Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA  Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo
Gonga94 · Stories

CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
yangu hayakuwa mazuri sana kwani sikuweza kupata credit ambazo zingeweza kunipeleka form five ivyo nilibaki nyumbani kusaidia kazi za nyumbani kama kwenda shamba kipindi cha kilimo kinapofika.
Sio siri maisha ya kijijini yalinichosha sana kwani yalinifanya nizeeke mapema sana wakati sikuwa hata na umri mkubwa ndo kwanza nilikuwa na umri wa miaka kumi na tisa,niliyachukia sana maisha hayo pili niliwaonea wivu wezangu waliobahatika kufahulu na kuingia kidato cha tano
Siku moja nikiwa nyumbani alikuja rafiki yangu mmoja tuliyekuwa nae kijijini ila kwa sasa yeye anaishi jijini Dar es salaam,sio siri alipendeza sana kwani alivaa nguo zilizomuonyesha ametoka mjini,moyoni nilimuonea wivu sana kwani na mimi nilitamani kuwa kama yeye,alinipa michapo mingi sana ya maisha ya dar es salaam hapo na mimi ndo alinipa mzuka wa kutaka kufika katika jiji hilo ili nikajionee aliyoniambia.
"Thomas"aliniita mshikaji wangu aliyekuwa anajulikana kwa jina la Anthony
"naam"niliitika
"Dar es salaam kuna raha sana,kuna wanawake wazuri,kuna sehemu nyingi sana za kutembelea kama beach,club na nyinginezo pia kuna majumba makubwa na magari ya kila aina"Anthony aliongea kwa msisitizo mkubwa sana
"Natamani niende ila nyumbani hawawezi kuniruhusu japo nina mjomba wangu anaishi huko"niliongea
"Kweli wewe endelea kukaa kijijini uchakae na jembe"aliongea kwa kejeli
Tuliongea mengi sana lakini kichwani nilikuwa nawaza kama na mimi siku moja nitafika jiji la Dar es salaam nikajionee mambo yote niliyohadithiwa na rafiki yangu,alipomaliza kunipigia story zake akaniaga na kuondoka zake huku akiniacha nikimuonea wivu kwa jinsi alivyopendeza.
Ilipita miezi miwili nikiendelea na shughuli za kilimo kijijini huku nikiwaza ni jinsi gani naweza kuenda Dar es salaam ila nilikuwa naofia kuwaambia wazazi kwani nilikuwa najua watanikatalia
Siku moja nikiwa nyumbani tulipata ugeni kutoka Dar es salaam,alikuwa ni mjomba pamoja na shangazi walikuja kututembelea kijijini sio siri nilifurahi kwani nilijua naweza kupata japo nafasi ya kuelekea huko.
Jioni ilifika tukakusanyika pamoja na kubadilishana mawazo huku nikiwa na shauku la kutaka kujua mengi kuhusu jiji la dar es salaam,kama mjomba alikuwa kwenye mawazo yangu
"uncle unaonaje tukienda wote Dar es salaam nataka ukawajue ndugu zako?"mjomba alisema
Nilitamani kuruka ruka kwani nilikuwa nataka kusikia neno kama lile,sikuamini kama mjomba alikuwa kwenye mawazo yangu
"Kweli tena atatusaidia mambo mengi sana pale nyumbani kwani shughuli zilikuwa nyingi sana"alisema shangazi
"Jamani na kazi za shamba nani atafanya?"aliuliza baba
Sio siri nilianza kukasirika kwani baba alianza kuleta unoko,ila mjomba akamshawishi baba mpaka akakubali,niliambiwa kesho nijiandae kwaajili ya safari ya kesho kutwa,sio siri nilifurahi sana mpaka usiku huo sikuweza kupata usingizi kwani nilikuwa nasubiri kwa hamu sana safari ya kuenda Dar es salaam
Asubuhi niliamka na kufanya shughuli za pale nyumbani,nilipomaliza nikaenda kufua nguo zangu ambazo niliziona pamba sana kwa wakati huo,nilipomaliza kufua nikaanza kuzunguka mtaani kuwaaga watu hasa niliokuwa nawafahamu,kichwani nilijihisi fahari sana kwani kuenda Dar es salaam ilikuwa jambo la heri sana kwangu.
Nilirudi nyumbani ili niweze kujiandaa kwa safari ya kesho yake,nyumbani niliwakuta wakina mjomba wamekaa nje wakipiga story nami nikakaa kujumuika nao, tulipiga story mpaka saa tatu,niliwaaga nakwenda kulala ili kesho niamke mapema kwaajili ya safari, lakini sikuweza kulala kwani nilikuwa na kihoro.
Nilikuja kushtuka usingizini ilikuwa saa kumi na moja nikainuka na kuanza kujiandaa,wakati najiandaa kumbe nao wakina mjomba walikuwa wameshaamka na ndo walikuwa wanajiandaa.
Walipomaliza kujiandaa wakanipitia chumbani kwangu ili tuweze kuondoka,muda wote huo nilikuwa siamini kama naenda Dar es salaam,nilitoka na kuanza kuwaaga wazazi japo ilikuwa ni majonzi kuachana na wazazi wangu lakini ilibidi nifanye ivyo.
Tulipanda katika gari la mjomba kwani mjomba alikuja na gari lake,mimi nilikaa seat ya nyuma mjomba na shangazi walikaa seat ya mbele huku mjomba akiwa ndo dereva,niliwapungia wazazi mkono kwa ishara ya kuwaaga kwani ndo nilikuwa nakiaga kijiji cha kwasunga wilaya ya korogwe mkoani Tanga
Mjomba aliwasha gari na kuanza safari ya kuelekea Dar es salaam njiani nilikuwa nashangaa maeneo tuliyokuwa tunapita huku nikifurahia kwani ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kusafiri kwa umbali mrefu
Tulitumia muda wa masaa matano mpaka kufika jijini dar es salaam,tulipofika maeneo ya baruti gari lilikunja mkono wa kulia lilitembea kwa dakika chache mpaka kufika nje ya nyumba moja ya kifahari,mjomba alipiga honi hazikupita dakika nyingi geti likafunguliwa na mtu ambaye nilikuja kujua ndio mlinzi wa nyumba hile
Tuliingia ndani ya nyumba hile na kushuka kwenye gari huku nikiwa naishangaa nyumba hile jinsi ilivyokuwa nzuri,ghafla walitoka ndani wasichana wawili ambao wakiwa na sura za tabasamu wakaenda kumkumbatia mjomba na shangazi
Niliwaangalia watoto wale na kugundua kwamba walikuwa watoto wa mjomba kwani walifanana sana na shangazi,mmoja alikuwa mrefu kuliko mwenzake japo sio sana kwani walikuwa wanakaribiana,walipomaliza kusalimiana wakanigeukia na kunisalimia huku wakinishika mkono.
Itaendelea...........................
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

CHOMBEZO-JAMANI BINAMU!!!!! SEHEMU YA KWANZA Ilikuwa mwaka 2008 nilipomaliza kidato cha nne,lakini matokeo

yangu hayakuwa mazuri sana kwani sikuweza kupata credit ambazo zingeweza kunipeleka form five ivyo nilibaki nyumbani kusaidia kazi za nyumbani kama kwenda shamba kipindi cha kilimo kinapofika.
Sio siri maisha ya kijijini yalinichosha sana kwani yalinifanya nizeeke mapema sana wakati sikuwa hata na umri mkubwa ndo kwanza nilikuwa na umri wa miaka kumi na tisa,niliyachukia sana maisha hayo pili niliwaonea wivu wezangu waliobahatika kufahulu na kuingia kidato cha tano
Siku moja nikiwa nyumbani alikuja rafiki yangu mmoja tuliyekuwa nae kijijini ila kwa sasa yeye anaishi jijini Dar es salaam,sio siri alipendeza sana kwani alivaa nguo zilizomuonyesha ametoka mjini,moyoni nilimuonea wivu sana...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-jamani-binamu-sehemu-ya-kwanza-ilikuwa-mwaka-2008-nilipomaliza-kidato-cha-nne-lakini-matoke

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-jamani-binamu-sehemu-ya-kwanza-ilikuwa-mwaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

567
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

565
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

444
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

422
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

403
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

356
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

211
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

163
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

109
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest