Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 46
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 46

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa waachege ndo umri wao. Mama yusta mzungu na ndo mana yusta kwao ana uhuru sio kama.mie shoga yenu. Basi bwana mama.na mama yusta walituletea keki moja tu tukakata haraka harka pale..kisha wakatwambia etchakur mtakuja kula nyumbani tumechanga piah. Tukasema sawa. Basi hakukaaa tena wakatuaga wakaondoka. Mie na shoga tukabaki kun bonge la dundo yani mziki.. basi nikiwa na yusta tumekaa tunaongea mh mala kaja mkaka mrefu mkubwa tu . Mzuri tu. Aknisalimia mambo faridah. Yani kanichangamkia kama ananijua mpaka nikastuk. Nikasema.unanaisalimia mm. Akasema ndio nakusalimia ww faridah. Mh nikasema.salama

Akanmbia sie tumekuja kwa ajili yako nimeona ushamalizana na mama yako..vp unaweza ukajoini na sisi sasa. Mana tumetoka mbali kwa ajiri yako nikaogopa.nikamuuliza kwani we nani.mbona mm.sikujuh. akanambia usijali utanijua tu..twende basi na shost yako. Mh yusta akanmbia twende. Nyie yusta ata hamjui. Na pale hii skku watu walikuwa wengi sana.basi sie si tukaanza kumfata yule.kaka. ntukaenda mpka.nyuma ya madarasa ya form twoo. Hee nakuta kuna viti pale kama 5 . Alafu kuna vyakula vya maana. Yani makuku. Mapilau na kuna bonge la keki .limeamdikwa congrs faridah..mh na kwa pembeni kuna mama mtu mzima .

Alivyoniona akanichangamkia sana..akanmbia woow jamni .habari kipenzi chetu.mie.nilihisi au wamenifananisha.nikajibu tu sijambo shikamo mama . Akanmbia marhaba hongera kwa kukalibia kumaliza kidato cha nne .na hongera kwa kupendeza sana. Mh mie nikajibu asante. Mama aksema.sie tumekuja kwa ajili yako tumetoka kahama for you tu. Nikawa najiuliza maswali mh namuona mlige na sir tupa pale wanakuja . Ndoa akili ikacheza sasa. Namuanglia yule mkaka vizur ambae alikuja kuniita .ndo nikagundua anafanana na mlige..nimajja basi uyu ni kaka yake. Na uyu mama.atakuwa ni mama yake.

Mlige akafika mpaka.pale . Akasema faridah hongera mama. Mie nilitamani nisimjibu ila ni mbele za watu .nikasema asante..mlige akasema faridah uyu ni mama. Na uyu ni broo jamal. Wamekuja hapa kwa ajili yako kukupongeza . Mh sikutaka pale kukataa mana kuna mtu mzima...nikasema sawa asante nashukuru. Basi kukawa na kama.kiparty pale. Mama ake mlige alinichangamkia sana. Nikakata keki. Nyie keki keki kweli. Nikawalisha wote. Basi mlige ananingalia sana. Baada ya apo. Mama ndo akatupakulia chakura . Tulikuwa pale. Ila mm sikula.sana. ila yusta alishindilia kuku aswaa. Kilikuwa na vitu vingi jamani. Yani mpka.saa 10.jioni tulikuwa pale. Mama akasema sasa sisi tunataka kwenda faridah tumefurahi sana kukuona. Na mm nikasema nimefuahi sana kuwaona na asante mama kwa kuwaona. Mama aksema ila si utanisindikiza na mm mpaka.runzewe. au hutaki kunisindikiza mama yako. Nikasita kwanza . Ila nikasema nitakusindikiza mama. Mama aksema sawa tunaenda na gari ya jamal. Mh yusta akanmbia basi we nenda mie nakungoja apa.shule..nikasema.sawa.mana mda huo ndo disko lilikolea sana . Basi et mama ake mlige akanishika mkono. Uku tunaelekea parking ananiuliza maswali sijuh utakuja lini kwangu. Angejua nna ugomvi na mwanae angeniacha tu.

Basi bwana tukafika mpaka parking tutakuta prado ya maana nyiee. Alafu jamal.ndo akawa dereva. Mlige na yeye akapanda akakaa mbele mimi na mama tukakaa nyuma. Safari ikaanza .mh nyie uyu mama ni muongeaji sana..aanmbia yani nimekupenda bule we binti sijuh mtulivu. Yani ananisifia mno. Jamal.nae anasema ahaa farida we mzuri bwana bola ata mimi ndo nikuoe. Apo mlige ni amekaa kimya wala hakuwa anaongea. Mie nikawa nacheka tu na mama. Yani uyu maam ni muongeaji sana mpka nikajikuta nimemzoea.basi tukaenda mpaka.runzewe kwa mlige.tumefika tukaingia mpkaa ndani. Kiukweli mi sijutaka kukaa sna pale. Yani nilikaa kama dakika 10. Nikasema maam mi nahitaji kurudi nyumbani sasa. Mama mlige akanmbia hapana kwanza nataka tuongee kesi faridah. Kijana wangu ameshanieleza yaliyotokea kati yake na ww. Mie nikasema hapana mi sitaki kuongea kitu nataka.kwenda nyumbani. . Uyu mama akanisogelea akanishika mkono. Akanmbia faridah utaniulia mwanangu naomba tuyaonge. Mi nikawa kama nagoma mlige akasema farida plss msikilize mama. Mi sipo sawa faridah . Mie nikamuangalia kwa hasira . Kisha mama yake akanambia faridah usijali nalewa sana nini kimetokea lakini nyie mnapendsna farida ebu mlaani shetani.nyie yule mama alivyosema.hivyo.nkamhisi uchungu unanichoma moyoni .nikajikuta naanza kulia mno. Yule mama akanikumbatia na mm nikamkumbatia nikaanza kulia kwa nguvu.

ASEEEEEEEEEE TUKUTANE MSIMU WA 3 WA SERIES LETU. MAMBO NDO KWANZAA . YANI APO BADOOOO KABISAA. BADOOOO FARIDAH ANAENDELEA KUTUELEZA HISTORIA YA MAISHA YAKE . TUTAJUA UKO MBELE KILITOKEA NN.NAWAPENDA❤️
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 46



Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-46

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 26 na 27
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 21
MY WANGU❤️ sehemu ya 19  na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 19 na 20
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 18
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 31
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
MY WANGU❤️ sehemu ya 13 na 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

608
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

549
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

421
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

65
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

43

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest