π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu...nne. π Kuangalia naiona kweli imekuja tena na nimeitupa nje...niliingia uoga nataka kupiga kelele sauti aitoki...π
Nilinyanyuka nikasimama mikono nimetanua kama kweli vile nina nguvu hapo nipo tayari kupambana...ile sauti siisiki tena.... nje nasikia kigodolo yani kuna mziki watu wanakesha...nilivaa nguo uyo nikaenda kukesha kwenye kigodolo bila kupenda...yani naogopa chumba changu uku mawazo ya kuhama nyumba yananijia...wenzangu wanacheza wanaruka ruka mimi sina mzuka wa kucheza mala mziki ukazimwa akapanda mama mmoja kwenye jukwaa mchwara akawa anasema)
" Ndoa za siku hizi hazidumu kwasababu tumekua washindani Sana mtu anaambiwa inua mguu mmoja ndio itaingia size utakayo ye anakwenda kuinua miguu miwili iingie yoteππππ hapa kuna wanawake wanaojielewa,Misungo ndio Iko mingi na walokata tamaa wapo Wanasema makungwi wengi wameachika ...nlizaliwa nikampata kungwi langu kwenye ndoa yake na mpaka sasa bado yupo kwenye ndoa yake Mashallah...Ila pia nadhani sasaivi akifufuliwa mtu alofariki Zamani ndio anaweza kutuelezea vizuri kile kinachotokea baada ya kufariki ndio maana nasema hongera sana kwa makungwi walioachika nyie ndio mna elimu nzuri sana Kwa watoto wenu maana mnajua makosa yaliyofanyika mpaka mkaachana ...hizi chachandu hazivaliwi na Msungo wala asiejua maana yake kwaiyo acheni tunaojua kuzitumia tuzitumie .... mwanamke hutakiwi kukata tamaa endelea kujifunza kila siku maana Maisha ya mwanamke yamejaa matusi kwaiyo nyie Misungo endeleeni kujitukanisha tuwajue vizuriππππ mi wala siwaogopi nawasubiri.
( Watu wanacheka mala naisi ananiongelea mimi)
"Mwanamke asiyechezwa ndio anaweza kuiba nguo ya ndani ya mwanamke mwenzie akaivaa au akaazima taiti ya mwanamke mwenzie jamani vipo vya kuazimana sio nguo za ndani au taiti au sidiria kuwa na aibu nguo za ndani zinauzwa 1000 moja hapo sokoni tandika ila uone ubahiri upo tayari ununue kava la simu zuri ila sio nguo ya ndani nzuri mnatia aibu ndio nyie mkivua nguo mnaunganisha na sketi pamoja na chu.. utaki kuvua moja moja.
( Niliondoka niliona majungu yanayoendelea...njiani namuona joji yupo na pili wamekumbatiana alafu pili ananiita)
" Amina amina.
( Wala sikumchunia nikaenda kumsikiliza)
" Amina uyu ni mchumba angu anaitwa joji.
" Asante kwa kumjua Shikamoo Shemeji.
( Joji kainama chini kwa aibu anaitikia kwa chini chini janaume maraya...pili anamuuliza)
" Mbona unainama chini kulikoni?
" Usiku muache rafiki yako akalale.
" Sawa.
( Mimi naondoka uku nasema kimoyoni akijichanganya kunipigia tena simu nitamnyosha ishafika saa kumi alfajiri naingia chumbani naona nguo zimejaa kwenye kitanda...nani kazitoa kwenye tenga kaziweka hapa nawaza hapa niliacha nguo ya ndani tu kitandani...wakati nawaza naona mlango wangu unafunguliwa anaingia mkaka mweupe amevaa mavazi meupe ananiambia)
" Amina usiogope mimi sio mbaya kwako nilitumwa nikuue ila nimetokea kukupenda nitakulinda naomba uwe mpenzi wangu.
( Natetemeka uku namshangaa yeye nakuta namuuliza)
" Wewe ni jini?
" Naitwa sahadini.
( Hili jina naisi alipo duniani mkojo unanitoka kwa uoga naangalia kitandani nguo zile sizioni imebaki nguo ya ndani tu...sahadini ananiambia tena)
" Ukikubari niwe wako nitakupa unachotaka mimi sio mbaya kwako panda kitandani tuonge kiutu uzima amina.
( Nafanyaje hapa naogopa kweli kweli najikuta naongea)
" Mimi naogopa sogea nitoke nje.
( Sasa akawa ananifata uku anasema)
" Usiogope nakupenda.
( Alinigusa... mikono yake laini...)
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi