π₯ SITOSAHAU YALIYONIKUTA BAADA YA KUIBA NGUO YA NDANIπ³ Sehemu... pili. π My itoe basi mbona unashangaa nimezidiwa mwenzio...π
" Subili kwanza nitaitoa.
( Nawaza uyu mzima kweli kinachomshangaza nini sasa hapa...mala nasikia mlango unagongwa akastuka alafu akaniambia)
" Tulia nakuja.
( Alivyotoka nikavaa fasta kama amekuja mwanamke wake tukipigana niwe na nguo zangu sio nibaki na nguo ya ndani hii tena nyekundu nizalilike...mala namsikia anaongea nje)
" Ndani kuna rafiki zangu wewe niambie hapa hapa.
" My ile nyumba ninayoishi ina uswahiri ila nitawakomesha.
( Sauti ya jilani yangu yule nikawa namsikiliza)
" yani sijakuelewa uswahiri kivipi?
" Joji ile nguo ya ndani ulioninunulia imeibiwa kwenye kamba.
( Nikapata jibu kumbe ndio maana alikuwa anaishangaa uyu mwanaume kicheche sasa basi anili mimi yani anichanganye na jilani yangu imekula kwake namsikia anasema)
" Basi usijari nitakununulia nyengine.
" Sawa mimi naenda hapa nina hasira hatari.
" Pole mwenyewe unaipenda ile.
" Sana nikivaa inatuna vizuri hapa mbele acha niende si umesema wapo rafiki zako alafu unanichokoza nionge maneno yasiofaa.
" Sawa.
( Jilani kaondoka...joji anaingia ndani mimi natoka)
" Amina unaenda wapi?
" Niache nikakojoe chooni pale.
" Sawa twende wote.
" Sina mahaba ayo nikikojoa najambaga niache nikawe free.
( Akajichanganya akaniacha...nikapitiliza mlango wa chooni uyo naondoka zangu uku namtumia sms)
" Mimi sio wa ivyo kumbe kila mwanamke wako Samahani najipenda sijakata tamaa na mwili wangu"
( Akujibu sms anapiga...mimi sijapokea uyo nikarudi nyumbani nasema kimoyoni ivi mwanaume wa peke yako kwenye dunia hii ndio amna...nimetulia ndani wasichana nje wanaongea)
" Hii tabia iliyoanza kuibiana nguo za ndani inatakiwa mtu uwe na kamba ndani uanike nguo zako za ndani ukitaka kuvaa unaipiga pasi.
" Ila watu awana kinyaa mtu unavaa vipi ya mwanamke mwenzio.
" Dunia ina mambo hii kuna wanawake wenzetu wajaa lana wananyonyana kabisa wewe unashangaa nguo ya ndani.
( Mimi kimya ndio kwanza naivua yenyewe uku nasema yani kanunuliwa ndio anaitafuta ivi angenunua kwa pesa yake si angepitisha msako uyu nyumba zote za hapa...naongea uku naiweka kwenye tenga napanda kitandani nalala saa nane usiku nasikia mlango wangu unagongwa nikastuka kutoka usingizini naota au mala nasikia mchanga juu ya Bati kama mtu anamwaga ivi...nikaanza kuogopa natamani kupiga kelele nikawasha taa ilivyowaka nikasikia vicheko)
" Hahahaha hahahaha hahahaha.
( Wee nilifungua mlango nikakimbia chumba changu bahati nzuri kuna kaka mpangaji mwenzangu yeye hana mke alikuwa anatoka chooni kuoga akaniuliza)
" Amina vipi?
" Sielewi kaka yangu sijui majini au wachawi.
" Basi twende ukalale chumbani kwangu.
( Nipo na tenge tu ndani sijavaa kitu nikalale chumbani kwa mwanaume kweli ila shida nikawa sina ujanja zaidi namwambia)
" Kanifungie mlango wangu.
( Kweli alienda kufunga akarudi akanishika mkono tunaingia chumbani kwake akaniambia)
" Mimi naanza maisha sina sofa panda kitandani ulale tu usiku huu amina.
" Alafu wewe unalala wapi?
" Mwisho wa ukuta kule au wewe ndio ulale kule mimi nilale hapa mwanzo.
( Nawaza hapa kutoka salama sijui napanda kitandani naenda kulala mwisho wa ukuta na yeye akapanda kitandani nashangaa anafungua taulo kabaki na boxsa ananiambia)
" Nikazime taa au tulale na taa.
( Kabla Sijajibu umeme ukakatika kukawa giza nashangaa ananiletea mkono kifuani ananiambia)
" Amina acha nikulinde wachawi wasikuchukue.
" Toa basi mkono wako kaka hapa kifuani.
" Utoe uweke sehemu unayotaka nafanya ivi kwa sababu ya kukulinda wewe au unataka kuchukuliwa na wachawi.
( Na mimi naogopa wachawi nikajikuta namwambia)
" Basi usiiutoe.
( Jamani si nashangaa anaanza kunipapasa uku ananiambia maneno)
" Unajua amina kwanini wachawi awaendi kuchukua watu gest?
" Sijui ila usinipapase sasa.
" Kwa sababu wale kule wanakuwa wachafu mwanaume na mwanamke wakifanya mapenzi wanakuwa wachafu hapo wachawi awawachukui wala majini amina.
( Aendelei anaushusha mkono...nataka kumzuia mala nasikia mapaka yamelia karibu na dirishani na mimi nipo kwenye ukuta nilistuka nikamkumbatia jamaa kwa nguvu uoga wangu umeniponza kitenge nacho kikafunguka)
" Amina joto zuri.
" Usiweke mikono kwenye matuta yangu uko.
.
( Namzuia ndio akaanza kuniminya minya matuta alafu sijui mikono yake ina nini nasikia raha anavyoyaminya minya)
Dah yani..
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi