Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah
Gonga94 · Stories

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

alijibu kwa upole,

"We panga unavyojua wewe, maana
mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia
hazitokuhusu" Kayoza aliongea
macho yakiwa makavu,

"Basi baba, hatugombani hapa"
Stellah aliongea huku akitabasamu,

"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza
alimwambia stellah,

"Kwani ukivaa mbele yangu kuna
ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa
utani,

"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah
nje na kubaki ndani peke yake huku akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..

Ila angejua ambacho kitamtokea,
basi asingekubali ule mwaliko.......

_____________
ENDELEA.
_____________

"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa kwa ndani,

"Bado hujaondoka tu?" Kayoza aliuliza kwa hasira,

"Fungua bwana" Sauti nene ya kiume iliongea kutoka nje na ndipo Kayoza akauendea mlango na kuufungua na wakaingia rafiki zake wawili, mmoja aliitwa Omary na mwingine alitambulika kwa jina la Denis,

"Vipi wewe unajifungia fungia mchana, au ulikuwa na Stellah?" Denis alimuuliza Kayoza,

"Umejuaje?, alikuwepo hapa muda si mrefu" Kayoza alijibu huku akij i tupa kitandani,

"Kwa hiyo mlikuwa mnafanya mambo flani nini?" Omari aliuliza huku akicheka,

"Muda wote unawaza ujinga tu, hivi ni lini utakuwa wewe?" Kayoza alimuuliza Omary kwa hasira,

"Huyu sio bure, zile tetesi hata mimi naanza kuziamini" Omary aliongea huku akimgeukia Denis,

"Tetesi gani?" Kayoza aliuliza kwa hamaki huku nae akimgeukia Denis,

"Maneno tu ya watu" Denis alijibu huku akionekana hataki kulizungumzia hilo,

"Maneno gani sasa, si uniambie" Kayoza aliongea huku akiwa bado anamuangalia Denis,

"Mchane, usiogope, huyu ni rafiki yetu na ni lazima chochote kinachosemwa juu yake tumwambie" Omary alimsisitizia Denis,

"Niambie hata wewe kama Denis hataki kuniambia" Kayoza aliongea huku akimgeukia Omary,

"Bwana mimi sipendi kuficha, uko nje habari zimeenea kuwa wewe ni shoga, eti haiwezekani tokea uanze kusoma hapa mwaka wa tatu huu haujawahi kuonekana na mwanamke sehemu yoyote ile" Omary aliongea huku akitazama chini na kumfanya Kayoza nae ainame chini huku akiwa na huzuni sana,

"Mimi siamini kama wewe unaweza kuwa shoga, ila nahisi labda una tatizo jingine, tueleze rafiki yetu, usiogope" Denis aliongea kwa lengo la kumfariji Kayoza ambaye bado alikuwa kichwa chini huku akiwaza,

"Tunasaidiana mambo mengi. Sisi ni ndugu sasa na sio marafiki tena, tatizo lako ndio tatizo letu, kwa hiyo Sema kama una tatizo tuone kama tutaweza kukusaidia" Omary nae alimsihi Kayoza awaeleze,

"Sina hamu ya kuwa na mwanamke wala kufanya mapenzi na sijui ni kwa nini?" Kayoza aliongea kwa huzuni huku akiwa bado kichwa chini,

"Ila ulishawahi kufanya mapenzi kipindi cha nyuma?" Omary alimuuliza,

"Tokea napata akili sijawahi na wala sina hamu kabisa" Kayoza alijibu,

"Umeshawahi kwenda hospitali?" Denis alimuuliza,

"Nimeenda mara nyingi sana na naonekana sina tatizo" Kayoza alijibu,

"Na kwa waganga wa kienyeji umeshawahi kujaribu?" Omary aliuliza,

"Kila nikipanga Mipango ya kwenda kwa waganga, uwa siku ikifika najikuta napuuza au kinaweza kutokea kitu kingine kitachoharibu huo mpango" Kayoza aliwaeleza wenzake,

"Basi ilo jambo tutalifuatilia vizuri, sio bure" Denis aliongea huku akisikitika,

"Stellah alikuwa anasemaje?" Omary aliamua kubadilisha maada,

"Alafu nilishasahau, amesema jioni tuonane mjini" Kayoza alijibu,

"Kwa hiyo leo unatuacha, utalala huko huko au utarudi?" Omary aliuliza,

"Amesema tuende wote watatu" Kayoza alijibu,

"Aisee mimi leo sina hela, kwa hiyo sitoenda, si unajua leo wikiendi so ukienda mjini inabidi ujipange" Denis aliongea huku akitabasamu,

"Amesema gharama zote zake, sisi tuende kama tulivyo" Kayoza aliongea na kufanya wenzie wafurahi,

"Basi poa, ngoja nilale kidogo ili chakula kishuke" Denis aliongea huku akijilaza kitandani,

"Ila usiku tutarudi, hatutalala mjini" kayoza alisema,

"Mimi sitorudi, nitaunganisha clab moja kwa moja, leo wikiendi bwana. Au wewe Denis nawe utarudi?" Omary aliuliza huku nae akipanda katika kitanda chake cha juu,

"Tutajua uko uko" Denis alijibu kivivu huku akiwa amesinzia.

********************

Mida ya saa moja kasoro jioni, Kayoza,
Omary na Denis walikua maeneo ya
mjini katika foleni ya ATM. Ilipofka
zamu yao kayoza akaingia ndani,
akatoa pesa, kama elfu hamsini
akatoka na kuungana na wenzake,

"oya wakubwa, mi naona twendeni
kwanza tukale kwa sababu huyu
demu mimi simuamin amini,
anaweza kuwa katenga bajeti ya
kunywa tu, akijua sisi tumekula", Kayoza alikua anawaambia wenzake,

"acha uboya we mtoto wa mama, alipokwambia uje saa moja alitaka tuje tupige nae msosi wa jioni, huyo du si
anajua ratiba zetu za msosi wa
usiku, kuwa tunakula saa tatu, kwa hiyo alijua saa moja tutakuwa bado hatujala" Omary aliongea huku akiwa anatafuna karanga.

Mara simu ya kayoza ikaanza kuita mfukoni,
akaitoa mfukoni kisha akaiangalia
kwenye kioo cha simu, jina lililoonekana wakati huo lilisomeka KICHECHE.

'huyo Stellah anapiga" Kayoza aliwaambia
wenzake ambao walikuwa
wanamuangalia,

"usilembe bishoo wewe, pokea simu uongee na mtoto mzuri", Omary
alimsisitiza Kayoza baada ya kuona anajishauri kupokea simu.

Kayoza akaipokea ile simu, kisha
akaweka sura ya umakini,

"Mambo..",Kayoza alimsalimia Stellah,

"poa, mko wapi?",Stellah alimuuliza Kayoza kupitia simu,

"tupo hapa benk, tunakuja",Kayoza
alijibu,

"mbona simu ilikuwa inaita muda mrefu hivyo?",Stellah alianza
kulalamika namna hyo,
"nimeiweka sauti ndogo mno, alafu
hapa ATM kuna utulivu sana na watu wako wengi sana, kwa hiyo ilinibid nisogee mbali kidogo ili niipokee simu yako" Kayoza
akamdanganya Stellah,

"ok.. poa, sisi tumeshafika
tunawasubir nyinyi" Stellah
akamtaharifu Kayoza,

"sisi tutachelewa kidogo kwa sababu tunaenda kula kwanza", Kayoza
akatoa udhulu,

"mambo gani sasa, nyie njooni tu, hivyo vyote nimevitayarisha",Stellah akawaka,

"poa, ndani ya dakika kumi tutakuwepo hapo" Kayoza akaongea kisha akakata simu.

"Haya waungwana twendeni
tukawachune hao vicheche, mida ya
saa nne tuwateme tukajiachie clab
mpaka kuche" Kayoza akawaambia wenzake,

"Vicheche? Kwani yuko nani?" Omary aliuliza,

"Yuko na Tausi" kayoza alijibu,

"Basi twendeni tukakae nao alafu baadae tunaenda zetu clab" Omary aliongea,

'nyie nendeni tu uko club mimi lazma nikalale
na mmoja wao" Denis aliongea na wenzake wakacheka.

"Jamaa mroho kweli" Omary alimtania Denis huku akiendelea kucheka,

"Wamekwambia wapo wapi?" Denis alimuuliza kayoza,

"Wapo Nyerere squarre" kayoza alijibu huku wakivuka barabara inayoelekea wanapokwenda.

Walipofika nyerere square,
wakamuona kwa mbali stellah na rafiki yake aitwae Tausi,

"Leo kazi ipo" sauti nzito ilipita kwenye masikio ya Kayoza na kushindwa kuelewa inatokea wapi, na cha ajabu Denis na Omary hawakuweza kuisikia sauti hiyo....

******ITAENDELEA******
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah


alijibu kwa upole,

"We panga unavyojua wewe, maana
mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia
hazitokuhusu" Kayoza aliongea
macho yakiwa makavu,

"Basi baba, hatugombani hapa"
Stellah aliongea huku akitabasamu,

"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza
alimwambia stellah,

"Kwani ukivaa mbele yangu kuna
ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa
utani,

"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah
nje na kubaki ndani peke yake huku akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..

Ila angejua ambacho kitamtokea,
basi asingekubali ule mwaliko.......

_____________
ENDELEA.
_____________

"Mpuuzi kweli huyu manzi" Kayoza aliendelea kuongea peke yake huku akivaa kaptula kabla hajashtuliwa na mtu aliyekuwa anasukuma mlango ili aingie ila alishindwa kutokana na ule mlango kufungwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya-2-______________-ilipoishia-_______________-inatakiwa-ni

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kijijini-kwa-bibi-na-mwaisa-story-sehemu-ya
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 3  ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

559
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

442
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

400
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72

380
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘

347
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

202
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23

157
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18

106
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

101

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.8K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.02K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.26K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.15K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1) Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 24 MPAKA 25 ( MWISHO WA SEASON 1)
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 24 Basi bwana nakumbuka nilikaaa uku nyumbani week.2 . Nipo na babu tu. Sikuwahi kumpigia kabisa princess na wala yeye hakunipigia .na nilishamtia marufuku. So hakunipigia kabisa ataaa....

MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
@majario LIVE

Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia naumia sana . Hataki kuwa na mm. Na hana mda na mimi. Mama...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 47💘💘
@majario LIVE

Baada ya kumaliza kupeana ule utamu wa alfajir hemed alinikumbatia tena tukalala tuliamka saa tatu za asubuhi tukaingia bafuni kuoga baada ya hapo tulipata breakfast tulivyomaliza kula nilimuaga hemed nikamwambia...

MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 21 MPAKA 23
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 21 Basi mie nikaendelea na vipindi na jioni sana ndo tukaludi getoo. Basi tukiwa tunaendelea na story zetu mi na lemi. Oyaaaaa kufika saa nne jsiku mtoto...

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest