Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 16.
Gonga94 Β· Stories

πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 16.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


πŸ‘‰ Za saizi wote...πŸ‘‡

Nazani wazima acha nianze na somo la Leo hili mwenye swali aniulize niweze kujibu maswali yenu tega sikio sikia hili.

MCHUMBA SIYO MUME

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wasichana wa siku hizi, wakielezea jinsi wapenzi wao walivyowasaliti. Unakuta binti anamsindikiza mchumba wake asubuhi akidai ana safari, lakini baadaye anasikia au kuona picha za harusi yake na mwanamke mwingine. Anakuwa ameagwa kwa upole, lakini kumbe alikoenda ni kufunga ndoa.

Binti, kosa ni lako.
Umekosea kuchanganya majukumu ya mke na mchumba. Mwanaume huyo si mume wako hadi ndoa ifungwe. Lakini umejitoa mnoβ€”unalala naye, unampikia, unampakulia, hata wengine huwapa pesa wakidhani kwa kufanya hivyo watapendwa zaidi. Kumbe badala ya kupendwa, wanazidi kujishusha thamani.

Kumbuka, mwanaume anapotaka kuoa huwa makini sana. Anaweza kukutumia kwa muda mrefu, lakini siku ya kuamua nani awe mke wake, atamchagua mwanamke mwenye heshima, busara, na anayejithamini. Wewe uliyechangamka kupita kiasi na kuonesha kila kitu kabla ya ndoa, thamani yako huanza kupungua mbele zake, hata kama awali alikusudia kukuoa.

Binti tulia.
Mwanaume hawezi kudanganywa na mwili wako unaompa kila siku, wala chakula unachompikia. Linapokuja suala la kuoa, mwanaume hutumia akili si tamaa. Anaweza kuendelea kuja kwako kwa sababu anahitaji anachopata, lakini moyoni tayari amekupima na kuona hufai kuwa mke wake.

Binti mzuri, jithamini.
Ukijiachia kabla ya ndoa, utajikuta unaumia kila mara. Tulia, heshimu nafsi yako, na elewa kuwa mapenzi ya kweli hayajengwi kwa kujitoa kupita mipaka. Mchumba ni mchumba, siyo mume.

HITIMISHO:
Kama wewe ni binti, chukua muda kujitafakari. Je, unajua thamani yako? Usikubali kubeba majukumu ya ndoa kabla ya ndoa. Mapenzi hayaendi kwa kutoa mwili, fedha au chakulaβ€”yanaenda kwa heshima, mipaka na busara.

Mchumba siyo mume.
Usiache akili ikae likizo kwa sababu ya mapenzi. Jithamini, jieshimu, na weka mipaka.
Kwa sababu mwanaume anapochagua mke, huchagua kwa akili, si kwa tamaa.

( Mabinti wote waliandika somo lile vizuri na kukaa kichwani kuna mwanamke mmoja akasimama akauliza)

" Jogoo poll Samahani naomba kuuliza mahusiano ni nini?

" Swali zuri ila uwe unaudhulia darasa langu nishawai kuweka somo hapa la mahusiano labla niludie ujue maana zaidi

MAHUSIANO YAPO HIVI

Mahusiano mazuri hayajengwi kwa maneno matupu bali kwa vitendo.
Sio tu kusema β€œNakupenda,” bali kuonyesha kuwa uko tayari kusimama na mwenzi wako katika kila hali.

Upendo wa kweli huishi katika maelewano, si mashindano.
Hamko pamoja kushindana nani bora au nani mwenye makosa mengi. Mko pamoja kujenga ndoto moja.
Katika mapenzi, ni ninyi wawili dhidi ya tatizo, si mmoja dhidi ya mwenzake.

Mahusiano bora yanahitaji ujasiri wa kusema ukweli kwa hekima.
Sio kwa maneno makali au matusi, bali kwa njia ambayo mwenzi wako ataelewa na kujirekebisha.
Usinyamaze jambo muhimu kisha ulilipue baadaye.
Na kamwe usitumie makosa ya jana kama fimbo ya kumuumiza leo.

Uaminifu ni msingi wa kila uhusiano imara.
Ukivunjika, huacha jeraha linalochukua muda kupona.
Uaminifu ni kama kioo – ukivunjika unaweza kukibandika, lakini alama za mpasuko zitabaki.
Linda uaminifu kama unavyolinda moyo wako.

Mahusiano yanahitaji muda.
Ni muhimu kuzungumza, kucheka, kubishana kwa heshima, na kusamehe bila kinyongo.
Kila mmoja ajifunze tabia na mazoea ya mwenzake, na akubali mapungufu – hasa yale yasiyobadilika.
Muda ndio mbolea ya mapenzi. Ukikosa muda, mapenzi hukauka.

Usijenge mahusiano kwa hisia za leo pekee.
Leo mnaweza kuwa kwenye raha, lakini kesho inaweza kuja na changamoto.
Kuna wakati utachoka, utakasirika, au utakata tamaa.
Hapo ndipo unatakiwa kukumbuka kwa nini ulianza, ili kupata nguvu ya kuendelea kusonga mbele.

Penda kwa akili na heshima.
Usitukane ukiwa na hasira.
Usitishie kuondoka kila mkigombana.
Usifichue siri za mwenzi wako mnapotofautiana.
Usikumbushie makosa yake kila wakati – hiyo haitasaidia.
Heshima ni kinga ya penzi. Ukipoteza heshima, umepoteza kila kitu.

Epuka kusikiliza kila ushauri kuhusu uhusiano wako.
Sio kila mtu anayetaka kujua mahusiano yenu ni rafiki wa penzi lenu.
Wengine ni wachochezi wanaofurahia kuona mnapitia magumu.
Kuwa makini, hata maneno mazuri yanaweza kuwa na sumu ndani.

Kila mtu ana mapungufu.
Utakapokubali mapungufu ya mwenzi wako, hayatakuwa kikwazo.
Ukilazimisha awe kama unavyotaka, utaishi na presha isiyoisha.
Heshimu mwenzi wako, mrekebishe anapokosea, lakini usilazimishe ukamilifu.

Kama unataka mfike mbali, jengeni msingi wa kiroho.
Maombi ni nguzo ya mahusiano imara. Bila Mungu, ni rahisi kukata tamaa.
Mnapomuweka Mungu mbele, mtaweza kuvumiliana, kusameheana, na kuona mbali zaidi ya hisia za sasa.

Mahusiano hayahitaji watu wakamilifu, bali watu wawili walioko tayari kujifunza, kubadilika, na kushikamana.
Linda upendo wenu kama unavyolinda pumzi.
Mlikutana kwa sababu maalumu – usiruhusu sababu ndogo kuvunja msingi wa ndoto zenu.
Pendeni, sameheni, jengeni msingi imara.
Shika mkono wake, mkumbushe kuwa unampenda, na simama naye hadi mwisho.

( Lile somo lilikuwa kama tiba kwa boss alikuwa anawaza kufila mswahiri akaona atulie kwenye mahusiano ya ndoa yake uku mke wa boss somo kalisikia akaona ni ujinga kukaa chini kunawasha kisa kumweshimu mwenzio....somo lilitosha kwa wote jogoo akataja namba zake)

" 0657774735 izo ndio namba zangu kwa wale wasiokuwa na namba zangu.

( Akaondoka...mimi nikaondoka zangu nikatulia sehemu nasubili simu sasa kumbe mdogo wa boss aliposikia mimi nimesimamishwa kazi akamwambia dada yake)

" Naomba namba ya juma aje kufanya kazi kwangu yule msichana nakupa wewe aje kufanya kwako unamsimamishaje kijana mstaharabu ana wizi ivi unazani kuchukua mfanyakazi mwengine uswahirini mtakuja kulia nyinyi naomba namba yake.

( Anajifanya ana namba yangu...hapo hapo boss akasema)

" Juma namrudisha kazini Shemeji umeongea jambo Zito sana wizi juma wizi ana ata kidogo.

( Boss akamwambia mkewe)

" Nipe namba ya juma.

" Nishafuta niwe nayo ya kazi gani Jana Alivyoondoka nikafuta hapo hapo namba na kwake atupajui ndio tumempoteza.

( Boss likamshuka akasema)

" Acha nikamtafute mimi uswahirini alisemaga anatokea tandika.

" Sawa nenda mimi naenda mjini kununua abaya.

" Sawa.

( Mke wa boss akanitumia sms akaniambia)

" Tukutane lodge ile chap alafu zima simu"

( Nilifata maagizo tu nikazima simu nikasogea lodge uku nawaza anataka kunipangia lodge au?...kumbe kuzima simu kwangu kulimchanganya mpaka mdogo wa mke wa boss alienda pembeni kunipigia sipatikani...alikosa raha akawa anaondoka na mumewe uku amani ana....upande wangu saa limoja mbele mke wa boss kaja moja kwa moja kachukua chumba tukaenda chumbani mimi wazo langu nimfile kwanza maongezi baadae nilimgeuza nikamkumbatia kwa nyuma uku namtomasa maziwa na ile mitako yake mikubwa imegusa mboo yangu imenisimamisha namwambia)

" Nina nyege naomba kwanza nipige moja.

" Sawa Nivue unifanye.

ITAENDELEA
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 16.



πŸ‘‰ Za saizi wote...πŸ‘‡

Nazani wazima acha nianze na somo la Leo hili mwenye swali aniulize niweze kujibu maswali yenu tega sikio sikia hili.

MCHUMBA SIYO MUME

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa wasichana wa siku hizi, wakielezea jinsi wapenzi wao walivyowasaliti. Unakuta binti anamsindikiza mchumba wake asubuhi akidai ana safari, lakini baadaye anasikia au kuona picha za harusi yake na mwanamke mwingine. Anakuwa ameagwa kwa upole, lakini kumbe alikoenda ni kufunga ndoa.

Binti, kosa ni lako.
Umekosea kuchanganya majukumu ya mke na mchumba. Mwanaume huyo si mume wako hadi ndoa ifungwe. Lakini umejitoa mnoβ€”unalala naye, unampikia, unampakulia, hata wengine huwapa pesa wakidhani kwa kufanya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-naogopa-mumeo-hataniua-sehemu-ya-16

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi boss-naogopa-mumeo-hataniua-sehemu-ya
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya nne.
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya nne.
.πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya tatu.
.πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya tatu.
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya sita.
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya sita.
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 17
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 17
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 12
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 12
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya tisa
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya tisa
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 13
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 13
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya Saba
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya Saba
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya nane
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya nane
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 11
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 11
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“  Sehemu ya 14.
πŸ”₯πŸ”₯ BOSS NAOGOPA MUMEO HATANIUAπŸ˜‹πŸ˜‹πŸ“πŸ“ Sehemu ya 14.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

622
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

567
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

473
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

414
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

346
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

124
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

83
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

78
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

69
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest