Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO ___________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*  Walikaa akimsubiri Abisai baada ya dakika 15 alifika na kuwachukua moja kwa fundi
Gonga94 · Stories

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO ___________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Walikaa akimsubiri Abisai baada ya dakika 15 alifika na kuwachukua moja kwa fundi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.

Waliingia pamoja na kuangalia mishono walichagua mishono waliyokuwa wanataka na Abisal aliafikiana nayo.

Baada ya hapo fundi alichukua tepu kwajili ya kuwapima.

Leyla alikuwa wakwanza kupima huku Abisal na Leyna wakiendelea kuangalia picha za mishono mingine.

"Huyu fundi kwa nguo za sherehe na harusi ni hodari sana alafu bei zake wala sio kubwa sana "Mmmm...

Abisai alikuwa anaitumia huku alitupia jicho kuangalia jinsi Leyla alivyokuwa alipimwa.

Alipoona wanaelekezana huku fundi akishika kipimo jaribu na kifua mara kiunoni akawa anagundua ndani kwa ndani.

Sasa upimaji gani ule, na huyu kichaa wangu atapimwa kama vile? Alijiuliza.

Baada ya Leyla kumalizwa kupimwa Leyna nae akaenda kupimwa. Wakati fundi anampinga kifua huku akisema.

Sasa kwa huu mashono inatakiwa nguo ikushike kifuani.

Sawa fanya kazi yako fundi mimi sina ninachojua.

Abisal alivyoona jinsi ya ule upimaji sijui kaka kiuno nala hipsi akaona huu ni ujinga isije ikatokea Kalala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi. Alisogea mpaka pale wanapopimana.

"Samahani fundi kwani huwezi kunipa hiyo tepu nikampima mwenyewe huyu mwanamke wangu?

Fundi hakutaka maneno alitoa tepu akampatia.

Leyna alimuangalia Abisai kwa mshangao.

"Abisai ulikuwa fundi lini na leo ikajirudia. Abisal hakujibu alimuangalia fundi na

kumwambia.

"Uwe unaniambia nipone nini na wapi.

"Sawa boss. "

Una wivu mbaya sana wewe. Akiongea Leyna. Aisee tulia ipimwe maneno mengi ya nini?

"Sasa wewe unajua nini? Hii ni nguo Abisai sio msingi wa nyumba.

"Fundi nipime wapi?

"Kiuno.

Abisal hakuwa anajua chochote ila wivu wake ndio ulikuwa unanipeleka vibaya.

Wakielekeza na mpaka vipimo vikaoatikana wakati huo Leyla alikuwa amekaa pembeni hana mbavu kwa kucheka yani ilikuwa zaidi ya stand up comedy.

Leyla aliamini kweli Leyna amepata mwanaume yani hakutaka kumpa nafasi hata kidogo.

Kweli Mungu ni mtaalamu wa kumechishia wanaendana kabisa. Na ukisikia dawa ya moto ni moto ndio hii sasa. Leyna kupatikana.

Baada ya vipimo kukamilika, fundi akawa anapanga tarehe ya kwenda kuchukua nguo zao.

"Boss, wiki mbili tu nguo zitakuwa tayari. "Sawa, nitazofuata mimi.

"Sawalla nyie wanandoa mtanirudia tena kwa final fitting."

Leyla akapiga makofi huku akisema,

"Yaaah! Ndio maana nakupenda fundi, kazi zako ni za maana sana. Ni bora kama hawa wanaume wenye wivu?"

Alipomaliza kusema hivyo, macho ya Abisai yakamgeukia.

"Leyla, unamaanisha nini sasa? Wivu wangu unahusiana vipi na kazi za fundi? "Utani tu shemeji yangu.

"Usiwe unanitania mbele ya watu.

Leyna alijikuta akicheka huku akitingisha kichwa.

"Abisai wewe bwana, unajipa mashaka kwa

mambo madogo. Wivu wako utakuuwa bure. "Achana na mimi, haya tuondokeni.

Wote wakatoka pale fundi akiwa amebaki ameshika mbavu kwa kucheka.

Jamani sijawahi kuona mwanaume mwenye wivu kama huyu jamaa.

Unajua mimi mwenyewe nimeshangaa, amejipa mpaka kazi ya ufundi ili mke wake asipapaswa hipsi.

Ilibaki kuwa story na vicheko

Walipokuwa njiani kurudi nyumbani, Abisai hakujaa kimnya.

"Leyna, kumbuka hili sitaki mwanaume yeyote kukushika shika hovyo. Kuanzia sasa mambo

yote yanayokuhusu nguo, viatu, hata vipodozi nitashughulika mimi mwenyewe.

Sasa wewe unajua nini kuhusu vitu vya mwanamke vinavyounda na wakati. "

Nitajua tu, kwaajili yako nitajifunza. Leyla alikuwa amekaa siti ya nyuma ya gari,

"Yani utaingia hadi saloon kumtengeneza nywele? Abisai fundi nywele sasa... hahahah.... Leyna naye alicheka.

"Naombeni hii mada ifungwe ninachofahamu kwaajili ya mwanamke wangu ni kwa faida yangu.

"Mpaka hizi hela heka za harusi ziishe nitakuwa nimejionea mengi. Alisema Leyla.

Sio kuona tu pia unatakiwa kujifunza kwenye mapenzi ya kweli kuna wivu.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO ___________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Walikaa akimsubiri Abisai baada ya dakika 15 alifika na kuwachukua moja kwa fundi

.

Waliingia pamoja na kuangalia mishono walichagua mishono waliyokuwa wanataka na Abisal aliafikiana nayo.

Baada ya hapo fundi alichukua tepu kwajili ya kuwapima.

Leyla alikuwa wakwanza kupima huku Abisal na Leyna wakiendelea kuangalia picha za mishono mingine.

"Huyu fundi kwa nguo za sherehe na harusi ni hodari sana alafu bei zake wala sio kubwa sana "Mmmm...

Abisai alikuwa anaitumia huku alitupia jicho kuangalia jinsi Leyla alivyokuwa alipimwa.

Alipoona wanaelekezana huku fundi akishika kipimo jaribu na kifua mara kiunoni akawa anagundua ndani kwa ndani.

Sasa upimaji gani ule, na huyu kichaa wangu atapimwa kama vile? Alijiuliza.

Baada ya Leyla kumalizwa kupimwa Leyna nae akaenda kupimwa. Wakati fundi anampinga kifua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/jamani-nipe-chance-kidogo-___________________________________-sehemu-ya-kumi-na-moja-walikaa-akimsub

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-nipe-chance-kidogo-___________________________________-sehemu-ya-kumi-na-moja-walikaa-akimsub
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.18K
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

649
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

629
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

616
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

212
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

118
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

91
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

80
WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10

80
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

66

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.97K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest