Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 36 & 37
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka tuelewana nakupenda farida ntakuelezea mengine mke wangu please . Mi sikutaka kumsikiliza nilimsukuma kw nguvu mpaka akaanguka chini

Kisha mimi sikugeuka tena nyuma nilikimbia sana kuelekea nyumbani nililia mnoo uko njiani . Moyo uliuma. Jamni niliumia moja kwa moja mi nilienda kwa kina yusta kwanza mana nilihisi namuhitaji kwa uo mda .nilimkuta nje kwao anaosha vyombo. Yani nilifika nikajibwaaga chini nikaanza kulia kwa nguvu. Tena kwa kwikwi mpaka natetemeka . Nyie yust alishanga akaniuliza farida vp .umefiwa kwani. Nikasema yust simtaki mlig. Simpendi na namchukia sana . Simtaki mimi ata kumsikia .nililia nyie yusta akiniinua kwa akuniburuza akainiingiza chumbani kwake. Nililia jamani . Mpaka yusta anambia taratibu basi utajiumiza kwani shida nn. Nilimwambia mlige mlige alikuwa ananidanganyaaa. Nyie nilimuelezea yista kwa kulia na nikiwa na mchungu sana moyoni yani nilikuwa nalia mnooo. Yust akasema yani uyu mlige kumbe ana date kweli na zahara na mimba ni yake. Nikasema ndio ni kweli kabisa

Mnajua ata yust alinionea huruma sana. Mana anaelewa kabisa ni kwa kiasi gani mm nampenda mlige. Yani yust anaelewa sana .ni kwa jinsi gani nampenda yule baba. Mapenzi yanauma sana. Nililia sana😭😭😭😭. Nikisema sitamini kuwa nae tena .namuona ni mwanaume muongo na. Asiyekuwa na msimamo. Mana mm na mlige tuna kama miez 6 tupo katika mahusiano. Alafu yule madame alisema mimba yake ni ya miezi 3.Nikajua kabisa kuwa mlig kanisaliti apa kati. Na wala sio mm nimewaingilia katika mahusiano yao. Niuliumia sana ila yust alinituliza sana ila kiukweli sikuwa sawa .jioni ilibidi niondoke tu. Mana nilijua mama yake yust ataludi na akinikuta katika hali ile itakuwa sio sawa. na yista akanisindikiza mpka kwetu.

Ase nilivyofika nyumbani nilijikaza mama asijue ila mama aliponiona alinliza shida nn mbona kama haupo sawa..Nikasema hamna mama mbona nipo powa tu . Ila wapi nyie . Niliingia chumbani kwngu nililia kweli kweli mpaka pressure jlikanipanda. Na pumu ikaja nikawa napumua kwa shida mnoo. Nyie kumfumania mwanaume au mwanamke unayempenda kunauma mnoo. .yani mpaka.kupumua kulikata.mama aliponiona alichanganikiwa. Akamuita mzee .bibie mimi nikabebwa mpka hospitali. Yani ile kufika tu .niliekewa dripu tatu za maji Apo apo. Nyiee nilibanwa aseee yani mlige alijua kunikomesha a. Wazazi waliangika na mimi pale siku nzima.na nikalazwa kabisa. Nikaja kutolewa kesho yake j pili jioni kabisaa. Ase bado sikuwa saw kabisa. Mpaka amma alisema mh hii homa kweli imekukamata mwanangu kesho nitampigia simu mwalimu wako mligi kumpa taarifa. Nyie nikamwambia mama ukimpigie mlige mwambie sipo nyumbani . Mana hapendi uteseke wakati upo nyumbani labda uwe hospital na ulazwe . Nilisema hivyo ili uyo mlige asije akaja kutaka kuniona apa nyumbani.

Basi bwana kma masihara shoga yenu sikuenda shule homa bado ilinikamata mno nikawa naendelea nayoo. Ila sasa jioni yusta ndio alikuja kuniona akanisalimia pale . Bado alikuwa sawa nilikuwa mnyonge mno. Akanmbia pole sana shoga. Ila lazima upige moyo konde na maisha yaende. Faridah ww ni mzuri sana . Yani ww ni mzuri aswaa una sura .una shepu na tabia nzuri huwezi kukosa mwanaume. Kama yeye anakuona cha nn wapo kina fahidi mwanajiuliza watakupata lini. Nikasema sawa bwana..akanmbia sikia mlige kaniita leo ofsini kwake..et ohhhh kwa nn shoga yako hajaj shule.
Wala.sijambakisha nimemchamba apo apo. Nimemwambia ukweli.nimemuacha ofisini mimacho kodo. Nimemwambia kabisa sababu ya ulichomfanyia kapata na homa..nikasema yan yust mimi simtaki tena yule mwanaume simtaki kabisa ni muuaji kabisa. Yani simtaki kabis kwenye maisha yangu. Apo naongea uku nalia . Basi yust akaanza kunibembeleza akanmbia bassi nyamaza haitajiyokea tena hii kuwa na amani. Basi nikatulia na jioni akaludi kwao.ila sasa usiku mzima nalia tuu
Yani kila nikikumbuka mahaba ya mlige mwenzenu nabaki kulia japo kimya kimya yani silalai nakula kwa tabu na kulia ndo sana.mama anshangaa kila nikiamka.naamka na homa..na sikuenda shule week 3Homa haishuki kabisa mapka mama akawa anachanganikiwa.

Basi baada ya week 1 . Ndo kidogo nikaona moyo umepoa . Yan apo na yust ndio alikuwa ananipa maneno ya furaha. Na alishanambia ntapata tu mwanume mwengine mzuri tu na tutapendana . So nikaona acha nisome bwana mapenz yashanishinda nisije nikaalibu na shule. Basi juma tatu ya iyo wiki ndo nikajikokote nikampitia yusta ila nilikuwa nimekonda sana .week 3 nilibaki kama mti yote mapenzi. Basi hii siku sasa ndo nikaingia shule ila kiukweli mi binafsi nilishajizatiti kuwa simtaki tena uyu mlig ..namuachia tu na mtu wake wazae. mpka washatiana mimba asa mimi nna nini. Akaa wala.sina . Sio siri nilionana na mlige uso kwa uso. Ila mlige ndio alikwepesha macho kunitazama .mi sikujali na wala sikumfatilia na mda wa darasani mi nikaingia zangu darasani. Yani ile tunaingia tu darasani. Kaja mwanafunzi anambia farida anakuita sir mlige ofisini kwake. Nikasema kamwambie faridah kasema hataki na ukome kumjua kama ulivyokoma katika zima la mama yako. Nyiee nilikuwa nna hasira nae kisha anakuja kuniita nini. nikaona yule mwanafunzi kama anagwaya kwenda kumwambia Nikamwambia unangoja nn ebu nenda kamwambie mlige hivyo. Mwambie ayo maneno kayasema faridah basi kale katoto kakaenda kwa mkuu. Sasa sijuh alimwambia aje laa. Sijuh kabisaa.

💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 36 & 37

Nilitoka njee nikiwa na hasira sana na machozi yakinishuka . Uku moyo unauma sana . Asee naona mlig ananifata. Eti simama please simama. Tuongeee farid nyie niligeuka na kibao.

Sitaki kukumbuka ata zile nguvu nilizipata wapi .Yani nilimpiga kibao cha maana. Mlige akashika shavu ata haamini. Akasema faridah please nisikilizeeee. Yani hajaongea lolote nikamtandika kibao cha pili.

Nyiee hii siku nilichafukwa mno. Mnajua uyu baba kanipita umri mnooo. Ila nilimuona kam mtoto. Nilikuwa na hasira sana. Niliumia sana .kiukweli nilimwambia mligi. Kuanzia leo mm na ww basi. Mligi akasema hapana sio kweli we nipige tu unavyotaka ila nataka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-36-37

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

562
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

538
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

524
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

382
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

329
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

227
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

99
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest