Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
06 Dec 2025
266 views
VYOTE NDANI GONGA94
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya kwanza mum vipi tunatoka leo Aliuliza frank
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Frank leo najiisi uchovu sana siko poa hata kidogo kama mnatoka nyie tokeni tu mi nalala zangu
Aaaah Mum usifanye hivyo ni wiki sasa hutaki kutoka kabisa shida nini unajua mimi nime kuzoea sana kampani yako ni muhimu sana
Frank alilalamika sana upande wa pili wa simu nilimjibu kuwa siwezi kutoka
ok kwa majina naitwa mariamu wengi wananiita mum nilizaliwa mkoa wa Iringa za mani saizi Njombe eneo Makambako ni Msichana wa miaka 25 kwa sasa Naishi Morogoro kazi yangu kubwa ni kudanga japo mama yangu anajua mimi huku nilipo nipo nafanya kazi hotelini πππ
Yawezekana sio kwangu tu bali wapo wengi sana wanao danganya kazi zao kwenye familia zao wengine wanafanya kwa hulka tu na wengine kama mimi tunafanya kwa shida ili tuweze kuwatunza wazazi wetu
Nikiwa Darasa la nne Baba yangu Mzazi aliuwawa kwa kuchomwa moto kwa kosa la uwizi wa mataili ya gari Makambako mizani nakumbuka siku ile yenye majonzi mengi kwangu
Mama alikuwa amesha niandaa kwa ajili ya kunipeleka shule pale Uhuru gafla mlango uligongwa kwa hodi mama alifungua geti na mdada wa nyumba ya pili aliingia ndani mama mum baba mum kachomwa moto
Nilisikia sauti ya mama akimwambia jirani uwo utani umeuanza lini kiufupi mama alipaniki sana muda huo huo Babu nae akaja na kumwambia mama juu ya swala lile lile mama alilia sana we baba mum weeee baba mum sasa huyu mum mi nda ooooh ooooh mama alilia sana tena sana kwangu mimi nilikuwa naona kawaida tu ila kadri alivyo zidi kulia mama na mimi nilihisi uchungu na kuanza kulia sana
kwa kifupi ndio hivyo ilivyo kuwa nilimzika baba yangu nikiwa darasa la nne hapo ndipo mwanzo wa maisha magumu yalipo anza baada ya kupita mwaka mmoja bila baba mama nae alianza kuumwa mala kwa mala nikiwa darasa la tano mama yangu afya yake ilikuwa sio nzuri muda mwingi alisumbuliwa na msongo wa mawazo mama alikuwa anawaza sana nafikili ile hali ya maisha na kumfikilia sana baba afya yake ikawa ina zolota kwa kasi sana
Shuleni michango mingi na ambiwa na hali yake mama sio nzuri nashindwa kumwambia mama kwa kuhofia atazidi kuwa na mawazo mengi hivyo kimbilio langu likawa kwa babu kwa kiasi chake babu yangu alinisaidia sana lakini babu yangu nae nikiwa darasa la sita alifaliki dunia ππππ Itaendelea sehemu ya pili
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIMI SIKUACHIπ₯° 19 MPAKA 20
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fat...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. ...
π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona j...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya kwanza mum vipi tunatoka leo Aliuliza frank
Frank leo najiisi uchovu sana siko poa hata kidogo kama mnatoka nyie tokeni tu mi nalala zangu
Aaaah Mum usifanye hivyo ni wiki sasa hutaki kutoka kabisa shida nini unajua mimi nime kuzoea sana kampani yako ni muhimu sana
Frank alilalamika sana upande wa pili wa simu nilimjibu kuwa siwezi kutoka
ok kwa majina naitwa mariamu wengi wananiita mum nilizaliwa mkoa wa Iringa za mani saizi Njombe eneo Makambako ni Msichana wa miaka 25 kwa sasa Naishi Morogoro kazi yangu kubwa ni kudanga japo mama yangu anajua mimi huku nilipo nipo nafanya kazi hotelini πππ
Yawezekana sio kwangu tu...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-kwanza-mum-vipi-tunatoka-leo-aliuliza-frank