*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
Mwenzenu siku hiyo usingizi haukuja🙁🙁siku iliyofuatia mimi ndo nilikuwa wa kwanza kuamka🤣🤣🤣..
Nilijizungusha zungusha mpaka saa moja na nusu ilipofika nikaingia kuoga baada ya hapo nikajitayarisha kuelekea ofisini🙈🙈
Nilipofika tu ofisini nikamuita yule kijana ni mojawapo ya watumishi wa pale ofisini kwangu..
Nikamtuma anipelekee ile bahasha yenye barua ofisini kwa kina Kingston na ahakikishe mhusika ndo kaipokea😓😓..
Barua ilipelekwa mida ya saa tatu hivi za asubuhi... ilipofika saa nne na nusu nikaona namba ngeni inanipigia😩😩..
Nilienda kupokelea chooni🙈🙈 ili kama ni Kingston akiniumiza nililie huko chooni weee mpaka nikomee🤣🤣🤣..
Baada ya kupokea simu kweli nikasikia sauti ya the Boy Inaita Helloo..
Nyieeeee nilisisimka mwili mzima mapigo ya moyo ndo usiulize🙈🙈🙈...
Ilibidi sasa namimi niitikie Helloo😓😓..Zarina?.. nikaitikia yes..
Ni mimi Kingston where are you right now???.. uko wapi saivi??...
Nikamwambia niko kazini🥹🥹 where??. Nikamwambia pale ulipokuja kula jana🥹🥹... really?.. nikamwambia yes..
Nikija hapo saivi nitakukuta??... nikamwambia ndiyooo yani mpaka nalia nyieee🙈🥹..
Okay mamaa nitakuja hapo sasa hivi... nikamwambia sawa Daddy I'm waiting for youuuu🥹🥹🥹...
Akasema okay then akakata simu😔😔😔.. nilitoka kule chooni nikaenda kukaa parking kwenye gari😔😔😔baada ya muda mfupi nikaona inaingia gari pale parking na haikupita muda Kingston akanipigia tenaaaa🙈🙈🙈..
Nilipokea akaniambia toka nje kuna gari fulani fulani hapo ndo niko humo nikamwambia okay Daddy I'm coming yani naliaa kuliaaaaa🙈🙈..
Unajua bwana baada ya kujifungua nilinenepa kidogo baadhi ya maeneo....
haswaa huku kwenye hips na makalioni yani ukiona utasema nimeenda kuchonga shepu uturuki lakini walaaa Ni nachoro🤣🤣🤣
Zarina wa sasa nilikuwa siyo yule zarina kijakazi kadogo dogo kimbaumbau🤗🤗🤗huyu zarina wa sasa ni Boss lady mwenye confidence yake🤗🙌
Nilitoka kwenye gari langu nikamfuata Kingston pale kwenye gari lake🥳🥳 alishuka akanifungulia mlango huku mimacho ikiwa imemtoka kodo🤣
zarina how are you mama... nikamwambia I'm very fine...you??? Akajibu I'm fine too..
tuli hug🫂🙈 sikutamani kumuachilia🙈🙈nilitamani anikumbatie tu nilie kifuani kwake anibembeleze anifute machozi😩🙈🤗
Na kweli aliponikumbatia tu mi nikang'ang'ania kifuani🙈🙈🙈alipojaribu kunitoa nikaanza kulia🙈
Akaanza kunibembelezea palepale kifuani kwake nililia mpaka nikaloanisha nguo yake🙈🙈🙈..
Alinipa maneno matamu na mtu ukishampenda unamwelewa kwa haraka😓😓nilinyamaza pale mshikaji akaniomba nimpeleke waliko watoto akawaone😰😰..
Nilimwambia it's okay nitakupeleka lakini siyo sasa hivi...
kabla ya kukupeleka walipo watoto unatakiwa ukajiandae na ujitayarishe kuwa unaenda kuwaona watoto wako..
Kingston aliniambia ni sawa nimekubali lakini kabla ya yote naomba kwanza unisamehe...
Nilimwambia tu kuwa nilishamsamehe ndo maana nimemtafuta...
Tuliongea ongea pale tukapanga weekend ijayo baba atakuja kuwaona watoto wake🙈..
Nilipanga Kingston akija tu kuwaona watoto huo ndo utakuwa mwisho wa mahusiano yake na lulu kuna mchezo nilipanga kumchezea wa hatari sana..
Ni mchezo gani,... fuatilia sehemu inayofuata...
Mwandishi Babie Love
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi