Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba akaniombea msamaha. Mzee nae aliongea sana. Yani sana. Ila mwisho akaniweka vizuri kama binti yake. Na akanisema sana ila yakaisha na wala hakunipiga tena mana kwanza tayari nilishavimba mwili wa kupigwa.

Basi kesho yake ilikuwa ni weekend . So sikuenda shule jamani mama ni alikuwa anaongea na mm tu. Mala kanmbia hili mala.kanambia hili. Mala kanambia hili mala lile yani yote ni kunielezea kuhusu kujitunza. Angejua bikra yenyewe kashatafuna mlige kitambo . Now kabaki ananisingizia kesi tu. Bas bwana mie hii week end yote nilikaaa home sikutoka kabisas. Zaidi yusta alikuja nyumbani tukaongea zetu tu. Aliponiuliza kuhusu mlige. Nilisema simtaki kwa sasa. Nahisi atanichanganua nataka kusoma tu. Nataka kupmbana na shule yusta akanambia ni sawa na yani wazo zuri piah.basi bwana kuanzia apo mimi na mlige tukavungianaa kabisa. Ikawa sasa ni kma mwalimu na mwanafunzi wake. Mi sikutaka kuwa nae tena kiukweli. Na yeye naona alikata tamaa. Akawa anaiiti tena ofisini kwake. Na nikawa huru tu na mambo yangu. Yule hassan hakunifata tena .sielewi aliita na mlige ama vipi . So mi niliamua kuwa bus na shule tu. Basi bwana ayo ndo yakawa maisha yetu mm na bwana mlige. Ila akinikuta kwenye kosa ananipiga kama wenzangu. Mie fresh tu wala sikuwa najali. Na ata madame zahara akapunguza kunifatlia . Na ata akiniongelesha vibaya . Mimi sikuwa namjibu vibaya kabisa. Nilikuwa nanyamaza kimya. Yote niliona nipambane kwanza nipate eliimu yangu.

Basi maisha yakaenda mpka tukabakisha miezi 2 tumalize shule. Apo sasa tupa alikuwa ananambia daah nndo humtaki kabisa mshikaji. Mimi nacheka tu. Ananambia aya bwana . We si umeamua kumkazia aya bwana. Basi tukatangaziwa gaduation yetu yana kidti cha nne nakumbuka mchango ilikuwa kama elfu 45. Mi sikutaka kufanya kiukweli. Yani nilikuwa sipendi kuchanganyika . Ila yusta alinmbia soo sawa . Ni kumbu kumbu. So tufanye tu. Basi nikasema sawa na nikan da kkuwaambia wazazi . Nakumbuka kulipia ilikuwa kama elfu 45. Mama alinambia hana pesa kabisaa. Na ata bab walinambia hawana pes. Na mm kwa mda uo ndani nilikuwa na akiba ya kama laki 2. Hizo ndo zile pesa nlikuwa naweka kipindi nipo na mlige .nikaona acha nijifanyie bwana. Sasa ntawambia wazazi nimepata wapi pesa. Basi.siku iyo mie nikatoka nikaenda mpaka ofisini nikaona kuongea na sir tupa.

Akanmbia eeh mtoto mzuri nambie. Mie nikscheka nikamwambia mwalimu mi nataka kufanya graduu ila.wazee wamenambia hawana pesa. Kla ndani nna akiba yangu nataka kulipia na mm nifanye ila sasa. Wazazi wataniuliza nimepata wapi pesa. Naomba basi ata siku umpigie baba umwambia unanailipia pesa ya graduu na mimi.niinjoy na wenzangu. Sir tupa akasema mh we akiba iyo umeiweka lini au una mshikaji mwengine ndo anakupa jeuri ebu nambie vizuri mie nikacheka nikasema kweli so tupa mie sina. Kile kipindi mlige alikuwa ananipa pesa ndo nlikuwa naweka . Nisaidie basi. Sir tupa akanmbia hakuna noma mzee wako mm namuonaga sana centre kwemye kijiwe cha kahawa ntaongea nae wala usikonde. Nikafurahi nikasema sawa mwalimu. Basi mie uyo nikakudi zangu darasani.


Nashukuru kweli sir tupa aliongea na baba. Na mzeee akanmbia una bahati ww ya kupendwa na walimu sijui utukutu unaleta wann. Mama.akauliza kuna nn. Baba akamwambia ujiandae uende kwenye mahafari ya mwano sir tupa kasema anamfanyia . Ni ww tu. Mama aksema apo ntaenda . Na nazani apo faridaha kafurahi si ndio mama. Nimasema ndio mama nimefurahi mma ksema aha mie ntakuja hakuna shidaa. Basi apo nikawa nishavuka.na pes aga graduu mie nikaenda kulipia kwa uyo madame zahara ndio alikuwa anakusanya. Alikuwa ananingali jamani. Mi sikumjali na moyo ulishaanza kupoa . Nikaona ngoja niwaache watu wazima . Mie mtoto mdogo nikae pembeni.

Basi bwana baada ya kulipia tukaanza maandaizi sasa ya graduu. Mala wale wa kucheza wale wa kuimba. mie. Sikuwa na kipaji chochote labda kuwaangalia wenzangu. Bola ata yusta anajua kudance mie hapana kwa kweli. Ni muangaliaji tu. Ila nilikuwa nafanya vitu vyangu vidogo vidogo sijuh viati sijuh nguo hivyo. Mana tulikua hatuvai fomu. Tulinunua vitenge kisha mshono ni wewe mwenyewe. Mie sielewi ila yusta ndo alikuwa ananipangia mshono. Yeye ndo mjanja mjanja sna. Mie mama ndio ndio tu kila atakachonambia. Nyie yista alinishonea kigauni kifupi cha kubana. Kilishika bodi kinoma alafu juu anawekea less. Dooh yusta anayaweza. Akanmbia ukivaa hii utapendeza . Mh nikaichek ile nguo. Akanmbia juu tunaenda salooni nyakanazi make up na viatu tutanunua uko.nyie yusta anaweza pilika pilika wallah.

Na kweli siku ya graduu ikafika kwanza . Nakumbuka nilitoka nyumbani saa 12 alfajiri tunaenda nyakanazi na yusta saluon .mama akanmbia sawa yeye atakuja shule saa 7. Mie nikasem.sawa tukaondoka na shogaa. Nyie yule dada alitupodoa vizuri. Tena kwa elfu 30 tu. Hatukuweka mawigi kichwani ila tuliwaka. Mie nilipendeza mpaka yule mwenye saloon na yusta wakanmbia sizani kama atapatikana mtu atakayependeza kwenye graduu kama ww..nyie nilipendeza sana. Alafu sasa nikavaa na raba nyeupe .nilipendeza jamani . Ata yusta aliwaka kiaina yake ila mie nilizidi mshepu kwanza umejichora uo mtako ndo siwaambii .nyiee hapana chezea. Nlipendeza sana.

Basi baada ha kumaliza kupambwa sie ndo tukaludi shule kwanza tulichelewa mpkaa graduu ilishaanza ndio sie tunafika. Tukaa kwenye viti vya watainiwa. Jamani kila mwanafunz alikuwa anambia faridah umependeza mungu wangu. Yani boyss wote wananitazama mpaka nikawa naona aibu. Nyiee niliwaka sanaa. Yani apo mbele kulikuawa na mgeni rasmi ambae alikuwa diwani . Na mwalimu mkuu mlige na viongozi wengine na walimu wote walikuwa mbele. Graduu ilinoga kwanza watu kama wote. Nilikuwa naaangza shongo kimtazama mama ila nikamuona kakaa na mama yake na yusta. Moyo ukatulia. Basi bwana watu waliburudisha sana .watu wa kudance sijuh kucheza. Yani ilichangamka. Ukafika mda wa kupewa vyeti . Aseee kuna vile special vyeti. Niliitwa nikachukue cha geograpph na history. Ayo masomo nilikuwa nayajua sana. Aseeee ndo nikanyanyuka sasa nikaenda mbele. Nyie kila mtu ananingalia mpaka naona aibu. Ila nikajikaza nikaenda mbele. Nikaanza kuwa mikono meza kubwa. Nimefika kwa mlige. Kanishika mkono hataki ata kuniachia ananishangaa mpaka mie nilifanya kuuvuta kidogo. Ndio nikaendelea mpka kwa diwani. Mlige alikuwa ananiangalia jamani sijuh ndo aliniona uo mdaa ata sikuelewa. Basi mie nikafika mpaka kwa diwani. Nikapewa vyeti vyangu nikapiga na picha pale. Mh diwani mwenyewe ananikonyeza wakati ni jitu zima looh.


🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45


Aseeee basi hii siku home mama aliniweka chini. Alinisema.sana . Alinisihi sana. Kama mtoto wakike. Alinambia nisijiingize kwenye mapenzi kabisa. Sijuh ntadanganywa kwanza nisome nimalize shule ndo nitafute mwanaume. Aseee mama aliongea sana na mm. Alihisi kama kapelea kwenye kunilea . Alinisema mama mpaka analia. Ananmbia baba yako anaona sijakulea vizur mwanangu. Kwa nn unajibizana na walimu . Kwanini ina kuwa huna adabu shuleni. Alinisema sana. Akinisema mno mpaka nikajisikia vibaya. Mana mama alikuwa mpaka analia. Nilimpigia magoti mama na kumuomba msamaha sanan.nikamwambia mma mi ntajilekebisha. Kiukweli niliamua tu niombe msamaha nyumbani. Basi mama akanisamehe na akaongea na baba...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-44-na-45

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 46
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

562
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

537
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

524
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

370
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

329
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

224
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

83
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest