Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
16 Nov 2025
319 views
VYOTE NDANI GONGA94
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 12 ENDELEA...... "Ni huzuni mtupu nyie kujifungia hapa ilihali kule chakula kipo kwenye hati hati ya kumwaga
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nisaidie tu kuweka simu yangu sawa niondoke zangu" Zara alijiongelesha akijitia hajali.
"Kwanini uko hapa pia nenda kakiokoe chakula kisimwage " Tasha alimjibu Zara ndani ya moyo kisha akajifunika gubigubi
"Kwaherini na samahani kwa kuwa sumbua "
"Kama shida ilikuwa ni setting tu ya simu si ungempa hata Mlinzi hapo getini " Bryant Kobe alijisemea ndani ya moyo wake huku alikimfungulia Mama yake mlango
"Nilitamani Tasha awe na Philips Kobe cha ajabu umeshamlala ngoja tuone mwisho wake. Endapo mambo hayataenda kama navyo tamani basi Mimi hapa sitampokea Mwanamke anayeamini Mwanaume ana jukumu la kupika na kudeki kwenye ndoa" Zara alijisemea kisha akaondoka.
"Ahsante kwa muda wako ..." Bryant Kobe alimshukuru Tasha aliyekuwa kajifunika gubigubi.
Ulikuwa kama utani hivi lakini ndio ulikuwa mwanzo wa wawili hawa kukutana kimwili bila kuzungumza kuhusu upendo.
Tangazo la Tasha kuhusu maji ya kunywa ya Volvic lilifanya vizuri sana.
Kwa kifupi alizidi kiwango cha matarajio kilichokuwa kimewekwa na Kampuni.
Tiktok nako aliendelea kukiwasha, mafundisho yake yalikuwa ni yale yale kuwa Mwanamke siyo kibarua kwenye ndoa hivyo ni jukumu la mwanaume pia kuhakikisha vyombo vimetakata.
"Siku hizi sikusikii ukiyapinga mafundisho ya Tasha, vipi yameanza kukuingia akilini siyo " Secretary Annie aliamua kumchokoza Bryant Kobe.
"Kumfuatilia yeye kila siku ni ukosefu wa kazi. Siwezi kuzungumza chochote kuhusu yeye kuanzia sasa na wala usinikumbushe kuhusu uwepo wake.
Kabla Secretary Annie hajajibu chochote, mlango ulifunguliwa
"Helloooo " Aliingia Tasha akiwa mwenye uso wa tabasamu.
"Hii ni ofisi, bila kujali uhusiano wako na CEO upoje lakini unatakiwa kupiga hodi pia " Secretary Annie alikumbusha kisha akaondoka akiwa kanuna.....bahati mbaya aliparamiana na Philips Kobe.
"Vipi upo sawa "
Alipoulizwa tu aliporomosha machozi . Ujue siku zote alikuwa ana mchukulia poa Bryant Kobe. Kitendo cha kujua kuna mtu anamtembezea fimbo kilimuuma.
"Sikuwahi kujua kama moyo wangu Mimi una wivu kiasi hiki "
"Hebu endelea na safari yako...acha niingie ofisini kwa bro kwanza nitatafuta muda kwa ajili yako uniambie ni kitu gani kilikuwa kinakuliza muda huu" Philips Kobe aliongea kisha akaendelea na safari yake.
Hakuona sababu ya kugonga mlango, ile anaingia puuuuh alishtuka sana baada ya kumfuma Tasha akila koni, kwa lugha inayoeleweka alikuwa analamba mtarimbo Bryant Kobe.
Wote kwa pamoja walishtuka.....
ITAENDELEA.......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 71 na 72
Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia ...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 12 ENDELEA...... "Ni huzuni mtupu nyie kujifungia hapa ilihali kule chakula kipo kwenye hati hati ya kumwaga
nisaidie tu kuweka simu yangu sawa niondoke zangu" Zara alijiongelesha akijitia hajali.
"Kwanini uko hapa pia nenda kakiokoe chakula kisimwage " Tasha alimjibu Zara ndani ya moyo kisha akajifunika gubigubi
"Kwaherini na samahani kwa kuwa sumbua "
"Kama shida ilikuwa ni setting tu ya simu si ungempa hata Mlinzi hapo getini " Bryant Kobe alijisemea ndani ya moyo wake huku alikimfungulia Mama yake mlango
"Nilitamani Tasha awe na Philips Kobe cha ajabu umeshamlala ngoja tuone mwisho wake. Endapo mambo hayataenda kama navyo tamani basi Mimi hapa sitampokea Mwanamke anayeamini Mwanaume ana jukumu la kupika na kudeki kwenye ndoa" Zara alijisemea kisha akaondoka.
"Ahsante kwa...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-na-mrembo-wa-tiktok-sehemu-ya-12-endelea-ni-huzuni-mtupu-nyie-kujifungia-hapa-ilihali-kule-chaku
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-na-mrembo-wa-tiktok-sehemu-ya
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 17 ENDELEA...... "Mama yako alimuua Mama yake Bryant Kobe
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 16 ENDELEA..... "Ni wakati wa wewe kufurahia uboss pia, sielewi ni kwanini unapoteza kujiamini β" Zara aliongea.
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 19 ENDELEA...... "Kwanini unaingia bila hodi π" Dada wa kazi mstaafu aliuliza
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 18 ENDELEA..... "Inakuaje unaanguka na huku umekunywa chai
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 13 ENDELEA.... "Na....na....nawahi kuandika ripoti tutaonana baadae" Tasha akiwa mwenye hofu kubwa aliaga.
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 11 ENDELEA...... "Okay, wakati wewe unaoga Mimi nitajilaza kidogo tu kitandani
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 10 ENDELEA Basi Zara alihakikisha Philips Kobe anapendeza kuliko Kaka
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 9 ENDELEA...... "Poleee " Philips na Bryant Kobe waliongea kipamoja
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 6 ENDELEA..... "Nini kinaendelea " Bryant Kobe alizungumza huku akiinyanyua picha yake
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 7 ENDELEA...... "Una mfahamu mbona umeshtuka namna hiyo, kama humjui mchukue
πππ’ π‘π π π₯ππ ππ’ πͺπ π§πππ§π’π SEHEMU YA 8 ENDELEA...... "Mimi huyu ni pa....nue uniwekee kidogo .... nadhani umenizoea