Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 40
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 40

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata. Na kweli tukaenda mpaka muembeni nikakuta kuna viti 4 Akanmbia kaa apa.mie nikakaa . Kisha na sir tupa akakaa. Hee mala namuona mligna yeye anakuja kaisha yani mpaka anapepeseka . Kaja nae kakaa .nikajua mh kumbe anataka kumuongelea uyu mpumbavu. Sir tupa akanmbia faridah mwanangu. Unamuomuona mshikaji hali yake. Si unamuona. Utamuua yaishe basi . Yaishe plssss. Unajua farida wanaume tuna tamaa sana. Wanaume tunacheat na kusaliti sana. Lakini haimanishi hatuwapendi tulionao. Farida ni kweli jamaa kakosea. Na uyu ni mkubwa kwako lakini haimanishi hakosei anakosea .na anapokosea anaomba msamha. hakuna lisiloisha farida fungua moyo. Apo mlige kabaki kimya anaingalia kwa huruma mno

Mie nikamuuliza sir tupa hili ndo uliloniitia apa. Mlig akasema farrida tuyaongee mama angu nakupenda sana . Nakuhitaji sana. Nna malengo na ww. Mm bila ya ww faridah siwez . Nimekosea faridah nisamehe plsss nakupenda mama yangu. Sir tupa akasema faridah acha hizo ona mtu mzima analalamika kwa ajili yako. Farida utalaniwa . Sio sawa bwana ebu msamehe jamana. Madam zai ashobo nyingi sana tu. Wala jama hamtaki na atahudumia mtoto wake tu. Na muda sio mrefu ana hama apa. Ebu tuliza hasira alafu msamehe jamaa.kwani humpendi mlig ww. Mbona ata ww unampenda sana. Ebu msijitese bwana sameaneni yaishe yanaongeleka aya faridaah .nimamuuliza sir tupa umemaliza . Sir tupa akasema sikiliza..... ata hajaongea kitu mie nikanyanyuka zangu. Nikaanza kurudi darasani. Eeh nashangaa mlige kanikimbilia kanishika mkono. Machozi yanamtoka.et ooh farifa anmbie nifanye nn nambie mke wangu. Nimekuzoea sana farida. Nikamwambia labda uachane na mm na ufate maisha yako.kisha nikamputa mkono uyo nikaingia darasani.

Aseee po ndo ukawa mwanzo wa tupa kuanza kunibembeleza nimsamehe mlige. Ila sikutaka nilikaza kweli kwrli. Kuwa simtaki yani simtaki tu sfanye maisha yake. Basi ikawa hivyo mapaka ikakata week 3. Apo nna bifu na madam kweli kwrli. Sijuh na wao walikuwa wanamtaka mlige sijuh ni bifu tu . Ata sikuwa nawaelewa yani basi tu. Siku iyo sasa tunaludi shule nipo na yusta. Mh nikasimamaisha na mkaka mmoja yupo na kidato cha nne anaitwa hali . Nyieee uyu kaka nae alikuwa ananifatilia sana ila sikuwahi kuwa na mda nae kabisa. Ata mda wa kumsikiliza mie sikuwa nampa.

Basi nikamwambiaeeh unataka nn. Akanmbia faridah mbona hivi lakini. Unajua kila siku nakueleza nakupenda sana . Nakuhitaji sana faridah mi nakupenda mama . Ebu nipe nafasi kidogo tu nikuoneshe kuwa nakupenda.basi mie nikajikuta tu nimetabasamu . Niamwambia aya bwana mie now nna harka naludi nyumbani ayo mengine tutaongea kesho.kisha wala sikuendelea kuongea nae. Nikaondoka zangu na shogaa. Basi kesho yake nakumbuka nipo class nikaletea barua na mtoto wa kidato cha kwnza. Mh mie nikaifungua ila barua nikawa naisoma uku shoga yangu yusta yupo pembeni . Mh ile barua iliandikwa " nimefurah sana jana kupata nafasi ata ya kuongea na ww. Mana siku zote ata kunisikiliza hutaki. Lakini jana ata nimekushika mkono wako. Farida we ni mwanamke mzuri sana. Unanichanganya kila nnapokuona naomba sana leo tukiruhusiwa tuongee. Unanichanganya sana mama asa kasura chako na shepu lako" wala hakuandika jina ila ilikuwa inatoka kwa hassani nikajikuta nacheka tu. Kheee nikaanza kuikunja ile barua ata sijamaliza kuikunja ikavutwa .mh nikastuka nacheki ni madam mmoja anaitwa lissa . Uyu madam ni boya kinoma .nikajua nimeisha

Heee madam akasema yani ww mimi nimeingia darasan naongea ww unaangalia hii karatasi mpaka unacheka ina nn hiii. Heeer akaifungua akaanza kuisoma nyiee. Akasema dooh kumbe ndo mana una dharau ushaanza mapenzi eeh. Nyie yule madam akanichapa bakora kalibia tano Pale pale.kisha kanmbia njooo. Heeee et nakupeleka kwa mkuu mshenzi mkubwa . Utaenda kumtaja mpumbavu mwenzio kwa mkuuuu. Nyieee nikaona uku ndo kinaenda kuumana kabisaa. Basi uyu akanikwida mpaka kwa mligee. Tukamkuta mlige ofisini anachezea pc. Alivyotuona akashngaa akasema madame vp kumekuajee. Madame akasema yani mwalimu uyu mtoto hana adabu kabisa.mimi nafundisha yeye yupo Bus anasoma vibarua mpka ancheka .na vibarua vya wanaume. Mh mlige akasema iko wapi iyo barua . Madame massa akampa ile barua mlige akaisoma kisha akasema massa muache uyu we nenda. Nyie massa alivyotoka tu. Mlig akavuta fimbo kama 3 nene na nzuri. Mnajua uyu baba alishaacha kunipiga mda sana. Ila hii siku akachukua fimboa aknmbia nyoosha mikono. Nikanyoosha akanza kunichapa kwa nguvu na kwa hasira. Na mm hii siku wala sikulia wala sikumuonesha uoga nilikaza kweli kweli. Alinipiga jamani yani alinipiga mpka namuona yeye ndo analia. Akaniacha kisha akakaa kwenye kiti akatoa kitamba analia kabisaaa. Yani ile kwa sauti japo ni ya chini. Nyie heeeeeee
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 40


Nyieee mlige hakuamini ukapita mwez atuongei .tena bola ya mm nilianza kupona na moyo ukawa unatulia. Na ata nyumban nikawa na raha na nikaludi katika hali yangu ha kawaidi. Nyie yye kila siku ndo anazidi kuwa mojaa. Yani mpaka yusta alinambia wr unajua mlig anakonda sana . Ama ana matatizo ya kifamlia au mapenzi yako ndo yanamtesa. Nikasema matataizo ya kifamilia itakuwa . Sikuwa na habari nae mie.

Basi siku iyo nipo class. Akaja kunifata sir tupa . Et samahani faridah njooo. Asa mie sir tupa mshikaji wangu tu. Wala sikuona shida nikanyanyuka basi sir tupa akanmbia nifate. Mie nikamfata....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-40

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

524
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

384
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

330
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

231
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

116
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest