Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MY WANGU❤️ sehemu ya 46
Gonga94 · Stories

MY WANGU❤️ sehemu ya 46

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa waachege ndo umri wao. Mama yusta mzungu na ndo mana yusta kwao ana uhuru sio kama.mie shoga yenu. Basi bwana mama.na mama yusta walituletea keki moja tu tukakata haraka harka pale..kisha wakatwambia etchakur mtakuja kula nyumbani tumechanga piah. Tukasema sawa. Basi hakukaaa tena wakatuaga wakaondoka. Mie na shoga tukabaki kun bonge la dundo yani mziki.. basi nikiwa na yusta tumekaa tunaongea mh mala kaja mkaka mrefu mkubwa tu . Mzuri tu. Aknisalimia mambo faridah. Yani kanichangamkia kama ananijua mpaka nikastuk. Nikasema.unanaisalimia mm. Akasema ndio nakusalimia ww faridah. Mh nikasema.salama

Akanmbia sie tumekuja kwa ajili yako nimeona ushamalizana na mama yako..vp unaweza ukajoini na sisi sasa. Mana tumetoka mbali kwa ajiri yako nikaogopa.nikamuuliza kwani we nani.mbona mm.sikujuh. akanambia usijali utanijua tu..twende basi na shost yako. Mh yusta akanmbia twende. Nyie yusta ata hamjui. Na pale hii skku watu walikuwa wengi sana.basi sie si tukaanza kumfata yule.kaka. ntukaenda mpka.nyuma ya madarasa ya form twoo. Hee nakuta kuna viti pale kama 5 . Alafu kuna vyakula vya maana. Yani makuku. Mapilau na kuna bonge la keki .limeamdikwa congrs faridah..mh na kwa pembeni kuna mama mtu mzima .

Alivyoniona akanichangamkia sana..akanmbia woow jamni .habari kipenzi chetu.mie.nilihisi au wamenifananisha.nikajibu tu sijambo shikamo mama . Akanmbia marhaba hongera kwa kukalibia kumaliza kidato cha nne .na hongera kwa kupendeza sana. Mh mie nikajibu asante. Mama aksema.sie tumekuja kwa ajili yako tumetoka kahama for you tu. Nikawa najiuliza maswali mh namuona mlige na sir tupa pale wanakuja . Ndoa akili ikacheza sasa. Namuanglia yule mkaka vizur ambae alikuja kuniita .ndo nikagundua anafanana na mlige..nimajja basi uyu ni kaka yake. Na uyu mama.atakuwa ni mama yake.

Mlige akafika mpaka.pale . Akasema faridah hongera mama. Mie nilitamani nisimjibu ila ni mbele za watu .nikasema asante..mlige akasema faridah uyu ni mama. Na uyu ni broo jamal. Wamekuja hapa kwa ajili yako kukupongeza . Mh sikutaka pale kukataa mana kuna mtu mzima...nikasema sawa asante nashukuru. Basi kukawa na kama.kiparty pale. Mama ake mlige alinichangamkia sana. Nikakata keki. Nyie keki keki kweli. Nikawalisha wote. Basi mlige ananingalia sana. Baada ya apo. Mama ndo akatupakulia chakura . Tulikuwa pale. Ila mm sikula.sana. ila yusta alishindilia kuku aswaa. Kilikuwa na vitu vingi jamani. Yani mpka.saa 10.jioni tulikuwa pale. Mama akasema sasa sisi tunataka kwenda faridah tumefurahi sana kukuona. Na mm nikasema nimefuahi sana kuwaona na asante mama kwa kuwaona. Mama aksema ila si utanisindikiza na mm mpaka.runzewe. au hutaki kunisindikiza mama yako. Nikasita kwanza . Ila nikasema nitakusindikiza mama. Mama aksema sawa tunaenda na gari ya jamal. Mh yusta akanmbia basi we nenda mie nakungoja apa.shule..nikasema.sawa.mana mda huo ndo disko lilikolea sana . Basi et mama ake mlige akanishika mkono. Uku tunaelekea parking ananiuliza maswali sijuh utakuja lini kwangu. Angejua nna ugomvi na mwanae angeniacha tu.

Basi bwana tukafika mpaka parking tutakuta prado ya maana nyiee. Alafu jamal.ndo akawa dereva. Mlige na yeye akapanda akakaa mbele mimi na mama tukakaa nyuma. Safari ikaanza .mh nyie uyu mama ni muongeaji sana..aanmbia yani nimekupenda bule we binti sijuh mtulivu. Yani ananisifia mno. Jamal.nae anasema ahaa farida we mzuri bwana bola ata mimi ndo nikuoe. Apo mlige ni amekaa kimya wala hakuwa anaongea. Mie nikawa nacheka tu na mama. Yani uyu maam ni muongeaji sana mpka nikajikuta nimemzoea.basi tukaenda mpaka.runzewe kwa mlige.tumefika tukaingia mpkaa ndani. Kiukweli mi sijutaka kukaa sna pale. Yani nilikaa kama dakika 10. Nikasema maam mi nahitaji kurudi nyumbani sasa. Mama mlige akanmbia hapana kwanza nataka tuongee kesi faridah. Kijana wangu ameshanieleza yaliyotokea kati yake na ww. Mie nikasema hapana mi sitaki kuongea kitu nataka.kwenda nyumbani. . Uyu mama akanisogelea akanishika mkono. Akanmbia faridah utaniulia mwanangu naomba tuyaonge. Mi nikawa kama nagoma mlige akasema farida plss msikilize mama. Mi sipo sawa faridah . Mie nikamuangalia kwa hasira . Kisha mama yake akanambia faridah usijali nalewa sana nini kimetokea lakini nyie mnapendsna farida ebu mlaani shetani.nyie yule mama alivyosema.hivyo.nkamhisi uchungu unanichoma moyoni .nikajikuta naanza kulia mno. Yule mama akanikumbatia na mm nikamkumbatia nikaanza kulia kwa nguvu.

ASEEEEEEEEEE TUKUTANE MSIMU WA 3 WA SERIES LETU. MAMBO NDO KWANZAA . YANI APO BADOOOO KABISAA. BADOOOO FARIDAH ANAENDELEA KUTUELEZA HISTORIA YA MAISHA YAKE . TUTAJUA UKO MBELE KILITOKEA NN.NAWAPENDA❤️
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MY WANGU❤️ sehemu ya 46



Mie nikachukua vyeti vyangu . Nikaludi kukaa. Na wengine walienda .yusta alipata cha biolog. Tulifurahi sana..licha ya umapepe wetu ila tulipata vyeti vya kuongoza masomo. Aseee tulifurahi mpaka.saa 7 graduu ya pamoja iliisha . Na mwalimu mkuu mlige ndo alifunga pale .ana katiaga na akatutakia kila la heri kwenye mitihani yetu. mjicho wake unaniangalia mm. Mie mpka nikawa nageuza sula. Baada ya apo sasa. Kila mtu akawa kalibu na mzazi wake. Mie na yusta tukachukuzana tukaenda kukaaa na akina mama. Basi mama akanza mh ndo mmeshauliana mkapodoane hivi. Mjichole maumbo yenu watoto mna makuu nyie. Mama yista akasema ahaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/my-wangu-sehemu-ya-46

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi my-wangu-sehemu-ya
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 51 na 52
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 47 na 48
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU❤️ sehemu ya 44 na 45
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU sehemu ya 40
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 71 na 72
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU❤️ sehemu ya 49 na 50
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU sehemu ya 38 na 39
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU❤️ sehemu ya 53 na 54
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU sehemu ya 41 na 42
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU❤️ sehemu ya 76 na 77
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU sehemu ya 43
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 74 na 75
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 73
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 55
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU sehemu ya 36 & 37
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 56 na 57
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 24 na 25
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
MY WANGU❤️ sehemu ya 28
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘

544
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

524
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

384
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

330
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

230
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

107
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest