Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA SEHEMU YA 5 Acha niendelee kulia tena kwa sauti kubwa😫😩😭, maan nilivyokumbatiwa kwa nguvu pale siwez
Gonga94 Β· Stories

CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA SEHEMU YA 5 Acha niendelee kulia tena kwa sauti kubwa😫😩😭, maan nilivyokumbatiwa kwa nguvu pale siwez

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hat kujitoa hata nikagalala jamani, Naseer akanambia nitulie kwanza ninyamaze , afu nimwambie shida nini ndio kam vile akanambia niendelee kulia maana nililia kwa uchungu lakin bado sijamwambia kuna tatiz gani , akanambia "kuwa huru wewe ulinisaidia na mimi nataka nikusaidie Wewe una maanisha mengi kwenye maisha yangu jue Nasma?", mimi bado nalia tu sielewi chochote pale, akanambia "tulia kwanza" akanipa maji akanibeba akaniweka kwenye kiti, akanituliza akawa kapiga goti huku kanishika mikono kama mtoto etty ananifutaπŸ₯ΉπŸ˜’ machozi jaman hhhπŸ₯Ή akanambia "niambie mamaa shida ni nini" huku ananitizama kwa makini nikamwambia huku ile kwikwi ya machozi haijatoka "ujue Kareem kanipigia simu ananiambia nisipoenda kukutana nae kimwili , nitakuta familia yangu haipo maan yupo Mwanza kwa sasaπŸ˜ͺ😭πŸ₯ΉπŸ₯Ή", nikamuonesha na ile sms Kareem alioituma mchana…

Naseer akanitizama kwa huruma akanambia "hebu mpigie huyoo mpuuzi weka loud speaker, mimi ndio sababu ujue?", nikafanya kama nilivyoambiwa na Naseer nikampigia kisha nikaweka loud speaker, akapokea Kareem nakusema kwamba "hukuelewa mwanzo au huamini?" alisema huku nawasikia wenzake wanacheka "au huamini?" alizidi kuongea Kareem akampatia simu mama, mama akawa anaongea kwa hofu kama mtu alietoka kulia "mwanangu usije bora tufe lakin ubaki salama huyu sio binadam ni mnyama", niliskia mama akipigwa kofi akaambiwaa kam mtoto "kaa kimya we bi mkubwa" , akaendeleea Kareem kuongea "tena usije na huyo boya wako maan nitawaua wote maan nina hamu nae kafelisha michongo yangu mingi", afu akakata simu asee nilizidi kuchanganyikiwa wallah😫😫 nikazid kulia😭😭 Nasser alinituliza lakin wapi kiukweli nilikua nimechanganyikiwa Wallah…

Naseer akanamby "basi sawa weee nenda, fata alichosema mimi ntakuja nyuma tena, nakukatia ticket ya ndege ili uwahi kufika ndani ya masaa manne uwe ushaingia Mwanza" nikakubali kwa kichwa akasema "mimi nipo nyuma sawa?"..

Basi kweli ikabidi tuanze safari ila tuliondoka pamoja japo hatukufika nyumbani pamoja nilifika nyumbani peke yangu Kareem alinipa location maan nilikuwa sipajui, nikafika kweli nikaikuta ile situation kiukweli nafsi iliniuma😭 sana yani sikuwa na jinsi kwakweli Zaidi ya kulia😭, nikaanza kumwambia "nipo tayari kufanya lolote kwa sasa ila waachie wazazi wangu hata ukitaka kuniuua niue mimi please usiwafanye chochote wazazi" niliongea huku nimepiga goti na machozi😭 juu natia huruma kweli , Kareem akasema "nataka ulichompa yule boya wako maan haiwezekani…
nimekusubiri toka upo chuo afu unaenda kumpa yule boya wako ambae ulikutana nae kwa bahat nasibu", nikasema "lakin Kareem mimi sijafanya chochote na yule mwanaume unajua Kareem siwezi fanya kitu bila ndoaa", "sasa ili wazazi wako wapone inabidi ufanye hivyoo" , nililia sana😭😭 nikamwambia "nipo tayar kwa lolote" mama ashalia mpaka sauti imekata kabaki anatizama, baba nae yupo hoi kweli,akasema sawa akaanza kunivuta ananipeleka chumbani, mara tunasikia "subiri wewe" kugeuka ni Naseer jaman…

Nilimuona kam mkombozi yani kama Merlin katokea jamn nilijikuta natabasamπŸ₯Ή wakati tupo kwenye hatari lakini sikujali hiloo, Kareem akacheka kwa dharau "leo umejileta mwenyew si ndy hhh ukadhan utanikimbia sio? hhh ushukuru ile siku ni mpenzi wangu alikusaidia ilaa usingetoka salama ", weee nilishangaa😳😳 ina maan Kareem anahusika na lile tukio la utwekwaji wa Nasser? nilichoka upya😰, akatokea Naseer akasema "bora leo nimekujua sura halisi sasa utaniambia anaekutuma ni nani", Kareem akamwambia "ila kabla sijakuua nataka nikupe surprise, yako" akapiga makofi hee😳 cha jabu anakuja, Ramla wee Naseer alionekana kuishiwa pawa😰 lakin hakuonesha kama ile imepenya, Ramla akasogea akamwambia Naseer "hellow baby nataka nikutambulishe kwa kaka angu yule ambae hujawahi muona alikua yupo Thailand ni huyoo hapo", afu akauliza kwa dharau "umeionaje?" yaan walivyokua wamepanga utafkiri walikua wanajua kwamba Naseer atakuja pale, ile ilipenya…

kwenyew jaman, kwanza hata mimi sikua naamini, akatokea Kareem akamuuliza dada ake amfanye nini Kareem, akatokea yule mwanamke mkosa haya😏 akamwambia "mhh kabla hujamuua huyo nataka umuue yule mwanamke ambae alimsaidia siku ile maan unaeza ukataka kumuua, akamsaidia tena" Kareem akainua risasi anataka kushoot mimi hapo nipo mbali kimawazo yani siko hapo najiona kabisa kam mfu alie hai, ile anashoot baba sijuii alitoaa wapi nguvu ya kuja kukinga risasi, wee ndy nikashtukaπŸ˜³β€¦

Hatujakaaa sawa tunasikia milio ya gari za polis nje ikabid wakimbie, ambulance ilibidi ije haraka imchukue baba, ila kwa ile sehem aliokua amepigwa sijui kama angepona tulipelekwa bugando baba akapelekwa icu, tukiwa tupo hospitali Naseer akasema mama asiende nyumbni wala hospitali asibaki mtu walibaki mapolisi, na mama muda huo huo ilibidi apande gari aende musoma kwa dada ake akatuliza akili maan hakuwa sawa, akaambiwa litakalojir atapewa taarifa, Naseer akanambia pia sisi tisuende nyumbani sio salama kwa sababu wale watu hawajakamatwa kivyovyote watatufata tu, akasema hotel yake ipo Mwanza hivyo twende pale hotelin akasema, hamna mtu kulala peke yake , ilibidi tukae chumba kimoja, kwa sababu tulikua hatuaamini juu ya usalama wetu kabisa, hata hivyoo nilikua najiamin kwasababu nimekaa na Naseer nyumba moja na hajawahi nionesha tabia mbaya kwakweli, tukawa tumekaa room moja , sasa ikabidi nikaoge nikawa nimevaa kijitaulo hapo Naseer alikuwa katoka nje kidogo kurudi akanikuta nimelala tu…

Nimejifunika shuka, akawa kaingia bafun kaoga akawa kavaa yale mabath coat yale ya kufunga akaja kitandani, hakuna aliekua amelala kila mtu anawaza ya kwake, ulipita muda, naskia kam mtu Analia😭 pembeni yangu, jaman ukimuona mkaka Analia jua yamemfika, ikabidi niinuke kwanza na hivi nilisoma physcology kwahyo naelewa mtu akiwa Analia inabidi umkumbatie😊 , kwahyo nikamkumbatia Naseer, mhh nikajikuta nimeyaamsha yasio nihusu wewee😳, mwamba akanikamatilia vizuri akanipa juiceπŸ˜‹ flani hivii, sijawahi pewa wewe nilihisi tofauti kabisa sijawahi yaan πŸ™ˆπŸ™ˆβ€¦

ITAENDELEA……..

Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA SEHEMU YA 5 Acha niendelee kulia tena kwa sauti kubwa😫😩😭, maan nilivyokumbatiwa kwa nguvu pale siwez

hat kujitoa hata nikagalala jamani, Naseer akanambia nitulie kwanza ninyamaze , afu nimwambie shida nini ndio kam vile akanambia niendelee kulia maana nililia kwa uchungu lakin bado sijamwambia kuna tatiz gani , akanambia "kuwa huru wewe ulinisaidia na mimi nataka nikusaidie Wewe una maanisha mengi kwenye maisha yangu jue Nasma?", mimi bado nalia tu sielewi chochote pale, akanambia "tulia kwanza" akanipa maji akanibeba akaniweka kwenye kiti, akanituliza akawa kapiga goti huku kanishika mikono kama mtoto etty ananifutaπŸ₯ΉπŸ˜’ machozi jaman hhhπŸ₯Ή akanambia "niambie mamaa shida ni nini" huku ananitizama kwa makini nikamwambia huku ile kwikwi ya machozi haijatoka "ujue Kareem...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ceo-sikimbii-tena-nitavumilia-sehemu-ya-5-acha-niendelee-kulia-tena-kwa-sauti-kubwa-maan-nilivyokumb

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ceo-sikimbii-tena-nitavumilia-sehemu-ya
 CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA SEHEMU YA 4  Tunaendelea na tulipoishia ……….  "Kwanini hupokei simu zangu?" aliuliza yule mdada huku anazidi kumsogelea Naseer
CEO SIKIMBII TENA NITAVUMILIA SEHEMU YA 4 Tunaendelea na tulipoishia ………. "Kwanini hupokei simu zangu?" aliuliza yule mdada huku anazidi kumsogelea Naseer
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

566
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

442
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜

401
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72

381
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜

349
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20

202
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.26K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 47πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 46πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 46πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemedπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest