Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
04 Feb 2026
406 views
VYOTE NDANI GONGA94
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 6
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Nikajisemea aaah bhana nitaonekana Nina tabia mbaya mlango wangu ukagongwa nikaenda kufungua alikuwa ni Jane nikamuuliza vipi akaniambia amekuja kuangalia chumba changu tuu
Nikamuuliza swal la mtego ivi tukija kama hivi tunaruhusiwa kufanya, akaniuliza kufanya Nini nikamwambia we nawe huelewi kufanya π, akaniambia aaaaah kumbe ndio ila kama unaend wakufanya nae ila iwe kisirisiri tu na yeye akaniuliza vipi ndugu yangu unaenda Kwa pilot John au nikamuuliza pilot John ndo Nan akasema si yule wa pembeni ya Kendrick nikamjibu hapana akasema sasa Nan maaan Kendrick hanaga mambo ayo kabisa nilivyosikia ivo nilifurahiπ , nikawa Nacheka Kwa furaha Jane akaniuliza vipi mbona unacheka ivo nikamwambia nataka nilale aondoke akasema sawa Kisha akaondoka.
Sasa na mie nikaamka nikavaa knight dress, maana niliweka na nguo zangu baadhi kweny kile kibegi.
Nikavaa Ile night dress nikavaa na Kofi kubwa juu nikalifunga nikabeba na Ile Kadi nikatoka kama sio Mimi nienda kupanda lifti maan floor za VIP zipo juu kabisa nikafika kweny Ile floor yenyew vymba kuanzia 350 mpaka 400 nikatembea mpaka chumba cha 390 nikafika sasa mlangoni π wooii nikawa naogopa mara nijizungushe niende nirudi Nikajipa moyo nikaiweka Ile Kadi pale mlangoni mlango ukafunguka nikaingia uku nanyata nafika sebleni nikamkuta kakaa kweny kiti kavaa bukta tuu anawaangalia usawa niliopo Mimi uku ameshika glass ya wine π· π«’.
Nikaingia sasa sijui cha kufanya eti nikamsalimia mambo πye mwenyw akatabasamu Kisha akanifata akaniangalia Kisha akaniambia kwaiyo ukiambiwa uje na boyfriend wako unavaa iyo mikoti nikamwambia hapana nimevaa ndani akaniambia embu tuone nikamvulia koti na ukizingatia maziwa yangu ni saa Tano maana nividogoπ dadaangu huwa ananitaniaga Nina ulemavu wa maziwa maana hayakui kabisa alafu kile knight dress nikifupi mpaka mapaja yanaonekana na ukizingatia Nina hipsi la kiafrika basi wee.
Kendrick hakuamini macho yake akaniuliza we Lailat nikaitikia Kwa aibu akanisogelea kwanza akanivuta mpaka kweny lile kochi nililomkuta kakaaa akanipakata na alikuwa kavaa taulo tuu na Mimi nilikuwa na night dress tuu, akawa ananiongelesha uku ananiangalia usoni alafu hapo kanipakata na mkono wake mmoja umekamata kiuno changu mwengine upo kwenye glass yake ya wine π·, anaongea ananiuliza vimaswali maswali nikichelewa kumjibu ananibinya kiuno kidogo tuu ila nashtuka.
Alivyoona nashtuka sana alafu ananishika kidogo tuu akaniuliza unamda gani hujafanya sex, sasa aibu kujibu akanibinya Tena nikashtuka nikamjibu kwasauti nyembamba nikamwambia sijawai, sasa hapo ndo nilikuwa nimeharibu maana nilihisi pale nilipokaa Kuna kitu kigumu nimekalia jamni mara ya kwanza ilikuwa kawaida tuu ila Kila muda unavozidi kwenda nikawa nahisi panazidi, Kendrick alivyoona kama nataka nishtuke akaanza kuniongelesha maskioni, hapo ndo alinimaliza kabisaaa ππ», nikawa nimelegea sielewi hili Wala lile akanibeba mpaka kitandani , sema hakuniachia hata chance ya kujitetea maana alivyonibeba alikuwa ananiongelesha Bado maskioni.
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
Nikajisemea aaah bhana nitaonekana Nina tabia mbaya mlango wangu ukagongwa nikaenda kufungua alikuwa ni Jane nikamuuliza vipi akaniambia amekuja kuangalia chumba changu tuu
Nikamuuliza swal la mtego ivi tukija kama hivi tunaruhusiwa kufanya, akaniuliza kufanya Nini nikamwambia we nawe huelewi kufanya π, akaniambia aaaaah kumbe ndio ila kama unaend wakufanya nae ila iwe kisirisiri tu na yeye akaniuliza vipi ndugu yangu unaenda Kwa pilot John au nikamuuliza pilot John ndo Nan akasema si yule wa pembeni ya Kendrick nikamjibu hapana akasema sasa Nan maaan Kendrick hanaga mambo ayo kabisa nilivyosikia ivo nilifurahiπ , nikawa Nacheka Kwa furaha Jane akaniuliza vipi mbona...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/pilot-sitaki-inaniogopesha-sehemu-ya-6