MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Basi bwana mda wa kutoka mie na yust taratibu tukaaamza kuelekea nyumbani . Yani sikuwa sawa. Yusta ndo alikuwa ananipa moyo. Alinambia sikia shusha moyo wako. Shusha akili yako na kubali matokea shogaa. Wewe sio wa kuanza kufanyiwa ushenzi na uyo baba. Ata mm mbona alonitoa bikra sio nliekuwa nae leo. Sometime kuna watu wanapita tu katika maisha yetu na ayo ndio mapenzi . Yanakuwa na changamoto zake nyingi. Ebu fungua moyo wako farida. Achana na mlig. Alisema hivyo najikuta moyo unauma naanza kulia aseeee mapenzi . Kwa ule mda skuwa na hamu nayo. Na nilivyo mdogo . Wao ni wakubwaa bado nahisi kama nilikuwa na kihere here.na mwenyewr ndo najitoa .nikiangalia mwenzangu mpaka.ana mimba. Basi zilipita siku 4 Sikutaka kabisa kuongea na mlige yani skuwa natkaa kabisa . Mala ananitumia uyu. Mala.anakuja uyu. Ila hamuwezi amni ata yeye alipungua. Nikawa namuona ata hana rahaa. Akawa hachapi chapi. Wala matangazo haji kutoa.ni watakuja kina sir tupa tu tunaruhisiwa hivyo.
Kesho yake . Asubuh sana nilijiandaa kwenda shule sasa. Nikavaaa vizuri nikachukua begi langu taratibu nikaanza kuelekea kwa kina yust .yani ata sijafika kwa kina yust mitaa ya kati. Nashngaa nakuta gali ya mlig. Mh nikawa najiwazia hii si gali ya mlige ama sio. Ata sijajibu vizur akashuka bwana..et kaja kuningojea mtaani. Mie nikasimama. Akaja mpka nilipo. Et naomba tuongeee kwenye gari farida. Nikamuuliza we unaona mm mshamba wa gari sana . Sababu baba yangu ana gari ama nn. Mh mlig akabaki kimya kwanza. Nikamwambia mm sina shida kabisa ya kupanda kwenye uo uchafu wako ambao kila mwanamke anapanda anavyotaka. Mlige akasema naelewa una hasira sana faridah ila nishakupa week.3 hazijapoa mama. Utaniua farida utaniua. Naomba tuongee na tuliweke sawa . Farida unashindwa kuelewa tu nakupenda sana . Nakupemda mno farida
Mimi sio mnafiki farida. Ntakubali kosa tu. Ni kweli nimekosea .ni kwrli nilikuwa na cheat na zahar ni kweli mma yangu..ni kweli ile mimba ni yangu. Lakini sifurahiii kabisa nikiwa nae. Simpendi mimi zai. Ni tamaa tu za wanaume farid. Nisamehe mama yangu sitarudia nimekosea farida nakupenda. Et akanipigisha na magoti . Ni chini kabisa. Aalafu kuna lile dongo jekundu. Nikamuuliza umeshamaliza. Akambia siwezi kumaliza faridah mpka mm na ww tutakapoelewana tena. Nikamuuliza unahisi sitongozwi una hisi nna ziki sana ya wanaume .labda nikwambia haijawahi kupita siku sijatongozwa . Ni vile niliamua kuwa na ww tu na sio kwamba ww ni wa. Maana asana. Kama nilikuamini na nikakupenda na nikakusikiliza kwa kila kitu na ukaja ukanilipa aya. Na ulivyo huna aya unasema kabisa et nisamehe nilikusaliti . Sasa utakula malipo y usaliti wako.
Mlig sikutaki na sikupendi tena . Naomba ubaki mwalimu wangu . Na naomba ukae mbali na mm nisije kukuzalilisha..nyie uyu bab alikuwa hajui kama. Mm naongea hivi. Si alikuwa ananiita cha upole.
Sasa ndo nilimuonesha kuwa mm sio mpole. Et anataka kunishika mkono. Nikamwambia nishike nakuitia mwizi hii asubuh wanakijiji wakunyoshe mshamba mmoja ww. Yani na iki kigari chako unazani utanibabaisha mimi labda mimi sio farida Mlig alibaki kaganda ata haaamini kama yale maneno mie ndo nimeyaongea. Ase nilikuwa na hasira na uyu baba. Yani nilikuwa na hasira nae mnooo. Mi nikamuacha pale .ata yust sikumpitia tena moja kwa moja nikaenda shule. Na hii siku wala sikumuona shule naonaa alienda kwake mana kwanza nguo zake zilichafuka wakati anajiombesha msamaha pale. Na mimi ndo sikuwa na habri nae kabisaa. Khaaa ananiletea ustar. Ila bado sikuwa sawa kabisaaaaa. Basi mda wa saa 5 Tukaenda kantini kula tukaagiza bagia tukawa tunakula taratibu.
Uku tunaongea . Atleast leo nilivyo mpa vichambo yule baba. Nikapata amani. Basi nakula.sambusaa heee madame zahara kaja. Akanmbia yani we binti ww. Nakuchukia sana yani www ndo wa kumfanya mlige anatanitafutia sababu za kuniamisha shule eeeh . We mtoto mchawi eeeh. Mie kimya. Yustaa kasema alafu ww madame unamuonea sana faridah sababu ni mpole. Eeeh. Sasa hizo si kesi zako ww na mlige. Yeye anahusikaje. Eeeh yeye anahusikaje. Wewe si bwna ako mlige. Mpaka umembebea mimba ya leo mnatka kuamishana vp. Madame zahara aksema ww unanijibuje ntakuwasha makofi. Yusta akasema thubutu ebu jalibu nikuzalishe apa. We unazani mm kama farida eehhhh. Uhu ni moto mwengine. Alafu uyo mlige hakuitwa kuja kwa faridah. Alikuja mwenyewe na mpumbu yake akamtongoza sawaaa. Nikasema yusta ebu muache mbona namuweza uyu. Nikamwambia kwanza uyo bwana ako leo alinipigia magoti anaomba msamaha habari iyo unayo? Anajiliza kama mtoto mdogo . Anautaka utamu . Itakuwa kuma yako haimvutiii. Yangu tamu ndo anaing'ang'ania. Alafu sasa kanikuta mtoto wa kisukuma sina mda nae tena. Nimekuachia aya mtulize bwana ako aache kuniangaikia na kunitumia watu. Madam zai akasema nyoo mpumbavu ww. Kwa kuma gani iyo inayonuka mkojo ata kuosha ujui. Nikasema sasa bwana ako alikuwa anataka kuilamba mda wote. Nikamkatalia ananuna habari unayo?
Madame zahara akanipiga kibao. Heee yusta akataka kumludishia et.nikamshika mkono nimamwambia muache anatafuta sababu ya kutoka mimba yake. Alafu mm simtoi na simpigi ata . Ila namuachie abaki na iyo mimba mana ndo ina mpa chance ata ya kuongea na mlige ila sasa mtulize bwana. Kisha nikamwmabia yusta twende class. Na yeye akanaki hajiamini. Mie nikainuka na yusta . Tukabeba sambusa zetu awoo daradani . Tukawaacha wanafunzi wanamshangaaa ..na mihasira yake. Tumefika daradasani yusta akasema doooh umenifurahisaha ww. Nikaanza kucheka .akanmbia ila umejua kunichezea binti ww . Yani kashangaa ata haamini. Alafu kama mligell anataka kumuamisha basi mlig hampendi uyu. Itakuwa alijipeleka akatimbwa tu. Mie sikutaka ata kujua habari zao.nikamwabia shoga achana nao washamba awaa na mambo yao nasie tuendelee na story zetu. Basi kweli tukawa busy na mambo yetu.
Basi ilipita siku 3 tena madam zai ana hamu na mimi. Akinion ananinyali tu uyo anapita mie kimya. Uyo mlige sasa anavyokuja darasani kwetu mala ooh nimekuja kuwasalimia wanafunzi wangu. Mie kimya sina ata habari nae. Alafu sasa mpaka yusta alimgwaya yani wote hatukuwa na mda nae. Akiingia tunajifanya tuko busy .basi nanaingalia kwa huruma .mie njifanya sina mda nae kabisaaaa. Yani niko busy kweli kweli na mambo yangu. Basi naona madame zahara alienda kuwasimulie madamwengine jamani . Nilikuwa nachambwa na kila madamess. Yani kila madame hanipendi . Ni wananipiga mafumbo kweli kweli. Mi nikaona bwana yatapita aya kwanza bado miezi 5namaliza kidato nitapumzika zangu tu nyumbani wala hakuna shida.
💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi