Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU sehemu ya 41 na 42
Gonga94 · Stories

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani . Kwani unzani nakuogopa mm. Ilikuwa zamani sio sasa sikuogopi ata kidogo. Mlige akaningalia kwa hasira. Akaniilukia alinipiga mabao ya maana. Mpka nilipiga kelele mana nilihisi anataka kuniua. Kwa bahati mlango ukafunguliw akaingia sir . Akakuta nimekwidwa nadundwaa. Sir tupa ndo akamzuia mlige. Akamshika akamwambia nn sasa mlige utauua. Shida nn. Yani kanipiga kweli ila sikulia lia mie. Machozi tu yalikuwa yanashuka na mm nilikuwa na hasira nae sana. Mlig na yeye hakuweza ata kuongea. Anatwetwa kwa mahasira yake

Sir meja akanmbia nenda darasani farida. Mi nikanyanyuka nikaondoka nikawaacha. Yani mi ata darasani sikukaa nilienda kuchukua begi na mda uo uo mi nikaludi home kwanza kanipiga mno. Unajua ni ule ujeuri tu wa kukaza ila kanidunda aswaa mwili mpaka umetutumuka yani . Umejaa na kuvimba mnoo. Mie mdogo mdogo mpaka home. Nilivyofika nikamkuta mama alivyoniona akashangaa akasema we mbona umevimba sula.imekuwajee. nikasema kichwa kinauma ndo nimepewa ruksa niludi nyumbani . Mh wapi mangumi ya mlige ayoo. Mama akasema mh kichwa kinauma mpaka umevimba farida. Nikasema ndio mimi naenda kulala. Mama akabaki ananaishangaa tu. Nilivyoingia ndani ndio nililila sasa. Moyo unauma naona ata sijielewi. Na mkono ukawa unauma alinidunda mnoo. Kunipiga tu alinipiga jamani. Basi mie nikalia mnoo. Mpaka nikalala zangu. Mama akaja kuniamsha jioni sana . Akanmbia kaoge nishakuchemshia maji kisha uje kula. Basi mie nikajivuta na nikaelekea choon kuoga nilipotoka nakala . Nikameza dawa kisha nikapumzika.

Basi asubuh na mapema .mama ndo aliniamsha akaniuliza vp leo umeamkaje mana umekuwa mbovu siku hizi faridah. Kuumwa kil siku mwanangu nikasema mam mi nendele powa. Mama akambia shule unaendaa. Nikasema ndio mama naenda nimeamka swa. Mama akanambia sawa .aya jiandae sasa. Jiandae haraka mwanangu usije ukaenda kupigwa na uzingatie zaidi masomo si mnaona mpo kipindi cha mwisho .nikasema ndio mama naelewa hakuna shida

Basi harka nikainuka nikaanza kujiandaa kwa ajili ya shul.na niliwahi tu nikampitia yusta tukaanza kuelekea shule . Basi tukiwa njiani yusta akanambia ww kwani jana na ofisini na mlige imekuwaje .mana umekuja umechukua tu begi lako umeondoka kwa hasira. Nikamuonesha tu mkono. Bado ulivimba. Akanmbia mh ndo alikupiga hivi. Nikamuuliza na dua huoni imevimba ni yeye alinipiga mangumi ya maana. Ila wala sikulia nimemuonesha jeuri ya mwaka hakuamini mbona. Kunipiga kanipiga mimi kisha kalia yeye. Yust akasem shoga kuna mda namuonea huruma mlige. Jana kaja darasan kukuita tena . Sindo haukuwepo.nikamwambia kaondoka kaniita mieee. Anaanza kunihoji kwa hasra ni nani kakuandikia ile barua. Shoga mie kila nikimwambia sijuh ataki ata kunielewa. Mpaka nikabaki tu kimya .nikamuacha anaongea kwa hasiraa. Na kasema leo utamueleza nani alikupa ruksa ya kuondoka nyumbani ule mda. Nikasema ataangaika sana na ndo simtaki.

Basi tukafika mpaka shule.. ile tunaingia tu .getini kakaa yeye. Kaja mnoo. Mh mie natka kumpita .akanita we faridah simama apo. Mie nikasimama aknmbia njooo ofisini. Nlitaka kugoma ila yust akanioneshea ishara ya kwamba niende.basi mie nikaenda na yeye ananifaa nyuma.tumefika yupo serious mnoo. Na mie ndo nikazidi kujinunisha.her kavuta droo kanitupia barua nenda kamuite mzazi wako. Looooh mie nilivyojeuri nikaiokot ile barua sikumuuliza hii barua ya nn. Sikumuuliza kwa nn nikaite mzazi. Yani sikumuuliza chochote. Nikachukua barua nikasema.sawa. aknmbia hakuna kwenda darasni. Wala kurudi mstalini. Naomba uende nyumbani kuleta mzazi sas hivi. Nataka tujadili tabia zako . Umekuwa mtovu wa nidhamu. Na ukifanya masihara ntakufukuza na shulee . Kheee anatumia madaraka kwenye mapenzi. Mie nikasema sawa. Nikatoka zangu jee..ila nilivurugwa kuita wazazi tena. Kwa ajili ya utovu wa nidhamu

Mh basi niikuta yust ananisubir nje ya ofisi akaniuliza vp. Nikamwambiua knipa barua.nikamuite mzazi. Yust akasema toba mbona mambo yanataka kuwa mengi we kamuombe msamaha. Nikasema mm siendi kumuomba msamaha ata dunia ianguke. Ye si kasema nikaite mzazi sawa mi naenda kumuita baba. Yust akanmbia mh ebu kaongee na mlig yaishe. Nikasema.siendi . Kisha uyo nikaludi zangu mpkaa nyumbani. Nyiee mama alivyoniona . Akasema vp umezidiwa nikasema hapana . Nimepewa barua na sir mlig mnaitwa shule. Nyie mama akasema umefanyaje shule tena farida .nikasema mie wala sijafanya kitu. Mama akasema ngoja nimwambia baba yako ndo aende mie nikienda ntakudunda uko uko. Nyieee kweli mama akingia ndani akaongea na baba. Baba alivyotoka mie nikampa ila barua ya wito. Baba aknmbia umechelewa na leo nikasema hapana bbaa mie wala.sijachelewa baba akanmbia twende mama yangu. Tutajua uko uko. Na kweli mie mpaka shule na mzee msukuma.

Basi kukafika tukakalibishwa ndani na mlige.. mlige akamkaribisha baba vizuri. Mzee akasema nimekalibia kijana wangu .eeeh mtoto wetu kafanya nn tena. Au kuna nn. Mana namjua faridah nae .au kachelewa na leo. Mlige akanikata jicho na mie nikamuangalia vizuri wala sikumuogopa. Heeee mlige akasema mzee nimekuita .kwa sasa binti yako amekuwa mtovu wa nidahamu. Anajibidhana na walimu wa kike sana . Ana dharau mno mtoto wko. Amekuw ana tabia mbaya mnoo. Yani kwanza ata kunijibu mm haoni shida mtoto wako. Hana adabu ata kidogo na mabaya zaidi jana kakamatwa na barua ya mapenzi. Nyie akatoa ile barua akampa baba. Ambyo nilikamatwa nayo jana.kheeee baba akaanza kuisoma mh niliogopa . Mana mimi sikuwahi kuwa na tabia za hivi kabisa. Nyiee mlige akuishia apoo. Alijaza maneno mpaka yasiyokuwepo. Et mpaka nataka kupigana na walimu. Et sina adabu . Natukana mpaka wenzangu darasani. Jamani mi skuelewa nia ya uyu baba. Alafu akamalizia kwa tabia zake hizo . Ntamsimamisha shule mpka skku ya mtihani wa nec ndo nimuone apa..khaaaaaa mpaka nilishangaa

💗💗💗💗💗💗💗💗💗
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU sehemu ya 41 na 42

Yani nilimuangalia kwa hasira na sikut jali. kweli kanidunda yani mpaka mkono nahisi umekufa ganzi alafu alikuwa ananipiga kwa hasira sana. Yani kwa hasira mnoo. Ila nilikaza ata chozi langu akuliona ila analia yeye. Akanmbia unafanya hivi kuniumiza sio. Umeanza na wanaume sio. Nambie farida umeanza kuwa na wanaume wengine . Hunitki tena mimi mama . Nambie faridah. Mi sikumjibu kabisa nikanyamaza kimya. Akanmbia uyo mtoto wa kiume ni nani. Nakuuliza wewe ni nani. Nikamunaglia kwa dharau nikampandisha nikamshusha kisha nikasema na mm simjuh uyo mwanaume.

Akanmbia unanijibu hivyo mm nakuuliza ww unanijibu mm hivyo. Nikasema ndio kwan wewe nani...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-41-na-42

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

608
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

552
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

423
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

65
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

43

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest