Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
14 Nov 2025
336 views
VYOTE NDANI GONGA94
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 15 "Hapana hapana usifanye hivyo mlinzi nakuomba usimwage
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
damu ya yeyote, mume wangu hayupo sawa jamani" niliongea na kuchukua simu kutoka kwa mlinzi nilimwomba mume wangu arudi nyumbani ili tuweze kuongea vizuri, alinikatia simu nilihisi kuchanganyikiwa zaidi, mlinzi alinielewa japo hawakuruhusu kabisa watu wa benki wachore kwenye ukuta kwamba nyumba inauzwa, waliondoka wakijiandaa kuja siku inayofuata wakiwa na watu wa kupiga mnada nyumba yetu.
Baada ya muda mume wangu alirudi, tuliingia ndani angalau alikua katulia aliniomba msamaha kwa kauli aliyompatia mlinzi nilikubali kwamba nimemwelewa nilitoa ushauri kama itawezekana bhasi aongee na marafiki zake kama John na wengine ikiwezekana wamsaidie kulipa hilo deni, mume wangu alikubali alianza kuwatafuta mmoja baada ya mwingine hakuna hata mmoja ambae alikubali kumsaidia kila mmoja alitoa visababu vyake, nikaijua maana pana ya wanadamu kwamba utakua nao kwenye raha tu ila wakati wa shida utabaki peke ako.
Tulikumbatiana na mume wangu kitandani, baada ya muda nikatoka ili nikapike maana nguvu na mawazo mapya yanapatikana kwenye kula chakula.
Nikiwa jikoni kwa siri nilimpigia simu Diana na kumwomba aongee na mumewe atusaidie kwani tulikua karibu kudhalilishwa.
Diana alinijibu.
"Sorry cuzo mume wangu kanunua nyumba jana ya millioni mia tano mngewahi kidogo tu bhasi tungewasaidia saivi hana pesa kabisa nikimlazimisha ataniona waajabu kwani nitakua namwonea tu" ilibidi nimuage Diana tu kwani sikuona kama atakua na msaada tena, tulibaki wawili tu kwenye matatizo yetu, nilipika chakula nikimuamsha mume wangu ili tule, tulikula pale japo kidogo tu ili tusife na njaa nilimwambia mume wangu kwamba nimepata wazo jipya wazo la kumshirikisha shangazi kama atakua na pesa atatukopesha
Mume wangu alinizuia kutofanya jambo hilo kwani ni vibaya sana kwa upande wake kwani itatengeneza dosari la miaka na miaka kwamba amesaidiwa na ukweni alisema yupo tayari kurudi chini kuliko kusaidiwa na wakwe zake huo ulikua msimamo kabambe aliokua nao mume wangu, nilimkubalia na siku iliyofuata watu wa benki walikuja waliuza nyumba na gari, pesa iliyobaki kama millioni tano tu tulipewa tuliwalipa wale walinzi na kuwatakiwa maisha mema, sisi tuliondoka na kwenda kutafuta chumba na sebule ya laki na hamsini, tulilipa miezi sita ya kodi, tulinunua vyakula, pesa ikiyobaki mume wangu alinunua pikipiki ili afanye kazi ya bodaboda maisha yetu yalipinduka kwa kasi sana ndani ya muda mfupi, hakuwepo wa kutusaidia tuliamua kujisaidia wenyewe.
Itaendelea......
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MY WANGUβ€οΈ sehemu ya 71 na 72
Mama akaningalia akanmbia ni mlige uyo ndo anakuliza.nikasema mama nampenda sana niombee msamaha kwake. Mama mi naumia ...
7 MPAKA 9 π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘π‘ Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 15 "Hapana hapana usifanye hivyo mlinzi nakuomba usimwage
damu ya yeyote, mume wangu hayupo sawa jamani" niliongea na kuchukua simu kutoka kwa mlinzi nilimwomba mume wangu arudi nyumbani ili tuweze kuongea vizuri, alinikatia simu nilihisi kuchanganyikiwa zaidi, mlinzi alinielewa japo hawakuruhusu kabisa watu wa benki wachore kwenye ukuta kwamba nyumba inauzwa, waliondoka wakijiandaa kuja siku inayofuata wakiwa na watu wa kupiga mnada nyumba yetu.
Baada ya muda mume wangu alirudi, tuliingia ndani angalau alikua katulia aliniomba msamaha kwa kauli aliyompatia mlinzi nilikubali kwamba nimemwelewa nilitoa ushauri kama itawezekana bhasi aongee na marafiki zake kama John na wengine ikiwezekana wamsaidie kulipa hilo deni, mume wangu alikubali alianza kuwatafuta mmoja...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya-15-hapana-hapana-usifanye-hivyo-mlinzi-nakuomba-usimwage
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tatizo-kubwa-inaniogopesha-sehemu-ya
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 6 Akanishika kiuno vizuri akanibeba mpaka kitandani akaniweka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 7 "Niko zanzibar Cuzo, nakula maisha kidogo" "Mmmh weee Diana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 13 Alinivuta na kunikalisha chini walinifunga kamba konani na kuniziba mdomo w
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 8 "Vipi kuna nini mbona umepoteza furaha gafla, uso wako umelikimbiza tabasamu
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 17 - 18 Asubuhi na mapema tulipeana cha asubuhi cha kuagana
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 16 Maisha ya kutoka kwenye kiyoyozi mpaka kwenye feni ya kawaida
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 14 "Mke wangu nimepoteza migodi yangu yote, mke wangu tumefirisika sisi aaaaaaah aaaaaah"
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 10 Mchungaji alimnyamazisha mwanamke huyo asiendelee kulia kwani kulia isingeweza
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 11 "Sikatai huyu alikua dada wa kazi nyumbani kwetu tena kwa miaka
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 12 "Poleni sana ujauzito uliokua tumboni mwa Brigita umeharibika, naomba mjipe nguvu