Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 3  ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Gonga94 · Stories

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na
rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita
kwenye masikio ya Kayoza na
kushindwa kuelewa inatokea wapi,
na cha ajabu sio Denis wala Omary aliyeweza kuisikia sauti hiyo....

_________________
MUENDELEZO
_________________
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,

"Sauti gani?" Denis aliuliza,

"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,

"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,

"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,

"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis aliuliza huku akimgeukia Omary,

"Ndio maana ake" Omary alijibu huku akicheka.

Wakiwa wanaendelea na mwendo, kwa mbali waliweza kuwaona Stellah na Tausi , ila walikua nje ya sehemu husika.

"Sasa mbona wapo nje?" Omary aliuliza kwa mshangao,

"Labda wamekaa nje ili tuwaone kiurahisi" Denis alijibu.

wakina kayoza walipowafikia
wakapeana salamu,

"jaman twendeni sehemu
nyingine, hapa hata hapaeleweki" Stellah aliongea baada ya salamu,

"kwani hapa kuna nini?, kayoza akauliza?" Kayoza aliuliza kiubabe ubabe,

" Jamani shem hapa
wamesema mda umeisha" Tausi
ndivyo alijibu namna hyo,

"We mpuuzi nini, nani Shemeji yako?" kayoza aliuliza kwa hasira,

"Nini wewe, Acha fujo Kayoza, huwezi jua labda Shemeji yako kwangu" Omary aliongea huku akimcheka Kayoza,

"Huyu mwenzenu vipi, mbona ana hasira za karibu hivyo?" Stellah aliuliza huku akimtazama Dennis,

"Mzoeeni tu huyu mshkaji wetu" Denis alijibu huku akitabasamu,

" sasa tunaelekea wapi?" Kayoza akauliza,

"Mhm...mi hata cjui ni sehemu gani nzuri kwa hapa mjini usiku huu" Stellah akajibu,

"Mi naona twendeni hapo
Saturnight bar" Denis akatoa mwelekeo,

"Bar tena?" Kayoza aliuliza kwa mshangao kwa maana yeye hatumiagi kilevi,

"Bar hata soda zipo" Omary alijibu huku akionekana kumpuuza Kayoza,

" hiyo Saturnight ni mbali kwani ili tuchukue taxi?" Stellah aliuliza,

"Ahaa wapi ni hapo tu nyuma ya TRA" Denis akajibu na mwisho wote
wakakubaliana waende hapo Suturnight Bar.

Walipofika wakakuta
watu wengi sana na hii ni kutokana na mpira wa ligi kuu ya uingereza
ilikua inaonyeshwa pale nyakati za usiku,

"Kwa hiyo tufanyaje? Maana naona kote kumejaa na hakuna nafasi" Tausi aliuliza,

"Ebu subirini kidogo" Denis aliongea
kisha akaingia ndani akatumia mda
kama wa dakika kumi hivi hivi, kisha akatoka,

"jamani eee, nimeongea na wahusika
wakasema kama tunahitaji sehemu
tulivu, tunaweza kuchukua chumba
kimoja tukawa tunakitumia ila lazima
tukilipie, wenzangu mnasemaje?" Denis aliongea baada ya kutoka ndani,

"haina shida tena ndo vizuri" Stellah
akajibu,

"Mhm, kwani jaman
tutatumia mda gani kula na hayo maongezi kiasi kwamba mpaka tuchukue chumba?" Kayoza akauliza,

"Boy acha maswali ingia utengeneze shavu, leo tuifanye siku kuu" Omary akasema.

Baada ya mvutano
wa hapa na pale, wakakubaliana
kuingia mule ndani, wakaagza
chakula cha kutosha na vinywaji pia,
so ikawa kula na kunywa, paka
wakawa wako hoi kwa ulevi. Ila wakati wote huo Kayoza alikuwa anakunywa soda. Ila mwisho wenzake walimrubuni na kujikuta akionja bia moja, katika hali ya ajabu kabisa, alijikuta anazima kwa bia moja tu mpaka wenzake wakamshangaa.

Baada ya wote vilevi kuwakolea, vibweka vikaanza mara Stellah amkumbatie
kayoza, mara omari amtukane denis
kisa tausi.

Ilipofika saa 7 usiku, mhudumu
akawaambia anataka kufunga kwa
hiyo waondoke, ila wao wakadai
watalala pale pale na waongezewe
chumba kingine, Mhudumu akawapa
ufunguo wa chumba kingine ambacho kwa makubaliano yao hicho chumba wangeenda kulala Denis, Omary na Tausi.

Stellah akawaomba wote watoke abaki yeye
na kayoza, kipindi hicho kayoza hajielewi amepoteza kujitambua kutokana na bia moja aliyokunywa, tena ukizangatia ndio ilikua mara yake ya
kwanza kunywa pombe.

Walipotoka tu wakina Denis, stellah akafunga
mlango haraka, akajitahidi kumbeba
kayoza paka kitandani, alafu Stellah
chap chap akavua nguo kisha akawa
anamvua kayoza, huku akiamini hiyo siku ni moja kati ya siku bora kabisa ya kutimiza moja ya ndoto zake, kulala na mwanaume anayempenda.

Alitumia dakika
tano kukamilisha zoezi zima, kisha akapanda kikatandani na kuanza kumchezea Kayoza kimahaba, ila kuna hali aliiona, kila baada ya dakika moja mwili wa Kayoza uliongezeka ubaridi kiasi kwamba akawa kama chupa ya soda iliyotoka ndani ya friji.

Stellah aliliiona hilo ila alitaka kupuuzia kutokana na hamu zake za kimwili. wakati akiwa bado anaangaika, ghafla bin vuu kayoza aliamka mithili ya mshale huku macho yake yakiwa meupe na kiasi kwamba mboni hazikuonekana, macho yakawa
yanang'aa tena kama tochi, Stellah ndipo akapata mshtuko,

"Vipi tena Kayoza?" Stellah aliuliza huku hofu ikianza kumtawala, lakini kayoza hakujibu kitu na badala alitoa tabasamu moja la ajabu na kufanya meno yake yaonekane na kwa kasi ya ajabu yale meno yakaanza kurefuka na kuwa makubwa kama ya mnyama anayefahamika kwa jina la ngiri.

Stellah akiwa kama amepatwa na
mshango au bumbuwazi, alijikuta ameganda Pale pale kwa kihoro huku akiwa hana nguvu kutokana na tukio analoliona.

Mwishowe akajikaza na kuanza kujiondoa ndani ya shuka kwa lengo la kukimbia,

"Unaenda wapi usiku huu, huogopi kutoka nje na giza hili?" Kayoza alimuuliza huku akiwa katika hali yake ile ile,

"Naenda chooni mara moja" Stellah alijikuta anajibu bila kutegemea huku mwili ukiwa unamtetemeka,

"Nisubiri nikusindikize" Kayoza akaongea huku nae akiwa anashuka kitandani, Stellah akahisi ni bora kukimbia kuliko kumuamini huyo kiumbe wa ajabu. Akiwa anaanza kukimbia, Kayoza aliruka na kutua mbele yake, Stellah akataka kupiga kelele, ila alichelewa, tayari mkono wa Kayoza ulikuwa mdomoni kwa Stellah kumziba asipige kelele na huku mdomo wa kayoza ukiwa shingoni mwa Stellah na yale meno makubwa yalitumika kuung'ata mshipa mkubwa wa damu na Kayoza akaanza kuinyonya hiyo damu huku akitoa muungurumo wa ajabu uliosikika kwa sauti ya chini. Alipomaliza kazi ya kufyonza damu ya mwili wa Stellah, aliuachia ule mwili na kudondoka chini ukiwa hauna tena uhai, ndio ukawa mwisho wa Stellah, mwanaume aliyedhani wa ndoto za maisha yake ndiye mwanaume aliyempotezea ndoto za Maisha yake.

Kayoza aliuangalia ule mwili kwa dakika chache na yeye nguvu zikamuishia akapoteza fahamu na kuanguka chini pembeni ya mwili wa Stellah.

Asubuhi Kulipokucha, Kayoza aliamka huku akiwa na uchovu usio wa kawaida, ila alijishangaa akijikuta amelala chini huku akiwa mtupu hana nguo na pia alihisi mdomoni ana harufu ya damu ila alipuuza huku akiamini labda alijing'ata usiku, kitandani hakukuwa na mtu. Akapeleka mikono chini ili ainuke, hapo ndipo alipohisi amegusa mwili wa mtu, akapeleka macho yake Pale alipohisi amegusa mtu, ndipo alipoweza kumuona Stellah akiwa amelala tena akiwa mtupu na shingoni alikuwa na damu, hapo akashtuka, akajivika ujasiri na kumgeuza, akakuta alama ya meno kwenye shingo ya Stellah, Kayoza akajikuta anatema mate kutokana na zile alama za meno zilizotengeneza kidonda kikubwa shingoni kwa Stellah. Kayoza alipotema mate alishangaa kuona mate yake yametapakaa damu, akaona sasa hiyo kesi ni yake.

"mama yangu, kumeshaharibika hapa" kayoza aliongea baada ya kuhisi kuwa inawezekana Stellah amekufa na hakuna mwingine atayekamatwa zaidi yake.

Akaona njia sahihi ni kukimbia hakutaka kujua hata wenzake wapo wapi.

Akaamua kuvaa fasta ili
akimbie mule ndani kabla mtu yoyote hajajua tukio alilolifanya, mara akasikia
sauti ya mtu akigonga mlango,

*****ITAENDELEA******


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah

na
rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita
kwenye masikio ya Kayoza na
kushindwa kuelewa inatokea wapi,
na cha ajabu sio Denis wala Omary aliyeweza kuisikia sauti hiyo....

_________________
MUENDELEZO
_________________
"Jamani hamsikii sauti yoyote ya kutisha?" kayoza aliwauliza wenzake baada ya kuwaona kama hawasikii anachokisikia yeye,

"Sauti gani?" Denis aliuliza,

"Sauti nzito inakwaruza masikioni" Kayoza alijibu na wenzake wakaishia kucheka,

"Acha mawenge wewe, au unapata uoga kukutana na Stellah?" Omary aliongea huku akimcheka kayoza,

"Acha ujinga, mimi sijamuongelea Stellah hapa, naongelea ishu nyingine" Kayoza aliongea baada ya kutofurahishwa na maneno ya Omary,

"Yaishe basi, kifupi sisi tunasikia sauti za magari tú na hatusikii sauti nyingine. Au sio Ommy?" Denis...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/simulizi-kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya-3-______________-ilipoishia-______________-wali

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi simulizi-kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

434
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

411
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

297
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest