Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
22 Jan 2026
58 views
VYOTE NDANI GONGA94
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bingwa.
Kuna muda inabidi sheria zivunjwe kwa manufaa ya Umma.
Kuna muda haki haiji kwa kulalamika tu inabidi uipambanie, ujitoe, udhibiti kilicho chako la sivyo watu watakuja kuchukua hadi vile ulivyodhani ni vyako.
Senegal wameungwa mkono na Afrika nzima kwa sababu wamefanya kile wengine walichoshindwa kufanya.
Mwanaume kaleta utata ugenini mbele yao na karudi na Kombe nyumbani ππΏ
Mbuzi kalala kwenye chaka la Simba.
Steve Champion
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bingwa.
Kuna muda inabidi sheria zivunjwe kwa manufaa ya Umma.
Kuna muda haki haiji kwa kulalamika tu inabidi uipambanie, ujitoe, udhibiti kilicho chako la sivyo watu watakuja kuchukua hadi vile ulivyodhani ni vyako.
Senegal wameungwa mkono na Afrika nzima kwa sababu wamefanya kile wengine walichoshindwa kufanya.
Mwanaume kaleta utata ugenini mbele yao na karudi na Kombe nyumbani ππΏ
Mbuzi kalala kwenye chaka la Simba.
Steve Champion
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/bila-ya-msimamo-ule-leo-watu-wangeshasahau-kama-afcon-ilichezwa-morocco-bila-ya-huyu-mwanaume-muda-h