ππKIJIJI CHA UTAMUππ Sehemu ya sita
(π)
(HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO)
π Asmaa asmaa asmaa..π
( Asma akarudi nyuma na kwenda nje kusikiliza wito ile sauti ilikuwa inatokea mlango wa mbele...na kumbe ni sheria mama yoyote akija anamwita mwanae mara tatu na ndio mlinzi anajua kuna mama kaja kumfata mwanawe)
" Bibi nacho mama ananiita.
" Nenda ila usimwambie ya humu sawa ila twende wote hapo nje.
( Wakatoka wote mimi nipo nyuma ya nyumba nasikilizia tu kama itakuwa poa Basi iwe poa )
" Asma ongea na simu na baba yako yani kanifanya nije uku anataka kuongea na wewe.
" Sawa mama.
( Asma akashika simu uku bibi nacho kanifata ananiambia)
" Bwawa limeingia ruba wewe ondoka kesho nayo siku utakuja.
" Poa ila asije mtu kumchukua asma.
" Usijari wewe nenda kwanza.
( Kidume uyo nikaondoka zangu uku asma anaulizwa na baba yake)
" Mwanangu kwenye ayo mafunzo yako yanazungumzia Elimu japo kidogo?.
( Kabla asma ajajibu mama yake alichukua simu kwa sababu aliweka sauti ya juu akawa amesikia yote aliyosema baba asma sasa mama mtu ndio anajibu)
" Baba asma kunisumbua kote hili ndio swali la kumuuliza mtoto aya mambo ya kike tu wewe upaswi kuyajua.
" Basi kama ivyo mrudishe mwanangu mimi roho inaniuma naona salima mtoto wa rafiki yangu anasoma uku.
" Na mwanetu na yeye anasoma uku ilo lisikuumize sana baadae.
( Mama asma akakata simu na asma akarudi ndani anamuuliza bibi nacho)
" Yule aliyekuwa ananiita kaondoka?.
" Ndio kaondoka atakuja kesho.
" Kwani alikuwa ananiitia nini?.
" Kesho utajua wewe mkubwa ila usimwambie kungwi sawa?.
" Sawa.
( Upande wangu mimi nikaona niende kwenye somo la kiume kule nipoteze muda nafika pale naona somo zuri tu ila kwa wale wanaosikiliza mimi kichwani nina yangu somo lilikuwa ni hili)
" Mara unapoona mwanamke ameanza kuwekeza kwako ujue amekuelewa. Matendo yako kwake na jinsi unavyofanya ajisikie kuhusu mwenyewe hicho ndicho ameelewa kupitia matendo yako. Hicho ni kipimo kikubwa ya kuwa penzi lako limepokelewa katika moyo wake, vinginevyo utashikana mahali ambapo haupendwi,
Kwa kadri mwanaume anavyozidi kuwekeza katika hayo mahusiano inasema mahusiano yana uzito kiasi gani. Mahali uwekezaji wake ulipo ndipo na moyo wake ulipo. Mwitikio wa mwanamke wake kwa upendo wako, ndiyo taa ya kukuongoza kuhusu hatua zinazofuata.
Kama hawekezi kwako muda, mawazo, nguvu, hisia, fahamu ya kuwa haujapokelewa, unapenda lakini haupendwi. Ukiendelea na kuzama sana wewe ndiwe utashikana naye tu wakati yeye hana mzigo na mahusiano yenu, hajawekeza chochote.
Mwanaume wa kweli anapoanza kuzama katika penzi la mwanamke anakwenda taratibu, kwa umakini sana mpaka mahali ambapo ni vigumu kurudi nyuma ( a point of no return). Ni mwangalifu katika matumizi ya maneno na kasi ya kuingia kwenye maisha ya mtu.
Ni wale wenye thamani ndio hupita njia hiyo, wanajua wana vitu vya kupoteza, mwanamke anachukua mambo moyoni na kosa moja linaweza kufanya uharibifu mkubwa. Wanajali sana kiwango cha kuheshimu hisia za mwanamke wala hautakutana naye leo, kesho akwambie ninakupenda, sijui ninataka nikuoe.
Hapo ndipo mwanamke mwenye busara huweka umakini kujua mwanaume gani yupo kwa ajili ya jambo moja na nani yupo kwa ajili ya maisha ya kupenda. Mwanamke anaweka umakini kwenye speed/kasi ya mahusiano, uwekezaji na kusudi (intention) la mwanaume ili kujua huyu mwanaume ni hazina au anakuja kwangu kuiba ua(flower) langu.
Kwa hiyo, mwanaume wakati unaendelea katika mahusiano kila mara angalia kama mwanamke wako anawekeza katika hayo mahusiano, kama hawekezi pengine uko pekee yako.
( Mimi nikawa naona yananizingua tu uyo nikaondoka zangu home...upande wa Alex sasa kafika kwa kungwi)
" Karibu fagerson hapa ndio nyumbani.
" Hahahaha asante usalama hupo wa kutosha hapa.
" Fagerson unaogopa nini wewe ni mwanaume.
" Sawa ila kinga ni bora nishakaribia my dear naomba maji ninywe.
" Alafu fagerson wewe unapenda kuniita majina tofauti tofauti mala my mala my dear aya shauri yako mimi nikipenda napenda kweli.
" Asante na mimi nataka unipende kweli na nitakupenda sana.
" Hehehehe nicheke kungwi mimi Leo nimepata bwana aya ngoja nikakupe maji unywe.
( Alex anatuna yani anaitika jina sio lake yani kajipachika tu sasa alipopewa maji kanywa alafu anaulizwa?)
" Fagerson umeomba maji umepewa aya nini chengine unataka upewe?.
( Hapo ndio mtihani kwa Alex atasema anataka kuma?..au atajivunga vunga ila Alex nusu chizi si akamwambia ukweli anachotaka)
" Mimi nataka ku.....
ITAENDELEA
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi