MY WANGU❤️ sehemu ya 55
Nilikuta wenzangu wameshaanza kusoma na mm nilipangiwa PCB. nikiwa na ndoto kubwa za kuwa daktari wa wnawake. Basi bwana nikapangiwa dom. Na pale bweni nilipangiwa na wanafunzi wenzangu wawili. Mmoja alikuwa anaitwa prisca mwengine zaituni. Basi ao ndo wakanikalibisha pale. Basi walikiwa wananishangaa na kunisifia et nna vitu vizur. Mpka wakawa wanahisi kwetu ni wakisure sana. Mie nikawa nacheka tu .mana mambo ya baby tu. Basi bwana na uzuri awa nilikuwa nao comb mojaa. Basi shoga yenu.shule ikaaanzaaa. Nilikuwa makini kuzingagia masomo. Alafu sasa pale wote ni wakisure. Si mnaona ada ilivyochangamka. Basi na mie nikawa najitahidi kwenda nao sawa. Kwanza mie sikuwa na shida kabisa ya pesa. Ndani nna hela na mlige kila week end tunaongea ananiongezea elfu 50. Et nitumia nnachokitaka. Mh acha kabisa.na nikawa naongea na wazazi wakawa wananisisitiza nisome na nikumbuke kuwa elimu ndo kitu nilichokifata shuleni.
Basi bwana maisha yakawa yanaenda mpka nikakatiza mwezi mzima .mie napambnaa na shule. Kweli boya wapo. Ila sikuwa na mda ata kidogo. Yani mda na mtoto wa kiume sikuwa nao kabisa. Mie ukiniona nimekaa na naonge ana mtu basi ni awa room mates wangu yani prisca na zaituni hivvyo yani. Basi bwnaa siku iyo ilikuwa mda waa saa 12 jioni. Nikajiandaa haraka harka kwa ajili ya kuingia prepo ya saa moja usiku. Nikabeba na vitabu vyangu ftesh .nikawaaga zaituni kuwa mie natangulia class wakanmbia sawa tangulia tu sie tunakuja. Basi shoga yenu taratibu nikaanza kuelekea darasani.
Asa nikiwa nakalibia darasani. Aseeee nilistuma mtu kanivamia mpaka nikaangiusha vitabu vyangu vyote . Nilichukia yani kwa nn haangaliii mbele. Nikainua sula kwaa hasira kumuona kwanza uyo. Alofanya niangushe vitabu vyangu.nyie mbona hasira zilipoa. Alikuw ani mkaka wa kiharabu kavalia trak za sale yetu nyeusi. Nyie uyu mkaka ni mzuri .mnajua ni mzuri . Yani ni bonge la handsome.nywele sasa uwi eet mpka kazibna. Nyie baada yya kupaniki nilibaki namshangaa. Yule mkaka sasa ndo aksema aha sory best. Sikuwa nimekuona. Mie nikabaki tu kusema sawa hakuna shida. Basi akaniokotea vitabu vyangu kisha akaniuliza we ni mwanafunzi mpya wa kidato cha tano eerh. Mie nikajibu ndio . Akasema okey mi naitwaa zayd. Nipo kidato cha sita we unaitwa nani. Nyieeee mie nikasema naitwa faridaha
Akasema waoo faridah kumbe okey. Una jina zuri sana . Ila ni kama.ww mwenyewe piah . Ulivyo mzuri basi unaendana na jina lako mashallah. Nyieee nikajikuta mpka nimetabasamu. Yule kaka akasema. Okey basi sory faridah endelea na safari zako sasa. Kisha akaniacha pale akanyoosha kwenye mabweni ya wanaume. Aseeeee yule mkaka ni mzuri jamani sijuh niwaeleze nn. Yani kaumbwa kaumbika na mweupe. Ana nywele nyingi yani sitaki kuwaelezea apa. Kuhusu uzuri wa uyu zayd. Mkaka wa kiarabu. Basi mie nikaingia zangu prepo. Ila akiri kama ililogwa ilimuwaza sana yule mkaka mpaka nikawa najichekea mwenyewe sasa.iki] >> [muziki] [muziki] >> E samahani kidogo iman. Wow, very amazing forest. Lakini mimi nada sehemu moja. Hivi nyinyi mimwelewa yule mzee kweli? Maana mtu mwenyewe anaongea anacheka cheka kama punguani hivi zimo hazimo au nyi nimemuelewa? Mi nahisi kwa nini sisi nilivyomuelewa. Sidhani kama kuna ukweli kwenye maneno yake. Alikuwa anatutisha tu kukojoa. Tunatia mbolea msitu bwana. Eh haya tusivute sigara tusinywe pombe sasa pombe inahusiana na nini na msitu?
00:09:54
Mh mi nafikiri labda alihisi tukivuta sigara katika kutupa vile vipande labda tunaweza tukauchoma msitu. Kwa hiyo mi nadhani tu tufanye lakini katika hali ya kistaarabu sio kwamba tuharibu msitu wa watu m >> awe we nisikizeni niwaambie kitu. Unajua siku zote anguko la mwanadamu mpumbavu kutoka kwenye fikira zake na waliosema kwamba mzharau mwiba mguu wote tende walikuwa na maana kubwa sana nawaambeni tuishini katika taratibu na sheria alizotupatia unavyoongea utafikiri mstaarabu kama inenti fulani tu mwenyewe
00:10:33
umechelewa ujali muda. ni moja pendeni. [muziki] [muziki] >> [muziki] >> Umeonaje msitu? Ah ni mzuri sana kwa projekti yetu unatufaa kabisa. >> Lakini pia nilikuwa sijawaonyesha mazingira ya kule chini. Kuna mazingira mazuri nikataka niwapeleke mkaangalie kule kuna bondi fulani kule baada ya kutoka kule niwapeleke sehemu ya kambi tulipofikia unaona oh safi sawa unaanza >> vipi wewe wewe unajua unanisaidia nini >> tumekatazwa kuvuta sigara t msitu huu >> tumeambiwa tuvute kistaarabu
00:11:39
>> na nani nani tumeambiwa hakuna kuvuta sigara ndani ya msitu huu >> hivi ushaanza kuwa unanipanda sasa kichwani umesahau mimi ni nani eti Bana nisikilize >> ndugu yangu mimi ni mwalimu wako. Sasa maswala ya walimu yanaingana vipi hapa hapa huko kwenye ma yangu mimi ni location manager ualimu kule alafu sikiliza nikuambie wewe mimi nilijua wewe msomi sana yaani unaelewa sasa habari ya sigara na msitu vinahusiana na nini hayo mambo ya kishirikina hayo huko we backi bana >> m
00:12:10
>> mambo gani haya bwana mbona unakuwa mshamba mshamba hivo wewe >> hatutakiwi kurumbana haya twendeni >> anazingua sana nini bwana >> [muziki] [muziki] [muziki] >> Oh [muziki] >> [muziki] [muziki] >> Oh [muziki] >> [muziki] >> Mi nadhani kila kitu kiko sawa. Si umidhika na kila basi nadhani ilikuwa ni location ya mwisho hapa napiga tiki napiga tiki tiki kwa hiyo tutakuwa tumebakiza hii hapa kule sehemu ya kuweka kambi wasanii ndio watakiwa ndio nikamalizeni wapeleke mkapaangalie
00:13:38
>> eh subirieni kidogo >> sawa >> unaenda wapi >> nakuja >> kwa Hii ndio bado moja tu [muziki] sehemu ya kuweka kambi naenda kuanishi kumalizia [muziki] [muziki] [muziki] >> [muziki] [muziki] >> Oh. [muziki] Oh. [muziki] Oh. >> [muziki] [muziki] >> Eh Eh >> [muziki] >> Hai hai. >> [muziki] [muziki] [muziki] >> E He. [muziki] [muziki] Ni mimi >> ni mimi mwanangu njoo mshaji wangu amezingua mwanangu. Kajua ukazingua mwanangu
00:17:21
>> oh J huo si ndio wakati ya kuraguniana tujiulize hapa tunatoka vipi Pen [muziki] Twende twende nini wewe >> [muziki] [muziki] [muziki] >> Oh. [muziki] Oh oh >> J4 wewe ndio uliyetuleta huku. Nina uhakika njia unaifahamu wewe. Mi nataka kurudi nyumbani. Kumbuka mimi nina watoto, nina mke wananitegemea. Sasa kumbuka bado sijakamilisha ndoto zangu. Nina uhakika wewe njia unaifahamu. >> Nani anahitaka kubaki kwenye huu msitu? Eh kwa kuniona mimi nauhitaji kubaki kwenye msitu huu. Aliyetuleta huku nani?
00:20:13
>> Sawa ni mimi lakini mashahidi si tulipewa wote. nisikilize tusilbani. Kwanza mshaji wu ndio kayaleta yote haya kazingua kila kitu. Wenyeji wenyeji wapi una wapi mimi mwenyewe kwenye msitu huu mimi mwenyewe mgeni kama ulivyo wewe. Sasa nisikilize hapa hamna hapa tunapita hapa. Twende twende huku. >> [muziki] >> Oh >> [muziki] >> Oh. Oh. e njia tumeiona mwanangu >> lakini vipi kuhusu beti >> eh >> ubakiwa wapi rudi mwenyewe
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi