π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... kumi. π Sahadini nisaidie...π Nipo kwenye hatari.
( Dk mbili namsikia yule mzee anakoroma uku anasema)
" Unaniua niache unaniua niache.
( Nilitoka nje nilimkuta mzee kakabwa na sahadini yeye akiwa na pembe pamoja na usinga kavaa kitambaa chekundu...sahadini ananiuliza)
" Nimuuwe.
" Usimuuwe mpe azabu.
( Alimnyanyua akamuweka juu ya paa alafu akamtoa kile kitambaa akabaki kama alivyozaliwa...akashuka akaniambia)
" Hapo ashuki mpaka wewe umwambie shuka na uache kuroga watu wasio na hatia.
" Sawa.
" Nilale niende.
" Wewe tu my unavyotaka.
( Nilijikuta naita my mwenyewe sio kwa kunifurahisha uku...alafu nikakumbuka kitu)
" My Samahani ivi wale wabakaji nani atakuwa anawaingilia?
" Wale awataingiliwa mazima ila watashikwa ishikwa makalio yao na mwenzangu mmoja nimempa iyo kazi kama Leo ameshikwa joji.
( Kidogo nistuke joji ila nikauchuna akaendelea)
" Joji ndio aliwatuma wale vijana wakubake kisa wewe umemkataa na vile vile ile chupi yeye ndio kanunua sasa kazi anayo atangaze au aendelee kutomaswa.
" Kumbe mwanaume ukimkataa anakuwa adui.
" Baazi sio wote acha niende my nina kikao kwetu.
" Sawa.
( Nililala asubuhi nasikia )
" Jamani sio vizuri kumchukua picha mstilini nyie wanaume.
" Muache akome alikuja kumroga uyu Bint kumbe Bint kwao ameaga uyu.
( Wamama wale walikuja kunigongea nikaamka)
" Naomba umuopoe mzee juu hapo anafedheeka kabla wanafunzi wa shule awajapita.
" Ngoja nikaoge nije kushangaa na mimi.
( Yani nimejibu kama mweu sijajua nilichoambiwa na wao wakaniacha...nikachukua maji naenda kuoga namsikia joji kaja amebeba chupi uko anamwambia pili)
" Hii chupi uliipeleka wapi pili unataka kunipa uanisi mimi kosa langu lipi.
" Joji kwani wewe ndio uliiba chupi angalia kwanza mganga aliyefanya kazi ya iyo chupi yupo juu wewe ushangai watu wamejaa hapa.
" Nishangae wakati nataka kufanywa hanisi.
" Hitupe tu iyo chupi.
( Joji akaenda kuitupa kwenye taka...akaondoka kumbe chupi imeenda kwa mbakaji mmoja asubuhi hii usingizi ukamchukua akaota anashikwa shikwa matako kama anaandaliwa aliwe anakurupuka amevaa chupi nyekundu...akutaka kunyamaza akaenda kwa joji kumwambia balaa la chupi....upande wangu Nikatoka kuoga watu ndio wamezidi kujaa....nikabadilisha nguo nia niende kwa mama kabisa kumsikiliza...ndio nikamwita yule mzee)
" Wewe toboa tobo.
( Ndio anazinduka anajiziba mbele kanitolea macho uku anakaa chini yupo juu akili zimemjia nikamwambia)
" Usije ukaroga tena watu wasio na hatia wewe ni mganga Fanya kusaidia watu maladhi na kuwatoa nuxsi za kishirikina na si kufanya unayoyafanya ulikuja kunikomesha sasa nakukomesha wewe ukome kuroga sio kila mtu ni mti wengine ni chuma sasa upo huru unaweza kushuka na kuendelea na maisha yako.
( Watu wananishangaa alafu mimi uyo naondoka zangu...mtaa mzima wakawa wananiogopa...mzee akarushiwa nguo akavaa ameinama chini amewekewa ngazi anashuka....mimi nipo kwenye pikipiki naenda zangu kwa mama nafika kwa mama ananiambia)
" Mwanangu nimeota ndoto Kari sana imenionyesha wewe unaenda kutolewa kafala.
" Na nani?.
" Mtoto wa tajili.
" Kwaiyo umemwambia baba.
" Yeye aamini kwenye ilo anasema utaolewa mimi naota ujinga sio kila ndoto ni kweli.
" Upande wangu mimi simtaki yule nimeona mapema ata gali alilokuja nalo hapa ni nyoka sio gali ila usimwambie baba ilo wewe simamia msimamo mimi siolewi.
" Sawa mwanangu nenda kwako asije baba yako kukuona hapa akakubeba kukupeleka kwa mtoto wa tajili.
" Sawa mama.
( Uku nasema kimoyoni mama ajui ninaye sahadini wangu yeye ndio kila kitu...nikaondoka zangu upande wa wabakaji yule mmoja wao alipoenda kwa joji alipomwambia mambo ya chupi yale joji akasema)
" Au yule Bint niliowatuma ndio anafanya yote aya maana kumbuka mlipigwa aliyewapiga amumuoni na sasa tunachezewa matako anayetuchezea atumuoni iyo chupi mimi niliitupa kwenye taka.
" Acha na mimi nikaitupe nione itaenda kwa mwengine.
" Sawa.
( Akaenda kuitupa na kama kawaida chupi ikaenda kwa mwengine mwendo ni ule ule....na yeye akaja kwa joji wakakutana...yani siku mzima walichezewa wote matako...wenyewe wakachukuzana wanakuja kwangu wakiwa na joji...mimi nipo zangu home nashangaa nagongewa mlango vidume vimepiga magoti vinaomba msamaha)
" Tusamehe amina atutarudia tena kwako na kwa wengine tunaomba utusamehe.
( Uku wameshika chupi mkononi na mimi nikawaambia)
" Mwenye chupi anakaa chumba kile sio mimi iyo Samahani mkaombe kule.
" Amina wewe ndio tumekukosea tunaomba utusamehe.
" Mmenikosea nini mbona namfahamu mmoja tu uyu Shemeji ambaye mwanamke wake ndio mwenye chupi iyo.
" Uyu uyu ndio alitutuma sisi tukubake ila atukufanikiwa.
" Kumbe ndio nyinyi aya wenyewe jipelekeni polisi nilikuwa nawatafuta nani kati yenu alinifunga kitambaa?
" Uyu hapa.
" Nani alikuwa ananiamlisha?
" Uyu hapa.
" Aya kwa usalama wenu wote nendeni wenyewe polisi mkaseme mmetumwa na mkatumika msipoenda mulichopata ni trela moves inakuja.
( Niliingia ndani nikawaacha wanawaza waende polisi au wakiwaza wameshikwa je kifatacho si kuingizwa)
Dah yani..
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi