Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADYπŸ₯ΉπŸ’•  SEHEMU YA 01   "Mpnz ninakuwaza wewe muda wote❀️❀️"
Gonga94 Β· Stories

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADYπŸ₯ΉπŸ’• SEHEMU YA 01 "Mpnz ninakuwaza wewe muda wote❀️❀️"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Huo ni ujumbe mfupi ulioingia kwenye simu yangu na kwa bahati mbaya muda huo simu alikuwa nayo Rohan mume wangu kipnz

Tumefunga ndoa miezi miwili iliyopita bado ndoa yetu ni changa sana..

namba iliyonitumia ujumbe ni ngeni sijawahi kabisa kuiona😳😳😳 Rohan aliusoma ujumbe kwa kuurudia rudia na baada ya hapo alinikata jicho kwa hasira kisha akanivuta mkono hadi chmbn kwetu..

Alinitupa ktndn na kisha akabamiza mlango kwa hasira za juu sana πŸ₯Ί

""πŸ—£οΈπŸ—£οΈAmaya ni upzi gani huu😑😑 alizungumza Rohan na kunitupia simu mikononiπŸ₯ΉπŸ₯Ή""

""Mume wangu tafadhari nakuomba ushushe jaziba tuongeeπŸ˜”πŸ˜”niliongea kwa uoga ulionifanya nishindwe hata kuipekua ile simu😰.....

Amaya unanisaliti mimiπŸ₯ΉπŸ₯Ή?!.....yani wewe ni wa kunisaliti mimi??ok fine nitakwenda kukufundisha namna ya kusaliti naona wewe ndo kwaaanza unajifunzaπŸ‘πŸ‘

aliongea Rohan kwa hasira zilizo changanyikana na kicheko cha maumivu makali sana.. hata hivo hakutaka kupoteza muda alivaa vizuri kisha akaondoka zake..

Baada ya Rohan kuondoka ndipo nilipoipekua simu yangu nikakutana na huo ujumbe wa ajabu uliotumwa kwenye sim yangu..

Mungu wangu😳😳 nini hikiπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯Ί nilishtuka baada ya kusoma nikabaki kujiuliza ujumbe umetumwa na nani?!......

nilipojaribu kupiga ile namba iliishia kuita bila kupokelewa hakika sikuweza hata kulala niliketi kitndni nikawa namsubiria mume wangu arudi ili niweze kumwelewesha juu ya ile msg kuwa siitambui na hata hiyo namba iliyotuma msg siijui ni ngeni.....

mida ilizidi kusonga usiku ukazidi kuwa mkubwa nilimngoja sana mume wangu bila matumaini mida ilipozidi kusonga zaidi uvumilivu wa kusubiria ulinishinda nikaona acha nimpigie

nilipiga mno simu Rohan lakini hakupokea simu ilikuwa inaita tuu mpaka inakata... mnamo majira ya saa 11 alfajili ndipo nilipomsikia akigonga mlango kwa hasira akiwa ananiita niende nikamfungulieπŸ₯ΊπŸ₯Ί......

Niliamka nikatoka wakati nashuka kutoka flow ya juu kwenda kumfungulia mume wangu mlango nilishangaa kumuona Hope akiwa anafungua mlango😳

Kilichonishtua zaidi ni vile alivyompokea mume wangu kwa bashasha utafikiri yeye ndo mke😳ilibidi nijikohoreshe kidogo ili yule binti aache mara moja upuz alokuwa anamfanyia mume wangu..

Hope (Hopu) aliponiona alinikata jicho kwa dharau kisha akaupigiza mlango na kurudi chmbni kwake harakaπŸ₯ΊπŸ₯ΊπŸ₯ΊMungu wangu ana matatizo gani huyu bint?!...

Wakati najiuliza bila majibu ghafla nilishangaa Rohan nae ananipita bila hata kunisemesha......alikuwa kalewa sana mume wangu😣alikuwa ananuka harufu mbaya sana...

Niliufunga mlango kisha nikaelekea chmbni kwetu haraka huko chmbni nilimkuta Rohan kajilaza chini sakafuni ikabidi nianze harakati za kumhamishia ktndni

usinishike Amaya nitakuumiza😑😑 aliongea hivyo Rohan kisha akanisukumia huko mbali mwanamke mchafsana wewe usinisogelee wala kuthubutu kuniuliza chochote aliongea hivyo kisha akajilaza pale pale chini😞😞😞

Kiukweli siku ile sikuweza hata kulalaπŸ₯Ίnilikesha macho mpaka kukakucha..nilidamka mapema Rohan akiwa bado amelala nikawahi kwenda kumwandalia kiamsha kinywa...

Niliamua kumpikia supu mume wangu kwa sababu usiku wa jana alirudi akiwa amelewa sanaπŸ™‚πŸ™‚ supu ilipokwishaiva niliipunguzia moto nikaiacha jikoni isipoe kisha nikaelekea chumbni kumwamsha mume wanguπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ.....

Nilimkuta Rohan tyr ameshaamka na yuko bath room anaoga🚿🚿..... nilimwandalia nguo za kuvaa haraka kisha nikatoka kuelekea jikoni kwa ajili ya kukitoa kile chakula niweze kumwandalia Rohan wangu mezaniπŸ‘‹πŸ‘‹

Wakati nashuka ngazi kuelekea jikoni nilianza kusikia harufu kali sana ya kama chakula kilichoungua😳😳nilipiga hatua za haraka mpaka jikoni aisee hamuwezi kuamini nilikutana na bonge la moshi😩

Ile supu niliyomwandalia Rohan nilikuta imeshaungua sufuria limekuwa jeusi tii🀨na moto niliouacha sio nilioukuta..ges ilikuwa imeongezwa moto wa spid ya juu sanaπŸ₯Ί

Kwenye hii nyumba tunaishi sisi na wakwe zangu na baadhi ya ndugu wachache wa mume wangu akiwemo Hope huyu ni binti aliyelelewa na wazazi wa mume wangu..

Ule moshi kule ndani uliwashitua watu ikabidi waamke kuja kuangalia what's going on?.hopu alifika wa kwanza akaonyesha mshangao wa juu sana..

Nini kinaendelea wifi?? Aliuliza huku anapekua sufuria lililokuwa jikoni..yani wewe uko careless sana utakuja kuichoma hii nyumba..

Ghafla yule binti akaanza kutoa maneno ya ajabu nikajichekesha kisha nikasogea sikioni kwake nikamwambia binti hapa sio kwako hapa ni kwangu mimi na mume wangu..

"Subiri uolewe nawewe upate kwako na ninakuonya ujnga uliouonyesha jana usiku usijirudie tenaπŸ˜…πŸ˜…"

Unapandisha sauti yako mbele yangu wewe kama nani?? Who are you?? Hakujibu kitu ila aliniangalia kwa jicho lililoashiria kitu..

"Sikumzingatia nilimuita binti wa kazi nikamwambia afanye usafi haraka pale jikoni.."

Nilibaki nimesimama pale pale jikoni nikiwa nawaza mbona kama kuna kitu sikuelewi kwenye hii nyumba??Rohan alimaliza kuvaa akashuka chini Dinning akaketi kusubiria kiamsha kinywa😒

Ile harufu ya kuungua bwana akaisikia😩 ikabidi asogee pale jikoni akakuta lile sufuria la supu na nyama zilizoungua ziko pale😞 na simu yangu ikawa iko pembeni alitikisa kichwa akaniangalia..

Kisha akasema unakuwa bize na simu kiasi cha kusahau kuwa kuna chakula jikoni??

Kabla hata Rohan hajamalizia vizuri sentence yake simu yangu ilianza kuitaπŸ₯Ί wakati nataka kuichukua Rohan akawahi akaichukua aliitizama sana kisha akaipokea na kuweka loudspeaker..

Ilisikika sauti ya kiume ikiwa inahoji baby vipi uko bize?? Hujibu tena msg mamaa..nimeona nikupigie kuhakikisha kama uko okay vipi are you okay??😳😳😳

kumbuka hapo hakuna msg yoyote niliyotumiwa na simu nilikuwa nayo mimi muda wote na sijapigiwa nimekuja kupigiwa baada ya mume wangu kuwepo pale😳😳

Kibaya zaidi namba ni ile ile iliyotuma msg ambayo ilileta sintofahamu ikapelekea mimi na Rohan kugombanaπŸ₯Ή

Je nini kitafuata???

Itaendeleaaaaaaa

Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAH USINIFANYIE HIVO DADYπŸ₯ΉπŸ’• SEHEMU YA 01 "Mpnz ninakuwaza wewe muda wote❀️❀️"



Huo ni ujumbe mfupi ulioingia kwenye simu yangu na kwa bahati mbaya muda huo simu alikuwa nayo Rohan mume wangu kipnz

Tumefunga ndoa miezi miwili iliyopita bado ndoa yetu ni changa sana..

namba iliyonitumia ujumbe ni ngeni sijawahi kabisa kuiona😳😳😳 Rohan aliusoma ujumbe kwa kuurudia rudia na baada ya hapo alinikata jicho kwa hasira kisha akanivuta mkono hadi chmbn kwetu..

Alinitupa ktndn na kisha akabamiza mlango kwa hasira za juu sana πŸ₯Ί

""πŸ—£οΈπŸ—£οΈAmaya ni upzi gani huu😑😑 alizungumza Rohan na kunitupia simu mikononiπŸ₯ΉπŸ₯Ή""

""Mume wangu tafadhari nakuomba ushushe jaziba tuongeeπŸ˜”πŸ˜”niliongea kwa uoga ulionifanya nishindwe hata kuipekua ile simu😰.....

Amaya unanisaliti mimiπŸ₯ΉπŸ₯Ή?!.....yani wewe ni wa kunisaliti mimi??ok...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaah-usinifanyie-hivo-dady-sehemu-ya-01-mpnz-ninakuwaza-wewe-muda-wote

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaah-usinifanyie-hivo-dady-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

567
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

442
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

401
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

384
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

350
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

203
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest