Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMU WA MABOSS ????❤️  Ep 17~18
Gonga94 · Stories

UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTAMU WA MABOSS ????❤️

Ep 17~18
Linda alishangaa kumuona Alex akiwa bize jikoni toba anafanya nini yule????????inamaana anataka kupika?????????????????? kumekucha leo tunalala njaa humu ndani ????????????

Alex alikuwa bize kukanda unga wa ngano????????alijipaka unga kila mahali mamaaa itabidi niende nikamsaidie????????Linda alielekea jikoni haraka kwa ajili ya kumsaidia Alex..

Oyaa Mr unafanya nini mbona umejipaka unga kila mahali unataka kujipika au????????????Linda aliongea huku akicheka

"Yeye ni mrembo sana haswaa wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote...

nitaendelea kufanya kila kitu ili kumfanya awe anacheka muda wote, Alex aliwaza hivo kisha akamwambia Linda eh ndioo huoni kuwa napika

Hee sawaa sogea huko nikusaidie bwana????????

Walisafisha kila mahali na
Na kutoa kikaango, mafuta, bakuli na kijiko.
WaAlianza kupika na ilikuwa furaha sana walipo kuwa pamoja .

Walimaliza kupika na wote wakapumua kwa uchovu.

"Nyie wasichana mnajiweza kweli" Alex alisema maana alikuwa amechoka zaidi na linda akacheka.

"Hujui chochote" Alisema linda na Alex alienda kwenye friji na kuchukua chupa ya maji baridi ili ajipooze.

"Unapaswa kupakuwa chakula kwani nina njaa sana" Alex alisema na wakachukua chapati hadi kwenye meza ya chakula.

Alex alikuwa anajisemea namna anavyomuona Linda alivyo mrembo kwenye macho yake na Linda ni kama alisikia Alex akisema kitu na kuliza.

"Nini. Nataka kula" Alex alinong'ona
"Inabidi tuombe kwanza" Alisema Linda na Alex akakodoa macho.

"Sawa" alisema na Linda akaanza kuomba huku Alex akisema Amina huku macho yake yakiwa kwenye chapati ????????????.

Linda alimaliza maombi na haraka Alex akaweka chapati kinywani mwake.
"Mmmm tamu" alisema Alex .
"Tunapaswa kupika pamoja mara kwa mara,"

Linda alitikisa kichwa..na kuendelea kula
Baada ya kumaliza kula
Walikaa kwenye kochi kutazama sinema.

Alex alichukua rimoti kubadilisha chaneli lakini Linda alimzuia
"Nataka kuibadilisha," Alisema Alex
"Hapana huwezi kufanya hivyo"

"Na kwanini unadhani siwezi kufanya hivyo"
"Cos...cos...cos"
"Ona hujui"
"Nipe tu" alisema na Linda akanuna na kuificha remote

"Hebu angalia naweza kuchukua" Alex alimnyang'anya.. nyoo Linda aliongea na Alex akaanza kusogeza rimoti juu Linda alijaribu kuirukia na kumdondokea Alex

katika harakati hizo wote wakajikuta wanatazamana Alex aliitizama mdmo ya linda na Linda akakwepesha pembeni Alex alianza kumtkenya Linda ????????????

Walianza kukimbizana huku na kule mwisho Linda akakimbilia chumbani alifika huko akaanza kuwaza

"Dah nilivyo mdondkea Alex tukatazamana ilibakia kidogo anibus yani huyu sijui hata yukoje kwanza hajawahi kunitngza akome kunizoea zoea..

Wakati yupo huko alisikia Alex anamuita hey njoo chukua remote yako nilikuwa nakutania rudi uendelee kuangalia tv

Hatimaye Alex alimpa Linda rimoti na akaitumia kumgonga nayo kichwa chake..
"It's OK.I'm going upstairs" Alisema Alex na kusimama
"Ngoja . Huwezi kuniacha pekee yangu hapa" alisema Linda huku akiwa anamfata

"Unataka nini tena kama ni rimot nimekupa " Linda alimrukia na kutaka Alex ambebe mgongoni
"Tafadhali unaweza kunipandisha ngazi hadi chumbani kwetu...linda alimuuliza Alex na tyr alikuwa mgongoni kwake Unajua sijisikii vizuri," Linda alisema na Alex akacheka.

Sitaki kushuka, mgongo wake ni sehemu nzuri ya kupumzika akawaza linda.

"Shuka chini" Alisema Alex lakini Linda hata hakumjibu"

Alex alipanda nae hadi chmbn haya shuka tumefika kwani anashuka sasa????????????Alex alianza kumzungusha zungusha mpaka Linda akaanza kuhisi kizunguzungu

Alex alimwachia akaanguka kitandani.
"Ahhh gosh...unataka kuni ua" Linda alimuuliza Alex.

"Hapana wewe ndio unataka kuni ua" alisema na Linda hakukubali.

"Nilikuomba unipe lift na wewe ukakubali lakini kwa kuwa sikuwa tayari kushuka, unatakiwa kusubiri hadi niwe tayari kushuka" Linda alimwambia Alex

lakini Alex hakukubali.
"Hapana nilikuambia kuwa nilikuwa nimechoka sana, ulitakiwa kuzingatia Hilo, ukweli kwamba nilikuwa nimechoka sana," alisema alex.

Waliendelea kubishana mpaka Alex akam????????????ndio linda akawa mpole

"Samahani, nilifanya hivyo ili kukunyamazisha tu," alisema Alex.

"Ungeweza tu kusema ninyamaze," Linda alisema
"Samahani" Alisema tena na Linda hakumjibu.

"Natamani tu kumpotezea lakini nashindwa mbona nazidi kuchizika juu yake sasa???????? na huku kumuona kila siku sijui kama nitaweza, alijisemea Linda Kisha akajilaza kitandani na kujifunika kwa kutumia blanketi akalala...

"Mbona kama vile Linda ananiepuka tu? Sasa nitafanyaje ajue kuwa ninampnda au amenuna kwa kumbus bila ridhaa yake????????

na sidhani kama atazungumza nami kwa muda. Gosh nimefanya nini? Alex akawa anajiuliza .

Alilala nayy huku mawazo mengi yakimvamia kichwani usiku ulizidi kuwa mkubwa hatimae kulipambazuka

Linda aliamka asubuhi na kuangalia upande mwingine na kugundua Alex hayupo kitndni..

Linda alisimama na kufanya mambo muhimu.
Alishuka na kukutana na Alex akiwa tayar ameshavaa nguo za kazin huku akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi" alimwambia, bila kumtazama

"Linda bado umenikasirikia,ila ,
nilisema samahani. Sawa angalia sitorudia tena kukukera" Alisema alex.
"Sawa nimekusamehe" alisema Linda akiwa bado hawez kumtazama.

"Lakini huniangalii" alisema Alex na Linda akanyanyua macho na kumtazama na Alex akatabasamu
"Umeridhika" Linda aliuliza
"Twende" alisema Alex na wakaondoka kwenda kazin....

Walifika kwenye kampuni na moja kwa moja akaenda ofisini kwake.

"najua bado ana hasira na mimi lakini zitakaa kwa muda, Alex akawaza

Muda huohuo alikuja Michael aliingia na kumsalimia Alex kisha akamwambia
"Hey, nimemuona mpnz wako mpya bana mnaendana sana ," Michael alisema na kukaa
Nani kakwambia mimi nina mpnz Alex alisema na Michael akacheka.

"Huwezi kunidanganya...sikia Alex bora umchukue msichana huyu kabla mtu mwingine hajamchukua"
"Hata macho yako yanaonyesha hujiwezi kwake..

Alex aliangalia pembeni akawaza mamaaa kumbe nishashtukiwa kitambo????????
"Lakini sasa ana hasira na mimi," Alex alisema kwa huzuni
"Usijali kuhusu hilo, atasahau muda si mrefu," alisema Michael na alex akatabasamu.

"Asante bro" Alex alisema
"Kwa nini upo hapa " Alex akauliza
"Nimekuja kuangalia kama kuna drama nyingine ya mapnz inaendelea" Alisema Michael huku akiwa anacheka.."

Kwahiyo sisi tumeshakuwa sinema siyo?? Michael alicheka na kumwambia alex nilikuwa natania tu Bro Nilikuja tu kukuangalia"
"Okay..

Huku kwa Linda sasa ???????? alikuwa ofisini kwake lakini akili yote iko kwa Alex

"Nitafanya Nini Mimi Linda ????????Je! Nikimuambia nampnda nitakuwa ninafanya jambo sahihi kweli? Uuuwww bibie hataki kusubilia tena anawaza kumwambia Alex kuwa anamlavuuu????????????

"Haya maigizo ya kuigiza kuwa mpnz wa mtu ndo yamesababisha moyo wangu ukampnd Alex ???????? na lenyewe lipolipo tu hata halijiongezi????????

Linda aliendelea kujigombeza peke yake ofisini????

Nini kitafuata??

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18

UTAMU WA MABOSS ????❤️

Ep 17~18
Linda alishangaa kumuona Alex akiwa bize jikoni toba anafanya nini yule????????inamaana anataka kupika?????????????????? kumekucha leo tunalala njaa humu ndani ????????????

Alex alikuwa bize kukanda unga wa ngano????????alijipaka unga kila mahali mamaaa itabidi niende nikamsaidie????????Linda alielekea jikoni haraka kwa ajili ya kumsaidia Alex..

Oyaa Mr unafanya nini mbona umejipaka unga kila mahali unataka kujipika au????????????Linda aliongea huku akicheka

"Yeye ni mrembo sana haswaa wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote...

nitaendelea kufanya kila kitu ili kumfanya awe anacheka muda wote, Alex aliwaza hivo kisha akamwambia Linda eh ndioo huoni kuwa napika

Hee sawaa sogea huko nikusaidie bwana????????

Walisafisha kila...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamu-wa-maboss-ep-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamu-wa-maboss-ep
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

608
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

552
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

431
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

337
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

70
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest