MY WANGU sehemu ya 40
Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.
Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata. Na kweli tukaenda mpaka muembeni nikakuta kuna viti 4 Akanmbia kaa apa.mie nikakaa . Kisha na sir tupa akakaa. Hee mala namuona mligna yeye anakuja kaisha yani mpaka anapepeseka . Kaja nae kakaa .nikajua mh kumbe anataka kumuongelea uyu mpumbavu. Sir tupa akanmbia faridah mwanangu. Unamuomuona mshikaji hali yake. Si unamuona. Utamuua yaishe basi . Yaishe plssss. Unajua farida wanaume tuna tamaa sana. Wanaume tunacheat na kusaliti sana. Lakini haimanishi hatuwapendi tulionao. Farida ni kweli jamaa kakosea. Na uyu ni mkubwa kwako lakini haimanishi hakosei anakosea .na anapokosea anaomba msamha. hakuna lisiloisha farida fungua moyo. Apo mlige kabaki kimya anaingalia kwa huruma mno
Mie nikamuuliza sir tupa hili ndo uliloniitia apa. Mlig akasema farrida tuyaongee mama angu nakupenda sana . Nakuhitaji sana. Nna malengo na ww. Mm bila ya ww faridah siwez . Nimekosea faridah nisamehe plsss nakupenda mama yangu. Sir tupa akasema faridah acha hizo ona mtu mzima analalamika kwa ajili yako. Farida utalaniwa . Sio sawa bwana ebu msamehe jamana. Madam zai ashobo nyingi sana tu. Wala jama hamtaki na atahudumia mtoto wake tu. Na muda sio mrefu ana hama apa. Ebu tuliza hasira alafu msamehe jamaa.kwani humpendi mlig ww. Mbona ata ww unampenda sana. Ebu msijitese bwana sameaneni yaishe yanaongeleka aya faridaah .nimamuuliza sir tupa umemaliza . Sir tupa akasema sikiliza..... ata hajaongea kitu mie nikanyanyuka zangu. Nikaanza kurudi darasani. Eeh nashangaa mlige kanikimbilia kanishika mkono. Machozi yanamtoka.et ooh farifa anmbie nifanye nn nambie mke wangu. Nimekuzoea sana farida. Nikamwambia labda uachane na mm na ufate maisha yako.kisha nikamputa mkono uyo nikaingia darasani.
Aseee po ndo ukawa mwanzo wa tupa kuanza kunibembeleza nimsamehe mlige. Ila sikutaka nilikaza kweli kwrli. Kuwa simtaki yani simtaki tu sfanye maisha yake. Basi ikawa hivyo mapaka ikakata week 3. Apo nna bifu na madam kweli kwrli. Sijuh na wao walikuwa wanamtaka mlige sijuh ni bifu tu . Ata sikuwa nawaelewa yani basi tu. Siku iyo sasa tunaludi shule nipo na yusta. Mh nikasimamaisha na mkaka mmoja yupo na kidato cha nne anaitwa hali . Nyieee uyu kaka nae alikuwa ananifatilia sana ila sikuwahi kuwa na mda nae kabisa. Ata mda wa kumsikiliza mie sikuwa nampa.
Basi nikamwambiaeeh unataka nn. Akanmbia faridah mbona hivi lakini. Unajua kila siku nakueleza nakupenda sana . Nakuhitaji sana faridah mi nakupenda mama . Ebu nipe nafasi kidogo tu nikuoneshe kuwa nakupenda.basi mie nikajikuta tu nimetabasamu . Niamwambia aya bwana mie now nna harka naludi nyumbani ayo mengine tutaongea kesho.kisha wala sikuendelea kuongea nae. Nikaondoka zangu na shogaa. Basi kesho yake nakumbuka nipo class nikaletea barua na mtoto wa kidato cha kwnza. Mh mie nikaifungua ila barua nikawa naisoma uku shoga yangu yusta yupo pembeni . Mh ile barua iliandikwa " nimefurah sana jana kupata nafasi ata ya kuongea na ww. Mana siku zote ata kunisikiliza hutaki. Lakini jana ata nimekushika mkono wako. Farida we ni mwanamke mzuri sana. Unanichanganya kila nnapokuona naomba sana leo tukiruhusiwa tuongee. Unanichanganya sana mama asa kasura chako na shepu lako" wala hakuandika jina ila ilikuwa inatoka kwa hassani nikajikuta nacheka tu. Kheee nikaanza kuikunja ile barua ata sijamaliza kuikunja ikavutwa .mh nikastuka nacheki ni madam mmoja anaitwa lissa . Uyu madam ni boya kinoma .nikajua nimeisha
Heee madam akasema yani ww mimi nimeingia darasan naongea ww unaangalia hii karatasi mpaka unacheka ina nn hiii. Heeer akaifungua akaanza kuisoma nyiee. Akasema dooh kumbe ndo mana una dharau ushaanza mapenzi eeh. Nyie yule madam akanichapa bakora kalibia tano Pale pale.kisha kanmbia njooo. Heeee et nakupeleka kwa mkuu mshenzi mkubwa . Utaenda kumtaja mpumbavu mwenzio kwa mkuuuu. Nyieee nikaona uku ndo kinaenda kuumana kabisaa. Basi uyu akanikwida mpaka kwa mligee. Tukamkuta mlige ofisini anachezea pc. Alivyotuona akashngaa akasema madame vp kumekuajee. Madame akasema yani mwalimu uyu mtoto hana adabu kabisa.mimi nafundisha yeye yupo Bus anasoma vibarua mpka ancheka .na vibarua vya wanaume. Mh mlige akasema iko wapi iyo barua . Madame massa akampa ile barua mlige akaisoma kisha akasema massa muache uyu we nenda. Nyie massa alivyotoka tu. Mlig akavuta fimbo kama 3 nene na nzuri. Mnajua uyu baba alishaacha kunipiga mda sana. Ila hii siku akachukua fimboa aknmbia nyoosha mikono. Nikanyoosha akanza kunichapa kwa nguvu na kwa hasira. Na mm hii siku wala sikulia wala sikumuonesha uoga nilikaza kweli kweli. Alinipiga jamani yani alinipiga mpka namuona yeye ndo analia. Akaniacha kisha akakaa kwenye kiti akatoa kitamba analia kabisaaa. Yani ile kwa sauti japo ni ya chini. Nyie heeeeeee
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi