Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....
Gonga94 Β· Stories

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
siwezi kukata vitunguu. Siyo kiburi ila sijui kupika... Mtoto wa kishua Mimi, wakati wengine wanafundishwa kushika njiti za kiberiti Mimi nilipatiwa mouse nicheze na kompyuta "

"Mume wangu mtarajiwa jiandae kuhudhuria hotelini nadhani unajua Mimi ni mtu wa mishemishe sijui hata imeku...." Kabla hata Tasha hajamaliza maneno yake alidakwa kwa romance lililobeba hisia.

Kila alipo furukuta ajitoe haikuwezekana, mwisho wa siku alitulia tuli.

Basi Yolanda akiwa anakuja zake jikoni aangalie chakula kilicho salia alishtuka baada ya kuwafuma watu wakibadilishana mate.

Bila kupoteza muda aliwapiga picha kisha akatupia mtandaoni.

"Hatimaye Mrembo wa Tiktok kapata Mume atakaye saidiana naye kuosha vyombo "

Picha ilisambaa kwa haraka sana mtandaoni, yaani ilikuwa ni mwendo wa kufowadiana tu.

Secretary Annie alimtumia Zara, alipoona hajibiwi na huku yuko online alipiga simu kabisa.

"Boss mwenyewe umejionea au nirudie kukutumia tena"

"Kuanzia sasa na kuendelea fanya kazi yako kama Secretary, iwe mwanzo na mwisho kunipigia simu na kunieleza umbeya wa aina yoyote ile. Kwa kipindi chote hicho nilikuwa tu na kuchunguza sijawahi kuwa mshirika wako na wala sitakuja kuwa mshirika wako " Zara alimjibu makavu kisha akakata simu.

Secretary Annie hakuamini kabisa majibu aliyopatiwa, kuna kitu aliamini hakipo sawa aligeuka huku na kule aone kama kuna watu. Baada ya kujipata yuko pekee yake alihisi amani ndani ya moyo wake.

Tasha na Bryant Kobe walijikuta wakiongea vitu serious kuhusu mahusiano yao.

Walikubaliana kuoana haraka iwezekanavyo, kuhusu mapungufu madogo dogo waliafikiana kuya sahihisha tararibu.

"Pindi harusi yako itakapoisha nitaenda zake Newyork nimekaa kule kwa muda mrefu sasa hivyo nazielewa kona zote" Philips Kobe aliongea akiwa ana mpunguza nywele Kaka yake.

"Kwanini unaondoka ghafla namna hiyo "

"Natamani kuitwa Mume wa mtu pia...nadhani unaelewa napendelea watu wenye tabia za kizungu, itapendeza zaidi kama nitaenda kuwafuata huko huko " Philips Kobe aliongea.

"Nimewahi kuiona namba yako kwenye simu ya Tasha, vipi umewahi kumpenda pia "

"Nilitaka kumuweka karibu kwa ajili yako, sikuwa na nia nyingine...nyie wawili mnaendana sana tofauti yenu ni kidogo tu kama mtakaa pamoja naamini mtaenda zaidi " Philips Kobe aliruka mita mia.

Kwa kipindi chote hiki Zara alikuwa mpole sana...... watoto wake hawakuta kumuuliza chochote kwa sababu waliamini kama watafanya hivi basi wangemchanganya zaidi.

Harusi ya Bryant Kobe na Tasha ilikuwa ya kawaida sana tofauti na watu walivyokuwa wanafikiria.

Watu wengi walihisi Bryant Kobe atakuwa Mtumwa wa ndoa yake lakini haikuwa hivyo Tasha hakuwa akipenda uchafu hivyo mara kwa mara alifua, alideki na aliiosha vyombo. Bryant Kobe si mlaji sana ukilinganisha na mkewe hivyo muda wote Tasha alikaa jikoni yaani njaa ndio zilimfanya ashike usukani.

Hatimaye wakati wa kujifungua ulifika, alifanikiwa kupata Mtoto wa kike.
Sia alikuwa kilizi asikuambie mtu....

"Ni jukumu lako kuhakikisha mtoto halii pia....kama hautanisaidia leo nitamuacha alie kashiba huyu, yaani kama ni kunyonyesha nimempa nyonyo mpaka nasikia chuchu zinauma"

"Basi kama kashiba muache alie atakuwa sawa nimechoka eh "

Basi Tasha alikausha pia Mtoto aliendelea kulia wee, siku zote huwa ni mtihani kwake kulala kama kuna kelele. Tofauti na Bryant Kobe yeye alikoroma kelele huwa hazimnyimi usingizi hata kidogo.

"Nimepatikana Mwanaume huyu ni ji....bwa lenye kiburi " Tasha alimchukua mtoto kisha akaanza kubembeleza

Basi kwenye akaunti yake Tiktok watu wengi walimpa hongera ya kuolewa. Lakini mara kwa mara waliuliza kama Mumewe anamsaidia kufanya usafi na kupika.

Mume wangu Mimi ni Mzungu, anafanya kazi zote kwa sababu anajua Mwanamke si mtumwa wa ndoa.

Tasha alijibu hivi mtandaoni lakini kiuhalisia Bryant Kobe hakuwa akifanya chochote.

Asubuhi moja aliamka akiwa kachoka kupita kiasi, aliachia tabasamu baada ya kukuta kazi zote zimefanyika.

Tabasamu lilitoweka usoni mwake baada ya kugundua Zara ndio kafanya kazi zote.

"Vipi Wanaume wanafanya kazi au kazi zina kufanya wewe " Zara aliuliza.

"Hiyo comment yako nitumie kwenye mafundisho yangu "

"Philips Kobe anawasalimia nadhani tutasherekea naye mwaka mpya, huna haja ya kumueleza Bryant Kobe kama nilikuwa hapa " Zara aliongea kisha akaondoka.

Basi mwaka mpya ulipowadia, familia ya Tasha pamoja na Bryant Kobe walikusanyika kipamoja. Vinywaji viliwekwa mezani pamoja na chakula.

Philips Kobe alikuwa kapendeza sana pamoja na mchumba wake.

Secretary Annie akiwa pia na mchumba wake walipendeza. Yolanda pekee ndio hakuwa na mahusiano hivyo alikuwa na kazi ya kulea mtoto.

Kwa pamoja waligonga cheers huku wakitakiana mema.

Huu ndio mwisho wa CEO na Mrembo wa Tiktok πŸ₯‚.......

.............MWISHO 🍭............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 20 ENDELEA....... "Twende tukale hotelini....

siwezi kukata vitunguu. Siyo kiburi ila sijui kupika... Mtoto wa kishua Mimi, wakati wengine wanafundishwa kushika njiti za kiberiti Mimi nilipatiwa mouse nicheze na kompyuta "

"Mume wangu mtarajiwa jiandae kuhudhuria hotelini nadhani unajua Mimi ni mtu wa mishemishe sijui hata imeku...." Kabla hata Tasha hajamaliza maneno yake alidakwa kwa romance lililobeba hisia.

Kila alipo furukuta ajitoe haikuwezekana, mwisho wa siku alitulia tuli.

Basi Yolanda akiwa anakuja zake jikoni aangalie chakula kilicho salia alishtuka baada ya kuwafuma watu wakibadilishana mate.

Bila kupoteza muda aliwapiga picha kisha akatupia mtandaoni.

"Hatimaye Mrembo wa Tiktok kapata Mume atakaye saidiana naye kuosha vyombo "

Picha ilisambaa kwa haraka sana mtandaoni,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya-20-endelea-twende-tukale-hotel

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-na-mrembo-wa-tiktok-___________________________________-sehemu-ya
 π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________   SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.
π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 15 ENDELEA......... "Nilikuja kufuatilia malipo yangu " Tasha alijikoroga hakuwa akilidai Kampuni.
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
*1 - - - - - 5* π—–π—˜π—’ 𝗑𝗔 𝗠π—₯π—˜π— π—•π—’ π—ͺ𝗔 π—§π—œπ—žπ—§π—’π—ž ___________________________________ SEHEMU YA 1 MWANZO....... "Ni aibu Mwanaume mwenye meno 32 kulalamika mkewe hajamuandalia chai
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*

863
MY WANGU❀️ sehemu ya 113

MY WANGU❀️ sehemu ya 113

729
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 70...71πŸ’˜πŸ’˜

628
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

217
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜

160
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

144
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

143
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4

120
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7

95
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6

82

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.7K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.34K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.32K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117
@majario LIVE

Mlige akanambia sikia sio kila wanachosema wazazi wnapatia. Nooo kma mama yako amesema anakupa radhi. Ukiludiana na mm ata mm mama yangu kanambia hivyo hivyo. Lakin faridah mi bila...

AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 72...73πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya ile simu ya mme wangu kuita niliipokea mimi kisha nikamuwekea mme wangu sikioni kwa sababu yeye mkononi kwake alikuwa kambeba mtoto..... nilimsikia baba lia akiwa anaongea kwa machungu...

*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫢
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY πŸ¦‹ 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa β€œ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair β€” Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic β€œrich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❀️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❀️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO πŸ’β€οΈ* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… β€œWewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza β€œHuyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. β€œSikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. β€œWorking with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest