Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?!  Sehemu Ya- 2   Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba
Gonga94 · Stories

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya- 2 Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ameshakwenda kazini kwake, kumbe alikuwepo bwana.

“Shikamoo baba,” kaka Cheni aliamkia huku wasiwasi wake ukiwa umegundulika na baba.

“Marhaba.”

Baba yetu alikuwa na tabia hiyo ya ajabu, ukimwamkia akiitikia hana cha kusema umeamkaje wala habari za leo! Hilo hata mama alikuwa akimshangaa.

Mwenyewe msimamo wake ni kwamba, kumuuliza aliyekuamkia shikamoo umeamkaje ni kupoteza sauti kwani angekuwa ameamka vibaya asingeamkia shikamoo angeeleza ugonjwa wake au tatizo lake.

Nilianza kutetemeka mimi badala ya kaka Cheni licha ya kwamba naye kaka Cheni hakuwa sawasawa hata kidogo.

Ishu ilikuwa lile jimwanamke kutoka chooni. Kwani ilikuwa lazima kaka Cheni amfuate akamstopishe au aache atoke mwenyewe akumbane na baba, mzee wa Kingoni, mkali kama nini! Ukimwangalia tu hivi unajua mkali maana amefuga msitachi mrefuuu! Mpaka amekuwa kama yule mtu wa kwenye dawa ya kuchulia misuli.

Ghafla kaka Cheni alikwenda chooni, akachukua kama dakika mbili, akatoka. Nilimwona akitoka jasho jembamba la woga. Nikajua leo kazi ipo. Wasiwasi wangu ulizidi zaidi pale nilipowaza itakuaje kama baba angeamua kwenda chooni baada ya kaka Cheni kutoka.

Mara, nilisikia kitu kimeanguka sebuleni, baba akashtuka na kuingia ndani. Kaka Cheni akatoka mbio hadi chooni akatoka na jimwanamke lake akiwa amemshika mkono.

Mbona ilikuwa kichekesho, mdada anavyokimbia na kaka Cheni anavyomkimbiza, miye mbavu sina!

Walitokomea huko, baba alipotoka akakuta hakuna kitu!

“Mwite kaka yako,” aliniamuru baba…

“Katoka…”

“Kaenda wapi?”

“Nadhani yuko nyuma ya nyumba.”

“Kamwite.”

Nilizunguka nyuma ya nyumba lakini sikumwona kaka Cheni, nikampigia simu…

“Baba anakuita.”

Kaka Cheni alikata simu. Iliashiria kwamba, alielewa kwamba baba anamuita. Baada ya sekunde tu alitokea akiwa mbio.

Cha ajabu ni kwamba, mambo aliyokuwa akiyafanya kaka Cheni pale nyumbani na ukali wa baba ni vitu viwili tofauti kabisa!

“Naam baba…”

“Wewe usiku huwa unakuaga na nani chumbani kwako?”

“Marafiki zangu baba…”

“Mbona mchana siwaoni?”

“Ha! Baba…mbona mchana pia wanakuja sana, muulize sista,” alisema kaka Cheni huku akinitupia macho mimi…

“Ni kweli baba, marafiki zake huwa wanakuja hata mchana. Ila kwa usiku mimi sijawahi kuwaona.”

“Mh! Huyu mara kwa mara usiku nikitoka kwenda chooni nawasikia wakiongea na wenzake.”

“Ni marafiki zangu baba.”

Moyoni nilisema baba ungejua wala usingeuliza. Huyo mwanao kazi yake kubwa ni wanawake kila siku.

Basi, baba alionekana kukubaliana na maelezo ya kaka Cheni, akanyamaza. Mara akatokea mama akiwa na ndoo ya maji…

“We Cheni,” mama aliita hata kabla ya kutua ndoo chini…

“Naam…”

“Yule mwanamke ulikuwa unampiga busu pale kwenye kona ni nani?”

Nilimwona kaka Cheni akikunja sura na macho yakisinzia kama anayesema ‘ohooo! Kimenuka sasa!’

“Namjua mama.”

“Unamjulia wapi? Anakaa wapi?”

“Mama yule anakaa kule kwa mzee Masumbuko…”

“Wewe mtoto wewe! Usije ukaniletea wajukuu wasiokuwa na mpangilio hapa kwangu,” alisema mama kwa uso wenye hasira za kweli…

“Kwani kumjua ndiyo kulikufanya umbusu?” hapo sasa aliingilia baba mwenyewe. Ilibidi kaka Cheni akae…

“Kwanza ni mwanamke mtu mzima au?” aliuliza baba…

“Ah! Anaonekana ni binti tu lakini ana mwili mkubwa sana. Mimi mwenyewe nilishangaa, nikaogopa maana walivyosimama utasema ni mtu na mtoto wake wa kiume,” mama alikoleza.

Ajabu sana! Nilimwona baba akiachia tabasamu ambalo sijawahi kuliona hata siku moja. Nilivyomjua baba yangu, pale kaka Cheni asingekaa. Lakini pia moyoni nilisema kama baba angejua mwanamke anayesemwa alikuwa chooni wakati yeye amekaa kwenye kiti cha nje, pangechimbika kama siyo kufumka!

Kutabasamu kwa baba, kulimpa nguvu kaka Cheni, naye akatabasamu lakini mama aliendelea kuwa siriasi. Akaingia ndani na kuendelea na mambo mengine…

“Hodi,” sauti ya msichana ilisikika kutoka nje ya geti dogo la uani ambalo lilikuwa wazi…

“Nani? Pita,” nilisema mimi huku nikiwa nimetumbulia macho pale kwenye geti…

Msichana wa umri wa kama miaka saba aliingia, anaitwa Mai…

“Karibu Mai,” nilimkaribisha…

“Asante…shikamoo babu,” yaani baba…

“Shikamoo anko,” yaani kaka Cheni…

“Anko, Mwanamaua anasema amesahau kitambaa chake cha kichwani chumbani kwako kitandani, kasema nipe nimpelekee ataulizwa na mama yake asiporudi nacho…halafu kasema hujamwambia usiku wa leo aje au asije maana simu yake ina matatizo ya chaja.”

##
𝐊𝐢𝐭𝐮 𝐠𝐚𝐧𝐢 𝐤𝐢𝐥𝐢𝐜𝐡𝐨𝐞𝐧𝐝𝐞𝐥𝐞𝐚….
𝐔𝐬𝐢𝐤𝐨𝐬𝐞 𝐬𝐞𝐡𝐞𝐦𝐮 𝐢𝐧𝐚𝐲𝐨𝐟𝐮𝐚𝐭𝐚​​​​​​
𝐉𝐚𝐦𝐚𝐧𝐢 𝐭𝐰𝐞𝐧𝐝𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🙌, 𝐋𝐈𝐊𝐄-150 𝐬𝐚𝐬𝐚 𝐡𝐢𝐯𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐧𝐢𝐩𝐨𝐬𝐭 𝐧𝐲𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 𝐜𝐡𝐚𝐩𝐮 🚀🔥.” Naomba like ziwe zakutosha isichelewe

Akikisha una follow page yetu tukipost inakufika mojakwamoja
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Chombezo : Jamani Kaka Cheni … Ndiyo Nini Sasa?! Sehemu Ya- 2 Nilimwona kaka Cheni akishtuka sana. Hata mimi nilishtuka kwani nilijua baba

ameshakwenda kazini kwake, kumbe alikuwepo bwana.

“Shikamoo baba,” kaka Cheni aliamkia huku wasiwasi wake ukiwa umegundulika na baba.

“Marhaba.”

Baba yetu alikuwa na tabia hiyo ya ajabu, ukimwamkia akiitikia hana cha kusema umeamkaje wala habari za leo! Hilo hata mama alikuwa akimshangaa.

Mwenyewe msimamo wake ni kwamba, kumuuliza aliyekuamkia shikamoo umeamkaje ni kupoteza sauti kwani angekuwa ameamka vibaya asingeamkia shikamoo angeeleza ugonjwa wake au tatizo lake.

Nilianza kutetemeka mimi badala ya kaka Cheni licha ya kwamba naye kaka Cheni hakuwa sawasawa hata kidogo.

Ishu ilikuwa lile jimwanamke kutoka chooni. Kwani ilikuwa lazima kaka Cheni amfuate akamstopishe au aache atoke mwenyewe akumbane na baba, mzee wa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chombezo-jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya-2-nilimwona-kaka-cheni-akishtuka-sana-hata-mimi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi chombezo-jamani-kaka-cheni-ndiyo-nini-sasa-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

580
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

574
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

414
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

405
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

224
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

182
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)

121
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

114
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

106

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.03K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest