Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO*  *11--15* *__________________________________*  *SEHEMU YA 11*  Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu
Gonga94 · Stories

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *11--15* *__________________________________* *SEHEMU YA 11* Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,    nilipokutana macho kwa macho na mjomba niliganda nikiwa nimetoa macho,   kisha nilisimama juu na kumuita:



"Mjomba!


General nae alishtuka na kugeuka haraka kumuona mjomba wangu,  mjomba alisogea adi tulipokuwa na kunishika mkono akanipeleka nje kwenye gari yake,   bila kusema kitu chochote kisha akafungua mlango wa gari na kuingia na  kisha akawasha gari tukaanza safari,   kiukweli alikuwa na hasira sana  njia nzima alikuwa kimya hakuongea kitu,    nilihisi kuchanganyikiwa sana kwani sijawahi kumuuzi namna hii mjomba wangu,    amekuwa akiniamini sikuzote  niliwaza sana,    na General tumeachana hata namba ya simu hajanipa hapajui kwetu wala sijajua kambi ipi anaenda kufikia,    nilijikuta natokwa na machozi kwa mengi kisha nilimuambia mjomba:



"Mjomba  nisamehe"


Lakini hakujibu kitu mjomba aliendelea kuendesha gari akiwa kimya,   nilihisi leo sijui itakuwaje tulipita chalinze na kusonga mbele kuelekea dar,  kumbe tulipo ondoka  huku nyuma  General aliingia nae kwenye gari,   na kutufuata nyuma  hadi tunaingia dar alikuwa nyuma yetu,  tulienda hadi nyumbani kunduchi  bichi General alikuwa nyuma nyuma akatushudia tunaingia kwenye geti la nyumbani hivyo alipaki hapo na kusubili kwa muda kisha alishuka na kuja mpaka getini akagonga mlinzi alifungua na kumuuliza:



"Nikusaidie nini?


"Samahani nilikuwa namuulizia hapa ninyumbani kwa kina Laura?


"Ndio wewe nani  mkuu?


"Mimi ni soja mwenzie tumemaliza leo mafunzo,   je amefika nyumbani tayari?


"Kaingia sio muda mkuu karibu ndani,  au nikuitie?


"Ooh! Asante kama kaingia sio muda atakuwa na mjomba pamoja shangazi yake wanafurahia,    sitaki kuwaharibia furaha yao,   ngoja nikupe hii kadi yangu utampatia sawa,   akikuuliza muambie Ethane"



"Ok sawa  mkuu"



Kwakuwa alikuwa anamavazi ya kijeshi hivyo hata mlinzi alimuongopa na kumuita mkuu,  alimuachia kadi na kisha akaondoka na kurudi kambini,  sasa tulipoingia ndani mimi na mjomba tuliposhuka nikiwa na mavazi yangu yakijeshi  shangazi mke wa mjomba wangu alikuwa akinisubili kwa hamu sana tulipofika alinipokea kwa furaha mno na kuniita:

"Karibu nyumbani soja wangu nilikuwa nimekumiss sana mwanangu"


"Mimi pia mama"


Napenda kumuita mama kwani amenilea tangu nikiwa mdogo,   nikamkumbatia akanishika mkono na tukaingia ndani,  nilikuta kaniandali  vitu vingi hatari,   ila mjomba alienda zake moja kwa moja chumbani,   hata shangazi alielewa tuu kuwa hayupo sawa,  shangazi akaniuliza:


"Kwani kulikoni mbona mjomba yupo hivyo kipenzi changu  ameudhiwa na nani tena?



"Mama nimemuudhi mimi"


"Ehee!  Nini tena,   ndio mmekutana tuu leo muda mrefu mliokukuwa mbali kulikoni?


"Nisaidie mamab kumbembeleza,    kanikuta nalishwa chakula  na General ndio kakasirika hataki kuongea namimi kabisa"


"Mmh!  Haya niambie General kwanini akulishe chakula wewe kunanini hapo?


"Mama nakuambia ukweli,   kiukweli  nimpenzi wa maisha yangu,   ninampenda sana General Ethane"


"Mmh! Haya hayo mambo umeanza lini kipenzi jamani?


"Mama jamani nenda kwanza kambembeleze,   kisha nitakuelezea kilakitu  ngoja nikabadili haya mavazi kwanza"



"Sawa lakini umependeza sana kipenzi changu,  umekuwa sasa yaani upo vizuri hatari"


"Asante mama"


Kisha shangazi aliondoka na kwenda chumbani kwao,  kumkuta mjomba,  namimi nilianza kuonja onja mapishi niliyoandaliwa  na shangazi,   kisha nikataka kuoondoka kuelekea chumbani kwangu,  lakini ile naanza kuondoka tu mlinzi akaniita:


"Samahani mkuu Laura"


Nikageuka na kutabasam kwani leo hii mlinzi ananiita mkuu,   kutokana na haya mavazi ya jeshi m,  nika muitikia:


"Unasemaje uncle moris?


"Kwanza kabisa hongera kwa kuhitimu mafunzo mkuu,  kingine ninahii kadi hapa kuna mkuu moja alikuja hapo getini  na kunigongea,    nae kavaa mavazi ya jeshi  kasema mmetoka kuhitimu wote,   hivyo hakutaka kuvuruga furaha yenu na wazazi wako,    kaniachia hiyo kadi tuu nikupatie"


Nikaiponea  hiyo kadi kusoma jina nilishtuka sana,   nikakimbia hadi getini nikafungua mlango,   nikatoka nje na kutizama kote lakini sikuona kitu chochote,  nikarudi ndani lakini nilikuwa natabasam tuu,   kiukweli nilifurahi sana kugundua kumbe General Ethane alikuwa anatufatilia hadi nyumbani kwetu,   nilifurahi sana  nikawa naingia ndani  mlinzi tena akaniita:



"Mkuu Laura huyo jamaa kasema anaitwa Ethane"


Nilitabasam tuu na kuelekea ndani  bila kumjibu  chochote,   nilienda hadi chumbani kwangu nilikuwa nafuraha sana kiukweli,   nilivua nguo na kuingia bafuni kuoga,   kisha nilipotoka nilivaa pensi yangu fupi na tisheti,  kisha nilitoka  kuelekea dining nilipoandaliwa misosi mitam tam na shangazi,  shangazi  alimuambia  mjomba:


"Mumewangu binti tayari nimkubwa sasa,   chamsingi tushukuru hata hajatuaibisha,   amefanikiwa kuhitim vizuri mafunzo yake,   apo anasubili apangiwe  jeshi la yeye kujiunga tu,   jivunie yeye  wengine wanawaibisha wazazi mapema sana,   kwakubeba mimba au kutoroka na wanaume eeh!,    Shukuru mtoto ametuheshimu  kuwa namoyo mzuri kwake mumewangu,   haya inuka twende tukafurahi nae asijisikie vibaya"



Mjomba alielewa na kuinuka kutoka na kuja dining nilipokuwa mimi,   alikuwa na furaha tuu tukala chakula pamoja,  tukafungua mvinyo na kuanza kunywa,   shangazi akaenda ndani na kuniletea  box la simu,  na kuniambia:


"Zawadi yangu hii kipenzi kwako"


Nikamkumbatia kwani alijuaje nahitaji simu kwa wakati huu,   nilifurahi sana  na laini akanipa nikaiweka kwenye simu,   na kisha nikaweka vocha pia  wakwanza kumpigia alikuwa General,  simu iliita sana kisha ilikuja kupokelewa na mdada yaani sauti ya kike




Je nini kitatokea Laura  baada ya kusikia sauti ya kike  unatamani kujua endelea kuifuatilia...........
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *11--15* *__________________________________* *SEHEMU YA 11* Nilishtuka sana mjomba alipo niona ndio mkono wa General Ethane upo mdomoni kwangu

,    nilipokutana macho kwa macho na mjomba niliganda nikiwa nimetoa macho,   kisha nilisimama juu na kumuita:



"Mjomba!


General nae alishtuka na kugeuka haraka kumuona mjomba wangu,  mjomba alisogea adi tulipokuwa na kunishika mkono akanipeleka nje kwenye gari yake,   bila kusema kitu chochote kisha akafungua mlango wa gari na kuingia na  kisha akawasha gari tukaanza safari,   kiukweli alikuwa na hasira sana  njia nzima alikuwa kimya hakuongea kitu,    nilihisi kuchanganyikiwa sana kwani sijawahi kumuuzi namna hii mjomba wangu,    amekuwa akiniamini sikuzote  niliwaza sana,    na General tumeachana hata namba ya simu hajanipa hapajui kwetu wala sijajua kambi ipi anaenda kufikia,    nilijikuta natokwa na machozi kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-11-15-__________________________________-sehemu-ya-11-nilishtuka-sana-m

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO Niliwatizama waliniona ila walinipotezea kabisa kisha General aliinuka na kuondoka wale wasichana wambea wakaanza kusema:
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________*   *SEHEMU YA 01*  "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *01--05* *__________________________________* *SEHEMU YA 01* "Kikosi namba saba, wote mnatakiwa  pared,  leo jioni kutakuwa na ugeni,   hivyo mjiandae"
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *
*GENERAL SILI SILALI JUU YAKO* *16--20* *
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

590
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

486
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

472
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

321
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

215
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

73

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest