Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18
Gonga94 · Stories

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa kwenye chumba chake cha maabara akiwa ameshikilia kile kifaa.

Kuna baadhi ya kemikali na mambo aliyokuwa akiyafanya juu ya kile kifaa.

Basi upande wangu huku nikajikuta naumia tu ni kama vile nakaribia kukata roho kama navutwa ama laah.

" Bado tu mume wangu, sitakuelewa kama Amara wangu hatarudi ndani ya wiki hii " alisikika mama Amara akizungumza.

" Nipe mida mke wangu nakubali nimetengeneza kifaa na kukihifadhi kizembe hadi kimemdhuru mwanangu ila si wa kulaumiwa peke yangu. Una makosa pia katika hili " alizungumza baba huku akimuangalia mkewe.

Basi namna mama hapendi kulaumiwa akaanza kuangua kilio.

Baba akaingia jukumu la kumbembeleza mama akaachana na kile kifaa. Hapo kidogo moyo wangu ukatulia ile hali ya kuvutwa ikakata kabisa.

Ikapita miezi na wiki zikawa zinazidi kwenda kasi....

Siku moja nikiwa jikoni naandaa supu kwaajili ya mfalme, nikaanza kuhisi kichefuchefu wacha nikimbilie nnje kutapika.

Sikutaka kuamini kama Amara mimi mpenda nyama leo hii naikinai ama ni mazingira mapya ? " Nilijikuta nikijiuliza.

Sikutaka kupiteza muda, siku hio sikuonja nyama wala radha ya pishi langu.

Nilipohakiki limeiva nilitenga kweye vibakuli kisha nikaelekea chumbani kwa mfalme.

Sikuona haja ya kugonga hodi kwa namna nilivyomzoea, ukizingatia mechi za kuchosha viungo anazonipatia sikuwa na wasiwasi.

Kama nilivyotegemea hakushangaa kuniona zaidi alinifurahia, nilimtengea na kukaa kando yake nikisubiri maoni ya nilichokiandaa.

Ajabu nikaanza kuhisi kichefuchefu kila alipopandisha kijiko cha supu mdomoni mwake.

" Aaaaasssssh " alisikika mfalme akilalamika pale nilipotapikia chakula chake.

" Una shida gani mama angu ? " Aliuliza mfalme.

Basi nikashuka chini kuomba rehema, namna alivoniwekea uso wa serious mazoea yakakata ghafla hapo nikaanza kuomba msamaha mbele zake.

Naweza sema upendo ama laah, mwanaume huyu hajui kununa eeeeh ?

Alikuja kuninyanyua na kuniketisha kando yake.
Haikuchukua muda kamanda kauzu alifika na mganga mkuu wa ikulu basi nikaanza kupimwa.

" Hongera mbinti una ujauzito wa miezi mitano " alizungunza mtabiri huyo huku akitabasamu.

" Ni mimi au mfalme ? " Nikauliza ni wazi nilikuwa nimevurugwa.

Nilizidi kwenda viral pale nilipogundua mfalme anakenua meno yake.

Wacha nianze kupiga kelele na kumrushia mito mfalme.
Mganga mkuu hakuweza kuhimili fujo hizo hivyo aliondoka.

" Shida nini mama ?, naenda kuitwa baba ni utukufu huu hakika " alizungumza mfalme huku akirukaruka kwa furaha.

Nilipoona ananikwaza nilimtoa nnje, japo ni chumba chake ila alikuwa mpole mie ndo nkawa mtawala 😀.

Taarifa za mimba zilipomfikia malkia Dorcas hakuonekana kushangaa ni wazi alilitambua.

Malkia waita alionesha fujo na jazba punde aliposikia habari hizo.
Hivyo akafunga safari moja kwa moja hadi kwenye chumba cha mfalme.

Nini kitajiri ?.

Endelea kufuatilia
SEHEMU YA 19 - 20
" Nitaitoa mimba ya huyo kimada sitakubali aniondoe kwenye jimbo langu kilaini namna hii " alizungumza malkia waita huku akizidi kuchanja mbuga.

" Si ajabu eeeh uliyoyasikia ?, sitegemei kusikia umefanya fujo kwa huyo kimada wa ikulu, kwanza asikusumbue mke ni mke tu na kimada atabaki kuwa kimada daima, japo sheria ipo wazi malkia asipozaa ndabi ya mika 10 anavuliwa cheo chake ila usijali nitaipindua sheria hio kwajili yako, sitafanya hivyo bure..... ila kwa sasa rudi chumbani kwako " alizungumza malkia Dorcas.

" Queen Dorcas ni mtu wa ajabu sana inaonekana, hajulikani ana akili za namna ipi kwani mara nyingi huingilia mbinu za malkia waita na kumzuia kufanya uhalifu ".

" Nitamuua kimada huyu endapo nitamkamata " alizungumza malkia waita huku akirudi kwa hasira chumbani kwake miguu yake akiipiga piga chini.

Siku zilienda tumbo langu likiwa linazidi kuwa kubwa.....

Kumbukumbu zangu za maisha yangu ya zamani familia na kilakitu zikaanza kunirejea nikiwa huko.


Hatimae mimba ikafikisha miezi tisa sasa.

Nikiwa juu ya kifua cha mfalme nikideka baada ya sita kwa sita nilishangaa nikitikwa na maji maji sehemu nyeti yakiambatana na maumivu.

Wacha nipige ukunga wa hatari.
Haikukuchua muda mganga mkuu alifika mahala pale kama mjuavyo kauli ya mfalme ni sheria ndivyo ilivyokuwa kule.

Basi shughuli ya kunifungulisha ikaanza wale wanawake walioingia leba ama wanaume walioshuhudia mtoto akizaliwa mnanielewa vema hakika.

Upande wa nyumbani anaonekana baba angu akiwa maabara sambamba na mama yangu.

" Lazima nipate matokeo mazuri siku ya leo nimehangaika kwa muda sasa " alisikika baba akizungumza huku mama akiwa anamuangalia kwa macho yaliyokata tamaa kabisa.

Shughuli ya kunizalisha iliendelea huku nikisikia maumivu ya hali ya juu.

" Sukuma sukuma " sauti za wakunga zilisikika zikinitaka nisukume mtoto atoke.

Japo nilijitahidi kwa hatia za mwanzo ila nikaonesha kuzidiwa na kuishiwa na nguvu.

Sifahamu nini kilijiri, kufumba na kufumbua nilijikuta kwenye dunia na mahala nilipopazoea sana.

Hapakuwa pageni kwangu, ni pa simenti si pa mbao na panavutia sana si pengine bali nyumbani kwetu.

Palibadilika kiasi tu.

Nilijikuta nikitabasamu pale nilipotazama pembeni na kumkuta mama yangu na baba yangu wakinutazama ni kama walikuwa wakinisubiri kwa hamu sana.

" Mama, baba !! " niliita. Basi wakanisogelea na kunikunbatia kwa upendo.

Maswali ya wapi ulikuwa nini kilijiri na niliishije hayakuisha siku hio.

Niwambieni tu, manake kwanza nicheke😀, niliwajibu na kuwahadithia yote isipokuwa yale ya minyanduano ni aibu kwa kweli.

Naina kuna jambo nimesahau kuwaambia na ni hili ;

Kule buana sijui korea au wapi nilifanikiwa kujifungua mtoto mzuri wa kiume na mwenyw afya.

Kutokana na mvutano na mambo ya kitaalamu ya baba, mwili wangu ulibaki kule na roho yangu ikaja huku, hivyo kule ilijulikana nimefariki japo mtoto alitoka salama.

Mfalme Jampio haishi kunikumbuka utamu wake wa bei ya jioni.
Kila akiniwaza haachi kunena " ama kweli nilimpata mpishi mwenye utamu wake ".

Upande wa malkia waita ilikuwa ahueni kwake pale nilipofariki ni wazi alikuwa akinichukia kupitiliza.

Malkia Dorcas aliiingia jukumu la kumtunza mjukuu wake aliyepewa jina ATASA 😀 kwa kuhofia huwenda waita atamdhuru kwa chuki zake.

Tukiachana na hayo hivi sasa nipo home japo ni muda mchache ila nimepata bwana wa maana kaelewa show na anataka kunioa mie, ni kama niliondoka na baraka za kule.

Yote kwa yote acha ibaki kuwa historia tu ila sitakuja kusahau yale niliyoyapitia, ama kweli sayansi ipo na Mungu yupo tusidharau hivi vitu.

THE END BY JJL STORIES 🥰.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 17 – 18

Ni ajabu kwani niliangaza huku na kule nikiwa na lengo la kuona nini kilichonivuta
Ila macho yangu hayakufanikiwa kuninasa kabisa.
Nilifanikiwa kuliona ua nililoliona siku ya kwanza nilipoingia ikulu humu, nikaishia kulitazama na kurejea chumbani kwangu.

Ajabu sikumkuta tena mfalme Jampioni ndani ya himaya yangu, hivyo nilifahamu yupo na mkewe wananyanduana usiku huu.

Sijui ni hisia gani nizipatazo ndani ya moyo wangu, sidhani kama ni wivu Amara mimi siwezi kuwa na wivu hata kidogo hasa kwa mwanaume nisiyempenda.

Ni kama nilikuwa nikijifariji tu, ni wazi sikuhitaji mfalme aondoke upande wangu, mara zote nilihitaji awe upande wangu ilihali si halali yangu.

Upande wa nyumbani anaonekana baba akiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mpishi-ana-utamu-wake-sehemu-ya
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 11
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 15
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 12
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 6
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 7
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 8
MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 8
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

391
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

331
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

234
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

140
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

38

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest