UTAMU WA MABOSS ????❤️ Ep 17~18
Ep 17~18
Linda alishangaa kumuona Alex akiwa bize jikoni toba anafanya nini yule????????inamaana anataka kupika?????????????????? kumekucha leo tunalala njaa humu ndani ????????????
Alex alikuwa bize kukanda unga wa ngano????????alijipaka unga kila mahali mamaaa itabidi niende nikamsaidie????????Linda alielekea jikoni haraka kwa ajili ya kumsaidia Alex..
Oyaa Mr unafanya nini mbona umejipaka unga kila mahali unataka kujipika au????????????Linda aliongea huku akicheka
"Yeye ni mrembo sana haswaa wakati anatabasamu, nadhani nilijinyima tabasamu lake wakati huu wote...
nitaendelea kufanya kila kitu ili kumfanya awe anacheka muda wote, Alex aliwaza hivo kisha akamwambia Linda eh ndioo huoni kuwa napika
Hee sawaa sogea huko nikusaidie bwana????????
Walisafisha kila mahali na
Na kutoa kikaango, mafuta, bakuli na kijiko.
WaAlianza kupika na ilikuwa furaha sana walipo kuwa pamoja .
Walimaliza kupika na wote wakapumua kwa uchovu.
"Nyie wasichana mnajiweza kweli" Alex alisema maana alikuwa amechoka zaidi na linda akacheka.
"Hujui chochote" Alisema linda na Alex alienda kwenye friji na kuchukua chupa ya maji baridi ili ajipooze.
"Unapaswa kupakuwa chakula kwani nina njaa sana" Alex alisema na wakachukua chapati hadi kwenye meza ya chakula.
Alex alikuwa anajisemea namna anavyomuona Linda alivyo mrembo kwenye macho yake na Linda ni kama alisikia Alex akisema kitu na kuliza.
"Nini. Nataka kula" Alex alinong'ona
"Inabidi tuombe kwanza" Alisema Linda na Alex akakodoa macho.
"Sawa" alisema na Linda akaanza kuomba huku Alex akisema Amina huku macho yake yakiwa kwenye chapati ????????????.
Linda alimaliza maombi na haraka Alex akaweka chapati kinywani mwake.
"Mmmm tamu" alisema Alex .
"Tunapaswa kupika pamoja mara kwa mara,"
Linda alitikisa kichwa..na kuendelea kula
Baada ya kumaliza kula
Walikaa kwenye kochi kutazama sinema.
Alex alichukua rimoti kubadilisha chaneli lakini Linda alimzuia
"Nataka kuibadilisha," Alisema Alex
"Hapana huwezi kufanya hivyo"
"Na kwanini unadhani siwezi kufanya hivyo"
"Cos...cos...cos"
"Ona hujui"
"Nipe tu" alisema na Linda akanuna na kuificha remote
"Hebu angalia naweza kuchukua" Alex alimnyang'anya.. nyoo Linda aliongea na Alex akaanza kusogeza rimoti juu Linda alijaribu kuirukia na kumdondokea Alex
katika harakati hizo wote wakajikuta wanatazamana Alex aliitizama mdmo ya linda na Linda akakwepesha pembeni Alex alianza kumtkenya Linda ????????????
Walianza kukimbizana huku na kule mwisho Linda akakimbilia chumbani alifika huko akaanza kuwaza
"Dah nilivyo mdondkea Alex tukatazamana ilibakia kidogo anibus yani huyu sijui hata yukoje kwanza hajawahi kunitngza akome kunizoea zoea..
Wakati yupo huko alisikia Alex anamuita hey njoo chukua remote yako nilikuwa nakutania rudi uendelee kuangalia tv
Hatimaye Alex alimpa Linda rimoti na akaitumia kumgonga nayo kichwa chake..
"It's OK.I'm going upstairs" Alisema Alex na kusimama
"Ngoja . Huwezi kuniacha pekee yangu hapa" alisema Linda huku akiwa anamfata
"Unataka nini tena kama ni rimot nimekupa " Linda alimrukia na kutaka Alex ambebe mgongoni
"Tafadhali unaweza kunipandisha ngazi hadi chumbani kwetu...linda alimuuliza Alex na tyr alikuwa mgongoni kwake Unajua sijisikii vizuri," Linda alisema na Alex akacheka.
Sitaki kushuka, mgongo wake ni sehemu nzuri ya kupumzika akawaza linda.
"Shuka chini" Alisema Alex lakini Linda hata hakumjibu"
Alex alipanda nae hadi chmbn haya shuka tumefika kwani anashuka sasa????????????Alex alianza kumzungusha zungusha mpaka Linda akaanza kuhisi kizunguzungu
Alex alimwachia akaanguka kitandani.
"Ahhh gosh...unataka kuni ua" Linda alimuuliza Alex.
"Hapana wewe ndio unataka kuni ua" alisema na Linda hakukubali.
"Nilikuomba unipe lift na wewe ukakubali lakini kwa kuwa sikuwa tayari kushuka, unatakiwa kusubiri hadi niwe tayari kushuka" Linda alimwambia Alex
lakini Alex hakukubali.
"Hapana nilikuambia kuwa nilikuwa nimechoka sana, ulitakiwa kuzingatia Hilo, ukweli kwamba nilikuwa nimechoka sana," alisema alex.
Waliendelea kubishana mpaka Alex akam????????????ndio linda akawa mpole
"Samahani, nilifanya hivyo ili kukunyamazisha tu," alisema Alex.
"Ungeweza tu kusema ninyamaze," Linda alisema
"Samahani" Alisema tena na Linda hakumjibu.
"Natamani tu kumpotezea lakini nashindwa mbona nazidi kuchizika juu yake sasa???????? na huku kumuona kila siku sijui kama nitaweza, alijisemea Linda Kisha akajilaza kitandani na kujifunika kwa kutumia blanketi akalala...
"Mbona kama vile Linda ananiepuka tu? Sasa nitafanyaje ajue kuwa ninampnda au amenuna kwa kumbus bila ridhaa yake????????
na sidhani kama atazungumza nami kwa muda. Gosh nimefanya nini? Alex akawa anajiuliza .
Alilala nayy huku mawazo mengi yakimvamia kichwani usiku ulizidi kuwa mkubwa hatimae kulipambazuka
Linda aliamka asubuhi na kuangalia upande mwingine na kugundua Alex hayupo kitndni..
Linda alisimama na kufanya mambo muhimu.
Alishuka na kukutana na Alex akiwa tayar ameshavaa nguo za kazin huku akibonyeza simu yake.
"Habari za asubuhi" alimwambia, bila kumtazama
"Linda bado umenikasirikia,ila ,
nilisema samahani. Sawa angalia sitorudia tena kukukera" Alisema alex.
"Sawa nimekusamehe" alisema Linda akiwa bado hawez kumtazama.
"Lakini huniangalii" alisema Alex na Linda akanyanyua macho na kumtazama na Alex akatabasamu
"Umeridhika" Linda aliuliza
"Twende" alisema Alex na wakaondoka kwenda kazin....
Walifika kwenye kampuni na moja kwa moja akaenda ofisini kwake.
"najua bado ana hasira na mimi lakini zitakaa kwa muda, Alex akawaza
Muda huohuo alikuja Michael aliingia na kumsalimia Alex kisha akamwambia
"Hey, nimemuona mpnz wako mpya bana mnaendana sana ," Michael alisema na kukaa
Nani kakwambia mimi nina mpnz Alex alisema na Michael akacheka.
"Huwezi kunidanganya...sikia Alex bora umchukue msichana huyu kabla mtu mwingine hajamchukua"
"Hata macho yako yanaonyesha hujiwezi kwake..
Alex aliangalia pembeni akawaza mamaaa kumbe nishashtukiwa kitambo????????
"Lakini sasa ana hasira na mimi," Alex alisema kwa huzuni
"Usijali kuhusu hilo, atasahau muda si mrefu," alisema Michael na alex akatabasamu.
"Asante bro" Alex alisema
"Kwa nini upo hapa " Alex akauliza
"Nimekuja kuangalia kama kuna drama nyingine ya mapnz inaendelea" Alisema Michael huku akiwa anacheka.."
Kwahiyo sisi tumeshakuwa sinema siyo?? Michael alicheka na kumwambia alex nilikuwa natania tu Bro Nilikuja tu kukuangalia"
"Okay..
Huku kwa Linda sasa ???????? alikuwa ofisini kwake lakini akili yote iko kwa Alex
"Nitafanya Nini Mimi Linda ????????Je! Nikimuambia nampnda nitakuwa ninafanya jambo sahihi kweli? Uuuwww bibie hataki kusubilia tena anawaza kumwambia Alex kuwa anamlavuuu????????????
"Haya maigizo ya kuigiza kuwa mpnz wa mtu ndo yamesababisha moyo wangu ukampnd Alex ???????? na lenyewe lipolipo tu hata halijiongezi????????
Linda aliendelea kujigombeza peke yake ofisini????
Nini kitafuata??
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi