubberband kwellπππ.
Daaah alivyosema ivo akafanya nijihisi aibu maaan nikwel kale kasimu ni Toka form 5 ,nilikuwa nacho cha magendo mpaka Leo ,na kama mnavovijua visimu vya magendo sifa zake ndo hii yangu sasaπππ.
Nikamwambia basi kama umemaliza kucheka nipelkeee simu yangu chaji.Akajibu Aya ila wewe Kam mke wangu mtarajiwa unatakiwa upate simu ya bei Kali na nzur kama wewe ulivyo .
Yan alivyoniita mke wake mtarajiwa nikashtuka ,maaan naona kama anaota vile yan sio kisa kanitoa bikra ndo atanioa iyo neverhaitotokea asahau ,ila nilivunga ckumwambia yote ayo maaana itazalisha mada nyingine na Mimi nilikuwa nimechoka .
Yey akaanza kunizoea kitu kidogo mke wangu ,mara cjui mke wangu nn ,nikaamua kumtolea uvivu maaan mazoea sasa Yana zaidi .
Nikamwambia Aya baba wewe mke wako ,au kisa umelala na Mimi apa ,Yan na ata ukinioa mimi Shaima
kukupenda wewe usahau maaan sio Kwa hichi ulivhonifanyia ,wakiitwa wanaume na wewe unatoka mwanaume gani huna huruma unalala na mwanamke bila ya ridhaa yake .
Itaendelea .....
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 9 Apo mama ake Robert
aka furah mwenyew Kisha ,akamwambia mwanae Aya ngoja nikalale chumbani Kwa mjukuuu wangu .
Alafu safari hii ume ndan hatutaki makelele kufanya mnafanya nyie karaahaa muwape wengine inahusu .
Yan hatutaki makelele kabisa ,maaan sipati picha kelele mlizopiga mara ya kwanz kama hamjui umu ndan Kuna mtoto vile .
Robert akamwambia mama hatukupiga kelele na najua kama Kuna mtoto ndo maaan tukaenda chumba kile cha mbali ilo tusiskike.Alafu mama sasa apo unalala Nini Yan sasa iv ni saa kumi na mbili kasoro asubuhi tayr .
Mama akamjibu ,haya yote umeyataka wewe Yan sasaiv ningekuwa zangu kwangu nimepumzika zangu .
Ila ucjisahaurishe Mimi ni Mzee...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya-9-apo-mama-ake-robert
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-motomoto-la-mjeda-handsome-___________________________________-sehemu-ya
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 15 Wakat nimesimama pale najiwazia
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 14 Nikamuonea sana huruma Bright maskini
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 13 Nikamwambia muda ule nilivyoondoka kwenda
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 17 - 18 Siku zikaanza kukatika nikiwa ndan ya ndoa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 16 Mama akawa anatusema tu kimoyomoyo
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 Miezi ilienda weee mwishowe nikafika tamati miezi tisa ,eeeh jaman
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 6 Robert alivyonishika shingo π
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 10 Baada ya kuongea maneno hayo Robert akanipigia magoti
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 12 Hapo wakati natembea nawaza kuwa Mimi
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 11 Hiiii dada jamna majibu yote hayo ,nimekukosea Nini dada
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 7 Yule mama aakanifata Kisha akanipa pole ,sasa Robert akwa
π£ππ‘ππ π π’π§π’π π’π§π’ ππ π ππππ πππ‘ππ¦π’π π ___________________________________ SEHEMU YA 8 Mama na mwana wakatoka mule chumbani Mama mtu akamuuliza Robert