VYOTE NDANI GONGA94
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 9 Alberto akaniachia nikaangua mpaka chini Kisha akaondoka zake
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
.Yan aliona jau kwel Yan bac akajiamulia hataki ten kuniomba mambo ya mapenz .
siku ikapita vizur kesho yake ili ni birthday ya dada angu Zalina ,ivyo nikawa na shauku sana ya kuhudhuria ila nikawaza ntaombaje ruhusa n Mimi siruhusiw kutoka kabisa Yani .
Nikapanga mipango yangu nikaanza kujipendekeza nikaanza kuaanda break fast mwenyew ,apo nilikuw sipiki sana nyumbani ila nilifundishwa kidogo maana nilikuw last born kwaiyo mideko Kwa baba kama yote .
Uku sasa nikawa naanda chapati picha linaanza ninangano mwili mzim nimemaliza kukanda nikawa nimeweka jikoni chapati yangu nzur ,nikawa naangaza uku na uku nikiwaza plan Yan ikifel na hudhuriaje BD ya dada ,nikiwa naangalia nikamuona Alberto anashuka ngaz .
Nikaamua kuniweka
kimapoozi iliaaje usawa wangu
cha kwanz nilianza kufungua vifungo vya kigaun
kwaiyo kifua kikawa kinaoneka ππ
Pili nikapandiksha nguo juu kidogo ,Albert alivoona ivo tuu akaja upande wangu akaniuliza senorita unafanya Nini jikoni na Kuna wafanyakaz wakutosha apa nyumbani
Nikaanza kumjibu uku nimebana sauti Mimi ni mke na ili ni jukumu langu kumuandalia mume chakula
au tuseme ni kufungua kinywa .
Alberto akaatabasamu Kwa utulivu na zile dimpos za zake na Yale macho π€π€,nikaona haitoashi nikamsogelea KARIBU
kishanikaishika tai yake na kumvuta maan yeye ni mrefu nilivyo mvuta akaniambia senorita vip .
Nikamjibu ili pia ni jukumu la mke kumuaanda mumewe apo nikamchanganya kabisa Yan adi akawa ananiangalia mara mbilimbili Tena machoni ,Kwa mineno yote mm muongeaj mwenyew Naona aibu siwez kumuangalia machoni yeye
kakodoa mijicho iyo ,eeh nilivoona
nimezidiwa nikamuacha nikamwambia nenda
ofisini nakuletea breakfast .
Kumbe jaman mda wote ule nilikuw nimeweka chapati yangu ya kwanz jikoni kwaiyo nilikuw naunguza chapati ya gu ππkwel mapenz β₯οΈ Yan wenyew na ao wenyew sio mimi .
Nikaiopoa Ile chapati chap Kisha nikaweka nyingine
Nilivyomaliza kupika chapati zangu zote nikaend kuoga nikavaa vizur kujianda kupeleka chapt Kwa mahaba etiππ
Nikaanza kuelekea ofisini Kwa Alberto mkononi na sahani ya kfungua kinywa .
Nimemfika eti walinz wake wakawa wananinyooshea bastora ,na nilikuw hata Cjali nikawaambia tuu mke wa boss wenu ni Nan wakajibu na yeye boss nikawaambia Aya shushen siraha zenu chini chap sana
Nilivyosema ivo Alberto akanipigia makofi aaah senorita ushaanz kuyaweza maisha
Itaendelea...
siku ikapita vizur kesho yake ili ni birthday ya dada angu Zalina ,ivyo nikawa na shauku sana ya kuhudhuria ila nikawaza ntaombaje ruhusa n Mimi siruhusiw kutoka kabisa Yani .
Nikapanga mipango yangu nikaanza kujipendekeza nikaanza kuaanda break fast mwenyew ,apo nilikuw sipiki sana nyumbani ila nilifundishwa kidogo maana nilikuw last born kwaiyo mideko Kwa baba kama yote .
Uku sasa nikawa naanda chapati picha linaanza ninangano mwili mzim nimemaliza kukanda nikawa nimeweka jikoni chapati yangu nzur ,nikawa naangaza uku na uku nikiwaza plan Yan ikifel na hudhuriaje BD ya dada ,nikiwa naangalia nikamuona Alberto anashuka ngaz .
Nikaamua kuniweka
kimapoozi iliaaje usawa wangu
cha kwanz nilianza kufungua vifungo vya kigaun
kwaiyo kifua kikawa kinaoneka ππ
Pili nikapandiksha nguo juu kidogo ,Albert alivoona ivo tuu akaja upande wangu akaniuliza senorita unafanya Nini jikoni na Kuna wafanyakaz wakutosha apa nyumbani
Nikaanza kumjibu uku nimebana sauti Mimi ni mke na ili ni jukumu langu kumuandalia mume chakula
au tuseme ni kufungua kinywa .
Alberto akaatabasamu Kwa utulivu na zile dimpos za zake na Yale macho π€π€,nikaona haitoashi nikamsogelea KARIBU
kishanikaishika tai yake na kumvuta maan yeye ni mrefu nilivyo mvuta akaniambia senorita vip .
Nikamjibu ili pia ni jukumu la mke kumuaanda mumewe apo nikamchanganya kabisa Yan adi akawa ananiangalia mara mbilimbili Tena machoni ,Kwa mineno yote mm muongeaj mwenyew Naona aibu siwez kumuangalia machoni yeye
kakodoa mijicho iyo ,eeh nilivoona
nimezidiwa nikamuacha nikamwambia nenda
ofisini nakuletea breakfast .
Kumbe jaman mda wote ule nilikuw nimeweka chapati yangu ya kwanz jikoni kwaiyo nilikuw naunguza chapati ya gu ππkwel mapenz β₯οΈ Yan wenyew na ao wenyew sio mimi .
Nikaiopoa Ile chapati chap Kisha nikaweka nyingine
Nilivyomaliza kupika chapati zangu zote nikaend kuoga nikavaa vizur kujianda kupeleka chapt Kwa mahaba etiππ
Nikaanza kuelekea ofisini Kwa Alberto mkononi na sahani ya kfungua kinywa .
Nimemfika eti walinz wake wakawa wananinyooshea bastora ,na nilikuw hata Cjali nikawaambia tuu mke wa boss wenu ni Nan wakajibu na yeye boss nikawaambia Aya shushen siraha zenu chini chap sana
Nilivyosema ivo Alberto akanipigia makofi aaah senorita ushaanz kuyaweza maisha
Itaendelea...
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilivyompa-mafia-boss-bikra-yangu-sehemu-ya
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 17 - 18 Nikamuuliza jamn kulikoni mbona mmenizingira iv ,shida
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 19 - 20 Bila kusita nikaanza kumuuliza baba kwanini ananifanyia iv
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 16 Asubuhi na mapema Alberto akaamka
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 14 Siku ikaisha basi mie nikajua ndo nikishafanya vile ndo
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 10 Nikabaki natabasamu tu kama kachizi
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 12 Wakat nalia nikasikia sauti
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 11 Tukakaa pale Mimi na dada angu tukapiga kilaa aina ya story
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 13 Kiss lile liliamsha mengi sana mwilini mwangu
π‘ππππ©π¬π’π π£π π ππππ ππ’π¦π¦ ππππ₯π π¬ππ‘ππ¨ SEHEMU YA 7 Nikaondoka bila kujua nimemuchaje mkaka wawatu .