Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Gonga94 ยท Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kuwasalimia wale wageni pale sebleni nilitoka Mimi na Shangazi tukaelekea chumbani kwangu nilikuwa na mawazo Hadi kichwa kilishaanza kuniuma๐Ÿ™†๐Ÿ™† Aunt...... Shhhhhh๐Ÿคซ๐Ÿคซ hapa hakuna Cha kushtukizwa Wala mdogo wake na kushtukizwa najua unachotaka kusema ni hikohiko๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ jiandae tu Kwa ajiri ya ndoa we si unaiona hiyo familia jinsi ilivyo ni watu wenye pesa hebu angalia sura ya huyo mwanaume anayeenda kukuoa Binti yangu ni bonge la bwana heheiyaaaa haloooo toto la kiiraq unaenda kutulia zako South Africa kama nakuona Binti yangu๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ Aunt alizidi kuongea pale huku akiwa anapiga vigeregere Kwa shangwe na furaha kubwa sana lakini Kwa upande wangu sikufurahia hata kidogo! Kichwani kwangu nilikuwa namuwaza Boo Paschal mwanaume ambaye moyo wangu ulimpenda tangu siku ya kwanza tu nilivyomuona!

Nakumbuka baada ya mazishi ya Madame Nancy ambaye ni mama yake na Paschal zilipita siku 14 na baada ya Hapo Paschal na baba yake waliondoka kuelekea nchini marekani ambako ndiko liliko chimbuko la ukoo wa baba yake na Paschal! Na hata wazazi wa Paschal makazi Yao ilikuwa ni USA huku Tanzania walikuja kuwatembelea ndugu wa upande wa Madame Nancy pamoja na kijana wao Paschal ambaye biashara zake aliziwekeza zaidi nchini Tanzania! Paschal aliondoka kwenda marekani Kwa ajiri ya kwenda kupumzika alienda pia kuangalia kama ataweza kupata eneo zuri Ili aweze kuihamishia campuni yake huko USA baba yake alimuomba ahamie nchini marekani Kwa kuwa hataki Tena kuendelea kumuacha huku Tanzania anahofia kumpoteza kama ilivyokuwa Kwa mama yake! nakumbuka Boss Paschal aliniahidi ya kwamba pale atakaporudi Tanzania basi atakuja kunichumbia rasmi na kunivisha Pete ya uchumba Ili tuweze kuweka wazi uhusiano wetu Kwa ndugu Jamaa na marafiki na Baada ya hapo tuweze kufunga ndoa! Na kwenda kuyaanza maisha mapya huko nchini marekani!

Hapana Aunt mtanisamehe lakini siwezi kuolewa na Hakim ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข Pendo Kwa hiyo unataka kubishana na sisi wazazi wako!? Unataka laana yetu au kipi unachokitafuta!? Hutaki kuolewa unataka kuowa!? Tushapokea zawadi na mahali kutoka Kwa bwana harusi hapa kinachosubiliwa ni ndoa tu full stop! Aunt aliniambia hivyo Kisha akawa ametoka kule chumbani Kwangu huku akiwa anapiga vigeregere! Niliufunga ule mlango wa chumbani kwangu nikachukua simu Yangu nikamtafuta Boss Paschal! Kwa njia ya video call!
""Hell Boo ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข""
""Hello mine""
"" I miss you Boo ""
""Miss you more baby but nitacome kama siku tatu zijazo mbele''"
""It's ok darling tafadhari usichelewe! Ukichelewa hautonikuta Boo please nakuomba uje hata kesho""
""What is going on Pendo please baby stop crying and tell me the truth Kuna nini et!? Nini kimetokea!? ๐Ÿฅบ๐Ÿฅบ""
""Boo I need you to be my husband I don't want anyone Nakuomba uje Mimi nakupenda wewe natamani wewe ndo uwe Mme wangu๐Ÿ˜ข""
""Oh it's okay baby I know right and I love you I'll be your husband ok!? Please don't worry baby wangu usilie basi nitakuja Kwa ajiri Yako nakupenda zaidi mamaa nakuahidi nitakuoa na nikirudi Tanzania nitakuja kukuchumbia umesikia mamangu haya Naomba ufute machozi Yako kipenzi changu please baby stop crying you know how much I love you I love you baby I love you""
""Love you more baby I love you more boy I love you more and more ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜”""

Sikumwambia kama tayari Kuna watu wameshafika nyumbani kwetu kunichumbia Mimi alinibembeleza akanisihi ya kwamba baada ya siku mbili tatu atarudi Tanzania! Kabla cjamaliza kuongea na Paschal mama yangu alinigongea mlango! Pendo fungua mlango Binti Yangu! Hey darling see you later bye I love you bye ๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜ข nilikata simu Baada ya hapo nilijifuta machozi haraka then nilikwenda kumfungulia Mom aliniambia niende nikawapatie wageni chakula๐Ÿ™†๐Ÿ™† nilitoka nikaambataa naye Hadi jikoni tayari walikuwa wameshapakua ilibakia kwenda kupanga mezani nilikibeba kile chakula Kwa heshima nikapeleka mezani nilikipanga vizuri sana kikakaa katika muonekano mzuri sana Hakim alishika simu yake akawa ananirecord vile nilivyokuwa nakiweka kile chakula katika staili nzuri inayovutia! Baada ya kumaliza kupanga chakula niliwakaribisha Kwa heshima sana walinawa baada ya Hapo Kila Mmoja alijisevia kipenda roho nikiwa naondoka pale sebleni Hakim aliniomba samahani Naomba unisevie chakula kwenye sahani yangu! Nilismile then taratibu Kwa umakini nikaanza kupakua chakula vizuri kutoka kwenye hotpot kukiweka kwenye sahani ya Hakim nilikiweka chakula vizuri baada ya Hapo nilimkaribisha nilifanya Kwa staha sana make nilijua pale kinachoendelea kutafutwa ni point kama kweli ni wife material au laaa! Baada ya kumkaribisha Hakim chakula wale wazee wote walisimile then walimpongeza baba yangu pale mbele yangu walimwambia hongera ๐Ÿค unajua kulea baba yangu alifurahi sana na hata wale wazee walifurahi sana baada ya Hapo watu wote pale walianza kula! Baada ya Chakula nilikwenda kuondoa vyombo Kisha nikasafisha meza nilipomaliza wale wakwe waliniita walinipatia marundo ya pesa kama zawadi ya kuwa na adabu pamoja na tabia njema! Nilipokea Kisha nikawashukuru sana! Nilianza kuondoka kuelekea chumbani kwangu lakini Hakim aliniita nilirudi Hadi pale alipokuwa amekaa Hakim alitoa kibox Fulani hivi kizuri sana akawa amenikabidhi huku akiwa anasmile aliniomba niende nikaifungue zawadi yangu Alf baada ya Hapo nitarudi kuja kuwatoa Ili waweze kuondoka!

Thank you Thank you Hakim ๐Ÿคnilimshukuru Kisha nikaondoka kuelekea chumbani kwangu nilifika nikaviweka vile vitu kitandani baada ya Hapo niliichukua simu yangu nakuanza kuzitizama picha za boss wangu Paschal nampenda I love him much ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜” Yuko katika moyo siko tayari kuolewa na mwanaume mwingine zaidi yake yeye nitafanyaje Mungu wangu mbona huu mtihani unakuwa mgumu kwangu boo I love you I Love you so much hisia zangu ziko kwako itakuwaje Sasa๐Ÿ˜ข๐Ÿ˜” niliongea Kwa sauti huku nikiwa naendelea kuzitizama picha zake! Mara mlango wa chumbani kwangu ulisukumwa aliingia shangazi alisogea pale nilipokuwa nimekaa aliniambia umeona Sasa nilichokwambia nimekwambia mwanangu hiyo familia ni Rich family unaona mipesa hiyo๐Ÿ˜๐Ÿ˜ cheki hiyo zawadi aliyokupatia mmeo mtarajiwa hebu ifungue tuone

Shangazi alinikabidhi kile kibox Cha zawadi aliyonipatia Hakim nikawa nimeifungua huko ndani nilikutana na saa nzuri sana shangazi aliichukua Ile saa akanivisha mkononi kwangu unatakiwa uivae mkononi kwako Ili akuone ukiwa umeivaa aliniambia aunt yangu Ile saa ilinipendeza sana haya twende ukawaage wageni tayari tarehe ya ndoa yenu imeshapangwa kilichobakia ni card tu kuandikwa na kuchapishwa! Imebidi tuipeleke Kwa haraka Kwa sababu mmeo mtarajiwa pamoja na familia yake watakuwa hapo Serena hotel wakisubilia Wewe na Hakim muweze kufunga ndoa Ili muondoke pamoja kuelekea South Africa Kesho nazani ni siku ambayo wewe na Hakim mtaenda hospital Kwa ajiri ya check up na baada ya vipimo card za harusi zitaandikwa na kuchapishwa then zitasambazwa Kwa watu wachache tu haitokuwa sherehe kubwa mwanangu sherehe kubwa mtaenda kuifanyia huko South Africa!

Shangazi yangu aliendelea kunipatia mipango yote iliyopangwa kwenye hicho kikao kati ya familia yangu na familia ya Hakim......

Tukutane hapo badae Katika sehemu inayofuata........

Itaendeleaaaa...........
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜


Baada ya kuwasalimia wale wageni pale sebleni nilitoka Mimi na Shangazi tukaelekea chumbani kwangu nilikuwa na mawazo Hadi kichwa kilishaanza kuniuma๐Ÿ™†๐Ÿ™† Aunt...... Shhhhhh๐Ÿคซ๐Ÿคซ hapa hakuna Cha kushtukizwa Wala mdogo wake na kushtukizwa najua unachotaka kusema ni hikohiko๐Ÿ˜’๐Ÿ˜’ jiandae tu Kwa ajiri ya ndoa we si unaiona hiyo familia jinsi ilivyo ni watu wenye pesa hebu angalia sura ya huyo mwanaume anayeenda kukuoa Binti yangu ni bonge la bwana heheiyaaaa haloooo toto la kiiraq unaenda kutulia zako South Africa kama nakuona Binti yangu๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ Aunt alizidi kuongea pale huku akiwa anapiga vigeregere Kwa shangwe na furaha kubwa sana lakini Kwa upande...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78

601
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

544
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

524
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

384
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

330
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

230
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.28K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.28K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana ๐Ÿ˜Š Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life๐ŸŽถ๐ŸŽถ"" ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest