Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞
Gonga94 · Stories

11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
:11

kwa kukwama kwama “Nde, Nde”
Kwa upole nikamalizia “Ndeana Boss.”
Akacheka akisema “Una jina la kipekee sana unajua, sijawahi kusikia.”

Sasa mimi namtazama anavyocheka, huyu mwanaume analo tabasamu. Meno yake yamepangika vizuri na anajua tumia tabasamu lake.

Haitoshi kuna kitu sijasema, unazijuia vizuri zile sauti za watangazaji wa vipindi vya mahaba, ndiyo sauto zao nzito fulani hivi ila laini ndiyo hivyo hivyo sauti ya huyu mwanaume ilivyo.

Ana sauti nzuri sana ni kama vile akiongea usimwambie aache kuzungumza. Muda wote awe anazungumza tu, asiache kabisa.

Wakati mimi nashangaa aliniuliza “umekuja na chochote?”
Haraka nikatoa bahasha yangu na kumpatia. Akawa anatazama akisema “Ndeana, Yes nimepatia jina lako sasa.”
Nikatabasamu na akaniambia tena “Ndeana una uzoefu sana. Umefanya kazi hotel
nyingi sana unajua. Na umesoma chuo kizuri tu. Ila kwa hadhi ya hii Hotel yetu, elimu yako ilikuwa bado bado, sasa Ndeana nitafanya nini kwenye hili.”
Moyo wangu ukalia Paaah!!!, akanitazama vile namna naanza tena kutaka kulia.

Wakati ananitazama machozi yakanitoka nikajikuta nasema huku nikiomba sana tena mikono yangu nimeikusanya kwa kuonesha unyenyekevu mkubwa sana “naomba nisaidie kama mdogo wako kaka. Nakuomba sasa usiniache kisa elimu. Mimi naweza kazi, najua kila kitu kuhusu hii kazi. Nisaidie mimi kwaajili ya familia yangu. Ninakuomba sana, nakuomba sana Bosss, naomba kazi hii.”

Huyu mwanaume Stewart, alinitazama kisha akatazama pembeni na baada ya hapo aliinuka kunifuata upande niliokuwa nimekaa na akakaa mbele yangu na aliniambia huku akiinua uso wangu “Ndeana, mwanamke akilia kikawaida moyo wa mwanaume lazima uumie na kama sivyo basi huyo mwanaume ni katili. Ndeana sipendi kuona mtu analia hii huwa inanisumbua. Na mrembo kama wewe unalia sasa nawezaje kuvumilia. Futa machozi nikuambie kitu Ndeana.”

Haraka nikaanza kufuta machozi, na kisha nikawa namtazama . Aliniambia kwa kunitazama usoni “kusema ukweli kutoka moyoni sina mashaka na utendaji wako kazi. Na urembo wako siwezi kupinga.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:12
Kumbuka kila mahali na utaratibu wake si unajua eenh, basi na sisi hapa tunazo taratibu zetu namna ya kuajiri watu na vigezo vyako. Wewe mwenyewe si unaona, kwa heshima ya dada yako Mar, ndiyo maana upo hapa.

Kwa maana sasa tunapitia wakati mgumu kiuchumi juu ya corona ingawa kwasasa ni nafuu ila kuna ncho bado wamefunga mipaka. Lakini mimi bado nilitaka ufike hapa.

Sasa Ndeana nisikilize, ondoa shaka na hofu. Bila shaka umeacha taarifa zako muhimu zote. Utapigiwa simu na utaitwa. kwanza wewe kukaa hivi na mimi ni ushindi tayari niamini.”

Kiukweli wa moyoni nilijikuta ninanyong’onyea. Sikuwa najua kuwa elimu yangu nayo ni tatizo pale. Nilijikuta hata tabasamu siwezi tabasamu tena.

Huyu Boss Stewart akaniuliza “Mrembo, ina maana huniamini tena?”
Nikashindwa kumjibu. Na yeye akaendelea “ndiyo kwanza tumekutana, ila mini nakuamini hata nataka kukupa kazi lakini wewe huniamini mimi, kwanini?”
Kwa upole nikamtazama na kumuuliza “Boss, kweli utanipa kazi mimi?”

Akanitazama na kutabasamu na akaniambia “kwasasa tulia, mimi nitakupa kazi. Tulia niweke mambo sawa kisha utakuja kuanza kazi ila ni lazima ukubali kuwa hutoniangusha.”
Nilijikuta natabasamu tu na kusema “sitakuangusha.”

