Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πŸ”₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳  Sehemu... kumi.  πŸ‘‰ Sahadini nisaidie...πŸ‘‡  Nipo kwenye hatari.
Gonga94 Β· Stories

πŸ”₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu... kumi. πŸ‘‰ Sahadini nisaidie...πŸ‘‡ Nipo kwenye hatari.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


( Dk mbili namsikia yule mzee anakoroma uku anasema)

" Unaniua niache unaniua niache.

( Nilitoka nje nilimkuta mzee kakabwa na sahadini yeye akiwa na pembe pamoja na usinga kavaa kitambaa chekundu...sahadini ananiuliza)

" Nimuuwe.

" Usimuuwe mpe azabu.

( Alimnyanyua akamuweka juu ya paa alafu akamtoa kile kitambaa akabaki kama alivyozaliwa...akashuka akaniambia)

" Hapo ashuki mpaka wewe umwambie shuka na uache kuroga watu wasio na hatia.

" Sawa.

" Nilale niende.

" Wewe tu my unavyotaka.

( Nilijikuta naita my mwenyewe sio kwa kunifurahisha uku...alafu nikakumbuka kitu)

" My Samahani ivi wale wabakaji nani atakuwa anawaingilia?

" Wale awataingiliwa mazima ila watashikwa ishikwa makalio yao na mwenzangu mmoja nimempa iyo kazi kama Leo ameshikwa joji.

( Kidogo nistuke joji ila nikauchuna akaendelea)

" Joji ndio aliwatuma wale vijana wakubake kisa wewe umemkataa na vile vile ile chupi yeye ndio kanunua sasa kazi anayo atangaze au aendelee kutomaswa.

" Kumbe mwanaume ukimkataa anakuwa adui.

" Baazi sio wote acha niende my nina kikao kwetu.

" Sawa.

( Nililala asubuhi nasikia )

" Jamani sio vizuri kumchukua picha mstilini nyie wanaume.

" Muache akome alikuja kumroga uyu Bint kumbe Bint kwao ameaga uyu.

( Wamama wale walikuja kunigongea nikaamka)

" Naomba umuopoe mzee juu hapo anafedheeka kabla wanafunzi wa shule awajapita.

" Ngoja nikaoge nije kushangaa na mimi.

( Yani nimejibu kama mweu sijajua nilichoambiwa na wao wakaniacha...nikachukua maji naenda kuoga namsikia joji kaja amebeba chupi uko anamwambia pili)

" Hii chupi uliipeleka wapi pili unataka kunipa uanisi mimi kosa langu lipi.

" Joji kwani wewe ndio uliiba chupi angalia kwanza mganga aliyefanya kazi ya iyo chupi yupo juu wewe ushangai watu wamejaa hapa.

" Nishangae wakati nataka kufanywa hanisi.

" Hitupe tu iyo chupi.

( Joji akaenda kuitupa kwenye taka...akaondoka kumbe chupi imeenda kwa mbakaji mmoja asubuhi hii usingizi ukamchukua akaota anashikwa shikwa matako kama anaandaliwa aliwe anakurupuka amevaa chupi nyekundu...akutaka kunyamaza akaenda kwa joji kumwambia balaa la chupi....upande wangu Nikatoka kuoga watu ndio wamezidi kujaa....nikabadilisha nguo nia niende kwa mama kabisa kumsikiliza...ndio nikamwita yule mzee)

" Wewe toboa tobo.

( Ndio anazinduka anajiziba mbele kanitolea macho uku anakaa chini yupo juu akili zimemjia nikamwambia)

" Usije ukaroga tena watu wasio na hatia wewe ni mganga Fanya kusaidia watu maladhi na kuwatoa nuxsi za kishirikina na si kufanya unayoyafanya ulikuja kunikomesha sasa nakukomesha wewe ukome kuroga sio kila mtu ni mti wengine ni chuma sasa upo huru unaweza kushuka na kuendelea na maisha yako.

( Watu wananishangaa alafu mimi uyo naondoka zangu...mtaa mzima wakawa wananiogopa...mzee akarushiwa nguo akavaa ameinama chini amewekewa ngazi anashuka....mimi nipo kwenye pikipiki naenda zangu kwa mama nafika kwa mama ananiambia)

" Mwanangu nimeota ndoto Kari sana imenionyesha wewe unaenda kutolewa kafala.

" Na nani?.

" Mtoto wa tajili.

" Kwaiyo umemwambia baba.

" Yeye aamini kwenye ilo anasema utaolewa mimi naota ujinga sio kila ndoto ni kweli.

" Upande wangu mimi simtaki yule nimeona mapema ata gali alilokuja nalo hapa ni nyoka sio gali ila usimwambie baba ilo wewe simamia msimamo mimi siolewi.

" Sawa mwanangu nenda kwako asije baba yako kukuona hapa akakubeba kukupeleka kwa mtoto wa tajili.

" Sawa mama.

( Uku nasema kimoyoni mama ajui ninaye sahadini wangu yeye ndio kila kitu...nikaondoka zangu upande wa wabakaji yule mmoja wao alipoenda kwa joji alipomwambia mambo ya chupi yale joji akasema)

" Au yule Bint niliowatuma ndio anafanya yote aya maana kumbuka mlipigwa aliyewapiga amumuoni na sasa tunachezewa matako anayetuchezea atumuoni iyo chupi mimi niliitupa kwenye taka.

" Acha na mimi nikaitupe nione itaenda kwa mwengine.

" Sawa.

( Akaenda kuitupa na kama kawaida chupi ikaenda kwa mwengine mwendo ni ule ule....na yeye akaja kwa joji wakakutana...yani siku mzima walichezewa wote matako...wenyewe wakachukuzana wanakuja kwangu wakiwa na joji...mimi nipo zangu home nashangaa nagongewa mlango vidume vimepiga magoti vinaomba msamaha)

" Tusamehe amina atutarudia tena kwako na kwa wengine tunaomba utusamehe.

( Uku wameshika chupi mkononi na mimi nikawaambia)

" Mwenye chupi anakaa chumba kile sio mimi iyo Samahani mkaombe kule.

" Amina wewe ndio tumekukosea tunaomba utusamehe.

" Mmenikosea nini mbona namfahamu mmoja tu uyu Shemeji ambaye mwanamke wake ndio mwenye chupi iyo.

" Uyu uyu ndio alitutuma sisi tukubake ila atukufanikiwa.

" Kumbe ndio nyinyi aya wenyewe jipelekeni polisi nilikuwa nawatafuta nani kati yenu alinifunga kitambaa?

" Uyu hapa.

" Nani alikuwa ananiamlisha?

" Uyu hapa.

" Aya kwa usalama wenu wote nendeni wenyewe polisi mkaseme mmetumwa na mkatumika msipoenda mulichopata ni trela moves inakuja.

( Niliingia ndani nikawaacha wanawaza waende polisi au wakiwaza wameshikwa je kifatacho si kuingizwa)

Dah yani..

ITAENDELEA
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ”₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANI😳 Sehemu... kumi. πŸ‘‰ Sahadini nisaidie...πŸ‘‡ Nipo kwenye hatari.



( Dk mbili namsikia yule mzee anakoroma uku anasema)

" Unaniua niache unaniua niache.

( Nilitoka nje nilimkuta mzee kakabwa na sahadini yeye akiwa na pembe pamoja na usinga kavaa kitambaa chekundu...sahadini ananiuliza)

" Nimuuwe.

" Usimuuwe mpe azabu.

( Alimnyanyua akamuweka juu ya paa alafu akamtoa kile kitambaa akabaki kama alivyozaliwa...akashuka akaniambia)

" Hapo ashuki mpaka wewe umwambie shuka na uache kuroga watu wasio na hatia.

" Sawa.

" Nilale niende.

" Wewe tu my unavyotaka.

( Nilijikuta naita my mwenyewe sio kwa kunifurahisha uku...alafu nikakumbuka kitu)

" My Samahani ivi wale wabakaji nani atakuwa anawaingilia?

" Wale awataingiliwa mazima ila watashikwa ishikwa makalio yao na mwenzangu mmoja nimempa...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-kumi-sahadini-nisaidie-nipo-kwenye-hatari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sitosahau-yaliyonikuta-baada-ya-kuiba-nguo-ya-ndani-sehemu-kumi-sahadini-nisaidie-nipo-kwenye-hatari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

514
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

434
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

407
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

295
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

130
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

87
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

80
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

72
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

65
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15

58

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest