Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
Gonga94 Β· Stories

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya kazi za kufanya.
Alex anaperson assistance wake anaeitwa Shirley..

shirley alikuja na kahawa ya Alex ya asubuhi.
"Habari za asubuhi Alex" alisalimia na Alex bado aliendelea kubonyeza laptop yake.

Shirley Alimuita boss wake Alex kwa sababu yeye ni mmoja wa washirika wake wa utm lakin wafanyikazi wengine wanamuita boss au mr

Alex alinyoosha mkono wake mbele ili ampe kahawa lakini kwa bahat mbaya alimmwagia na Alex akashtuka.

."Samahani sana Alex" Alisema na kuanza kumsafisha shati lake lililokuwa na madoa lakini akafungua kifungo chake kimoja, na mwanzo alex aliona ni kosa lakini Shirley alikuwa akimtazama Alex kwa macho ya ????????????

Baada ya alex kuyaona yale macho ndipo alipojua mambo ya kahawa yalikuwa kama mtego tu

Alex aliushika mkono wa Shirley na kuukunja kwa hasira akaanza kulia kwa maumivu.
"Nilikuambia usifanye hivi ofisini. Wewe ni mpnz wangu wa huko nje ya kampuni hapa ofisini wewe ni msaidizi wangu????????????

"Samahani, sitafanya tena" alisema Shirley na Alex akatabasamu.

"Usijal jambo ulilolifanya halitatokea tena maana umefukuzwa kazi" akasema Alex kwa sauti ya ukali.

"Mimi....ni......hivyo...so..samahani. Alex tafadhali" akaanza kulalamika Shirley

"Hey, niwaite walinzi au. Unajua itakuwa aibu sana kwako walinzi wakija kukutoa hapa" alisema Alex na kuchukua simu yake na akatoka nje.

Katika upande wa Linda amezunguka akitafuta kazi kwa karibu masaa 3 sasa lakini hakubahatika hata sehemu Moja

"Labda niendelee kutafuta kazi kwa saa moja zaidi na nikikosa nirudi zangu nyumban , akawa anajisemea Linda.

Baada ya dakika chache Linda alitembea akaona bango kubwa la baa mbele yake aliifuata baa ilipo

Linda aliingia ndani na kumuona mtu akisafisha kaunta. Alifika kwake na akamtazama akitabasamu.

"Aah..... Habari za asubuhi bwana" Linda alisalimia kwa upole.

"Nikusaidie vipi" aliuliza yule aliye mkuta pale kaunta.

"Nataka kuomba nafasi ya kazi hapa Linda alimwambia na akaelekezwa ofisi ya meneja.

Linda alifika pale na kugonga mlango
"Ingia" sauti ya kiume ilisema na Linda akaingia ndani.

"Habari za asubuhi bwana" Linda alimsalimia
"Nikusaidie vipi" aliuliza.
"Nipo hapa kwa ajili ya nafasi kazi" alimwambia akimpa CV yake.
" Jina lako nani " akauliza yule mwanaume
"Linda" akajibu Linda

"Sihitaji CV yako kwani unaweza kuwa mhudumu wa usiku wa leo tu"akasema huyo mwnme

"Oh" Linda alisema huku mdomo ukitengeneza alama O "Hakikisha unakuja mapema kwani sitakuwa nafanya kazi ya kukuangalia kama umekuja mapema au laa" Alisema huyo mwnme

"Ina maana nimepata kazi" Linda alimuuliza yule mwanaum kwa furaha na huyo mwanaum akaitikia kwa tabasamu.

"Hongera sana Linda"
"Asante bwana"
"Hapana, niite tu Bryan" Alisema huyo jamaa

"Sawa Bryan" alisema Linda na kutabasamu

"vipi naweza kupata mawasiliano yako" Alisema Brian
"Sawa" Linda alimwambia na kumpa mawasiliano yake..

Kwenye Kampuni ya Alex.

Baada ya tukio la kumfukuza kazi Ashley Alex , alimpigia simu Michael, rafiki yake wa karibu sana.

"WhatSup" alisema Michael mara baada ya kupokea simu..

"Tafadhali unaweza kunipatia msaidizi wangu binafsi mpya" akasema Alex

"Subiri usiniambie umemfukuza kazi Shirley" Alisema Michael na Alex akamueleza kila kitu.
"Siku zote nilijua Shirley alikuwa ma.... TU, alikuwa anaringa sana na Bora umemfykuza kazi, akasema Michael.

Tuachane na mazungumzo yote na
nipatie msaidizi wangu binafsi mpya" Alisema Alex.

"Leo kutakuwa na party utaweza kuja, Michael akasema.
"Sina uhakika kwa maana Nina kazi nyingi ila nitajitajidi..

Huku kwa Linda baada ya kupata kazi alirudi nyumbani kupumzika alilala kabisa maana kazi aliyopata ilitakiwa aingie usiku....

aliamka baada ya kulala na kuangalia saa na tayari ni saa nane mchana.
Alioga haraka haraka na kuvaa gauni lake fp la zambarau alipendalo.

Alifunga nywele zake vizuri akavalia viatu kisha alibeba mkoba na kuanza safari ya kwenda kazini..

Jioni ilifika Alex akampigia Michael..umeshanitafutia msaidizi wangu binafsi?? Hapana sijampata bado..Fanya haraka ambatanisha picha zangu kwenye matangazo ukifanya hivo atapatikana haraka..

Michael alicheka huyu mshnz kwa vile sura yake nzuri anaitumiaga kama kigezo cha kuwatumia ovy mabnt wa watu..

Michael alimwambia jiandae uje kwenye party leo lazima utampta bnt utakaemtaka..

Linda alifika baa akashangaa kila mahali palionekana ni pazuri na taa ya kilabu zilimulika kila mahali.

Linda alimfuata mtu aliyemuajiri pale
"Habari za jioni " Linda alisalimia

"Wewe umekuja mapema kuliko nilivyotarajia"

"Asante. Nifanye nini" Linda aliuliza

Alielekezwa aanze kuhudumia wateja waliokuwepo pale baa Linda alienda katika meza moja ile amefika tu kuuliza wanatumia nini Boss mmoja akamgusa naniliu..

Boss mwenyewe hakuwa mwingine ni Alex????????

Linda aliwakaa akamuuliza kwanini unshke bila ridhaa yangu??????????????Alex alianza kuleta mashauzi

Linda alimnasa kibao kimoja kilichopenya kwenye masikio ya kila mtu aliekuwepo baan pale????????
kila mtu pale alishtuka????????..wakaulizana huyu dm kapata wapi jeuri ya kuwapg matajiri????????

Itaendelea..

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

42
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.26K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest