Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UTAMUU WA MABOSS??????  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya kazi za kufanya.
Alex anaperson assistance wake anaeitwa Shirley..

shirley alikuja na kahawa ya Alex ya asubuhi.
"Habari za asubuhi Alex" alisalimia na Alex bado aliendelea kubonyeza laptop yake.

Shirley Alimuita boss wake Alex kwa sababu yeye ni mmoja wa washirika wake wa utm lakin wafanyikazi wengine wanamuita boss au mr

Alex alinyoosha mkono wake mbele ili ampe kahawa lakini kwa bahat mbaya alimmwagia na Alex akashtuka.

."Samahani sana Alex" Alisema na kuanza kumsafisha shati lake lililokuwa na madoa lakini akafungua kifungo chake kimoja, na mwanzo alex aliona ni kosa lakini Shirley alikuwa akimtazama Alex kwa macho ya ????????????

Baada ya alex kuyaona yale macho ndipo alipojua mambo ya kahawa yalikuwa kama mtego tu

Alex aliushika mkono wa Shirley na kuukunja kwa hasira akaanza kulia kwa maumivu.
"Nilikuambia usifanye hivi ofisini. Wewe ni mpnz wangu wa huko nje ya kampuni hapa ofisini wewe ni msaidizi wangu????????????

"Samahani, sitafanya tena" alisema Shirley na Alex akatabasamu.

"Usijal jambo ulilolifanya halitatokea tena maana umefukuzwa kazi" akasema Alex kwa sauti ya ukali.

"Mimi....ni......hivyo...so..samahani. Alex tafadhali" akaanza kulalamika Shirley

"Hey, niwaite walinzi au. Unajua itakuwa aibu sana kwako walinzi wakija kukutoa hapa" alisema Alex na kuchukua simu yake na akatoka nje.

Katika upande wa Linda amezunguka akitafuta kazi kwa karibu masaa 3 sasa lakini hakubahatika hata sehemu Moja

"Labda niendelee kutafuta kazi kwa saa moja zaidi na nikikosa nirudi zangu nyumban , akawa anajisemea Linda.

Baada ya dakika chache Linda alitembea akaona bango kubwa la baa mbele yake aliifuata baa ilipo

Linda aliingia ndani na kumuona mtu akisafisha kaunta. Alifika kwake na akamtazama akitabasamu.

"Aah..... Habari za asubuhi bwana" Linda alisalimia kwa upole.

"Nikusaidie vipi" aliuliza yule aliye mkuta pale kaunta.

"Nataka kuomba nafasi ya kazi hapa Linda alimwambia na akaelekezwa ofisi ya meneja.

Linda alifika pale na kugonga mlango
"Ingia" sauti ya kiume ilisema na Linda akaingia ndani.

"Habari za asubuhi bwana" Linda alimsalimia
"Nikusaidie vipi" aliuliza.
"Nipo hapa kwa ajili ya nafasi kazi" alimwambia akimpa CV yake.
" Jina lako nani " akauliza yule mwanaume
"Linda" akajibu Linda

"Sihitaji CV yako kwani unaweza kuwa mhudumu wa usiku wa leo tu"akasema huyo mwnme

"Oh" Linda alisema huku mdomo ukitengeneza alama O "Hakikisha unakuja mapema kwani sitakuwa nafanya kazi ya kukuangalia kama umekuja mapema au laa" Alisema huyo mwnme

"Ina maana nimepata kazi" Linda alimuuliza yule mwanaum kwa furaha na huyo mwanaum akaitikia kwa tabasamu.

"Hongera sana Linda"
"Asante bwana"
"Hapana, niite tu Bryan" Alisema huyo jamaa

"Sawa Bryan" alisema Linda na kutabasamu

"vipi naweza kupata mawasiliano yako" Alisema Brian
"Sawa" Linda alimwambia na kumpa mawasiliano yake..

Kwenye Kampuni ya Alex.

Baada ya tukio la kumfukuza kazi Ashley Alex , alimpigia simu Michael, rafiki yake wa karibu sana.

"WhatSup" alisema Michael mara baada ya kupokea simu..

"Tafadhali unaweza kunipatia msaidizi wangu binafsi mpya" akasema Alex

"Subiri usiniambie umemfukuza kazi Shirley" Alisema Michael na Alex akamueleza kila kitu.
"Siku zote nilijua Shirley alikuwa ma.... TU, alikuwa anaringa sana na Bora umemfykuza kazi, akasema Michael.

Tuachane na mazungumzo yote na
nipatie msaidizi wangu binafsi mpya" Alisema Alex.

"Leo kutakuwa na party utaweza kuja, Michael akasema.
"Sina uhakika kwa maana Nina kazi nyingi ila nitajitajidi..

Huku kwa Linda baada ya kupata kazi alirudi nyumbani kupumzika alilala kabisa maana kazi aliyopata ilitakiwa aingie usiku....

aliamka baada ya kulala na kuangalia saa na tayari ni saa nane mchana.
Alioga haraka haraka na kuvaa gauni lake fp la zambarau alipendalo.

Alifunga nywele zake vizuri akavalia viatu kisha alibeba mkoba na kuanza safari ya kwenda kazini..

Jioni ilifika Alex akampigia Michael..umeshanitafutia msaidizi wangu binafsi?? Hapana sijampata bado..Fanya haraka ambatanisha picha zangu kwenye matangazo ukifanya hivo atapatikana haraka..

Michael alicheka huyu mshnz kwa vile sura yake nzuri anaitumiaga kama kigezo cha kuwatumia ovy mabnt wa watu..

Michael alimwambia jiandae uje kwenye party leo lazima utampta bnt utakaemtaka..

Linda alifika baa akashangaa kila mahali palionekana ni pazuri na taa ya kilabu zilimulika kila mahali.

Linda alimfuata mtu aliyemuajiri pale
"Habari za jioni " Linda alisalimia

"Wewe umekuja mapema kuliko nilivyotarajia"

"Asante. Nifanye nini" Linda aliuliza

Alielekezwa aanze kuhudumia wateja waliokuwepo pale baa Linda alienda katika meza moja ile amefika tu kuuliza wanatumia nini Boss mmoja akamgusa naniliu..

Boss mwenyewe hakuwa mwingine ni Alex????????

Linda aliwakaa akamuuliza kwanini unshke bila ridhaa yangu??????????????Alex alianza kuleta mashauzi

Linda alimnasa kibao kimoja kilichopenya kwenye masikio ya kila mtu aliekuwepo baan pale????????
kila mtu pale alishtuka????????..wakaulizana huyu dm kapata wapi jeuri ya kuwapg matajiri????????

Itaendelea..

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UTAMUU WA MABOSS?????? SEHEMU YA 01

UTRAMUU WA MABOSS??????

SEHEMU YA 01

Linda ni bint mwenye miaka 22 alilelewa na mjomba wake baada ya wazazi wake wawili kufariki...

Maisha katika familia ya mjomba yalikuwa ya manyanyaso sana????????hata hivo baada ya Linda kukua na kujitambua alitoroka huko ujmbani akaenda kujitegemea mwenyewe????????

Siku moja aliamka asubuhi akaoga na kujiremba kisha vizuri kisha alijiambia

"Nina enda kutafuta kazi leo na naomba nipate kazi bora zaidi,
Alichukua vitu muhimu vilivyohitajika na kwenda kutafuta kazi.

Upande wa pili kuna kijana mmoja jina lake ni Alex asubuhi hiyo nayy alienda kwenye kampuni yake mapema kwa sababu alikuwa na marundo mengi sana ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/utamuu-wa-maboss-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi utamuu-wa-maboss-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

678
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

288
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

287
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

232
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

132
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

46
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

19

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest