Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Gonga94 ยท Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Daddy alizidi kuwaka usiku ule Yani aliongea ilibakia kidogo tu anipatie laana lakini Mom alisimama akamwambia tafadhari acha ameshasikia hawezi kukaidi Tena amri Yako usije ukampa Mtoto laana nakuomba ๐Ÿ™๐Ÿ™ daddy nakuomba unisamehe Niko tayari kuolewa na Hakim hapakuwepo na namna ilinibidi nikubali kuolewa na Hakim Ili kuzishusha hasira za baba Yangu! Niliondoka pale sitting nikaelekea chumbani kwangu nilichukua simu yangu nikawasha data nilikuta Boss Paschal kanitumia msg nyingi mno alikuwa ananiomba niingie online! Baada tu ya kuwasha data Paschal alinipigia.....
""Mine are you okay!?""
""Boo I'm not okay""
""What happened!?""
""I can't even explain""
""Pendo Tell me something You scare me๐Ÿฅน๐Ÿฅน""
""Any way nakuomba ruhusa kesho sitoweza kwenda kazini pia usije ukashangaa Kwa sababu huenda ndo nimeshaacha kazi hivyo!"
""What is there!?""
""Nilianza kulia nikashindwa kuongea na Paschal nilizima data nikaweka simu pembeni nilijifunika gubi gubi nikaendelea kulilia kwenye mashuka na mito hisia zangu zimedhurumiwa kutoka Kwa mwanaume ninayempenda hivyo ndivyo nilivyokuwa najiambia kichwani kwangu! Pendo mwanangu hebu amka tuongee alikuwa ni mama yangu aliyekuja chumbani kwangu usiku wa manane baada ya kuwa Daddy ameshasinzia! Mwanangu nimeshindwa kabisa kusinzia nimehofia maisha Yako baba Yako amekukaripia sana hajawahi kuwa mkali kwako kiasi hicho tafadhari nakuomba uniahidi ya kwamba hautojidhuru kutokana na Yale maneno makali aliyokutamkia baba Yako! Usijali mama we nenda ukalale Mimi Niko sawa!

Pendo lakini ulikosea sana kumwambia baba Yako et tayari wewe una mwanaume wako ambaye unampenda na ilihali hapa nyumbani hatujawahi kumuona mwanaume yoyote kaja kukuchumbia tofauti na Hakim! Hebu nikuulize huyo mwanaume mwenyewe ni nani!? Mama Mimi nampenda sana boss Paschal nieleweni tafadhari nampenda et๐Ÿฅน๐Ÿฅน

Boss Paschal ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ yule wa kufoka foka !? Yule aliyekufokea tangu siku ya kwanza tu mlivyoonana!? Kumbe ndo maana alikuja kutuokoa kutoka mikononi Kwa Mika!? Ndiyo maana alileta Hadi ulinzi wa CCTV camera nyumbani hapa Kumbe yote alifanya Kwa sababu Yako!? Ndiyo Mom nampenda ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜” haya ulianza kumpenda lini!? Hebu kwanza nikuulize hivi huko ndani tayari wameshaanza kukuchunguliamo Kwa hiyo hata huyo boss wako tayari umeshalala naye!? Mama hapana tunapendana lakini hatujawahi kufanya chochote! Una uhakika ya kwamba na yeye yuakupenda wewe!? Ndiyo Mom ananipenda! Sikiza nikushauri kitu Binti yangu bahati kama hii unayotaka kuikataa utakuja kuijutia Alf siyo lazima uolewe na mwanaume unayempenda kikubwa ni kuwa yeye anakupenda wewe Naomba uachane na huyo boss wako wa kufokafoka huyo hakupendi ila wewe ndo unayempenda yeye! Mapenzi Yako hivyo mwanangu unayempenda hakupendi na anayekupenda humpendi! Acha kutafuta uhasama na baba Yako olewa na Hakim mpate baraka zetu!

Mama alinishauri hivyo baada ya Hapo aliniaga akarudi chumbani kwake nililala kesho yake mapema Hakim alinipigia Simu Kwa video call sikupokea ๐Ÿ˜”๐Ÿ˜” nilizima data nikaweka simu hapo๐Ÿ˜๐Ÿ˜hata baada ya Mimi kuzima data Bado hakuacha baada ya Mimi kuzima data alipiga kawaida sikupokea! Alinitumia Msg....
""how did you wake up my love!? And why don't you answer my texts that I sent you since last night !? Au Bado una hasira Kwa kile kilichotokea Jana!? ""
""I'm sorry I'm not even angry but ni vile tu Jana niliwahi kusinzia""
"" Ohk sweetheart nikuletee Nini as you know nitacam kukuchukua Kwa ajiri ya kuelekea hospital!""
""just anything""
""Okay, my queen, I will follow you""
""Okay ""

Nilijiandaa nikajiweka sawa baba yangu aliniita nilikwenda kumsikiliza aliniuliza Kwa mara ya mwisho unaolewa na Hakim au laa! Kama hauolewi naye vilete vitu vyao walivyokuzawadia Jana Ili akija hapa kukuchukua arudishiwe vitu vyake pamoja na mahari yake! aambiwe kuwa uchumba umeshindikana Alf ukishafanya hivyo utaondoka umfuate huyo mwanaume wako mkaishi huko hapa kwangu sikutaki Kabisa! Acha tu Daddy nitaolewa na Hakim ๐Ÿฅน๐Ÿฅน nilirudi chumbani kwangu nikaendelea kumsubilia Hakim kuja kunichukua! Haikupita muda Hakim na Jase walifika pale nyumbani kwetu walikaribishwa ndani nilitoka nikaenda wasalimia Hakim alisimama akaniwow๐Ÿซ‚๐Ÿซ‚ Kisha akanipatia maua๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น niliyapokea nikaenda kuweka chooni kwangu๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น tuliondoka kuelekea hospital tulifanyiwa vipimo nilitamani hata Hakim apatikane na ngoma ilimradi tu nipate sababu ya kutengana naye๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜Œ lakini Ndo basi Tena kaka wa watu hakukutwa hata na maralia๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ni msafi Kila Kona๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Mimi nilipatikana na maralia nazani ni wale mbu walionitafuna kipindi tukiwa msibani Kwa mama yake na Paschal ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น nilianzishiwa Tiba ya maralia uwwww Hakim sangapi asianze kujipa majukumu๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜Œoh I'm so sorry my love how are you feeling tafadhari sogea ulale Hapa kifuani kwangu...... Kheeee๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น anayebembelezwa Sasa๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ๐Ÿคธ๐Ÿปโ€โ™€๏ธ tuliondoka pale hospital et nashangaa badala wanirudishe home si wakanipeleka hotel kule Serena hotel ๐Ÿ™„๐Ÿ™„

Vile tumefika parking et Hakim akanibeba๐Ÿ™„๐Ÿ™„ et akapanda kwenye lift kuelekea chumbani kwake huku akiwa amenibeba๐Ÿ™„๐Ÿ™„ et akawa ananibembeleza kuwa Mimi ni kagonjwa anatakiwa kunihandle vizuri ๐Ÿ™„๐Ÿ™„ alinipeleka Hadi chumbani kwake akanilaza kitandani kwake aliagiza chakula Kwa ajiri ya launch Tukaletewa Juu
honey, please let me feed you and then you will drink medicine๐Ÿซฐ๐Ÿซฐ After that you will restโœŒ๏ธโœŒ๏ธ in the evening I will take you home right!? It's okay Hakim But I can eat alone .......oh habit Naomba uniruhusu nikuhudumie unaumwa et๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ okay๐Ÿ™„๐Ÿ™„...... Alianza kunilisha lakini the way alivyokuwa ananilisha Mimi nilikuwa naimajini ni kama Boss Paschal ndiye anayenilisha๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น nilijikuta nimeikumbuka Ile siku aliyonilisha chakula boo Paschal kipindi tulipokuwa mbeya basi baada ya kumkumbuka paschal nilianza kusmile huku nikiwa nakula taratibu nilianza kuyapapasa mapaja ya Hakim Kwa kuzania kuwa yule ni Boss paschal..... Boo I like the way you feed me slowly the way you are romantic I love you my Boo ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ wow I Love you too habit ๐Ÿ’‹๐Ÿ’‹ Baada ya Hakim kuongea si ndo akili zikarudi pale sasa๐Ÿ˜ณ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ณ niliutoa mkono wangu haraka mapajani Kwa Hakim๐Ÿ˜†๐Ÿ˜ฌ nilitamani kumwambia kuwa hayo maneno hayamuhusu yeye lakini nikaona Wacha nivunge๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Alimaliza kunilisha nikakaa kama nusu saa akanipatia dawa Baada ya Muda kidogo nililetewa juice ya matunda then Hakim alinilaza kifuani kwake akaniomba tupumzike nikiwa pale kifuani kwake si nikawasha data mie nilimumis paschal wangu vile nimewasha tu data simu ya boo ikaingia lile wenge na uoga nikakimbilia kubonyeza kile kidude Cha kukata kumbe ndo nimeipokea Ile video call ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ

Itaendeleaaaa.......
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 29๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜


Daddy alizidi kuwaka usiku ule Yani aliongea ilibakia kidogo tu anipatie laana lakini Mom alisimama akamwambia tafadhari acha ameshasikia hawezi kukaidi Tena amri Yako usije ukampa Mtoto laana nakuomba ๐Ÿ™๐Ÿ™ daddy nakuomba unisamehe Niko tayari kuolewa na Hakim hapakuwepo na namna ilinibidi nikubali kuolewa na Hakim Ili kuzishusha hasira za baba Yangu! Niliondoka pale sitting nikaelekea chumbani kwangu nilichukua simu yangu nikawasha data nilikuta Boss Paschal kanitumia msg nyingi mno alikuwa ananiomba niingie online! Baada tu ya kuwasha data Paschal alinipigia.....
""Mine are you okay!?""
""Boo I'm not okay""
""What happened!?""
""I can't even explain""
""Pendo Tell me something You scare me๐Ÿฅน๐Ÿฅน""
""Any way nakuomba ruhusa...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-no-29

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-no
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 30๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 32๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 31๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 27....28๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ NO 26๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78

601
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80

562
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

537
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81

524
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83

369
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32

329
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33

224
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜

82
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.67K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.41K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.28K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.28K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 53...54๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa๐Ÿ˜†๐Ÿ˜† my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹๐Ÿฆ‹ Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜  N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 51...52๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI๐Ÿฅฐ Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana ๐Ÿ˜Š Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS ๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜ N0 50๐Ÿ’˜๐Ÿ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life๐ŸŽถ๐ŸŽถ"" ""๐ŸŽถ๐ŸŽถfrom the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest