Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.
Gonga94 Β· Stories

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


"Malipo?.... nadhani hutudai ..." Secretary Annie aliongea huku akipitia kumbukumbu zote za malipo chapu chapu.

"Oh nadhani nimesahau kwanini nilikuwa hapa " Tasha alibeba pochi yake kisha akaondoka ilihali machozi yana mlenga lenga.
Secretary Annie aliachia kicheko cha chini chini.

"Inaonekana Tasha alikuwa anamtaka sana Bryant Kobe sasa kaondoka bila kumuaga ni aibu tupu katika moyo wake. Natarajia kuona somo Tiktok very soon kuhusu hiki kitukio " Alizidi kujichekesha, ile anainua kichwa chake alikutana na macho ya Philips Kobe yakiwa yamekaza.

"Unajua ukimfuatilia Tasha mtandaoni utagundua ni binti ambaye hababaishwi na Wanaume, yaani kuna wakati utahisi yeye ndio anaoa....kanifurahisha sana kwa namna alivyo huzunika kisa Bryant Kobe"

"Niletee taarifa ya miezi sita za nyuma kuhusiana na vitengo vyote " Philips Kobe alimjibu tofauti kabisa.

"Sa...sa... sawa "

"Hilo vazi ulilovaa si sare ya Secretary kabla hujaniletea taarifa niliyo kuagiza naomba ubadilishe "

"Bryant Kobe alikuwa ananisifia sana ni kivaa hii nguo, suti anasemaga hazinipendezei kabisa " Secretary Annie aljichekesha, lakni jicho moja la Philips Kobe lilitosha kumkimbiza kwenda kubadilisha nguo.

Alijikuta akimkumbuka Bryant Kobe kupita kiasi hakusita kumwaga machozi.

Upande wa Tasha baada ya kufika kwenye ofisi yake nyingine inayo jihusisha na mapambo ya majumbani alijifungia kisha akajitupa kwenye kiti.

Akili yake ilizunguka huku na kule asijue ni kitu gani anapaswa kuongea kuhusu Wanaume siku ya leo.

"Hao Mb...wa hao βœ‹....hapana huyo mbwa aliyejitia kuondoka bila kuniaga hata hajanikomoa.... kwenye ufahamu wake bila shaka anahisi alikuwa ananitumia eh anajidanganya kwa sababu tulitumiana tena Mimi hapa ndio nilikuwa nampelekea moto kuliko kawaida...." Basi Tasha alianza vizuri lakini dakika ya mwisho aliishia kulia...
wacha Yolanda Mdogo wake wa kufikia aangue kicheko.

"Weee kipanya sitaki kuamini ulilala chini ya uvungu" Tasha aliongea huku akimvuta.

"Bryant Kobe kajua kukuweza....kubali kataa ila huwezi kuchomoka kwake, kila iitwayo leo utakuwa una fikiria kuhusu yeye"

"Kwahiyo unanilaani "

"Nakueleza ukweli tu kwa sababu macho yako yanaonesha kuchanganywa na penzi la Bryant Kobe "

"Penzi? wakati tunapelekeana moto ulikuepo? una uhakika gani kama Mimi na huyu mtu tulitumiana "

"Nimekusikia ukiongea "

"Nilikuchagua kuwa mdogo wangu wa hiari nikijua una uwezo wa kuvunga mambo yasiyo kuhusu sioni tabu kuuvunja undugu wetu" Tasha alitishia baada ya kuguswa kunako.

Kabla Yolanda hajajibu chochote simu yake iliita, ilikuwa ni namba mpya
Aliingiwa na uvivu wa kuipokea hivyo aliiacha ikaita mpaka ikakata.

Mpigaji hakuchoka, aliendelea kupiga simu tena.

Tasha aliipokea akiwa mwingi wa hasira lakini sauti ya Bryant Kobe ilimpoza

"Kwanini umeondoka bila kuniaga ulipaswa unisubirie kwanza nizione siku zangu, vipi kama nitakuwa mjamzito na wewe uko mbali? Hakika umenikosea sana " Aliongea bila kupumzika.

"Nimekumiss ...." Neno moja kutoka kwa Bryant Kobe lilitosha kumpoza moyo wake.

"Umenimiss ilihali umesafiri?"

"Endapo utanihitaji nitarudi... nitarudi hata kwa kukimbia "

"Kukimbia? kwanini ukimbie"

"Kwa sababu najali kuhusu wewe..... nakupenda, nipo tayari kuosha vyombo na kudeki endapo utaniagiza "

"Kama kweli una maanisha maneno yako naomba urudi na kamwe usije kuondoka bila ruhusa yangu " Tasha aliongea kisha akakata simu mapigo ya moyo wake yalikuwa yakidunda kupita kiasi, hakuamini kama ametangaziwa upendo.

Upande mwingine Zara akiwa chumbani kwake, mlango wake uligongwa
Alisimama akaenda kufungua, anaachia tabasamu baada ya kumuona Philips Kobe.

"Mvulana mkubwa (Bryant Kobe) aliachia Kampuni kwa hiari yake au ulimuomba wewe afanye hivyo"

Zara alimkumbatia Kijana wake kwanza, baada ya kuridhika alimkalisha kitandani.

Philips Kobe alifungua masikio yake kwa umakini kusikia ni kitu gani anataka kuambiwa.

ITAENDELEA.......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.



"Malipo?.... nadhani hutudai ..." Secretary Annie aliongea huku akipitia kumbukumbu zote za malipo chapu chapu.

"Oh nadhani nimesahau kwanini nilikuwa hapa " Tasha alibeba pochi yake kisha akaondoka ilihali machozi yana mlenga lenga.
Secretary Annie aliachia kicheko cha chini chini.

"Inaonekana Tasha alikuwa anamtaka sana Bryant Kobe sasa kaondoka bila kumuaga ni aibu tupu katika moyo wake. Natarajia kuona somo Tiktok very soon kuhusu hiki kitukio " Alizidi kujichekesha, ile anainua kichwa chake alikutana na macho ya Philips Kobe yakiwa yamekaza.

"Unajua ukimfuatilia Tasha mtandaoni utagundua ni binti ambaye hababaishwi na Wanaume, yaani kuna wakati utahisi yeye ndio anaoa....kanifurahisha sana kwa namna alivyo huzunika...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya-15-endelea-nilikuja-kufuatilia

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya
 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....
π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❀️ sehemu ya 111 na 112

1.16K
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

612
MY WANGU❀️ sehemu ya 113

MY WANGU❀️ sehemu ya 113

588
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

588
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

207
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4

118
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

90
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

79
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

66
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8

57

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.33K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa β€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic β€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❀️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… β€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza β€œHuyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. β€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. β€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest