Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
16 Nov 2025
407 views
VYOTE NDANI GONGA94
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 "Shindwaaaaa sitaki pesa zako tokaaaaaaa usiniharibie maisha yangu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, sikutaki, nampenda mume wangu nakwambia toka toka" nilipandwa na wazimu nilianza kumwagia mchanga huku nikimfukuza, nilimchafua kweli niliona anataka kuyaharibu maisha yangu, anataka kuharibu wakati mzuri niliokua nao na mume wangu, sikutaka kutanguliza tamaa mbele niliona upendo wangu kwa mume wangu ni mkubwa kuliko pesa alizokua ananipa huyo baba.
Nilipandwa na wazimu nilitaka kumwagia na mafuta ya kula, watu wema walimchukua yule baba akiwa kaaibika vya kutosha amelowana kwelikweli, mara si nikamwona mume wangu Meckson, nilimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu sana nilimshitakia juu ya yule baba alinituliza aliita boda boda na kunambia kwamba twende nyumbani, tujiepushe na watu wengi hapa, tulipanda bodaboda na kuondoka ajabu njia ambayo tulikua yunapita ni tofauti na ile ambayo niliizoea, nilimwuliza mume wangu vipi aliendelea kunituliza na kunambia subiri tufike kwanza.
Bodaboda ikatupeleka mpaka nje ya geti moja, mlinzi aliefungua geti alikua mlinzi mkuu kati ya wale waliokua wanailinda nyumba yetu kule ilipouzwa mambo hayo yalikua yananishangaza sana.
Jumba lilikua la ghorofa moja zuri kuliko tuliyokua tunaishi mwanzoni, nilimwuliza mume wangu hapo kwa nani na kwanini mlinzi anamwita boss, mume wangu hakunijibu bali alinibeba, tulipofika mlangoni, mlango ulifunguliwa tukaingia ndani, tuliwakuta watu wengi sana, shangazi, Diana, John yaani watu wengi sana walianza kutupigia makofi mengi ya furaha, nilishangazwa na jambo hilo mbona kama ndoto watu waliokua upande mwingine yaani wamekataa kutusaidia ndio walikua mbele yetu tena wakitushangilia.
"Karibu sana mke wangu kwenye nyumba yetu mpya, nikupe pole kwa kila kitu ulichokipitia kwani yote yalikua maigizo, ulikua mtihani ambao nilikua nakupima naona umepita vizuri kweli nimepata mke wa kunifaa katika maisha yangu hongera sana mke wangu" kidogo nianguke na presha ila mume wangu alinikumbatia yaani shida zote hizo tulizokua tunapitia yeye alikua ananipima nilijikuta nalia machozi ya huzuni na furaha kwa wakati mmoja.
Mume wangu alinikumbatia watu wote walituzunguka walitukumbatia na kutupongeza juu ya mtihani huo mgumu ambao mume wangu aliamua kunipitisha makusudi kumbe hata kuuzwa kwa nyumba ni maigizo kukosa msaada nj maigizo hata kutongozwa na yule baba yote maigizo ya kupima uvumilivu wangu.
Kitendo cha kushikiria upendo kilinipa ndoa imara, tulifunga ndoa kanisani, Mungu akatujalia watoto watatu na ndoa yenye furuha, majaribu yalikua makubwa ila niliyavumilia, mpendwa msomaji je ukipitishwa katika majaribu kama yangu ungeweza kuvumilia na kuvuka salama au ungeanguka, majibu baki nayo mwenyewe, tumefika mwisho wa simulizi hii nzuri najua umeburudika vya kutosha, ahsante kwa kusoma pamoja na mimi Mungu akubariki sana kipenzi tukutane kwenye kazi inayokuja
THE END.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ ___________________________________ SEHEMU YA 19 - 20 "Shindwaaaaa sitaki pesa zako tokaaaaaaa usiniharibie maisha yangu
, sikutaki, nampenda mume wangu nakwambia toka toka" nilipandwa na wazimu nilianza kumwagia mchanga huku nikimfukuza, nilimchafua kweli niliona anataka kuyaharibu maisha yangu, anataka kuharibu wakati mzuri niliokua nao na mume wangu, sikutaka kutanguliza tamaa mbele niliona upendo wangu kwa mume wangu ni mkubwa kuliko pesa alizokua ananipa huyo baba.
Nilipandwa na wazimu nilitaka kumwagia na mafuta ya kula, watu wema walimchukua yule baba akiwa kaaibika vya kutosha amelowana kwelikweli, mara si nikamwona mume wangu Meckson, nilimkimbilia na kumkumbatia kwa nguvu sana nilimshitakia juu ya yule baba alinituliza aliita boda boda na kunambia kwamba twende nyumbani, tujiepushe na watu wengi hapa,...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tatizo-kubwa-inaniogopesha-___________________________________-sehemu-ya-19-20-shindwaaaaa-sitaki-pe