Nilivyomwambia ivo Alberto akasema kwaiyo huniamini ww si nilikwambia hata ufanye Nini cwez kukushika bila ridhaa yako apo kidogo nikatulia Alberto akavua shat yake ya juu Kisha akafungua maji bafuni.
Upande wangu sasa nikawa najifikiria Alberto akageukia wee vp mbona huvui nikamwambia naogopa vp kama nikivua alafu ukaona Kam nina umbo labda baya au cjakufurahisha Kwa nilivyo au umezoea wanawake wazur kuliko Mimi .
Alberto akamwambia mke wangu kama ungekuwa mbaya nisinge kuwa kabisa Yan kwaiyo usijali .
Nikawa Sina budi Bali kuvua nguo ,kwanz nikamwambia Alberto ageuke upande mwengine asinione .
Ila akili izi ππππ ,eti ageuke upande mwengine alafu nikimaliza kuvua anigeukie sasa ndo Nini π.
Baada ya kumaliza nikamwambia geuka alrbeto alikuw very surprised na kamwili kangu ,alivoona ivo na yeye akavua nguo zake zoteeee jamn khaaa π«£ nilivyoshusha macho chini nikatoka mijicho kama fundi saa anatafuta natii π maaan ni MashaAllah.
Nilivyomuoga nikawa najificha eti nisimuone Aliberto nae alivojua tuu naogopa akawa ananifanyia makusudi jaman eti ananiita mke angalia mm jman nilikuw cmuangalii kabisaa π .
Akanishika mkono tukaingia wote kuoga apo tunachungulianaπ ,akawasha maji yakaanza kuteremka mm sasa nikawa naona aibu jamn nficha tunyonyo twangu na vikono ,eeh saa ngap Alberto asinibebe kumbukenu tupo uchi ,sielewi zile akili nilitoka wap ila nikaanza kumkiss.
Tumekiss we muda mrefu ,baadae Alberto akaniuliza je nipo tayr nikutoe bikra yako senorita .
Alivoniuliza tu ivo nikashuka Kisha nikamwambia nipo tayra kujua story ya maisha yako lakn sio kutoa bikra
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Nilivyomwambia ivo Alberto akasema kwaiyo huniamini ww si nilikwambia hata ufanye Nini cwez kukushika bila ridhaa yako apo kidogo nikatulia Alberto akavua shat yake ya juu Kisha akafungua maji bafuni.
Upande wangu sasa nikawa najifikiria Alberto akageukia wee vp mbona huvui nikamwambia naogopa vp kama nikivua alafu ukaona Kam nina umbo labda baya au cjakufurahisha Kwa nilivyo au umezoea wanawake wazur kuliko Mimi .
Alberto akamwambia...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya-8-nilivyoweza-tu-nikajisahsu-nikamfata-alberto-nikamkomb