Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹  Sehemu ya sita
Gonga94 Β· Stories

πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹ Sehemu ya sita

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

(πŸ”ž)

(HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO)

πŸ‘‰ Asmaa asmaa asmaa..πŸ‘‡

( Asma akarudi nyuma na kwenda nje kusikiliza wito ile sauti ilikuwa inatokea mlango wa mbele...na kumbe ni sheria mama yoyote akija anamwita mwanae mara tatu na ndio mlinzi anajua kuna mama kaja kumfata mwanawe)

" Bibi nacho mama ananiita.

" Nenda ila usimwambie ya humu sawa ila twende wote hapo nje.

( Wakatoka wote mimi nipo nyuma ya nyumba nasikilizia tu kama itakuwa poa Basi iwe poa )

" Asma ongea na simu na baba yako yani kanifanya nije uku anataka kuongea na wewe.

" Sawa mama.

( Asma akashika simu uku bibi nacho kanifata ananiambia)

" Bwawa limeingia ruba wewe ondoka kesho nayo siku utakuja.

" Poa ila asije mtu kumchukua asma.

" Usijari wewe nenda kwanza.

( Kidume uyo nikaondoka zangu uku asma anaulizwa na baba yake)

" Mwanangu kwenye ayo mafunzo yako yanazungumzia Elimu japo kidogo?.

( Kabla asma ajajibu mama yake alichukua simu kwa sababu aliweka sauti ya juu akawa amesikia yote aliyosema baba asma sasa mama mtu ndio anajibu)

" Baba asma kunisumbua kote hili ndio swali la kumuuliza mtoto aya mambo ya kike tu wewe upaswi kuyajua.

" Basi kama ivyo mrudishe mwanangu mimi roho inaniuma naona salima mtoto wa rafiki yangu anasoma uku.

" Na mwanetu na yeye anasoma uku ilo lisikuumize sana baadae.

( Mama asma akakata simu na asma akarudi ndani anamuuliza bibi nacho)

" Yule aliyekuwa ananiita kaondoka?.

" Ndio kaondoka atakuja kesho.

" Kwani alikuwa ananiitia nini?.

" Kesho utajua wewe mkubwa ila usimwambie kungwi sawa?.

" Sawa.

( Upande wangu mimi nikaona niende kwenye somo la kiume kule nipoteze muda nafika pale naona somo zuri tu ila kwa wale wanaosikiliza mimi kichwani nina yangu somo lilikuwa ni hili)

" Mara unapoona mwanamke ameanza kuwekeza kwako ujue amekuelewa. Matendo yako kwake na jinsi unavyofanya ajisikie kuhusu mwenyewe hicho ndicho ameelewa kupitia matendo yako. Hicho ni kipimo kikubwa ya kuwa penzi lako limepokelewa katika moyo wake, vinginevyo utashikana mahali ambapo haupendwi,

Kwa kadri mwanaume anavyozidi kuwekeza katika hayo mahusiano inasema mahusiano yana uzito kiasi gani. Mahali uwekezaji wake ulipo ndipo na moyo wake ulipo. Mwitikio wa mwanamke wake kwa upendo wako, ndiyo taa ya kukuongoza kuhusu hatua zinazofuata.

Kama hawekezi kwako muda, mawazo, nguvu, hisia, fahamu ya kuwa haujapokelewa, unapenda lakini haupendwi. Ukiendelea na kuzama sana wewe ndiwe utashikana naye tu wakati yeye hana mzigo na mahusiano yenu, hajawekeza chochote.

Mwanaume wa kweli anapoanza kuzama katika penzi la mwanamke anakwenda taratibu, kwa umakini sana mpaka mahali ambapo ni vigumu kurudi nyuma ( a point of no return). Ni mwangalifu katika matumizi ya maneno na kasi ya kuingia kwenye maisha ya mtu.

Ni wale wenye thamani ndio hupita njia hiyo, wanajua wana vitu vya kupoteza, mwanamke anachukua mambo moyoni na kosa moja linaweza kufanya uharibifu mkubwa. Wanajali sana kiwango cha kuheshimu hisia za mwanamke wala hautakutana naye leo, kesho akwambie ninakupenda, sijui ninataka nikuoe.

Hapo ndipo mwanamke mwenye busara huweka umakini kujua mwanaume gani yupo kwa ajili ya jambo moja na nani yupo kwa ajili ya maisha ya kupenda. Mwanamke anaweka umakini kwenye speed/kasi ya mahusiano, uwekezaji na kusudi (intention) la mwanaume ili kujua huyu mwanaume ni hazina au anakuja kwangu kuiba ua(flower) langu.

Kwa hiyo, mwanaume wakati unaendelea katika mahusiano kila mara angalia kama mwanamke wako anawekeza katika hayo mahusiano, kama hawekezi pengine uko pekee yako.

( Mimi nikawa naona yananizingua tu uyo nikaondoka zangu home...upande wa Alex sasa kafika kwa kungwi)

" Karibu fagerson hapa ndio nyumbani.

" Hahahaha asante usalama hupo wa kutosha hapa.

" Fagerson unaogopa nini wewe ni mwanaume.

" Sawa ila kinga ni bora nishakaribia my dear naomba maji ninywe.

" Alafu fagerson wewe unapenda kuniita majina tofauti tofauti mala my mala my dear aya shauri yako mimi nikipenda napenda kweli.

" Asante na mimi nataka unipende kweli na nitakupenda sana.

" Hehehehe nicheke kungwi mimi Leo nimepata bwana aya ngoja nikakupe maji unywe.

( Alex anatuna yani anaitika jina sio lake yani kajipachika tu sasa alipopewa maji kanywa alafu anaulizwa?)

" Fagerson umeomba maji umepewa aya nini chengine unataka upewe?.

( Hapo ndio mtihani kwa Alex atasema anataka kuma?..au atajivunga vunga ila Alex nusu chizi si akamwambia ukweli anachotaka)

" Mimi nataka ku.....

ITAENDELEA
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πŸ˜‹πŸ˜‹KIJIJI CHA UTAMUπŸ˜‹πŸ˜‹ Sehemu ya sita


(πŸ”ž)

(HII NI SIMULIZI YA WAKUBWA TU NA WAKUBWA WENYEWE WALE WAPENZI WA CHOMBEZO)

πŸ‘‰ Asmaa asmaa asmaa..πŸ‘‡

( Asma akarudi nyuma na kwenda nje kusikiliza wito ile sauti ilikuwa inatokea mlango wa mbele...na kumbe ni sheria mama yoyote akija anamwita mwanae mara tatu na ndio mlinzi anajua kuna mama kaja kumfata mwanawe)

" Bibi nacho mama ananiita.

" Nenda ila usimwambie ya humu sawa ila twende wote hapo nje.

( Wakatoka wote mimi nipo nyuma ya nyumba nasikilizia tu kama itakuwa poa Basi iwe poa )

" Asma ongea na simu na baba yako yani kanifanya nije uku anataka kuongea na wewe.

" Sawa mama.

( Asma...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kijiji-cha-utamu-sehemu-ya-sita

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kijiji-cha-utamu-sehemu-ya-sita
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

53
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.26K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest