Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
10 Dec 2025
393 views
VYOTE NDANI GONGA94
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Tano nilishangaa kidogo baada ya mtandio
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kuanguka chini mama nguo aliyo kuwa amevaa ilikuwa ni ndogo sana yani ni kama kichupi hivi alafu chepesi sana mama yangu alikuwa amejaliwa kuwa na umbo nzuri sana kwa nyuma
aliokota mtandio wake na kujifunga kiunoni
Mum haya mi naenda kazini funga milango yote sawa
sawa mama basi mama aliondoka na kwenda kazini nilifunga milango na kuludi sebreni na kuangalia Azam Two nilikaa kwa muda hadi usingizi ulinipitia palepale sebreni
nilikuwa naota kama naitwa kwa mbali Mum mum mum nikashtuka nikasikia kweli naitwa na mama naam mama fungua mlango binti yangu kipenzi
Nilifungua halaka sana mlango mama aliingia akiwa amelewa sana mum mwanangu nipeleke chumbani kwangu nilimshika mkono nakwenda nae hadi ndani kwake we ndani kwa mama kuzuri kuna bonge moja la tv likitanda likubwa hilo
mum mwanangu chukua pochi angalia kuna shingapi humo nilifungua pochi nilikutana na condoms nyingi pembeni yake kulikuwa na hela nyingi tu
Mum hesababu sawa mama nilizitoa zote na kuanza kuhesabu nilikuta 200000 na nusu
mama zipo laki mbili na nusu haya mwanangu chukua 20000 zingine weka juu kwenye kabati sawa hapo hapo mama alisinzia usingizi mkubwa sana
nilimpandisha miguu kitandani na kumfunika kidogo na kufunga mlango kisha na mimi nililudi sebreni tv ilikuwa on nikakaa niangalie kidogo maana sikuwa na usingizi tena
Nikawa nawaza mmh mbona mama kalewa sana alafu kaludi na hela nyingi sana nazile condoms vipi
itaendelea
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana...
TAMU HIYO BALAAAAH sehemu ya Tano nilishangaa kidogo baada ya mtandio
kuanguka chini mama nguo aliyo kuwa amevaa ilikuwa ni ndogo sana yani ni kama kichupi hivi alafu chepesi sana mama yangu alikuwa amejaliwa kuwa na umbo nzuri sana kwa nyuma
aliokota mtandio wake na kujifunga kiunoni
Mum haya mi naenda kazini funga milango yote sawa
sawa mama basi mama aliondoka na kwenda kazini nilifunga milango na kuludi sebreni na kuangalia Azam Two nilikaa kwa muda hadi usingizi ulinipitia palepale sebreni
nilikuwa naota kama naitwa kwa mbali Mum mum mum nikashtuka nikasikia kweli naitwa na mama naam mama fungua mlango binti yangu kipenzi
Nilifungua halaka sana mlango mama ...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-hiyo-balaaaah-sehemu-ya-tano-nilishangaa-kidogo-baada-ya-mtandio