Akatabasamu na wakati huo simu yake ikaita. Akanitazama na kuniambia “Ndeana, tumemaliza. Subiri simu toka kwetu.”

Nikatabasamu, sasa mimi siwezi kurudi nilipotoka maana hotel ni kubwa aiseee sijui nilipoingilia wala nilipotokea. Akanitazama nahisi alitambua hilo.

Akatabasamu na kisha akanishika mkono wangu. Pamoja tulitoka mpaka kwenye lift akanielekeza cha kufanya na aliniaga. Nilijisikia aibu sana, ila yeye alikuwa anatabasamu tu muda wote.

Mimi nilifuata maelekezo nikarudi mpaka chini kabisa na kutoka pale. Nilikuwa na nusu furaha nikiwaza elimu furaha inaingia nyongo nabaki na huzuni. Kupata usafiri Posta haikuwa kazi kwangu na safari hii niliona tu bora nipande zangu daladala kuliko kupoteza pesa tena na kazi yenyewe sina hakika.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:13

Basi safari ya kurudi nyumbani ilianza na hata nikafika nyumbani. Nilipofika nilikutana na baba na dada yangu wamekaa sebuleni ni wazi walikuwa wananisubiri. Baba aliponiona alitabasamu na kusema “mwanangu Ndeana umependeza sana. Imeendaje huko?, dada yako amenielezea kila kitu nina hamu ya kusikia.”

Niliwatazama kwa upole na kusema “eti nitapigiwa. Naogopa itakuwa wamenipotezea kwa maana anasema elimu yangu ndogo ila anasema nimuamini nitapigiwa.”

Baba alitabasamu na kuniuliza “na ndiyo maana ukalia?. Kaa hapa binti yangu nikuambie.”
Nilisogea na kuketi karibu na baba yangu na kisha alisema “amekuambia ukweli kutokana na hadhi ya sehemu yao ya kazj na hata wewe unajua hiyo Hotel ni kubwa sana mwanangu. Ukweli unauma ila unakomboa.

Badala ya kulia sasa unapaswa kuomba Mungu upate nafasi ili ukusanye pesa uje ujiendeleze tena kidogo ili hadhi yako iongezeke. Na unajua binti yangu, kampuni na taasisi nyingi kwasasa haziajiri watu.

Lakini wewe umeitwa na ahadi umepewa, wewe ni wa pekee. Hii ni nafasi yako, ukisikia Mungu hufanya mambo magumu kuwa rahisi ndiyo namna hii. Mungu hawezi jambo moja tu, nalo ni kushindwa. Mungu hawezi kushindwa, maadamu kwa kinywa chake amekuahidi basi tusubiri simu tu. Ushapata kazi.”

Nikacheka kidogo na kusema “unajua baba wewe ndiyo ulivyo hivyo. Kurahisisha mambo. Unapenda sana kurahisisha mambo baba yangu. Mimi naenda kupumzika nimechoka sana.”

Dada akanitazama na kusema “nakuja huko, bado sijasikia kitu.”
Nikacheka nikisema “dada Vee niache nimechoka sana.”
Nilielekea chumbani nafika tu na kisha dada naye akaingia chumbani. Akanitazama na kuniambia “haupo sawa mdogo wangu kwani kuna nini?”

Basi nikamsumulia maelezo ya Stewart alivyokuwa ananielekeza na kisha dada akatabasamu na kusema “sijui kwanini sizingatii ila naona kabisa ipo namna mdogo wangu. wewe kazi umepata.”

Mara simu yake ikaita. Alikuwa ni dada Martha. Nikamwambia “pokea, pokea eenh tumsikie.”
Dada yangu akaweka loudspeaker na Mar alianza kwa kucheka hata dada aliuliza “sio kwa cheko hilo, kuna nini ndugu yangu?”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:14

Dada Mar akasema “Vanessa mdogo wako kiboko, nimenyoosha maelezo. Tangu nimjue Boss wake sijawahi pata usumbufu kama huu. Kidogo tu anasema Martha ndugu yangu mtoto mzuri, kidogo anatuma ujumbe ana rangi nzuri, mara sijui nimeumia kuona analia hata ananiuliza maisha yake. Nakuambiaje kwa mwendo huu dogo kazi kapata.”

Dada Vanessa anauliza kwa furaha “wewe usinambie, ina maana huyo Boss ndiyo anafanya hivyo?”
Dada Mar akasema “sasa kumbe?”
Dada yangu akanitazama na kisha akasema “asije kuwa kamtamani mdogo wangu na kazi asimpe.”

Mar akaongea sauti ya upole akisema “Vanessa ndugu yangu, mdogo wako ni mdogo wangu. Siwezi mpeleka kwa mtu mbaya. Tangu nimefahamiana na huyu kaka ni mtu wa heshima sana.

Hana hayo mambo na kama ni upendo atakuwa kampenda kweli. Ila kiukweli mimi hajaniambia kuhusu mapenzi. Anamuhurumia tu na kuona ni binti mzuri. Lazima atamsaidia tu. Niamini.”

Dada yangu akasema “najua kipenzi changu, nimesema tu si unajua tena.”
Mar ni kama hakupenda, ile furaha ikawa imekata kabisa na akaaga akisema “haya basi kwaheri.”
Dada yangu akauliza “Rafiki, mbona kama nimekutoa kwa mood.”
Mar akasema “hakuna shida, kukiwa na lolote basi tutawasiliana.”
Akakata simu.

Dada yangu akasema “ni kama nimemuudhi eeh?”
Nikamtazama na kuvuta pumzi nikisema “tutafanyaje sasa dada?”
Dada akasema “nitaomba radhi mdogo wangu.”

Nilimtazama na kumwambia “najua hofu yako dada. Tazama mimi ni msichana mdogo. Nipo hapa mjini siku zote. Nimekutana na mambo mengi sana. Najua mazuri na mabaya naomba sana dada usiwe na wasiwasi. Nakuomba sana, mimi nitajilinda.”
Dada alitabasamu na kusema “Asante mdogo wangu.”

Nikatabasamu na alipiga simu palepale tena. Mar alipokea na dada alisema “rafiki yangu, ni kama nimekukwaza. Nilikuwa natania ndugu yangu naomba nisamehe sana.”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:15
Dada Mar alivuta pumzi na kusema “nimejitoa kusaidia kwa maana mdogo wako ni wangu pia sasa kwanini nimuuze. Mimi sinaga hayo mambo.”
Kweli alikasirika. Dada aliuliza “umenisamehe?”

Mar akcheka akisema “najua unamlinda mdogo wetu, ila bila shaka na yeye anajua mazuri na mabaya. Hawezi kupotea na pia anajua mwanaume mbaya na mzuri kwahiyo sisi kazi yetu kumuelekeza tu.”

Wakacheka mimi nasikiliza tu na kisha dada yangu akasema “sasa itakuaje maana nasikia elimu kigezo.”
Mar akasema “kwasasa siwezi kusema kitu, ila nimepanga kukutana naye kesho. Subirini simu yangu.”

Dada yangu akasema “asante sana ndugu yangu, sina hata neno.”
Dada Mar akacheka kidogo akisema “sisi ni familia, basi ndugu yangu msalimie sana mrembo wetu. Byee.”

Akakata simu, dada akanitazama na kusema “usijali mdogo wangu, utapata tu kazi. Siwezi ongea sana wewe ni mzoefu na hii kazi. Kwahiyo nakuombea upate tu.”

Nikasema “Amen dada, nipumzike sasa.”
Dada alisema “unataka ulale na njaa hii?, twende ukale kisha utarudi kulala.”
Nikamtazama na kusema “sawa dada.”

Nilifanya kama dada alivyotaka na baba yetu alituaga anaingia chumbani kwake kulala. Basi kila kitu kikawa sawa kabisa. Nilikula na nilipomaliza niliona ni heri nioge kwanza ndiyo nipande kitandani. Nilifanya hivyo na nilipomaliza nikapanda kitandani. Wakati nimeshajilaza chali, mikono yangu nimekusanya tumboni nawaza ni nini kinafuata. Ujumbe uliiingia kwa simu yangu, na ilikuwa namba ngeni, alikuwa tu ameandika “Ndeana, Ndeana.”

Kikawaida ukishakuwa mfanya biashara au muomba kazi. Namba yako unayotoa kwenye biashara au Cv unatakiwa kuwa makini sana. Ninakumbuka ninaye dada yangu wa chuoni kipindi anatafuta kazi. Siku moja alipigiwa simu kwa namba mpya. Anaonekana alikuwa na hasira sana ile siku.

Namna alijibishana na ile namba mpya na kukata simu ndiyo iliamua maisha yake. Kwa maana alikuja kugundua kuwa ilikuwa ni siku moja muhimu kutoka Hotel ya ndoto zake na alikuwa anaitwa kwaajili ya kazi baada ya kufanya interview. Hivyo alikosa kazi kizembe kabisa. Tangu hapo nilijifunza ustaarabu kwa namba mpya haswa katika hii namba yangu

16 - 20 🚩🚩🚩🚩🚩🚩
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:16

Hivyo nikajibu “abee, nani mwenzangu?”
Pale pale alinijibu “umefika salama mrembo?”
Nikajikuta natabasamu na kuandika “Boss!!!”

Akanijibu tena “hapana, ni Stewart, sio boss.”
Nikatabasamu na kusema “nimefika salama, asante sana.”
Akanitumia ujumbe “bado unalia totoo?”

Nikacheka ile totoo yake, na kujibu “hapana, hapana kabisa.”
Akaniambia “Nakutakia Usiku mwema Ndeana.”

Nikajibu “Na kwako pia Boss.”
Yeye akanijibu “Stewart.”
Nami nikarudia tena kujibu “na kwako pia Stewart.”

Nikawa natabasamu tu, yaani hataki story nyingi wakati ni kama bado natamani kuendelea kuchart naye. Nilikumbuka lakini, boss hazoeleki hivyo nilishukuru Mungu walau ninaye boss anajali kuhusu mimi.

Ninakumbuka ambavyo siku hii nililala nikikumbuka lile jengo, nikikumbuka aibu baada ya kusindikizwa na boss wangu mpaka kwa lift na kunielekeza namna ya kufanya ili niweze kutoka. Basi nikawa najicheka pale kitandani hata nikapitiwa na usingizi.

Zilipita siku mbili hivi kulikuwa kimya, hakuna simu kutoka kwa Boss wala simu kutoka kwa dada Mar ambaye ni rafiki wa dada yangu. Wamejuana wapi dada alisema ni kazi yake wakafahamiana. Basi ninakumbuka sana nilivyokuwa nikilalamika kwa dada kwamba tayari nimekosa kazi na mambo mengi kama haya.

Siku hii nilikuwa na dada chumbani, dada yangu aliniambia “mdogo wangu usijali, unajua mtu kusimamia hotel kubwa kama ile ni kazi ngumu sana.

Sijui kwanini ila mimi ninayo imani. Ninamuamini kama alivyokuahidi. Hata hivyo mdogo wangu tangu umerudi hujaniambia, huyo tajiri ni mzee, mubaba au yupoje .”

Nikajikuta nacheka nikisema “mimi nina mawazo halafu unaleta masihara dada. Kwanini lakini?”
Dada akacheka na kusema “niambie basi mdogo wangu.”
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:17

Nikamtazama na kusema “ni handsome, ananukia dada, ana sauti nzuri sana, ni sio mzee, sio mubaba sijui hata tuseme nini ila ni mwanaume wa makamo. Wewe kwako mkubwa kiasi.Mcheshi na utani mwingi sana. Jina lake ni Stewart.”

Dada akanitazama na kusema “Unavyo muelezea sasa. Haya mdogo wangu mimi sitasema sana. Ila si unajua hawa matajiri sio watu wakuwa nao karibu. Wana tabia ya kutumikisha watu kingono na kisha wanakuacha wanaajiri mwingine.”

Nikasema “ni la kusema hilo dada, bila hata kuniambia watu wanasema kila siku na mimi ni shahidi, hawa watu mambo yao sio mazuri ingawa ninaye rafiki aliolewa na boss wake ila mmh, siwamini mambo yao.”

Tukacheka na kisha nikasema “hata hivyo dada sina hisia naye mimi wala yeye haoneshi hilo. Ni mcheshi tu.”

Dada yangu akatabasamu na kusema “leo nitampigia simu Mar, tujue tutafute kwingine au tusubiri.”

Kabla sijajibu uliingia ujumbe kwa simu yangu. Na niliposoma alikuwa ni dada Mar. Kitu alichoniandikia kilinishtua kidogo. Aliniandikia “mrembo wangu, tunaweza kukutana leo?, ila please hii ni kati yangu mimi na wewe hakuna mtu anatakiwa kujua kuhusu hili. Ni muhimu mdogo wangu.”

Namna nilikuwa nasoma hata uso ulikuwa unaonesha kuwa nasoma kitu cha ajabu. Basi dada aliniuliza “kuna nini tena mdogo wangu.”

Nikamtazama na nafsi yangu ilikuwa inagoma kumficha dada yangu. Vipi nikienda na nikapata tatizo. Ni bora nimwambie tu. Hivyo nikamuonesha ujumbe. Dada akanitazama na kusema “usikute anataka udadali, kusema kweli mdogo wangu pesa sina kwasasa. Wewe nenda ukirudi utaniambia anasemaje.”

Nikamtazama dada na kusema kwa upole “sawa dada, kwahiyo sasa kama anataka udalali tutakuwa tushakosa kazi.”
Dada alisema akinigusagusa begani “jiandae uende mdogo wangu.”
Nikamwambia dada “niombee dada yangu.”
Dada alitabasamu na kusema “nakusubiri kwa hamu.”
Nikacheka na kusema “nitaanza kukupa habari nikiwa huko huko mbona si unajua sinaga subira kwako mimi.”
Tukacheka tu.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:18

Nilijiandaa na nikawasiliana na Mar. Tulikubaliana mahali nimfuate. Nakumbuka nilikutana naye na nakumbuka tulikaa ndani ya gari alinisalimia huku akiuliza “nyumbani wazima?”

Nikatabasamu nikisema “wazima sana dada.”
Akawa anacheka akisema “Vanessa anaendeleaje?”
Nikamwambia “pia mzima.”
Akanitazama na kuniuliza “hivi mdogo wangu unaye mpenzi?”
Nikashtuka.

Akanitazama akicheka na kusema “sikuulizi kwa maana mbaya Ndeana. Ila una uzuri wa ajabu sana unajua. Kuna mvuto unao aiseee sijui kama huyo mpenzi wako anajua kama anao mgodi kwenye maisha yake. Wewe ni kazuri eti.”

Nikacheka na kusema “dada Mar upoje lakini, mimi sio mzuri hivyo ni vile tu labda mvuto, ila nipo kawaida. Hata hivyo dada wewe pia mzuri sana, jitazame ulivyo.”

Akatabasamu na kuvuta pumzi na kusema “tuachane na hilo mdogo wangu. Ndeana nimekuita hapa nina jambo la muhimu sana. Nataka maisha yako yabadilike. Nataka uwe mwanamke mwenye mafanikio. Si unaona mimi dada yako nilivyo naendesha gari, napendeza na napata kila ninachotaka. Na ndiyo nataka kwako. Tumia vizuri huo uzuri wako.”

Mimi nikawa nashangaa tu, kisha nikamuuliza swali “kubadilisha maisha yangu kivipi dada?”

Dada Mar akanoa koromeo lake, kisha akanitazama akaniambia “wewe sio mtoto. Kinachoongelewa hapa ni baina yetu. Sikia, kuna kitu kimetokea. Stewart kakupenda sana. Anaogopa kukuambia ndiyo kitu nimekiona. Anatamani apate muda wa peke yenu, yaani ninyi wawili tu. Kisha akupe kazi.”

Nikashtuka na kumuuliza “ina maana anataka kulala na mimi kwanza?, dada sitaki kuamini kama ndiyo natakiwa kufanya hivyo.”

Dada Mar akaniambia “mimi nakuibia siri mdogo wangu. Yeye hajasema kila kitu ila kila muda anakuzungumzia. Mdogo wangu Ndeana wangapi wanatamani kufanya kazi Hotel kama ile.

Wewe jitoe kwaajili ya maisha yako. Unafikiri watu waliofanikiwa wamefanikiwa kirahisi. Jitoe mdogo wangu, akupe kazi. Watu kibao wanatamani nafasi kama hii hawapati tena ni wazuri kukushinda wewe.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:19

Wewe kutana naye hata mara moja uone kama hujapewa hiyo kazi. Mimi naona kabisa anakupenda sana, naona hilo namjua yule. Kwani Ndeana nikuulize kitu, wewe ni Bikra kwamba humjui mwanaume maisha yako yote?”

Nilimshangaa na kumuuliza “dada Mar, bikra na kazi wapi na wapi, mimi nataka kazi sitaki mahusiano.”
Dada akanitazama na kusema akitabasamu “mimi sikubembelezi mdogo wangu. Nilikuwa natamani upate maisha mazuri. Stewart ana uwezo wa kupata mwanamke yeyote yule anayemtaka. Unamuonaje kwani?, si wewe mwenye unaona ni mwanaume haswa. Sikia kipenzi. Ndoto ni gharama, watu wanafanikiwa wamepitia mengi sana. Sasa mimi sijui wewe ukimpa raha utapungukiwa nini. Kama hutaki naye mahusiano mpe penzi kisha pata kazi endelea na maish yako. Kama hutaki basi tena wenzako wanatafuta kazi.”

Nikamuuliza machozi yakitoka “ina maana hii ndiyo tabia yake dada?”
Dada akaniambia kwa upole na tabasamu “Stewart amekupenda sana. Kila muda anataja jina lako tu, kila muda ni wewe. Mdogo wangu Ndeana mpe nafasi. Mimi na wewe letu moja ninakusaidia ufanikiwe.

Anakupenda niamini mimi. Sikia najua ni ngumu, hata mimi sikutegemea hili. Kama humpendi sikulazimishi ila ninakupa muda leo ni ijumaa. Uhakika nilio nao ni kuwa muda utakaompa penzi ndiyo muda utaamua lini uanze kazi.

Kazi ushapata yaani ila anatamani muda na wewe wa faragha. Sasa kazi kwako. Hotel ndiyo ile hadhi kubwa mjini na wewe hutaki kisa penzi tu. Penzi kitu gani Ndeana, mpe tu si kitu cha mara moja. Kisha utajua anakupenda au hakupendi.”

Nilimtazama dada Mar na kusema “dada sikudhania kama unaweza kunifanyia hivi. Kusema ukweli umenikosea sana. Mimi Ndeana sijalelewa na kukuzwa hivyo. Abadani asilani siwezi kuvua utu wangu kwasababu ya kupata kitu fulani. Dada asante kwa msaada wako ila sipo tayari.”

Bila hofu wala wasiwasi dada Mar alinitazama na kusema “hata mimi sijazaliwa familia tajiri na bado napambania kufika mbali zaidi ya hapa. Nilipita sehemu kama hizo ninazokuambia na sasa nipo hapa.
𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞:20

Uzuri ni kuwa wewe unapendwa, mimi sikupendwa hata kidogo na mtu aliyenifikisha hapa alinitamani tu. Ndeana bahati haiji mara mbili, na kama ikija mara mbili basi wewe ni wa pekee. Ushauri wangu, usitumie moyo, tumia akili.

Unaweza kuondoka kwasasa, sitaki unitafute mimi ukiwa tayari. Naamini unataka kufanya kazi sehemu nzuri, kulipwa vizuri, na kufurahia maisha. Changamka, mjini kuchangamka.

Usione watu wanahangaika na maisha ukajua wapo wao tu. Kuna maboss na matajiri kama Stewart wapo nyuma yao. Unapendwa mama, nafasi ni yako. Byee, unaweza kwenda sasa.”

Wakati namtazama kwa hasira nisijue hata nimjibu nini. Simu yangu iliita na alikuwa ni boss. Nilimsave hivyohivyo tu Boss. Na Nilipoona simu yake kabla sijashuka hasira zilinibana.

Nikajikuta nalia nikisema “Boss ina maana huwezi kunipa kazi bila masharti si ndiyo. Kwanini unanifanyia hivi mimi. Ina maana hii ndiyo tabia yako?. Vipi kama dada yako, mdogo wako wa kike akafanyiwa unachotaka unifanyie?. Nashukuru sana mimi sipo tayari.”

Nilipotaka kukata tu simu nikasikia ile sauti ya kwenye redio tena vipindi vya mahaba, aliniambia “totoo, tuliza hasira. Sitaki ujisikie vibaya na wala sina maana mbaya kwako. The case is NAKUPENDA. Tangu siku nimekuona kwa picha tu nikakupenda.

Unaweza kuwa mpenzi wangu hata kabla hujaingia kazini. Ndeana wewe ni mwanamke ambaye mimi ninamtaka kufanya naye maisha.

Sina sababu ya kujielezea sana. Nimekupigia kwasababu nilikuwa nimekumiss sana ila uhalisia ni kuwa nina kazi sana leo. Fanya maamuzi sahihi, nakuomba sana, kesho tukutane tuzungumze na sitakulazimisha, nakuomba sana mtoto mzuri.”

Nikajikuta siwezi kumjibu navuta tu pumzi. Na kisha simu ilikata. Dada Mar alinitazama na kutabasamu akaniambia “ni yeye sio?”

Nikavuta pumzi yangu na kumtazama. Dada Mar akasema “Ndeana wewe ni nani boss kama yule anampigia mtu kama wewe. Haya mimi yangu macho. Naomba nikuache tutawasiliana kama nikisikia lolote. Kumbuka ni kati yetu.”

Nikashuka kwa gari nikiwa nimechoka sana. Nikiwa sijui cha kufanya. Boss wangu alitumia ujumbe “Usikasirike Ndeana, uwe na siku njema, I miss you totoo.”
🙌🙌eenh totoo ikawaje💃🏻
Muendelezo sh 1000
Njoo WhatsApp 0781858056

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

11 - 20🚩🚩🚩🚩🚩🚩 𝐉𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐁𝐎𝐒𝐒 𝐌𝐈 𝐍𝐀𝐎𝐍𝐀 𝐀𝐈𝐁𝐔 🍒🙈💞

:11

kwa kukwama kwama “Nde, Nde”
Kwa upole nikamalizia “Ndeana Boss.”
Akacheka akisema “Una jina la kipekee sana unajua, sijawahi kusikia.”

Sasa mimi namtazama anavyocheka, huyu mwanaume analo tabasamu. Meno yake yamepangika vizuri na anajua tumia tabasamu lake.

Haitoshi kuna kitu sijasema, unazijuia vizuri zile sauti za watangazaji wa vipindi vya mahaba, ndiyo sauto zao nzito fulani hivi ila laini ndiyo hivyo hivyo sauti ya huyu mwanaume ilivyo.

Ana sauti nzuri sana ni kama vile akiongea usimwambie aache kuzungumza. Muda wote awe anazungumza tu, asiache kabisa.

Wakati mimi nashangaa aliniuliza “umekuja na chochote?”
Haraka nikatoa bahasha yangu na kumpatia. Akawa anatazama akisema “Ndeana, Yes nimepatia jina lako sasa.”
Nikatabasamu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/11-20-jamani-boss-mi-naona-aibu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi
‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA
‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA
RUNGU LA KIPOFU 22.
RUNGU LA KIPOFU 22.
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
MY WANGU❤️ sehemu ya 108
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇
UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
MY WANGU❤️ sehemu ya 118
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 109 na 110*
*MY WANGU❤️* *sehemu ya 109 na 110*
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
MY WANGU❤️ sehemu ya 103
🔥 MAMA MKUBWA NIIZAMISHE YOTE🔥6..10  Sehemu ya sita
🔥 MAMA MKUBWA NIIZAMISHE YOTE🔥6..10 Sehemu ya sita
BABA KAMA PUNDA.6-10  ( 6----------10 )  Story:>>> "BABA KAMA PUNDA"
BABA KAMA PUNDA.6-10 ( 6----------10 ) Story:>>> "BABA KAMA PUNDA"
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 13.  👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu...👇
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 13. 👉 Uwiiiiiiiiiiiiiii Uwiiiiiiiiiiiiiii Aaaaaaaaa Assssssssssss Tamuuuuuuuu...👇
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
RUNGU LA KIPOFU 21.
RUNGU LA KIPOFU 21.
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe..7   Dar es salaam  SEHEMU YA SABA  ENDELEA    Ashura alipiga kelele za maumivu kutokana na ukubwa wa mboo ya mjomba...
Chombezo....Oooh anko Mudy usichomoe..7 Dar es salaam SEHEMU YA SABA ENDELEA Ashura alipiga kelele za maumivu kutokana na ukubwa wa mboo ya mjomba...
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 94 na 95
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya..Saba   👉 Asante hapo hapo nilambe Shem...👇
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya..Saba 👉 Asante hapo hapo nilambe Shem...👇
🔥🔥 JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANI😋😋  Sehemu ya 14
🔥🔥 JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANI😋😋 Sehemu ya 14
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU.6..10  ANAGEUZWA🔥  sehemu ya sita.  👉 Kweli nilifumba macho...kwa mala ya kwanza naguswa nalidhia mwenyewe...👇
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU.6..10 ANAGEUZWA🔥 sehemu ya sita. 👉 Kweli nilifumba macho...kwa mala ya kwanza naguswa nalidhia mwenyewe...👇
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

742
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

251
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.82K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest