Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
09 Dec 2025
274 views
VYOTE NDANI GONGA94
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Nne Nilipata gari na safari ilianza kutoka Makambako kwenda Morogoro
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ilikuwa mchana wa majila kama ya saa tisa hivi ndipo gali nililo panda lilikuwa limefika stendi ya morogoro nilishuka na kumwona rafiki yake mama
wao mwanangu mum heee umekuwa mkubwa wao jamani
asante mama haya twende tulitoka stendi na kupanda bajaji kuelekea nyumbani kwa mama haikuchukua muda tulifika nyumbani
Mum mwanangu karibu hapa ndipo nyumbani kwako sawa
sawa mama Asante mama nilikaa kwenye sofa mama alinipa juice ya baridi sana hali ya hewa ya Morogoro tofauti kabisa na Makambako huku joto kali sana basi tulikuwa tunapiga story za hapa na pale ilipita kama lisaa hivi mama aliniambia mwanangu twende tunyoshe miguu kidogo tulitoka hadi soko la matope na mama yangu tulinunua vitu vingi sana
Hali ya ugeni ilitoka kwa muda mfupi sana mama yangu huyu ni mcheshi sana basi tulirudi hadi nyumbani tulishilikiana kupika wote jikoni hadi tulimaliza na majila kama ya saa mbili usiku tulikula chakula tukiwa na furaha mwanangu mum hapa nipo na wadogo zako wawili walienda dar mala moja wata rudi kesho kwa kuwa wewe upo hapa mana sikuwa na mpango wa rudi hivi karibuni
Safii mama maana ninge kaa peke yangu muda ambao wewe haupo ninge kuwa mpweke sana waje tu wadogo zangu mama hata leo
mama alicheka sna haya mwanangu sasa mwanangu mimi ndo mida yangu ya kuingia kazini ngoja nijiandae
Hya mama aliingia chumbani kwake baada ya dakika kadhaa alitoka alikiwa kama kibinti fulani hivi kiunoni akiwa amefunga mtandio kipindi anageuka kwa bahati mbaya mtandio wake uka anguka chini itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Nne Nilipata gari na safari ilianza kutoka Makambako kwenda Morogoro
ilikuwa mchana wa majila kama ya saa tisa hivi ndipo gali nililo panda lilikuwa limefika stendi ya morogoro nilishuka na kumwona rafiki yake mama
wao mwanangu mum heee umekuwa mkubwa wao jamani
asante mama haya twende tulitoka stendi na kupanda bajaji kuelekea nyumbani kwa mama haikuchukua muda tulifika nyumbani
Mum mwanangu karibu hapa ndipo nyumbani kwako sawa
sawa mama Asante mama nilikaa kwenye sofa mama alinipa juice ya baridi sana hali ya hewa ya Morogoro tofauti kabisa na Makambako huku joto kali sana basi tulikuwa tunapiga story za hapa na pale ilipita kama lisaa hivi mama aliniambia mwanangu twende tunyoshe miguu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-nne-nilipata-gari-na-safari-ilianza-kutoka-makambako-kwenda-morogoro