Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADY 2,3 πŸ₯ΉπŸ’•  SEHEMU YA 02  Yule mwanaume kwenye simu akazidi kuzungumza na kuniita majina ya mahbπŸ₯΅
Gonga94 Β· Stories

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADY 2,3 πŸ₯ΉπŸ’• SEHEMU YA 02 Yule mwanaume kwenye simu akazidi kuzungumza na kuniita majina ya mahbπŸ₯΅

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
akawa ananisisitiza nisilisahau pnz lake kwa sababu yeye kamwe hawezi kuusahau utm wangu..

aliongea maneno mengi sana ya kichokozi mpaka mume wangu akashindwa kuvumilia ikabidi amuulize wewe ni nani upuz gani huu kwa mwanamke wangu?!.....

Yule jamaa baada tu ya kuisikia sauti ya mume wangu alikata simuπŸ’”πŸ’”πŸ’”Rohan aliumia sana aliniangalia kwa maumivu makali mpaka machozi yakawa yanamtokaπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Mimi hata sikujua nini niseme nilikuwa natetemeka vibaya mno nilikaa kimya nikawa naangalia tu chini

Hopu alikuja pale jikoni akiwa na bakuli mkononi akaniambia my wii umepika nini?! nipakulie kidogo nipashe utumbo leo najisikia kula pishi lako et😝 aliongea hivo huku akinikonyezaπŸ₯Ί

sikuweza kujibu nilibakia kimya Rohan naye akawa ananitizama kwa hasira anatamani hata kuni meza aliamini kabisa huyo mwanaume aliyepiga simu ni mt wangu akaamini asilimia zote kuwa mimi nimsalitiπŸ˜”πŸ˜”

ukimya wangu ulimfanya Hopu anisogelee karibu zaidi akanishika bega wifi ninakusemesha..au basi acha tu nijisevie mwenyewe alipiga hatua jikoni

Mpaka lilipokuwepo lile sufuria lililoungua na chakula alilifungua kisha akapiga kelele mamaaaaaaaa nini hiki 😳😳😳

"Kumbukeni alikuwa ashaliona lakini kwa vile Rohan yuko pale akaamua kuikoleza ile kesi upya"

Wifi nawe upunguze kuchart jamani😳😳cheki hadi unaunguza kuna siku utachoma nyumba utatu ua wote humu ndani hii si hatari hii😳😳 cheki sufuria lilivyoungua jamani.....

yale maneno ya Hopu yalizidi kumchochea Rohan akashindwa kuvumilia mkononi alikuwa kaishika simu yangu akaipigiza chini kwa hasira kisha akanivuta mbiombio kun chmbniπŸ₯ΊπŸ₯Ί

kwanini unanisaliti aliuliza huku akinikunja kunja kwa hasira...niambie kwaniniπŸ—£πŸ—£ Amaya kipi sikupatii nielezeπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Dah nyieee niliogopa mpaka nikawa nalia please dady nisikilize please mimi siko hivo sijawahi kukusalt hata siku moja😭😭

Yani sijawahi kumuona Rohan katika hasira zile ile ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumshuhudia katika hali ile😳😳😳 alikuwa na hasira mpaka anatetemekaπŸ˜„πŸ˜„

Na vile ni mweupe alikuwa mwekundu ghafla😁mikono yake ilitapakaa mishipa yani kama angenipga ngum au kibao mngenizk mie amayaπŸ˜‚

Rohan alichanganyikiwa kunipga ndo hivo hawezi aliishia kupig ngm za ukuta mpaka akajiumiza mwenyewe πŸ₯ΉπŸ₯Ή

"Amaya sijawahi kufikiria kama kuna siku nitashea pnz lako na mtu mwingine nakuchkia AmayaπŸ—£πŸ—£ nakuchkiaaaaaaaaaaaa😭😭😭"

"Listen ninakupatia one week ufanye chaguo mimi au huyo jamaa mwingine tumuite Ghost 😁😁basi nikaambiwa nifanye maamuzi kati ya Ghost na Rohan namtaka nani?"

Baada ya Rohan kuniambia hivo aliondokaπŸ₯Ήdah nyie niliumia kwanza Rohan hali aliyokuwa nayo maskini njaaa plasi hangover za pombe na mikononi alipata majeraha wakati anapigana na ukutaπŸ₯ΉπŸ₯Ήhivi atakuwa sawa huko aendako kweli?

Bado nilikuwa ni mdogo sana na kusema kweli nilikuwa nampnda sana Rohan πŸ’•sikuwa tayari kuachana naeπŸ₯Ήalf bora hata ningeachika kwa kitu kinachoeleweka siyo hili linaloendelea sasa hivi......

nilichanganyikiwa sana nilikosa furaha ya ndoa nilijitafakari huenda akawa ex wangu lakini ex wangu mimi tuliachana kwa wema tu ni baada ya yeye kumaliza chuo akarudi nchini kwao huko mbali na kutokana na umbali ikabidi tuvunje uhusiano..

Kila mmoja akamuvu on mimi nikampata Rohan nayeye akapata mwnmk mwingine maisha yakaendelea...

Na hata hivo huyo ex wangu hanaga tabia za kipuz hawezi kufanya vitu vya kijinga hivo kwenye mahusiano yangu sasa huyu ghost ni nani??

Nilichanganyikiwa sana lakini bado nilijiweka strong enough sikutaka yeyote agundue kile kinachoendelea kati yetu.....

niliona kukaa peke yangu chumbni nitazidi kuchanganyikiwa ikabidi nitoke niungane na wanafamilia ili niweze kupoteza yale mawazo.....

nilitamani kumpigia Rohan nijue anaendeleaje lakini sina simu ikabidi nivumilie tu siku nzima ikapita ulipofika usiku Rohan wangu pia hakurudi

Niliogopa sana na kutokana na hali aliyoondoka nayo nikawa nawaza huenda kuna kitu kibaya kimetokeaπŸ₯ΉπŸ₯Ήnilimlilia sana mungu mpaka kukakucha😞😞

Asubuhi mlango wa chumbani kwangu ulibishwa niliamka haraka nikajiweka sawa nilikuwa nimevimba sana macho nilijimwagia maji usoni kuficha ile hali kisha nikaenda kufungua mlango...

Nilishangaa kumkuta Hopu pale mlangoni😳😳we unataka nini mlangoni kwangu asubuhi yote hii??nina shida na kaka yuko wapi?? Ooo mume wangu siyo?? Wa nini asubuhi yote hii??

oh there is a family ishu nataka kuongea naye, family ishu eeh okay😏😏😏 Rohan kasafiri akirudi mtaonana na mtaongea.....kaenda wapi maana nampigia sana simu hapokeiπŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’

yani kanataka mpaka kujua ni wapi alikoenda mume wangu kanatafuta nini haka😳😳😳 ilibidi tu nijikaze nimjibu vizuri naye akazidi kunihoji mko salama kweli na mumeo?! Mbona ka vile ulikuwa unalia??..... hauna hata nuru usoni😩

Maswali ya Hopu yakazidi kunitia wasiwasi😳😳alionekana kunichunguza sana hata hivyo niliendelea kumwaminisha kuwa mimi na mume wangu hatuna shida yoyoteπŸ‘ŒπŸ‘ŒπŸ‘Œ

alipoona hapati anachokitafuta akaamua kuondoka nilishamsoma huyu binti kuna kitu ndani yake na nitakijua very soon...

"Nahisi kuna vita kati yetu mimi na hopu ambayo mimi mwenyewe siijui.."

Nilikuwa na maumivu sana na yale maneno ya hopu ya kuwa Rohan hapokei simu yalizidi kunitia wasiwasi..

Niliwaza kuagiza simu mpya nimtafute Rohan lakini nikafikiria kama simu ndo inaleta haya yote kwanini nisikae hivyo kwanza nione huyo shetani mfarakanishi ni mbinu gani atakayotumia tena kuniangamiza......

swala la simu nililiweka pembeni nilikaa siku nzima bila kumuona Rohan wivu jumlisha wasiwasi vilizidi kunitesa sijui huko aliko yuko salama sijui atakuwa na mwnmke hukoπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Basi bwana mawazo mpaka usiku ukafika nikawa nachungulia tu dirishani muda wote usiku ulizidi kuwa mkubwa na hapakuwepo na dalili zozote za kurudi kwa Rohan

Mwisho nilianza kusinzia ikabidi nisali tu nilaleπŸ₯Ήusiku wa manane nilishtuka usingizini nikiwa na kiu kali ya maji..

Niliamka nikatoka kwenda jikoni kuchukua maji.. wakati niko jikoni ghafla nilisikia kengere ya getini inalia kwa fujo sanaπŸ₯ΊπŸ₯Ί

Lazima atakuwa Rohan huyo.. ngoja nikafungue..wakati naweka ile glass ya maji ili nitoke nikafungue geit ghafla nikashangaa mlango wa nje unafunguliwa😳😳

Nikasogea haraka mlangoni nikamuona hopu akiwa anakaribia getini😳😳huyu binti ana shida gani?? Inamaana usiku wote huu alikuwa macho anamsubiri Rohan??πŸ€”πŸ€”

Hii siyo kawaida nilibaki nimeganda pale mlangoni nguvu za kutoka zimeniishia..hata hivo mlinzi alikuwa tyr ameshafungua geit gari ya mume wangu ikaingia mpaka parking Rohan aliegesha gari akashuka..

Hopu alimpokea kwa kumbtoπŸ«‚πŸ€”karoho kaliniuma nyiee😩lakini kwa vile ni ndugu hamna shida acha nisiwaze kupitiliza huenda ukawa upend wa kawaida wa kaka na dada..

Baada ya kumbtπŸ«‚πŸ«‚ Rohan alianza kupiga hatua kuja ndani hopu alimkimbilia akamhagπŸ«‚tena kwa nyuma alafu kwa hali isiyokuwa ya kawaida nikashuhudia hopu ana😳😳

Aiseeeeeee😳😳😳 haki sikuamini huyu si kaka yake huyu mbona afanye hivo na wakati Rohan ni kaka yakeπŸ€”πŸ˜³πŸ₯Ί??

Je kafanya nini????? Usikose uhondo wa sehemu inayofuata

Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADY 2,3 πŸ₯ΉπŸ’• SEHEMU YA 02 Yule mwanaume kwenye simu akazidi kuzungumza na kuniita majina ya mahbπŸ₯΅

akawa ananisisitiza nisilisahau pnz lake kwa sababu yeye kamwe hawezi kuusahau utm wangu..

aliongea maneno mengi sana ya kichokozi mpaka mume wangu akashindwa kuvumilia ikabidi amuulize wewe ni nani upuz gani huu kwa mwanamke wangu?!.....

Yule jamaa baada tu ya kuisikia sauti ya mume wangu alikata simuπŸ’”πŸ’”πŸ’”Rohan aliumia sana aliniangalia kwa maumivu makali mpaka machozi yakawa yanamtokaπŸ₯ΉπŸ₯Ή

Mimi hata sikujua nini niseme nilikuwa natetemeka vibaya mno nilikaa kimya nikawa naangalia tu chini

Hopu alikuja pale jikoni akiwa na bakuli mkononi akaniambia my wii umepika nini?! nipakulie kidogo nipashe utumbo leo najisikia kula pishi lako et😝 aliongea hivo huku akinikonyezaπŸ₯Ί

sikuweza kujibu nilibakia...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaah-usinifanyie-hivo-dady-2-3-sehemu-ya-02-yule-mwanaume-kwenye-simu-akazidi-kuzungumza-na-kuniit

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaah-usinifanyie-hivo-dady
AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADYπŸ₯ΉπŸ’•  SEHEMU YA 01   "Mpnz ninakuwaza wewe muda wote❀️❀️"
AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADYπŸ₯ΉπŸ’• SEHEMU YA 01 "Mpnz ninakuwaza wewe muda wote❀️❀️"
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

567
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

442
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

401
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

385
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

350
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

203
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

158
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest