Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 38 na 39
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 38 na 39

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Ila hakunifata na wala hakutuma mtu mwngine. Kiukweli kwa hii siku mawazo yalikuwa ni juu yake tu.nilijitahidi kusoma lakini hakuna ata kimoja ambacho nilikiangua . Moyo unauma . Kuna mda chozi linatoka..nikimuona tu naumia. Mpaka yust alinambia hapana farida unakosea mno . Ebu kaza moyo aya . Ebu fanya aya mambo yameisha bwana. Poza moyo wako . Mie nikasema sawa . Basi sikuwa sawa tu . Heee mda wa mchana kilikuwa ni kipindi cha madame zahara. Nakwambia alikuja kwa mbwe mbwe. Tena tumb mbele yani kajitunisha kunionesha kwamba mimba anayo na anatamba nayo. Basi akafundisha nakwambia . Et oooh umu darasani kwen kuna joto sana sio kama kwenye gari la mlige kuna ac kali mpka rahaaaa. Alafu anafanya kuniangalia uku anacheka. Alijiongelesha sana .kiukweli somo lake ndo sikumsikiliza ata kidogo. Alipomaliza uyo akaondoka zake. Aseeee nijitu kuanzisha masomo shuleni.

Basi bwana mda wa kutoka mie na yust taratibu tukaaamza kuelekea nyumbani . Yani sikuwa sawa. Yusta ndo alikuwa ananipa moyo. Alinambia sikia shusha moyo wako. Shusha akili yako na kubali matokea shogaa. Wewe sio wa kuanza kufanyiwa ushenzi na uyo baba. Ata mm mbona alonitoa bikra sio nliekuwa nae leo. Sometime kuna watu wanapita tu katika maisha yetu na ayo ndio mapenzi . Yanakuwa na changamoto zake nyingi. Ebu fungua moyo wako farida. Achana na mlig. Alisema hivyo najikuta moyo unauma naanza kulia aseeee mapenzi . Kwa ule mda skuwa na hamu nayo. Na nilivyo mdogo . Wao ni wakubwaa bado nahisi kama nilikuwa na kihere here.na mwenyewr ndo najitoa .nikiangalia mwenzangu mpaka.ana mimba. Basi zilipita siku 4 Sikutaka kabisa kuongea na mlige yani skuwa natkaa kabisa . Mala ananitumia uyu. Mala.anakuja uyu. Ila hamuwezi amni ata yeye alipungua. Nikawa namuona ata hana rahaa. Akawa hachapi chapi. Wala matangazo haji kutoa.ni watakuja kina sir tupa tu tunaruhisiwa hivyo.

Kesho yake . Asubuh sana nilijiandaa kwenda shule sasa. Nikavaaa vizuri nikachukua begi langu taratibu nikaanza kuelekea kwa kina yust .yani ata sijafika kwa kina yust mitaa ya kati. Nashngaa nakuta gali ya mlig. Mh nikawa najiwazia hii si gali ya mlige ama sio. Ata sijajibu vizur akashuka bwana..et kaja kuningojea mtaani. Mie nikasimama. Akaja mpka nilipo. Et naomba tuongeee kwenye gari farida. Nikamuuliza we unaona mm mshamba wa gari sana . Sababu baba yangu ana gari ama nn. Mh mlig akabaki kimya kwanza. Nikamwambia mm sina shida kabisa ya kupanda kwenye uo uchafu wako ambao kila mwanamke anapanda anavyotaka. Mlige akasema naelewa una hasira sana faridah ila nishakupa week.3 hazijapoa mama. Utaniua farida utaniua. Naomba tuongee na tuliweke sawa . Farida unashindwa kuelewa tu nakupenda sana . Nakupemda mno farida

Mimi sio mnafiki farida. Ntakubali kosa tu. Ni kweli nimekosea .ni kwrli nilikuwa na cheat na zahar ni kweli mma yangu..ni kweli ile mimba ni yangu. Lakini sifurahiii kabisa nikiwa nae. Simpendi mimi zai. Ni tamaa tu za wanaume farid. Nisamehe mama yangu sitarudia nimekosea farida nakupenda. Et akanipigisha na magoti . Ni chini kabisa. Aalafu kuna lile dongo jekundu. Nikamuuliza umeshamaliza. Akambia siwezi kumaliza faridah mpka mm na ww tutakapoelewana tena. Nikamuuliza unahisi sitongozwi una hisi nna ziki sana ya wanaume .labda nikwambia haijawahi kupita siku sijatongozwa . Ni vile niliamua kuwa na ww tu na sio kwamba ww ni wa. Maana asana. Kama nilikuamini na nikakupenda na nikakusikiliza kwa kila kitu na ukaja ukanilipa aya. Na ulivyo huna aya unasema kabisa et nisamehe nilikusaliti . Sasa utakula malipo y usaliti wako.

Mlig sikutaki na sikupendi tena . Naomba ubaki mwalimu wangu . Na naomba ukae mbali na mm nisije kukuzalilisha..nyie uyu bab alikuwa hajui kama. Mm naongea hivi. Si alikuwa ananiita cha upole.
Sasa ndo nilimuonesha kuwa mm sio mpole. Et anataka kunishika mkono. Nikamwambia nishike nakuitia mwizi hii asubuh wanakijiji wakunyoshe mshamba mmoja ww. Yani na iki kigari chako unazani utanibabaisha mimi labda mimi sio farida Mlig alibaki kaganda ata haaamini kama yale maneno mie ndo nimeyaongea. Ase nilikuwa na hasira na uyu baba. Yani nilikuwa na hasira nae mnooo. Mi nikamuacha pale .ata yust sikumpitia tena moja kwa moja nikaenda shule. Na hii siku wala sikumuona shule naonaa alienda kwake mana kwanza nguo zake zilichafuka wakati anajiombesha msamaha pale. Na mimi ndo sikuwa na habri nae kabisaa. Khaaa ananiletea ustar. Ila bado sikuwa sawa kabisaaaaa. Basi mda wa saa 5 Tukaenda kantini kula tukaagiza bagia tukawa tunakula taratibu.

Uku tunaongea . Atleast leo nilivyo mpa vichambo yule baba. Nikapata amani. Basi nakula.sambusaa heee madame zahara kaja. Akanmbia yani we binti ww. Nakuchukia sana yani www ndo wa kumfanya mlige anatanitafutia sababu za kuniamisha shule eeeh . We mtoto mchawi eeeh. Mie kimya. Yustaa kasema alafu ww madame unamuonea sana faridah sababu ni mpole. Eeeh. Sasa hizo si kesi zako ww na mlige. Yeye anahusikaje. Eeeh yeye anahusikaje. Wewe si bwna ako mlige. Mpaka umembebea mimba ya leo mnatka kuamishana vp. Madame zahara aksema ww unanijibuje ntakuwasha makofi. Yusta akasema thubutu ebu jalibu nikuzalishe apa. We unazani mm kama farida eehhhh. Uhu ni moto mwengine. Alafu uyo mlige hakuitwa kuja kwa faridah. Alikuja mwenyewe na mpumbu yake akamtongoza sawaaa. Nikasema yusta ebu muache mbona namuweza uyu. Nikamwambia kwanza uyo bwana ako leo alinipigia magoti anaomba msamaha habari iyo unayo? Anajiliza kama mtoto mdogo . Anautaka utamu . Itakuwa kuma yako haimvutiii. Yangu tamu ndo anaing'ang'ania. Alafu sasa kanikuta mtoto wa kisukuma sina mda nae tena. Nimekuachia aya mtulize bwana ako aache kuniangaikia na kunitumia watu. Madam zai akasema nyoo mpumbavu ww. Kwa kuma gani iyo inayonuka mkojo ata kuosha ujui. Nikasema sasa bwana ako alikuwa anataka kuilamba mda wote. Nikamkatalia ananuna habari unayo?

Madame zahara akanipiga kibao. Heee yusta akataka kumludishia et.nikamshika mkono nimamwambia muache anatafuta sababu ya kutoka mimba yake. Alafu mm simtoi na simpigi ata . Ila namuachie abaki na iyo mimba mana ndo ina mpa chance ata ya kuongea na mlige ila sasa mtulize bwana. Kisha nikamwmabia yusta twende class. Na yeye akanaki hajiamini. Mie nikainuka na yusta . Tukabeba sambusa zetu awoo daradani . Tukawaacha wanafunzi wanamshangaaa ..na mihasira yake. Tumefika daradasani yusta akasema doooh umenifurahisaha ww. Nikaanza kucheka .akanmbia ila umejua kunichezea binti ww . Yani kashangaa ata haamini. Alafu kama mligell anataka kumuamisha basi mlig hampendi uyu. Itakuwa alijipeleka akatimbwa tu. Mie sikutaka ata kujua habari zao.nikamwabia shoga achana nao washamba awaa na mambo yao nasie tuendelee na story zetu. Basi kweli tukawa busy na mambo yetu.

Basi ilipita siku 3 tena madam zai ana hamu na mimi. Akinion ananinyali tu uyo anapita mie kimya. Uyo mlige sasa anavyokuja darasani kwetu mala ooh nimekuja kuwasalimia wanafunzi wangu. Mie kimya sina ata habari nae. Alafu sasa mpaka yusta alimgwaya yani wote hatukuwa na mda nae. Akiingia tunajifanya tuko busy .basi nanaingalia kwa huruma .mie njifanya sina mda nae kabisaaaa. Yani niko busy kweli kweli na mambo yangu. Basi naona madame zahara alienda kuwasimulie madamwengine jamani . Nilikuwa nachambwa na kila madamess. Yani kila madame hanipendi . Ni wananipiga mafumbo kweli kweli. Mi nikaona bwana yatapita aya kwanza bado miezi 5namaliza kidato nitapumzika zangu tu nyumbani wala hakuna shida.


💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 38 na 39

Ila hakunifata na wala hakutuma mtu mwngine. Kiukweli kwa hii siku mawazo yalikuwa ni juu yake tu.nilijitahidi kusoma lakini hakuna ata kimoja ambacho nilikiangua . Moyo unauma . Kuna mda chozi linatoka..nikimuona tu naumia. Mpaka yust alinambia hapana farida unakosea mno . Ebu kaza moyo aya . Ebu fanya aya mambo yameisha bwana. Poza moyo wako . Mie nikasema sawa . Basi sikuwa sawa tu . Heee mda wa mchana kilikuwa ni kipindi cha madame zahara. Nakwambia alikuja kwa mbwe mbwe. Tena tumb mbele yani kajitunisha kunionesha kwamba mimba anayo na anatamba nayo. Basi akafundisha nakwambia . Et oooh...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-38-na-39

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

547
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

391
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

331
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

233
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

140
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

38

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest