Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 41 na 42
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani . Kwani unzani nakuogopa mm. Ilikuwa zamani sio sasa sikuogopi ata kidogo. Mlige akaningalia kwa hasira. Akaniilukia alinipiga mabao ya maana. Mpka nilipiga kelele mana nilihisi anataka kuniua. Kwa bahati mlango ukafunguliw akaingia sir . Akakuta nimekwidwa nadundwaa. Sir tupa ndo akamzuia mlige. Akamshika akamwambia nn sasa mlige utauua. Shida nn. Yani kanipiga kweli ila sikulia lia mie. Machozi tu yalikuwa yanashuka na mm nilikuwa na hasira nae sana. Mlig na yeye hakuweza ata kuongea. Anatwetwa kwa mahasira yake

Sir meja akanmbia nenda darasani farida. Mi nikanyanyuka nikaondoka nikawaacha. Yani mi ata darasani sikukaa nilienda kuchukua begi na mda uo uo mi nikaludi home kwanza kanipiga mno. Unajua ni ule ujeuri tu wa kukaza ila kanidunda aswaa mwili mpaka umetutumuka yani . Umejaa na kuvimba mnoo. Mie mdogo mdogo mpaka home. Nilivyofika nikamkuta mama alivyoniona akashangaa akasema we mbona umevimba sula.imekuwajee. nikasema kichwa kinauma ndo nimepewa ruksa niludi nyumbani . Mh wapi mangumi ya mlige ayoo. Mama akasema mh kichwa kinauma mpaka umevimba farida. Nikasema ndio mimi naenda kulala. Mama akabaki ananaishangaa tu. Nilivyoingia ndani ndio nililila sasa. Moyo unauma naona ata sijielewi. Na mkono ukawa unauma alinidunda mnoo. Kunipiga tu alinipiga jamani. Basi mie nikalia mnoo. Mpaka nikalala zangu. Mama akaja kuniamsha jioni sana . Akanmbia kaoge nishakuchemshia maji kisha uje kula. Basi mie nikajivuta na nikaelekea choon kuoga nilipotoka nakala . Nikameza dawa kisha nikapumzika.

Basi asubuh na mapema .mama ndo aliniamsha akaniuliza vp leo umeamkaje mana umekuwa mbovu siku hizi faridah. Kuumwa kil siku mwanangu nikasema mam mi nendele powa. Mama akambia shule unaendaa. Nikasema ndio mama naenda nimeamka swa. Mama akanambia sawa .aya jiandae sasa. Jiandae haraka mwanangu usije ukaenda kupigwa na uzingatie zaidi masomo si mnaona mpo kipindi cha mwisho .nikasema ndio mama naelewa hakuna shida

Basi harka nikainuka nikaanza kujiandaa kwa ajili ya shul.na niliwahi tu nikampitia yusta tukaanza kuelekea shule . Basi tukiwa njiani yusta akanambia ww kwani jana na ofisini na mlige imekuwaje .mana umekuja umechukua tu begi lako umeondoka kwa hasira. Nikamuonesha tu mkono. Bado ulivimba. Akanmbia mh ndo alikupiga hivi. Nikamuuliza na dua huoni imevimba ni yeye alinipiga mangumi ya maana. Ila wala sikulia nimemuonesha jeuri ya mwaka hakuamini mbona. Kunipiga kanipiga mimi kisha kalia yeye. Yust akasem shoga kuna mda namuonea huruma mlige. Jana kaja darasan kukuita tena . Sindo haukuwepo.nikamwambia kaondoka kaniita mieee. Anaanza kunihoji kwa hasra ni nani kakuandikia ile barua. Shoga mie kila nikimwambia sijuh ataki ata kunielewa. Mpaka nikabaki tu kimya .nikamuacha anaongea kwa hasiraa. Na kasema leo utamueleza nani alikupa ruksa ya kuondoka nyumbani ule mda. Nikasema ataangaika sana na ndo simtaki.

Basi tukafika mpaka shule.. ile tunaingia tu .getini kakaa yeye. Kaja mnoo. Mh mie natka kumpita .akanita we faridah simama apo. Mie nikasimama aknmbia njooo ofisini. Nlitaka kugoma ila yust akanioneshea ishara ya kwamba niende.basi mie nikaenda na yeye ananifaa nyuma.tumefika yupo serious mnoo. Na mie ndo nikazidi kujinunisha.her kavuta droo kanitupia barua nenda kamuite mzazi wako. Looooh mie nilivyojeuri nikaiokot ile barua sikumuuliza hii barua ya nn. Sikumuuliza kwa nn nikaite mzazi. Yani sikumuuliza chochote. Nikachukua barua nikasema.sawa. aknmbia hakuna kwenda darasni. Wala kurudi mstalini. Naomba uende nyumbani kuleta mzazi sas hivi. Nataka tujadili tabia zako . Umekuwa mtovu wa nidhamu. Na ukifanya masihara ntakufukuza na shulee . Kheee anatumia madaraka kwenye mapenzi. Mie nikasema sawa. Nikatoka zangu jee..ila nilivurugwa kuita wazazi tena. Kwa ajili ya utovu wa nidhamu

Mh basi niikuta yust ananisubir nje ya ofisi akaniuliza vp. Nikamwambiua knipa barua.nikamuite mzazi. Yust akasema toba mbona mambo yanataka kuwa mengi we kamuombe msamaha. Nikasema mm siendi kumuomba msamaha ata dunia ianguke. Ye si kasema nikaite mzazi sawa mi naenda kumuita baba. Yust akanmbia mh ebu kaongee na mlig yaishe. Nikasema.siendi . Kisha uyo nikaludi zangu mpkaa nyumbani. Nyiee mama alivyoniona . Akasema vp umezidiwa nikasema hapana . Nimepewa barua na sir mlig mnaitwa shule. Nyie mama akasema umefanyaje shule tena farida .nikasema mie wala sijafanya kitu. Mama akasema ngoja nimwambia baba yako ndo aende mie nikienda ntakudunda uko uko. Nyieee kweli mama akingia ndani akaongea na baba. Baba alivyotoka mie nikampa ila barua ya wito. Baba aknmbia umechelewa na leo nikasema hapana bbaa mie wala.sijachelewa baba akanmbia twende mama yangu. Tutajua uko uko. Na kweli mie mpaka shule na mzee msukuma.

Basi kukafika tukakalibishwa ndani na mlige.. mlige akamkaribisha baba vizuri. Mzee akasema nimekalibia kijana wangu .eeeh mtoto wetu kafanya nn tena. Au kuna nn. Mana namjua faridah nae .au kachelewa na leo. Mlige akanikata jicho na mie nikamuangalia vizuri wala sikumuogopa. Heeee mlige akasema mzee nimekuita .kwa sasa binti yako amekuwa mtovu wa nidahamu. Anajibidhana na walimu wa kike sana . Ana dharau mno mtoto wko. Amekuw ana tabia mbaya mnoo. Yani kwanza ata kunijibu mm haoni shida mtoto wako. Hana adabu ata kidogo na mabaya zaidi jana kakamatwa na barua ya mapenzi. Nyie akatoa ile barua akampa baba. Ambyo nilikamatwa nayo jana.kheeee baba akaanza kuisoma mh niliogopa . Mana mimi sikuwahi kuwa na tabia za hivi kabisa. Nyiee mlige akuishia apoo. Alijaza maneno mpaka yasiyokuwepo. Et mpaka nataka kupigana na walimu. Et sina adabu . Natukana mpaka wenzangu darasani. Jamani mi skuelewa nia ya uyu baba. Alafu akamalizia kwa tabia zake hizo . Ntamsimamisha shule mpka skku ya mtihani wa nec ndo nimuone apa..khaaaaaa mpaka nilishangaa

💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-41-na-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

525
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

388
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

330
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

233
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

123
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest