SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... 15 π Leo nataka utege sikio...π MAISHA BILA KIFO SIO KITU
Ni jambo la kushangaza kwamba wanadamu wengi tunaogopa kifo, hatupendi hata kulisikia neno βkufa.β Ila kiukweli, maisha yanapata maana kwa sababu ya kifo.
Leo hii hospitali zinajaa wagonjwa kwa sababu ya hofu ya kifo. Wengi wanakwenda kutafuta tiba ili wasife. Madaktari, wauguzi na wataalamu wa afya wanapata ajira na nafasi ya kutoa huduma kwa sababu ya hofu ya kifo. Kama kusingekuwa na kifo, ni wangapi wangetafuta tiba?
Vivyo hivyo, kifo kimechochea maendeleo makubwa katika teknolojia na usalama. Ndege za kisasa, magari salama, na mbinu mbalimbali za kuzuia ajali zimetengenezwa kwa sababu ya hofu ya kupoteza maisha. Fikiria dunia isiyokuwa na kifo: tungekuwa na sababu gani ya kuboresha usalama?
Watu tunakula si kwa sababu ya tamaa pekee, bali ili kuzuia kifo. Tunafanya kazi kila siku ili kujipatia mahitaji yanayotusitiri na kutusaidia kuishi kwa amani, tukitumaini kuongezea siku za maisha hapa duniani.
Sasa, embu tafakari:
Ikiwa dunia ingekuwa imetangazwa kwamba hakuna tena kufa β nini kingetokea?
Dr. Myles Munroe anatukumbusha:
"Janga kubwa duniani sio kifo, bali kuishi maisha yasiyo na kusudi"
Kama hujui umekuja duniani kufanya nini, unakuwa hatarini sana. Kwa sababu thamani yako yote ipo katika kusudi uliloumbiwa. Bora mtu aliyekufa kuliko aliye hai bila kujua kwa nini yupo.
Kwa hiyo, tusioogope kufa; tuuogope kuishi duniani bila kujua tumekuja kufanya nini.
Kiroho: Ishi kana kwamba kesho ndiyo mwisho wa dunia β yaani, usiache kuishi kwa uaminifu na kwa kutimiza kusudi lako.
Kimwili: Panga maisha yako kana kwamba hutaondoka leo au kesho weka mikakati ya muda mrefu, boresha mustakabali wako, jenga urithi.
Maisha yana maana pale ambapo kuna kifo, na kifo kinapata maana pale unapogundua kusudi la maisha yako.
( Mtoto wa boss akagundua baba yake anaogopa kifo ndio maana anafata mashalti ya nguvu za giza juu ya utajili wake...baada ya mchungaji kumaliza kutoa neno pale kanisani alimfata na kumwambia yote yanayomsumbua na juu ya yeye kutaka kuoa ila baba yake anamkataza akutaka kumficha juu ya utajili wa baba yake na hapo ndio mchungaji akamwambie mtoto wa boss)
" Wewe unapaswa kukataa maagano ya baba yako na mizimu yake siku tatu unapaswa kufunga na uweke nia juu ya kukataa maagano ya mzazi wako siku ya nne njoo kwenye ibada nitakuombea.
" Sawa mchungaji.
( Mtoto wa boss akaondoka na akurudi kwao alienda kupanga nyumba ya kawaida hili apitie kwenye maagizo aliyopewa na mchungaji....upande wangu mimi nishakuwa nimempenda sahadini ananipa raha basi nilikuwa chumbani nikamwita tu japo simuoni nilisimama pembeni ya ukuta)
" Sahadini.
( Kimya kama dk tatu nikamwita tena)
" Sahadini jamani nimekumisi.
( Kimya kama dk 10 nikamwita tena nikamdanganya)
" Sahadini nina shida mwenzio.
( Dk moja nakuta naguswa begani nageuka nakutana na sahadini wangu)
" My shida gani tena.
( Nikajikuta nadeka yani namwambia)
" Nakuita Muda wote wala auji mpaka nikwambie nina shida sijapenda.
" Niambie my una shida gani kwanza.
" Mimi nina nyege.
( Sahadini akanikumbatia kwa nyuma nasikia mboo yake inagusa matako yangu imetuna akaniambia)
" Kwenu uswahirini sana Shika pesa hii nenda sear hotel ipo karibu na beach kule kachukue chumba alafu mimi nitakuja.
" My sijawai ingia hotel kubwa kama ile si tungeenda wote.
" Mimi utanikuta chumbani basi wewe nenda ukifika mwambie muudumu wewe ni mgeni wangu.
" Sawa ila si ungenipiga kimoja kwanza my.
" My usijari nitakupiga kule unazotaka kwenu uswahirini sana.
" Sawa my.
( Sahadini akaniacha...akaondoka nikajianda uyo nikaenda sear hotel na kweli nafika pale naulizia naambiwa chumba namba 105 naenda namkuta sahadini mlangoni ananisubili mimi amevaa taulo ananiambia)
" Kidogo nikufate my maana nikikumbuka Kauli zako nadinda yani hapa nimedinda sana wewe mwanamke wa pekee sana kwangu na unanifurahisha unasema hisia zako kwangu nakupenda sana.
" Asante.
( Sahadini anafungua mlango nakuta kitanda kikubwa mashuka meupe yani mpaka najistukia kama vile nikipanda kitandani nitayachafua akaniambia)
" Panda kitandani my tufanye mapenzi.
( Mimi namchetua namwambia maneno ya mtaani awe muhuni sahadini)
" Sema nipande unitombe.
" Hahahahahaha.
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi