Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
akaingia bafuni chap kuoga Kisha akatoka akiwa kashavaa Kila kitu ,akajipulizia marasha na hata hakunisumbua labd kuniamsha ,ila aliacha ujumbe wa wafanya kazi .
Mie chauvivu nimekuja kuamka saa Tano Sina hili wa
lile ,apo najisemea ngoja nikaoge nikimaliza nimfate Alberto wangu ofisini kumsalimia .
Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa ,kabla cjajibu ufungulie ,yule mama mtu mzima akaufungua yeye mwenyw .akaingia bila salamu yoyote akanipa simu yenye ujumbe wangu .
kuufungua ule ujumbe nakuta imeandikwa
Mke nimepata dharura ivo sitokuwepo Kwa wiki tatu
naomba ujilinde na nimekuwek bastora apo chini ya kitanda ,bafuni Kuna nyingine ,kwel dress table
na kwenye kabatu la nguo ,nashangaa bastola zote izo za Nini jamani.
Kisha akasema pia nimeongeza ulinzi apo nje .
Alivyosema ivo nikachungulia nje ,kheee ya. Kuna mabodyguard zaidi ya 80 ,akamalizia na kusema mke wa Mafia haogopi milio ya lisali ,Bali lisali ndo zinamuogopa yeye kwaiyo jilinde mke wangu .
Kabla cjaanza kujihoji ,yule mama akanipokonya cm yake Kisha akaondoka ,uyu naeππ cjui Kwa simu gani haswa kutuletea hashuo tu .
Mmmh ntayaweza kwel haya maisha
bila mume ,nikakaa wiki ya kwanz ikapita vizur ila
nikawa siskii vizur Sanaa .kizunguzungu Kili nitawala sana .
Nikajua labda ni mawazo maaan Alberto alikuw hanitafutii kabisa Yani.
Wiki ya pili ikapita ,siku iyo nilikuw jikoni mara ghafla nikazimia ,nakuja kuzinduka nipo chumbani kwangu
pembeni yangu Kuna wafanya kaz Kam saaba na daktar.
Itaendelea .......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
akaingia bafuni chap kuoga Kisha akatoka akiwa kashavaa Kila kitu ,akajipulizia marasha na hata hakunisumbua labd kuniamsha ,ila aliacha ujumbe wa wafanya kazi .
Mie chauvivu nimekuja kuamka saa Tano Sina hili wa
lile ,apo najisemea ngoja nikaoge nikimaliza nimfate Alberto wangu ofisini kumsalimia .
Mlango wa chumbani kwangu ukagongwa ,kabla cjajibu ufungulie ,yule mama mtu mzima akaufungua yeye mwenyw .akaingia bila salamu yoyote akanipa simu yenye ujumbe wangu .
kuufungua ule ujumbe nakuta imeandikwa
Mke nimepata dharura ivo sitokuwepo Kwa wiki tatu
naomba ujilinde na nimekuwek bastora apo chini ya kitanda ,bafuni Kuna nyingine ,kwel dress table
na kwenye kabatu la nguo ,nashangaa bastola zote...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya-16-asubuhi-na-mapema-alberto-akaamka